Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



WhatsApp 0742133100


SEHEMU YA 07.

Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:


"Nancy  anabahati  sana jamani General anampenda kilamsichana hapa kambini anatamani kupata nafasi ya kuwa na gentleman kama General kiukweli Nancy anaraha sana"


Nilijikuta naumia mno na nachanganyikiwa kusikia maneno kama hayo,  nikainuka kwa hasira na kuanza kuelekea bwenini Nancy alinikimbilia na kuniita:


"Laura!.... samahani"


Nilijifanya sijamsikia kabisa ndio kwanza niliongeza mwendo,   na kuwahi bwenini kwetu nilipofika nilipanda kitandani na kujifunika shuka langu,  alikuja moja kwa moja Nancy hadi bwenini na kuja nilipokuwa nimelala,  akaanza kuniambia:



"Laura ndio nini nakusemesha umenikimbia,  mbona sikuelewi umefika sasahivi tuu na usingizi tayari umeupata,  tafadhali nisikilize basi, hembu inuka nikuambie"


Sikuinuka hata niliendelea kulala,    na wala sikumjibu kitu nilikuwa kimya,   mwisho alichoka na kuamua kuondoka zake,  kiukweli nilijikuta ninamuonea wivu roho inaniuma sana,  hasa yale maneno ya wale wambea  yaliniuma,  nilipohisi ukimya nikafumbua macho na kumtiza, alikuwa hayupo kweli  bweni  zima,   ndio nikajilaza vizuri kitandani kwangu  na kupitiwa usingizi,  wiki moja ilisonga na mimi na General  hatukuwa sawa,   yaani kilammoja alikuwa kivyake,   na maranyingi  General alikuwa bize akifanya kazi ofisini kwake,  kuonekana kwake ilikuwa marachache sana mudamwingi alikuwa bize,  siku moja  nikiwa natoka kula kantini naelekea bwenini,  alikuja General na kunishika mkono wangu  kwanguvu,   alinipeleka moja kwa moja  pembezoni mwa ukuta,  na kuniegemesha ukutani kisha alinikiss romance kwa nguvu ,   huwezi amini nilijikuta nalegea  kabisa kwanza nimemmis hatari,  nilihisi utulivu wa moyo kuwa kifuani kwake,  mala baada ya fahamu kunirudia nilimsukuma pembeni na kutaka kukimbia,   alinivuta tena mkono na kisha akaniambia:



"Utakimbia hadi  lini nijue eeh!,  huoni kuwa unaupinga ukweli wako mwenyewe Laura,  na kujua vizuri na hata hujifichi  unanipenda  unanipenda sana Laura"


"Nini? Nani kakudanganya eeh!  Nakuuliza wewe  hahahaa,    kwataarifa yako sina hata hisia nawewe wala sitarajii naona unajiogopea tuu mwenyewe,   pole sana kwahilo  na utuuzima wako nitakupeleka wapi mie"


Wakati naongea hayo yoote General alikuwa kimya tuu akinitizam,   kisha  nilipomaliza nikaanza kuondokazangu,  ile natoa mguu tuu alinivuta tena,   nahivi nilivyo chaupepo sasa,   kisha akanidaka na kuniweka tena karibu yake,   mithiri kama  anataka kuninyonya shingo yangu hiviii,   alinikumbatia vizuri sana  karibu yake nilijikuta mapigo ya moyo yananienda mbio,   nilitulia sana nilikuwa  tayari kwachochote kile,    yaani kisha General akiwa amenimaliza kabisa hapo kwa manjonjo yake  ya kimahaba,  hapo aliniambia kwa sauti yachini akiwa anafanya kama anataka kuninyonya  shingo:



"Samahani  Laura  nilikuwa nakuaga  naondoka keho alfajiri,   ninasafari ya nje ya nchi,  na  samahani kwa usumbufu wangu"


Nikashtuka hapo na kujichomoa mikononi mwa General taratibu,  kisha nilimjibu:


"Ok sawa safari njema"


Na baada ya hapo  nikaanza kuondoka kuelekea bwenini,  General akaniambia:


"Nakutakia mazoezi mema  sidhani kama nitakukuta,   kwani sirudi hivi karibuni"


Nilisimama nikasikiliza kwa umakini,   kisha nilimjibu:

"Kwani Nancy nae umemuaga,  maana ndio mtu sahihi wakumuaga"


Alitabasam kidogo General,  nakisha akanijibu:


"Ndio kakuambia eeh basi sawa nitamuaga,   usiku mwema sasa by"


General aliondoka na kwenda kwenye chumba chake,  niondoka kwenda bwenini nikiwa mithili ya mtu kawekwa zege miguuni,  ila nilijipa ujasiri na kujiambia  hawezi kuniacha ananipenda pia,   nilifika bweni  nikaingia na kupanda kitandani tayari kulala,  nililala  kwatabu sana  kwani nilikuwa nawaza hadi kulikucha alfajiri, tuliamka na kwenda mazoezini kama kawaida,   ila akilini  nilikuwa na mtafuta General tuu nimuone nijihakikishie kama yupo,  lakini wapi sikumuona hadi muda ulienda siku iliisha sikamuona labisa,  mwisho nilikata tamaa kabisa kwani siku zilienda mwezi ulikata General Ethane hakurudi kabini kwetu,  nilianza kuwa na udhuni  sikuwa naraha kabini,  nilikuwa nafanya  sana  mazoezi  hata muda wakula  sikuwa  naenda kula,  niliona  hakuna maana yakula ikiwa nimpendae hata hajali kuhusu mimi,  nilitamani arudi hata dakika moja tuu nimuambie jinsi ninavyo jisikia juu yake,  lakini haikuwezekana  kwa muda huo,  ilifikia hatua usiku nilikuwa nagara gara tuu sipati hata usingizi tena,  kisha nikizidiwa na hisia naanza  kulia  pekeangu,  nilikonda  na  nilikuwa sina raha kabisa,    hadi siku moja mkuu wa kikosi changu namba saba  aliniita ofisini kwake,  akaniuliza:


"Unatatizo gani Laura,   maana sikuhizi nakuona haupo sawa kabisa"


"Mkuu mbona sina shida nipo sawa mimi"


"Nakujua tangu unaingia kambini hadi leo hii,   nimeambiwa nawenzio  chukula huli,   na mala nyingi umekuwa mnyonge sana kunamuda unalia pekeako,  niambie tatizo nini?


"Mkuu mimi sina tatizo,   na hao walikudanganya mimi niko sawa kabisa"


Wakati tunaongea hayo na mkuu wangu wakikosi,  gafla simu iliita tukiwa wote nisimu ya mezani,  mkuu wangu akaniambia:


"Samahani napokea simu maramoja tulia hapa hapa"


Kisha akaipokea hiyo simu


"Hallow"


"Hallow  General hapa naongea"


Gafla mkuu wa kikos alipiga sarut huku akisema:


"Heshima yako mkuu General"


Nilishtuka  nikainuka  huku nikiwa naitazama simu




Je nini kitatokea hapo .............
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:




WhatsApp 0742133100


SEHEMU YA 07.

Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:


"Nancy  anabahati  sana jamani General anampenda kilamsichana hapa kambini anatamani kupata nafasi ya kuwa na gentleman kama General kiukweli Nancy anaraha sana"


Nilijikuta naumia mno na nachanganyikiwa kusikia maneno kama hayo,  nikainuka kwa hasira na kuanza kuelekea bwenini Nancy alinikimbilia na kuniita:


"Laura!.... samahani"


Nilijifanya sijamsikia kabisa ndio kwanza niliongeza mwendo,   na kuwahi bwenini kwetu nilipofika nilipanda kitandani na kujifunika shuka langu,  alikuja moja kwa moja Nancy hadi bwenini na kuja nilipokuwa nimelala,  akaanza kuniambia:



"Laura ndio nini nakusemesha umenikimbia,  mbona sikuelewi umefika sasahivi tuu na usingizi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-niliwatizama-waliniona-ila-walinipotezea-kabisa-kisha-general-aliinuka-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-niliwatizama-waliniona-ila-walinipotezea-kabisa-kisha-general-aliinuka-
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

642
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

290
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

221
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

92
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest