Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MY CHUNUN* 01
Gonga94 · Stories

*MY CHUNUN* 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

*MY CHUNUN* 01

Naitwa Caren..
Nilipo matokeo yametoka kwenda chuo nimefaulu na nina kapingwa chuo dar..Wazazi na ndugu zangu walifurahi sana kuona nimefauru maana kwenda chuo c mchezo bhn..

Baas baada ya kama wiki mbili nikajiandaa na kufunga safari kwenda zangu dar ili kuanza chuo chuo cha IFM kigambonii..

Nilipofika pale nilikaa hostel maana nilikua mgeni sijui kitu chochote..

??????

Haya sasa maisha ya chuo yameanza na mm nimeshazoea chuo ila sina marafiki na kule nyumban niliambiwa nikifika dar niwe makini ila sikujua umakini kiaje..niliambiwa dar huchelewi kufa na nikaona kweli maana kuna magari mengi htr ukiwa mzembe unakufa dkk sifuri tu..?

Nilikua busy sana na maisha yangu na masomo yangu mpk siku moja mdudu alipo niingia
(Sijui mududu kaingia)

Iyo siku bhn ilikua after class hours..Nikamuona mkaka mmoja kaingia class akamsemesha mtu sasa alikua mzuri kias kwamba siwez kujizuia kumwangalia..sijui alishtukia kma kuna mtu anamwangalia nikaona wamegeuka wote pamoja..paaap? nikabaki nimeganda tu hata sijui cha kufanya yule kaka akanipungia mkono..? yelewiii nilihisi kma shoti inapiga hivi..nikatabasamu nikageuka pembeni.. yule kaka alivomaliza kuongea akatoka daah harufu yake ikabaki mle drsn afu nikajishtukia hivi mm nna akili kweli..

Nikaendelea kusoma ila kija nikijaribu ku focus moyo unawaza kwingine akili ina imagine vitu vingine.. nikafunika madaftar yng nikaanza kwenda hostel nikapumzike labda akili itakua imechoka...

Kutoka nikapishana na yule kaka..sijui nn kilitokea ila nilitamani kukimbia au kubadilisha njia lkn ubaya tunapishana koridoni nikasema haina shida ngoja niendelee kutembea mpk tunapishana mm akili ime freeze..alivo nipita nikaongeza mwendo nikakimbia mpk room najiuliza hivi mm nna matatizo gani leo?
Nikaamua nilale nikiamka takua sawa...

Nakujaaa...?

*MY CHUNUN* 02

Nilipo amka ilikua ni mida ya jion jion saa moja tuseme tu ni usiku giza lilisha ingia na njaa ikawa inauma..nikaenda kuoga nikatafte chakula nile..

Wakati natoka hostel nikapishana na wadada wanajadili kitu ila niliskia tu kwa mbali si mnajua wale ma slay queen wa vyuo *"Oh my God he is so hot"* mwenzake akamjibu *"I know right wow he is my crush"* sikujua wanazungumzia nn au nani ila nikajua tu ni mwanaume nikajisemea moyoni _"crush my foot"_ Nikaendelea na safari zangu..

Nikatoka kbs nje ya chuo nikaenda kwenye ki hoteli kimoja pale nikaagiza chips kuvu na juis ya miwa nikawa nakula..

Nimemaliza nikaenda kulipa nikaambiwa *"umeshalipiwa"* ..? *"nimelipiwa na nani?"*
Akasema *"kuna mkaka tu hapa alikua anakula alivo lipa akasema nikate na pesa ya chakula chako"* nikamwambia *"Sawa Asante kwa heri"* nikaondoka ila njiani najiuliza _"Nani kalipa?mbona sina hata rafiki wa kike alafu naambiwa mkaka?"_ Nikapotezea nikaendelea na safari ya kurudi hostel.. hua nna ratiba ya kusoma usiku.. nikaenda kuchukua vitabu vyangu kama kawaida nikaenda class kusoma..

Nimesoma mpk sa 6 nikaona nimechoka nikalale..Sasa natoka akaja mdada flani akanipa ki memo nikamwambia *"hiki nini?"* akasema *"Namba nadhani utazihitaji mda si mrefu"* nikamuuliza *"za nani na nita zihitaji kwa nn?"* akasema *"We piga useme hata Asante si umenunuliwa dinner?"* nikakumbuka yule mtu alie ninunilia chakula lkn sikumuomba sasa kwani lazima nikasema *"sawa"* nikachukua ile namba nikaondoka zangu ila nikasema _"ngoja tu nishukuru"_ nikapiga ile namba nilipo ingia hostel.. *"Halooo"* mmmh sauti nzuri nikasema *"Haloo unaongea na caren"* akasema *"Oooh mzima?"* nikawambia *"Mzima ila samahani sijakujua nashukuru kwa chakula ila sijakujua"* akasema *"niko hapa getini kama unataka kunijua njoo"* nikiangalia saa sa sita nikasema *"Samahani takuona kesho saiv mda umeenda sana"* nikakata cm nikalala...

Ila ile sauti mh mbn nzuri najiuliza sijui ni yule mkaka mzuri mzuri ila kesho pakikucha tamjua ni nani...

Kesho yake nimeingia class mapema kuingia tu nakutana na wale wadada nlio pishana nao jana pale koridoni mmoja akasema *"Wewe ndo caren?"* nikajibu *ndio kuna nini?*

Wakanivuluta mpka nje kma mwzi jmn..??

*Itaendeleaa...*

FULL STORY UNAIPATA KWA KULIPIA TSH 1000
NAMBA YANGU YA WHATSAPP NA KULIPIA PIA NI 0715906120 MTANDAO YAS JINA LA USAJILI FLORA
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MY CHUNUN* 01


*MY CHUNUN* 01

Naitwa Caren..
Nilipo matokeo yametoka kwenda chuo nimefaulu na nina kapingwa chuo dar..Wazazi na ndugu zangu walifurahi sana kuona nimefauru maana kwenda chuo c mchezo bhn..

Baas baada ya kama wiki mbili nikajiandaa na kufunga safari kwenda zangu dar ili kuanza chuo chuo cha IFM kigambonii..

Nilipofika pale nilikaa hostel maana nilikua mgeni sijui kitu chochote..

??????

Haya sasa maisha ya chuo yameanza na mm nimeshazoea chuo ila sina marafiki na kule nyumban niliambiwa nikifika dar niwe makini ila sikujua umakini kiaje..niliambiwa dar huchelewi kufa na nikaona kweli maana kuna magari mengi htr ukiwa mzembe unakufa dkk sifuri tu..?

Nilikua busy sana na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-chunun-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-chunun
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

613
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

585
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

576
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

381
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

314
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*

MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

225
MY WANGU❤️ sehemu ya 93

MY WANGU❤️ sehemu ya 93

219
REAL LOVE  Chapter 13

REAL LOVE Chapter 13

168
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

67
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

64

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.13K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.88K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.07K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 15-02-2026 17:40
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

REAL LOVE  Chapter 13 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 13
@majario LIVE

seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie...

MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest