Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️‍🔥  SEHEMU YA 01...05  Naitwa Leen ni mtoto wa kwanza kwa mama yangu nikifuatiwa na mdogo wangu wa kiume ambaye ni last born
Gonga94 · Stories

MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️‍🔥 SEHEMU YA 01...05 Naitwa Leen ni mtoto wa kwanza kwa mama yangu nikifuatiwa na mdogo wangu wa kiume ambaye ni last born

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ibrahim tulilelewa na mama tu baada ya baba yetu mzazi kufariki kipindi nipo na miaka saba hapo mama yangu ndio ana ujauzito wa Ibrahim...
Baba yangu alikuwa anafanya kazi huko machimbo chunya ila ni mzaliwa wa Dar es salaam, maisha yetu yalikuwa mazuri na yenye furaha nilikuwa nasoma shule ya kulipia nitake nini lazima nipewe kipnzi cha baba

maisha yetu yalikuja kuharibika baada ya kifo cha baba kwani baada ya msiba kuisha ndugu zake baba walichukua kila kitu wakagawana wenyewe

vingine wakauza hawakumpa mama hata shilingi mia mbovu hadi mama akapata tatizo la moyo kwa ajili ya mawazo🥹🥹.

Lilibaki shamba tu ambalo lilikuwa huko chunya na hapo walikuwa hawalijui mbona wangeshaliuza hawa ndugu waliokosa haya ndipo mama akaamua turudi tu huko chunya tuishi pale huku akifanya vibarua ili tule na kusoma mimi na mdogo wangu.......

Nilijitahidi kusoma hivyo hiyo kwa shida hadi nilivyofika kidato cha nne. Matokeo yalitoka nimefaulu ila nikashindwa kuendelea na masomo ikabidi nimsaidie mama kufanya vibarua, na kulima ili maisha yaende huku mdogo wangu akiendelea na masomo yake.

Sikutaka ndoto zake na yeye zikatike kama zilivyokatika ndoto zangu za kuendelea na shule ...

Siku hiyo mama alikuwa ameenda kufanya kibarua kwenye shamba la mtu kuvuna ghafla tu alianguka akiwa shambani🥹🥹

Walimchukua na kumkimbiza hospitali nililetewa taarifa muda huo nilikuwa napika niliacha kila kitu nikaelekea hospitali kumuona. Hali ya mama yangu haikuwa nzuri ila alikuwa amepata
nafuu kidogo

nilimkuta ameamka amekaa kitndani
anakunywa uji aliopewa na mgonjwa wa kitanda cha pili....

Nilivyomuona nilitamani kulia ila nikawa najikaza tu kumtia moyo mgonjwa....
Dr aliniita akaniuliza kama kuna mtu mzima ili aongee nae kuhusu hali ya mama yangu...
Mimi ndio mkubwa Dr anenifuatia yupo darasa la tano unaweza tu kunipatia
hayo majibu ...

Sawa hamna shida mama yako vipimo vinaonyesha ana tatizo la moyo ..... una tundu inabidi haraka sana apatiwe matibabu la sivyo utampoteza mama yako maana ili tatizo linaonekana ni la muda mrefu kweli .....

SEHEMU YA 02

Nilihisi kuchoka na majibu aliyonipatia Dr. Niliitikia tu sawa nitafanya hivyo hapo sijui hata hela natoa wapi
...ndugu wenyewe ndio walituacha tangu baba alivyofariki..

Kesho yake mama aliruhusiwa tukarudi nyumbani majibu yake nilimficha sikumwabia kabisa..
Mama aliniita nikaenda kumsikiliza anasema nini?

Leen, binti yangu wewe ndio mkubwa hapa nakutegemea kwa kila kitu, hali yangu yenyewe si unaiona lakini.....?

Ndio mama hauko sawa Basi naomba upambane kama mama sasa hivi , sidhani kama naweza kwenda kibaruani kufanya kazi kwa sasa tunahitaji chakula na mambo mengine...

Mama sio kula tu hadi matibabu yako inabidi utibiwe ili upone......nikaishia hapo hapo sikutaka kuendelea.

Mama alifungua kitenge akatoa elfu ishirini akanipatia..... mama hela ya nini hii ? Nilimuuliza
Hela hiyo nakupa ufanyie biashara nakutegemea sana.

Sawa mama niliitikia tu ila sikujua nifanye biashara gani na mimi sio mzoefu na biashara..
Nilitoka nje nikaenda kumpikia mama uji .....
Kesho yake asubuhi nilihakikisha nimemuandalia mama chakula na mdogo wangu ameenda shule ,

niliondoka nikaenda mashambani huko kulangua nyanya kwa bei ya jumla nikapanga kwenye sado nikapanga pembezoni mwa barabara.

Nikaanza kuuza Biashara ilienda vizuri vyote vikauzika ....
Nikawahi kurudi nyumbani
nilikuta mdogo wangu amesharudi kapika hadi chakula tulikula nikapumzika nikiwaza siku ya kesho.....

Faida niliyouza niliweka pembeni kesho yake asubuhi sana niliamka nikamuandalia mama uji nikampelekea chumbani kwake....

Nilimsalimia nikamwambia ajitahidi anywe huo uji pamoja na dawa kisha nikamuaga...
Sawa nakuombea heri siku ya leo ufanikiwe....
Asante mama yangu kwa dua yako nilimjibu kisha
nikaondoka....

nikaenda kulangua nyanya nikaenda kuuza barabarani kama kawaida...
Nikiwa nimekaa sina hili wala lile lilipita gari ndogo likaenda kusimama mbele kidogo kama kawaida wafanyabiashara tukiona gari tunakimbilia kutafuta riziki ...

nilivyoona watu wameenda wengi niliamua nibaki na vile nilikuwa na uoga wa biashara ...
Mwenye gari alisema haitaji kitu watu wakarudi kukaa mara akashuka dereva aliyevaa suti nyeusi akanifuata hadi nilipokaa...

Binti unaitwa pale kwenye gari na mzee...... nikamuuliza mimi?Akaniambia ndio wewe unaitwa ..

Nilishangaa nani tena huyo anayeniita nisije kuchunwa tu ngozi mzee tena mzee nani huyo ? ...
Nilisimama nikaongozana na yule kaka hadi kwenye gari nikasimama kwa njee kioo kikashushwa ..

Nikamuona mzee wa makamo mweupe kama muarabu akaniita jina langu Leen hujambo...?1
Itaendelea.......

Full 1000
Whatsapp 0742133100

MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️‍🔥

SEHEMU YA 03
Nilishtuka kajuaje jina langu hata simfahamu huyu mzee sijawahi kumuona hata siku moja ....ikabidi tu nijikaze kuitikia nisije kuitwa na majini ...
Sijambo shikamoo mzee nilimsalimia huku nikiwa na maswali ni nani huyu...
Marahaba yaani umekua sana binti vipi mama yako ajambo..?
Hajambo wewe ni nani baba yangu mbona sikufahamu? Nilimuuliza huku nikimtazama kwa umakini...
Huwezi kunifahamu ila mimi nakufahamu vizuri sana wewe si mtoto wa Salim ..? Alimtaja baba yangu mzazi aliyefariki kitambo sana....
Ndio mimi ni mtoto wa Salim... Dah Salim alikua rafiki yangu sana tulifanya kazi wote machimbo kipindi hicho nimeshangaa kukuona hapa kweli milima haikutani binaadamu hukutana kwahiyo unauza nini?.
Niko nauza nyanya mzee wangu nilimjibu.
Sawa we Jamal yule mzee
alimuita dereva wake kamuungishe binti yangu vitu vyote vilete hapa kesho nitakuja kumsalimia mama yako kama nikipata nafasi naomba namba yako tafadhali....
nimekuja huku kununua mashamba nataka nilime. Nilimtajia yule mzee namba ya yangu akaisevu kisha akanipigia...
Namba yangu hiyo isevu Mr
Abdul Khalil niliitikia sawa
aliingiza mkono mfukoni akatoa wallet yake akatoa elfu hamsini akanipa.
Nilimshukuru hadi nikapiga magoti tuliagana na yule mzee akaondoka...
Wenzangu walishangaa
wakaniuliza kama najuana na yule mzee . … Ndio alikua rafiki yake na baba zamani niliwajibu nikarudi nyumbani haraka huku nikiwa na furaha..
Nilimkuta mama amekaa nje kwenye mkeka nilimsalimia mama kisha na mimi nikakaa pembeni yake.
Mbona kama una furaha binti yangu? Mama aliniuliza
Umejuaje mama kama na furaha nilimuuliza mama.
Nakujua tu wewe si ni mwanangu nakujua ukiwa na furaha hadi ukiwa na huzuni...
Nimekutana na Mr Abdul Khalil mama vipi unamfahamu huyu mzee?
Mama alishtuka kwa mshangao unasema nani ?
Mr Abdul rafiki yake na baba kajitambulisha kwangu hivyo pia kanunua vitu kwangu kanipa na hii hela elfu hamsini nikuletee....
Mwanangu huyu mbaba
namfahamu sana alikua ni
rafiki wa baba yako pika pakua alivyofariki baba yako alinipaga namba yake nimtafute baada ya mazishi kupita ila namba yake ilipotea hapo ndipo tulipoteza mawasiliano....

SEHEMU YA 04

mimi na yeye ni miaka mingi imepita kumi na tano sasa
jamani
Amekujuaje na alikuacha mdogo sana una miaka minne tu akaondoka na familia yake kuishi Dar kweli ana
kumbukumbu sana ...
Sijui mama ila ndio hivyo pia kasema kesho kama akipata nafasi atakuja akusalimie.
Yaani bora aje tu kwa kweli yule baba hanaga roho mbaya kabisa hata mkewe atatusaidia kwa kweli. ...
Nilimpa mama ile hela akae nayo mimi nikaenda kuendelea na shughuli zingine kesho yake asubuhi kweli Mr
Abdul alipiga simu
nikamuelekeza akaja hadi
nyumbani nikamuacha na mama mimi nikaenda kwenye biashara yangu... Sijui waliongea kitu gani jioni nilirudi nyumbani nilimkuta mama amejikokota anapika chakula cha mchana.
Nilimsalimia nikapeleka vitu ndani nikaja kukaa nje..
Mwanangu huu mwaka ni wa
bahati sana nahisi ni
Mungu ameamua kutusaidia kwa njia yake.. mama aliongea.
Kwanini mama unasema hivyo?
Nilimuuliza huku nikikaa vizuri niisikie hiyo bahati.
Mr Abdul kasema
atanikarabatia hii nyumba pili hataki ukaribu wetu upotee anataka kuendeleza undugu ili kumuenzi rafiki yake Salim..
Sijakuelewa mama kuendeleza undugu kivipi? Namaanisha anataka mtoto wake wa kiume akuoe Wewe...
Enhe mama inawezekana vipi ina maana kusoma tena mimi ndio sisomi na mtu mwenyewe anayetaka kunioa simfahamu vipi akiwa hana vigezo navyotaka mimi?
Niliuliza
Vigezo gani unavyotaka wewe kama hela wanayo, Leen au unataka mwanaume mzuri kimuonekano mbona yule mzee ana watoto wazuri tu japo nimewasahau ....
Mama mshanikera tayari wewe na huyo Mr nani sijui mnafanya maamuzi bila kutushirikisha wahusika sijui mnataka nini kwa kweli?
Nililalamika kiukweli
Hebu fikiria Leen umeolewa kwenye familia kama ile wana pesa tutakuwa na shida gani hapa hata mpango wako wa kusoma utatimia tu ....
Dah nipe muda basi nijifikirie mama yangu imekuwa ghafla sana....
Basi fanya haraka huko kufikiria unipe jibu kesho anarudi dar uende naye ili mkapate muda wa kujuana na mwenzio ndoa ipite ... Sawa ..... niliinuka nikaingia ndani huku nikiwa nimenuna

SEHEMU YA 05
Nilikaa chumbani nikawa najifikiria maisha tunayoishi, hali ya mama yangu na huo ugonjwa wake nikajikuta tu nimefanya maamuzi ya kukubali kwenda kuolewa tu huko dar na mwanaume ambaye simjui hata kwa sura ......
Nilitoka nje nikamwambia mama kuwa nimekubali kwenda kuolewa huko dar ....
Mama alifurahi baada ya kumwambia kuwa nimekubali kuolewa akampigia simu Mr Abdul akamwambia kuwa nimekubali akamwambia mama aniambie kesho nijiandae basi tuende dar wote..
Basi kesho nilijiandaa nikatia nguo zangu kwenye shangazi kaja langu nikawa namsubiri Mr Abdul aje kweli bhana walikuja mida ya jioni kunichukua nilimuaga mama kishingo upande sikutamani kumuacha jinsi hali yake ilivyo na maisha yake ila ngoja tu
nijikaze niende tu nilijipa moyo tukaondoka kwenda Dar na
MrAbdul Khalil..
Tulisafiri usiku kucha asubuhi tulifika dar mida ya saa mbili... tukaelekea huko Goba tulifika kwenye bonge la jumba geti lilifunguliwa tukaingia ndani..
Tulishuka kwenye gari Mr Abdul akawaita
wafanyakazi walikuwa wawili...
Mgeni huyu hapa naombeni mumpokee vizuri hadi
atakaporudi zayn mimi
nitakuja kesho naenda nyumbani kwangu..
Wakaitikia sawa baba Mr
Abdul alinigeukia na kuniita jina langu.
Leen jisikie upo nyumbani usiogope msubiri mwenzio
atarudi baadae toka kazini nishampa taarifa za ujio wako mimi naenda nyumbani sikai hapa siku nyingine utakuja nyumbani kwangu ili upajue.
Sawa baba nashukuru nilimjibu....
Mr Abdul aliingia kwenye gari lake akaondoka.
Niliwasili kwenye jumba la kitajiri ili nionane na mtoto wa huyo mzee tujuane kwanza kabla ya kuoana.
Dada twende ndani
mfanyakazi mmoja huyu aliongea
alikuwa anaitwa Aisha..
tulikuwa tunalingana kidogo..
Vipi ushakunywa chai?
Aliniuliza nikamjibu hapana sijanywa bado.
Basi sawa nifuate nikuonyeshe chumba uweke begi lako .... nilimfuata hadi kwenye hicho chumba ... hiki ni chumba chako ingia ubadilishe nguo .
ngoja nikakuandalie chai mimi naitwa Aisha.
Asante sana Aisha naitwa
Leen..
Nilingia chumbani nikaenda kuoga nikavaa nguo zingine nikatoka sebuleni kunywa chai.

JE NINI KITAENDELEAA
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMMMMH UNIFANYE TARATIBU MM NI YATIMA❤️‍🔥 SEHEMU YA 01...05 Naitwa Leen ni mtoto wa kwanza kwa mama yangu nikifuatiwa na mdogo wangu wa kiume ambaye ni last born

Ibrahim tulilelewa na mama tu baada ya baba yetu mzazi kufariki kipindi nipo na miaka saba hapo mama yangu ndio ana ujauzito wa Ibrahim...
Baba yangu alikuwa anafanya kazi huko machimbo chunya ila ni mzaliwa wa Dar es salaam, maisha yetu yalikuwa mazuri na yenye furaha nilikuwa nasoma shule ya kulipia nitake nini lazima nipewe kipnzi cha baba

maisha yetu yalikuja kuharibika baada ya kifo cha baba kwani baada ya msiba kuisha ndugu zake baba walichukua kila kitu wakagawana wenyewe

vingine wakauza hawakumpa mama hata shilingi mia mbovu hadi mama akapata tatizo la moyo kwa ajili ya mawazo🥹🥹.

Lilibaki shamba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmmmmh-unifanye-taratibu-mm-ni-yatima-sehemu-ya-01-05-naitwa-leen-ni-mtoto-wa-kwanza-kwa-mama-yang

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmmmmh-unifanye-taratibu-mm-ni-yatima-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

622
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

566
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

473
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

346
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

111
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest