Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
Gonga94 ยท Stories

Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
. Hivyo nilishindwa kukaa hostel kutokana na changamoto mbalimbali. Basi nikaja hapa kwa dada, ndiyo akaanza kunisaidia hadi chuo, nimamalize mwaka huu.

Katika kukaa hapa, shemeji yangu alianza kunitongoza. Aliniahidi mambo mengi na kusema ukweli nilimuamini, kwa sababu ukiangalia yeye na dada, ndoa yao haiko vizuri kabisa. Basi baada ya kuona mambo hayako vizuri upande wao, nilijikuta nakuwa karibu na shemeji, tukaanzisha mahusiano.

Nilijikuta nampenda shemeji wangu, alikuwa ananijali na kunifanyia vitu ambavyo hata hamfanyii dada yangu. Niliamua kubeba mimba yake. Nilipomwambia shemeji mwanzo aliniambia nitoe, lakini mimi niligoma. Nilijua tu ni kwa sababu anamuogopa dada. Ila baadaye alipoona msimamo wangu, alikubali na tukawa tuko vizuri.

Mwanzoni dada alipojua nina mimba, alipaniki sana akijua nimemuaibisha. Alidhani ni ya mpenzi wangu ambaye anamjua, alimuita, lakini yule kaka alimwambia mbona sisi tumeshaachana muda mrefu. Sikumuambia dada kuwa mimba ni ya shemeji, nilijua nikisema hivyo itakuwa shida. Hivyo nilimtafuta rafiki yangu, akampigia simu dada akamwambia kuwa nina mimba ya mume wake.

Cha kushangaza ni kwamba miezi sasa dada anajua nina mimba ya mume wake, lakini hajaondoka wala kuniuliza chochote. Kwa kweli nimechanganyikiwa, kwani kwa akili zangu niliamini kama dada angegundua kitu kama hiki ataondoka na kumuacha huyo mwanaume. Lakini hajaondoka, hajaniuliza na ananitunza tu vizuri. Kwa kweli nachanganyikiwa, sijui nifanye nini?

Shemeji yeye ananiambia hana cha kufanya; kama nina hofu niondoke tu. Namwambia anipangishie hata nyumba, anasema yeye hana pesa, anafanya nini sasa?
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha

. Hivyo nilishindwa kukaa hostel kutokana na changamoto mbalimbali. Basi nikaja hapa kwa dada, ndiyo akaanza kunisaidia hadi chuo, nimamalize mwaka huu.

Katika kukaa hapa, shemeji yangu alianza kunitongoza. Aliniahidi mambo mengi na kusema ukweli nilimuamini, kwa sababu ukiangalia yeye na dada, ndoa yao haiko vizuri kabisa. Basi baada ya kuona mambo hayako vizuri upande wao, nilijikuta nakuwa karibu na shemeji, tukaanzisha mahusiano.

Nilijikuta nampenda shemeji wangu, alikuwa ananijali na kunifanyia vitu ambavyo hata hamfanyii dada yangu. Niliamua kubeba mimba yake. Nilipomwambia shemeji mwanzo aliniambia nitoe, lakini mimi niligoma. Nilijua tu ni kwa sababu anamuogopa dada. Ila baadaye alipoona msimamo wangu, alikubali...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nina-miaka-23-niko-chuo-mwaka-wa-tatu-mwaka-jana-nilikuja-hapa-kwa-dada-yangu-baada-ya-baba-yangu-ku

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nina-miaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

9.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.45K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.28K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.05K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.01K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest