Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 21, 22,
Gonga94 Β· Stories

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 21, 22,

Endeleanayo.....
*
Dayana alitoa macho kama mjusi kabanwa na Mlango, Aliinuka kwa hasira na kwenda chumbani kwa Frenk huku anahema utadhani anakimbuzwa..

*******
*******
" "" "" Weeeeeehhhhh Frenk, Mpuuuuzzziiiiiiii weweeeeee...
Weeee frenk weweeeee..

Aliongea Dayana kwa ukali huku anapiga hatua kunifuata kitandani nilipokuwa nimejilaza..
*
*
*****
Nilibaki nimeduwaa nisielewe anamaanisha nini yule binti.. Niliinuka na kukaa kitandani huku naendelea kumtazama...

Alinifikia na kunizaba kofi zito shavuni huku ananitolea macho kwa hasira hadi machozi yanamtoka....

"" "" kuna nini dayana mbona mimi sikuelewi jamani. Niliongea kwa sauti ya upole nikiwa naamini lazima kuna jambo ambalo si la kawaida huenda kalijia... "" "

."""""" Freeenk... Freeeenk... Freeeenk... Alitamka dayana huku akishindwa kuongea zaidi na kubaki analia kwa sauti...

Nilikuwa kimya huku natafakari kitu gani nimefanya na taratibu nilikumbuka kuwa jioni ya siku ile nilikuwa nimemalizia kutoa bikira ya Mariana na alitoka sebuleni akiwa anatokwa na damu...

"" "" "" Mariana amekwambia.???? Dayana plz nieleze kama umeambiwa na mdogo wako... Niliongea huku natetemeka...

"" "" "Frenk.. Damu ya mdogo wangu iliyotapaakaa kwenye mashuka itakugharimu nakwambia... Nakwambia damu kama ile itakutoka pia..
Aliongea Dayana huku analia na kugeuka kurudi ndani kwao...

Niliendelea kutafakari huku mapigo ya moyo yanaenda mbio sana..
Ukimya wangu wote ulikuwa ni wakutafakari nini anataka kunifanyia yule binti..

"" "" Alafu huyu mtoto amekaa kifedhuli fedhuli tu, asijenitafutia manjemba wakanifanyizia makalio yangu..
Niliwaza na kucheka mwenyewe utadhani mazuri....

Nilivuta shuka na kulala..

******
******
******

HUKO DAR ES SALAM ilikiwa ni usiku sana na mazungumzo baina ya Mama yake Dayaa na Lidya yalikuwa yakiendelea....

"" "" "" kwanini umesema muhusika huenda akawepo pale pale nyumbani kwangu.?? Aliuliza mama yake Dayana huku anamtazama Lidya...

"" "" "" sikia mama, kulingana na tukio lilivyokaa huenda kuna mtu wa karibu yako au anae ishi kwako kahusika.. Huu ni mchezo unachezewa na huenda huyo mtu analengo baya sana na wewe..
Aliongea Lidya na kuinuka kwenda kwenye Fruji kuchukua Chupa ya Dodoma Wine na Glass mbili..

"" "" "" Daktari.. Unatumia hii kitu.??? Aliuliza Lidya...

"" "" Ndio natumia, nitaachaje kutumia mali za nchini kwangu jamani..
Wagogo wanaita Chozi la Zabibu...
Alijibu Dokta Moureen ambaye ni mama yao akina Dayana na Mariana...

"" "" "" " Sikiliza binti.. Kama muhusikaa yupo kwangu basi huenda ni Frenk.. Wanangu nimewalea kwa maadili na hawana muingiliano na watu wa njee hata kidogo..
Pia nyumba yangu inalindwa kwa fensi ya umemme na Camera zipo kila kona ya nyumba..
ALIONGEA mama yake Dayana..

"" "" " Kama CCTV camera zipo nyumbani kwako basi usijali tutabaini tu kama kuna mtu huwa anakuja kwako.. Usijali kesho inabidi tuende Moshi kwaajili ya kazi hiyo...
Pia kama Mchezo huu Frenk anahusika lazima aumie....
Lidya aliendelea kuongea na kumshika mkono yule mama kuelekea chumbani wakalale..

**********
Yule mama aliingia kuoga na kuvaa nguo za kulalia na Lidya pia alifanya hivyo na kila mmoja kujifunika shuka huku wanatafakari baadhi ya mambo...

"" "Lakini Mwanangu Lidya. Sijategemea kama wewe ni binti mwema kiasi hiki..
Kuna muda huwa nawaza kama huenda Frenk anahusika kwenye hili lakini nikiwaza zaidi naona hapana.. Kwanini aniunganishe na wewe kama na yeye ni muhusika.??

Huenda kuna mambo mengi napaswa kuyajua kuhusu hatma yangu kwenye hili jambo..
Aliongea Mama yake Dayana kisha kuvuta shuka na kugeukia upande wa pili ili alale...

ENDELEA...

"" "" "" Sikiliza mama.. Mimi ni mpelelezi hata kwenye kundi langu la wana Intelihensia...

Mkuu wangu ananipa Oda ya kazi za kufanya lakini hata yeye nampeleleza bila kujijua.. Kwahiyo mimi nafanya kazi kwa Kiapo nililo apia taifa langu...

Naweza ficha ufedhuli mmoja ukaja kuwa tatizo kwenye taifa langu na ikawa laana kwangu na vizazi vyangu...

Kwahiyo hatakama Frenk anahusika basi lazima awajike kwasababu ya Haki, usawa na Amani kwa watu wote..
Mimi na yeye ni marafiki ila akiwa mkiukaji wa sheria nitamuwajibisha tu..
ALIONGEA LIDYA NA KUVUTA SHUKA KULALA PIA...

****
****
****

HUKO MOSHO NYUMBA BADO ILIKUWA KIMYAA....

Dayana alikuwa anakusanya mashuka machafu na kwenda kuloeka na sabuni ya unga bafuni,
Alimnawisha mdogo wake na kumvalisha Ped ili asiendelee kuchafua mashuka mengine..

Alimaliza na kumlaza mdogo wake kitandani..

"" "" Poleee mdogo wangu ila nakuomba sana usije Mwambia mama hili suala.. Mimi mwenyewe nitamalizana na Frenk...
Leo leo lazima aumie huyu mbwa....
Aliongea Dayana na kumkumbatia mdogo wake ili walale...

Mariana alipitiwa na usingizi ila dayana alikuwa macho bado anatafakari nini cha kumfanya Frenk...

"" "" "Kesho nitoke nikaweke mipango na mpenzi wangu ili kuandaa wababe hata watatu waje kumfanya kama alivyomfanya mdogo wangu..
Lazima ajue maumivu aliyo yapata mdogo wangu ili asirudie kumfanyia mtoto mwingine ule upuuzi..
Aliwaza Dayana na kuzima Taa kisha kulala...

Usiku ulikuwa mzito sana na kila mmoja kwenye kona yake alikuwa amelala...

HUKO DAR ES SALAM wote Lidya na Mama yake Dayana walikuwa wamelala,,

Hadi Adhana yakwanza ya Alfajiri inasikika walikuwa bado wamelala,
Lakini sauti ya zile Spika zilimwamsha mama yake Dayana na kukaa kitandani..

Aliwaza kwa muda na kumuamsha Lidya pia...

"" "Tunapaswa kuanza safari ya kwenda Moshi sasa...
Hakuna haja ya kutumia Basi.. Tutapanda ndege asubuhi hii naamini tutapata Private jet itakayo tubeba sisi wawili tu...
ALIONGEA MAMA YAKE DAYANA...

Lidya aliamka na kuingia bafuni kuoga. Yule mama pia aliingia bafuni na kuoga kisha kuvaa na kuwa sawa..

Walipendeza sana, ila Lidya alikuwa amevalia Suruali yake ya Jeans na Koti ndefu kiasi fulani na bastola yake alikuwa ameichomeka kiunoni... Kwa haraka ukimtazama lazima utajua huyu si binti wa kawaida...

Walitoka na kuita Tax kisha kuelekea Uwanja wa ndege... Walipata ndege ya Private (binafsi) na kuanza safari ya kwenda moshi...

Walitumia kama Lisaa limoja na Dakika Ishirini hadi kufika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro..

Kulikuwa kumeanza kupambazuka, ilikuwa saa 12 na madakika asubuhi...

Walipanda Tax na kuelekea nyumbani kwa Dokta Moureen bila kutoa taarifa..

Walifika na kumkuta Dayana ndio anafungua mlango ili atoke kwenda kwa mpenzi wake...

Dayana alishtuka sana baada ya kumuona mama yake ndio anashuka kwenye Tax..

Alipotezea tu na kwenda kuwapokea kisha kuingia nao ndani.

"" "" "" Alfajiri hii unaenda wapi Mwanangu..... Aliuliza mamaa yake Dayana huku akimtazama mwanae kwa macho makali sana...

"" "" Mama, nilisikia kama gari njee ndio nikatoka kufungua geti...
Alijibu Dayana...

"" "" "" Unanifanya mtoto eti.. Kuja kufungua geti ndio ujipake mapoda kiasi hicho na kujipulizia pafyum na kuvaa raba...
Hivi unanifanya mimi mtoto etii....

Hembu kaweke haya mabegi chumbani kwangu.. Utanieleza vizuri we ngoja....

Aliongea Mama yake Dayaana na kumkaribisha Lidya kwenye Kochi...

Muda wote huo Lidya alikuwa makini kumtazama Dayana Machoni.. Nadhani kuna jambo tayari alianza kuhisi...

Baada ya muda wakiwa wanaongea.. Frenk pia alitoka ndani kwake na kwenda kuwasalimia kwa Furaha sana..

Kelele zile sebuleni zilimuamsha na Mariana aliekuwa bado amelala..

Aliamka pia na kwenda sebuleni huku anachechemea sana...

Alivyomuona mama yake,
Mariana alimkimbilia na kumkumbatia mama yake huku anatokwa na Machozi...

Dokta Moureen alimkumbatia mwanae na kumshika kichwa kumtazama usoni....

"" "" "" Umefanya nini miguuni mwanangu mbona unatembea hivyo..
Aliongea Mama yake Mariana....

Mariana Aligeuka na kunitazama machoni kwa hasira kisha kushusha pumzi na kugeukia kwa Mama yake....

ENDELEA...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 21, 22,

????NASEMA KWA MAMA

SEHEMU YA 21, 22,

Endeleanayo.....
*
Dayana alitoa macho kama mjusi kabanwa na Mlango, Aliinuka kwa hasira na kwenda chumbani kwa Frenk huku anahema utadhani anakimbuzwa..

*******
*******
" "" "" Weeeeeehhhhh Frenk, Mpuuuuzzziiiiiiii weweeeeee...
Weeee frenk weweeeee..

Aliongea Dayana kwa ukali huku anapiga hatua kunifuata kitandani nilipokuwa nimejilaza..
*
*
*****
Nilibaki nimeduwaa nisielewe anamaanisha nini yule binti.. Niliinuka na kukaa kitandani huku naendelea kumtazama...

Alinifikia na kunizaba kofi zito shavuni huku ananitolea macho kwa hasira hadi machozi yanamtoka....

"" "" kuna nini dayana mbona mimi sikuelewi jamani. Niliongea kwa sauti ya upole nikiwa naamini lazima kuna jambo ambalo si la kawaida...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-21-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA 41, 42, 43, 44, 45 & 46*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 23, 24 na 25*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 33, 34 & 35
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 15 na 16* ********
NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 30, 31, 32,
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 26, 27,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 19 na 20*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA TANO 05*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 13 na 14* *****
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 17, 18,
NASEMA KWA MAMA  *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA *SEHEMU YA NANE 8--9
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*
NASEMA KWA MAMA  SEHEMU YA 11, 12
NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 11, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

1.05K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

782
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

223
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

160
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

24
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.7K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest