1 mpk 3 MOYO WA MJEDA (Am his number one)
MOYO WA MJEDA (Am his number one)????
Page Bahari ya simulizi
WHATSAPP 0755090082
Sehemu ya 01
Pendo shoga ety mbona ni kama umetuuza, Yani mpaka miguu umechoka, uyo shem Yuko wapi?,
Pendo; jamani mariam tumekaribia Yuko apo mbele kidogo, " mmmh ngoja tujikaze ila kama hayopo SEMA mapema nitakuwashia moto hutoamini, huwezi kutuyembeza muda wote kumbe huna bwana apa mjini, hatuwezi kuishi na rafiki asie na bwana usijenkutuibia mabwana zetu buree"
Coretha; kabisa mamu, uyu tulimuingiza kwenye kundi letu, Kwa Sheria na akasema zote atazifuata ni miezi Sasa ooh bwana angu, Yuko kwetu ananihudumia Kila kitu, hataki nimtafute kwenye simu mpaka likizo tu, we kuwezaa kweliiii! Hapana sijawai ona haya Mungu anavyojua kuumbua watu, katuleta field huku huku kwenu, tunafika ni wiki uyo shem haonekani, kama Huna jua kabisa thobi utadate nae laa sivyo, uludishe vitu vyote ulivyokula tulivyokupeleka out na mabwana zetu, tulivyokununulia Kwa pesa za mabwana zetu, upo bibie?...
Pendo( mwenzenu nilianza kuogopa nimewadanganya sina bwana Wala nini, na huyo thobias simpendi kama nini jitu limalaya apana Mungu nyoosha mkono wako uniokoe na hii tabu) niliwajibu huku moyoni najuta kujiunga na hiki kikundi kabisa nilijiunga nacho Kwa sababu ya ubishoo tu nakula vizuli na kilikuwa na nguvu ukiwa kwenye hiki kikundi huwezi kuonewa chuoni Wala kufeli...
Jamani coretha ni hapo tu mbele, nilipiga mahesabu ya haraka haraka kuangalia kama Kuna mwanaume yeyote tu nipitwe nae nitamuelewesha baadae, nikiwa natizama tizama, nikamuona mkaka mmoja mzuri kapaki toyo afu kaiegamia anaperuzi tu, sura ya mama kabisa japo wakiume ila kasura dah, kilichombeba kwenye uanaume ni mwili alikuwa na mwili wa kiume haswaaa afu mweusiii weeee aah wanaume weusi, Kwa ajilii ya uyu kaka nawapenda tu, mnakiti chenu mbinguni...
Sikutaka kujipa stress nilitabasamu nakumkimbilia Kwa furaha,nikaenda nikamkumbatia, Ile anataka kunipushi nikaona usinitanie wewe, nikamuwahi na deep kiss, kijana akatulia kama sio yeye aliepanic akashika nakiona, nikaona aaaweee mambo SI ndio haya Sasa, sikujali tuko balabalani watu wanatuoana Wala nini Kuna wakaka walitokea nikama wahuni frani hivi, wakataka kuja jamaa akawatuliza na mkono...
Nilitaka kujitoa jamaa akanikatalia, nikaanza kupata uoga alivyotosheka akaniachua mdomo ila kiono kikawa bado mikononi mwake, kucheki pembeni hivi, coretha na mariam, walikuwa wakitutizama nikamuagi tena japo alikuwa mrefu sana kwangu bahati nzuli alikuwa kaegamia pikipiki hivyo kashuka, japo bado ilinibidi kuinua miguu ni simamie kucha kuifikia deep kiss...
Nilimuhagi akaona ninavyoteseka kumfikia akaninyanyua Kwa kunibeba, nikaona apa nijisalimishe asije kunidhalilisha, nikajiwahi kumnong'oneza sikioni, plz nisaidie najua nimekukosea ila Hawa lafiki zangu nataka niwaaminishe wewe ni boyfriend wangu plz nisaidie Kwa Hilo, nitakulipa chochote utakachonuomba kasoro roho yangu, hakunijibu kitu, Wala hata kucheka hamna dah, niliogopa mwenzenu nikajua tu nimekwisha Mimi sijui itakuwaje jamani naenda kupelekwa Kwa thobias...
Itaenderea...????
MOYO WA MJEDA (Am his number one)????
WHATSAPP 0755090082
Sehemu ya 02
nikiwa nimeshaanza kutetemeka, hb akaninipakata, Kisha akaniweka mbele ya piki piki yake na yeye akakata nyuma, akiwa kashanyanyua toyo yake, akawageukia kina coretha akawambia, oyaaa namchukua kidogo uyu mrembo, nitamrudisha, na hapa sio Sehemu nzuli kuwepo ni hatali Kuna masela apa watawaludisha nyumbani, akapiga mruzi, saa hio hio zikaja toyo kama kumi, kimbembe hizo toyo wanaoziendesha mmmh ????...
Mudi na Marco naomba mwafikishe magetoni hao warembi sarama bila kupata hata vumbi, hakikisheni wanakuwa sarama, kama watataka kumbonga menyu pia wapate hii siku nawakabidhi kwenu Kwa Kila kitu mpaka usarama wao uko juu yenu, na uyu ni shemeji yenu natoka nae, popote mtakapomuona nadhani mnajua nini Cha kufanya na kipi sio na hao ni Washikaji zake..
Uyu bwana hb aliongea nyie kwanza hio sauti, uwiii nilidata na sauti sikutegemea kama anavoice tamu ivi nyie aaah, ila nikaanza kuwaza apa naoelekwa wapi Mimi mbona kama huyu mtu sio sarama jamani Mimi pendo, nimeluka mkojo nimekanyaga kinyesi...
Yeye alikuwa smart sana, ila hao wenzie ni wahuni haswaaaa sio mchezo,nilianza kuogopa, aliwasha toyo, tukaondoka tukiwa njiani nilimsemesha, kaka Asante mno umenisaidia sana, bila wewe Leo sijui ingekuwaje tu, naomba uniache apa apa tayali nimeshawaaminisha hawatanisumbua tena,jamaaa kimya heee nyie mwenzenu ukute nimetekwa sijui jamani, niliongeza sauti Kwa nguvu, akafunga breki Kwa kasi mpaka tukayumba, akanijibu kikauzu, sipendi kerere pili hujanilipa na makubaliano unanilipa hivyo tulia ukanilipe..
Lakini kaka Si ndio tuongee nikulipe niende jamani huku tunazidi kwenda mbali zaidi, " kwanza usiniite kaka Mimi sio kaka Ako na siwezi kulipwa deni Sehemu kama hii, kuhusu kuludi nitakuludisha mwenyewe mpaka magetoni kwako, na naomba Kwa usarama nyamaza usiongee mpaka tufike endapo utaongea utajuta" alivyomaliza tu kuongea Aya hakusubili nijibu akawasha toyo huyooo safali ikaanza...
Nilikasilika nikaona huyu hanijui vizuli, ngoja nimuoneshe upande wangu wapili, wewe kaka naona unanitafuta kunisaidia isiwe kigezo Cha kunipeleka peleka kama mbwa wako, kabla hata sijamaliza kuongea aliongeza gia dabondabo hio speed aliyokuwa nayo nyie nilihisi kiama hichoooooo...
Niliogopa nikaanza kulia, yeye kimya ni macho mbele, Kwa Ile speed alokuwa anaendesha mpaka track wakaanza kutufukuzia, aisee walihangaika lakini kilichowakuta nikuishiwa mafuta, plate no ya pikipiki alivyoongeza mwendo Kuna namna ameset pikipiki yake kufunika plate no isionekane hivyo hawakufanikuwa, na vile vimafuta vyao vya kudunduliza wakakutana na mwamba pikipiki Iko full tank...
Tulifika kwenye nyumba Moja nzuli, akaponyeza mahali geti likajifungua lenyewe, pikipiki ikazama ndani na geti likajifungua nyumba ilikuwa ndogo tu ya vyumba viwili, sebure ,jicho na store, ila ilikuwa imepangiliwa vzr na ramani yake imenyoka, na rangi, fencha Yani nyumba nyumba kweli ndogo ila nzuri mnooo..
Nikifika nikiwa na kizinguzungu, kichefuchefu nimeshatapika njiani mpaka nimekoma, alifika akanishusha akaosha kwanza pikipiki yake ndo akaja kunidumbukiza na Mimi kwenye swimming aisee ningekuwa sijui kuogelea sijui ingekuwaje uyu chizi sijui alipanga kuniua?..
Nilijisafisha akiwa kasimama tu, mpaka nikatosheka, Sasa kimbembe nilikuwa na kigauni kifupi afu ndani sikuvas kitu Kwa chuu gauni ilikuwa nzito, na nimeingizwa kwenye maji na nguo imejichola mwilini na sina yakubadilisha..
Nikiwa nawaza, jamaa nae akazama kwenye maji, alikuwa kashabadilisha zile nguo ata sijui saa ngap katoa nguo, alinitoa kwenye maji kibabe akaniingiza ndani tena chumbani,niliogopa mwenzenu..
We kaka vipi lakini ukoje, mbona sikuelewi, " toa hizo nguo zilizoloa vaa hio taulo" hakujibh swali langu badara yake, limtu linaniamuru nivue na lipo limeganda mbele yangu, sijui linategemea navuaje...
Niliamua kuganda na Mimi, nikiwa kwenye kuganda nashangaa mtu ananisogerea, alivyonifikia akaanza kunifungulia zipu ya gauni,heee wewe niache unawezaje kunivua nguo Mimi mwanamke wewe mwanaume Toka nibadilishe mwenyewe, kwani alijibu Sasa, alikuwa kashaamua alinibananusha kiasi kwamba sikuwa hata naweza kufurukuta zaidi yakuongea....
Alinivua nguo kimya kimya zote, mpaka ya nadani nikabaki kama nilivyozaliwa, alinitazama Kwa macho frani hivi ya nataka, sio naomba make ata kuomba hajui..
Nilivuta taulo haraka nikajifunika, alinichukua nguo akaenda nazo kufua kwenye mashine, alivyomaliza akaja na chakula muda huo ata simu yangu sina, ilidondoka Kwa uoga tukiwa njiani,baada ya muda mtu uyo kifua wazi na pensi, sijui alikuja kunidolishia likifua lake Kwa kuwa alijua kabarikiwa..
Nilimtizama sana kaakili katamaa, kakaanza kuniingiza, nikawa nawaza namna anavyokuwa kwenye 6 Kwa 6 uyu kaka inaonekana ni Babu kubwa, kumbe wakati nawaza moyoni niliwaza Kwa sauti jamaa akasikia, alinishtus Kwa sauti na kuniambia unaonaje ukanilipa Kwa kujalibu hicho unachokuwaza...
Itaenderea ????.
MOYO WA MJEDA (Am his number one)????
WHATSAPP 0755090082
Sehemu ya 03
Nilishtuka, we vipi mi siwazi kitu , alinitizama tu akanikaribisha chakula, sikuvunga make kilikuwa nichakula changu pendwa alipika ugari wa Nazi ulochanganywa na mbegu za maboga, udanga mweupe, na machicha ya Nazi, na samaki sato nakamrenda pembeni, wee nilikula kama sitokula tena, namshukuru Mungu tu kanipa frat Tammy, hata Nile vipi halichomozi, Nina tumbo lakipekee sana sijisifii ndo ukweli...
Nilimaliza kula,nikanawa nakushuku Kwa chakula hasira zote ziliniisha nikaanza kumchekea, nilikuwa na muda sana sijala ugali mtamu kama huu, alinitizama sana bila kujibu kitu akaendelea kula tu, nikaona huyu mtu huenda hapendi kuongereshwa, asije kunivua na hili taulo kisa mdogo..
Nilitulia, " wewe sijaona ukinywa maji, naomba Kwa usarama tu mimina glass mbili za maji utie humo tumboni" heee tobaaaaa glass mbili! Aaa we kaka Mimi siwezi Yani Mimi na maji ya kunywa hatuna maelewano kabisa, Kwa jinsi tulivyo naugomvi, glass mbili yanaweza kuniniga, sijawai nikijitahidi sana labda nusu glass..
Hakunijibu alinitizama tu, nikajua yameisha kumbe, niliwekwa kipolo, kamaliza kula, akawa ananawa mikono nikaona mwenzangu kapika acha nijiongeze mtoto wa kike ata nioshe vyombo, nikainuka nitoe vyombo nijaoshe...
Achana na hivyo vyombo, kunywa maji kabla sijaja na njia yangu ya kukunywesha, nilimpuuza nijaendelea kutoa, wakati bado navikusanya geti liligongea akatoka kwenda kucheki akaja na vitu,alivyofika akavifungua nakunivuta bila kunisemesha, akashika mkono wangu na kunibana akanichoma sindano..
Nilipiga ukunga huo Atari, alichukua damu akaweka kwenye vipimo ndo nikajua kumbe ananipima, na nilijua anachonioima coz, Niko chuo Cha afya pia, nilibaki kumshangas na kupata hasira kweli anawezaje kunipima mavipimo yake bila ridhaa yangu..
Ivi we kaka ni mzima kweli? Ujue kuwa kichaa sio mpaka uokote makopo barabarani, ata vichaa hawakuanza tu nakuokota makopo barabarani walianza tu mdogo mdogo kama wewe hivi, hakujibu kitu, zaidi yakuenderea na mambo yake, nilichukia nikainuka niondoke,naomba nguo zangu niondoke, kwanza embu ngoja weee ivi chupi yangu umepeleka wapi uwiiiiii????..
Nimechukua zote nimefua, na sitaki kerere tafadhali sana, he he he he Yani unaelewa unachokiongea, nguo yangu ya ndani unaenda kuifua wewe kaka!..
Aliiinuka na hasira akanibeba juu juu mpaka chumbani, akanitupia kitandani kitauli kikatoka nikabaki waaaaa!, alitoka , akafunga mlango, alivyoludi akaja na maji, akanisigelea mpaka kitandani akanywa maji afu akanisogelea huku kanibana mikono na miguu akawa nananinwesha Kwa mdogo, nikawa natema akaamua kunipiga french kiss ya muda mlefu huku ananilegeza, niliguswa mahali, Kila kitu nikaachia sikuwa tena msumbufu alininywesha maji, ufahamu ukiwa kwenye hisia Kali mpaka plauli mbili zikaishia tumboni...
Alivyomaliza akanitoa taulo, " nataka kuondoka Hilo jina la kaka mdomoni kwako, nimekuambia kwa maneno, naona hujataka kuelewa Sasa utaitoa Kwa vitendo...
JE NINI KItaenderea...????
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU
NAMBA YA MALIPO 0755090082 MPESA JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA
UKISHALIPIA wahi haraka
WhatsApp 0755090082
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi







Maoni