Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Gonga94 ยท Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Niliongozana na hakim hadi katika mlango wa kile chumba alichokuwa amekilipia alifungua akaweka mabag ndani mimi nilibakia nimeganda tu mlangoni๐Ÿ˜๐Ÿ˜ sikutaka kuingia kule katika kile chumba hakim alivyomaliza kuweka mabag alikuja pale mlangoni akanibeba juu๐Ÿซฃ๐Ÿซฃ karibu kipenzi changu nimekuleta huku ili upate kunizoea kwa sababu naona hauko free sana na mimi! Aliniambia hivyo kisha alinipeleka chumbani akanilaza kitandani.......
""Pendo...""
""Abee""
""Kuna namna fulani hivi natamani uwe pale unapokuwa karibu yangu lakini why haiwi kama ninavyotamani mimi?! Nimekuleta huku tukae wawili peke yetu tuongee kirafiki why hauko free juu yangu kwanini hauonyeshi kufurahia pale unapokuwa karibu na mimi??!.... hilo swali niliulizwa na hakimu nilitamani kufunguka nimwambie ukweli lakini niliwaza mara mbilimbili atajisikiaje?! Atalipokeaje?? Wazazi wangu watayapokeaje hayo maamuzi yangu!? Nilimjibu hakim nikamwambia ni vile tu cjakuzoea nikikuzoea tutakuwa marafiki! Alijaribu kunicare kwa kila kitu lakini tatizo ni moyo wangu upo kwa mtu mwingine tuliongea kidogo baada ya hapo tulitoka tukaenda kuenjoy usiku mida ya saa sita tulirudi chumbani nilifika pale chumbani nikaenda kukaa kwenye sofa hakim anifuata pale akaniambia kipenzi changu huwezi kunizoea endapo kama ukiendelea kujiweka mbali nami nakuomba uwe free kwangu et! Lakini hakim cwezi kukuzoea kwa haraka kiasi hiko unatakiwa unipe muda......

Basi naomba tuingie bafuni tukaoge wote baada ya hapo tutalala wote paale kitandani natamani usiku huu wa leo ukawe ni usiku wa kusheherekea mapenzi yetu nina imani ukishanipatia mwili wako hautoniogopa tena utakuwa free kwangu na utanizoea pia! Kheee kwa hiyo unamaanisha et mimi nawewe twende bafuni wawili?! Ndiyo my love sielewi hata unachokiogopa na wakati utaenda kuwa mke wangu hivi karibuni..... lakini bado hatujawa wanandoa hakim ni mahali pekee ndo kitu ulichonilipia lakini ndoa bado haijapita siwezi kukuruhusu wewe kuugusa mwili wangu kabla ya ndoa kupita..... lakini pendo mimi tayari ni mmeo nimeshakulipia mahali yani cjy hata ugumu uko wapi ?! Hakim alianza kunivua nguo kwa nguvu niliwaza nguvu za kupambana naye sina nafanyaje sasa ili nijiokoe mikononi mwa huyu shetani hapa nilijaribu sana kumzuia hakim lakini wapi sikuwa na nguvu za kutosha niliwaza kitumbua changu tena kiliwe na leo si nitakufa ni bora hata mlaji angekuwa ni paschal lakini siyo huyu mbakaji huyu..... hakim alifanikiwa kunichania nguo yangu niliyokuwa nimeivaa kifua chote kilibakia wazi alianza kunitomasa kifuani kwangu niliona hakim yuko serious kufanya kile alichokidhiria niliivuta cm yangu nikagusa kwenye fingerprint ikajitoa lock nilipiga kwa my boo

Vile ndo imeanza kuita hakim aliisikia ile simu akataka kuichukua tukaanza kuing'ang'ania alichokifanya hakimu aliipigiza ile simu sakafuni kila kitu kikasambaa niliogopa sana hakim aligeuka akawa mkali kama chui baada ya kunivunjia simu alinisogelea akanisukumia kitandani nikanyanyuka aliniwasha kibao kimoja kikali nikahisi kupoteza network.... nilianza kulia huku nikiwa namuita boo please help me naomba unisaidie boo wangu nakufa nililia๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ hakim alininyanyua pale kitandani akaubana mdo wangu aliniuliza huyo boo ni nani?? Huyo ndo anayekufanya wewe ushindwe kunipenda mimi?? Hivi unajua kama nimekununua kwa pesa nyingi sana?! Hakim alianza kunipiga alinipiga mno nilivyo mweupe niligeuka nikawa mwekundu alitoa hadi mkanda wake akaanza kunipiga nao nikiwa nachupi tu pomoja na blezia ile nguo ya juu alinichania..... alinipiga hadi akatosheka baada ya hapo alirudia tena kuniuliza boo ni nani?? Nilimwambia boo ni mwanaume wangu unampenda right?? Nilimwambia ndiyo ninampenda.... nilikuwa nishajitoa mhanga tu kama kuniua aniue tu thats why niliamua kumjibu.....baada ya kumwambia kuwa ninampenda paschal na siyo yeye hakim alifungua bag yake akatoa bastola alinisogelea akaniambia nakuua pendo nilimwambia its okay hakim go ahead๐Ÿฅน๐Ÿฅน baada ya kumjibu hivyo alinyanyua ile bastola akataka kunipiga nayo kichwani lakini nilikinga mikono niliona yule mbwa yuko serious anaweza akaniua et ilibidi nimpigie magot nilimuomba anisamehe asije akaniua hakimu alinibeba juu juu akanitupia kitandani kama mzigo zile kelele nilizokuwa nazipiga kule chumbani ziliwaamsha waliokuwa kwenye vyumba vya jirani na chumba chetu! Walikwenda wakawaita walinzi ili waje kuangalia kinachoendelea kule chumbani ni kitu gani.....

Walinzi walikuja wakagonga mlango hakim alienda kufungua akawauliza mna shida gani?? Walimuomba awapishe ili waweze kuingia kuja kuangalia kama kule chumbani kuna usalama au laaa!?? Nilinyanyuka pale kitandani nikajifunika blanket nilijisogeza pale ili angalau wale walinzi waweze kunipa usaidizi wa mimi kuondoka kule chumbani hakim baada ya kuniona alinyanyua siraha yake juu aliniambia ukisogeza miguu yako hapo nakuua...... huyu ni demu wangu mimi nimemnunua hamuwezi kunipangia namna ya kumtumia..... baada ya hakim kujibu vile kila mtu pale aliondoka huku akiwa anajiuliza kumbe ni malaya?! Mabinti wa siku hizi bwana yani unakuta kibinti ni kidogo badala kisome au kitafute biashara halali kifanye vinakimbilia kwenye kujiuza matokeo yake ndo hayo sasa kupigwa na kudharilishwa ...... wale walinzi hata wao waliondoka lakini walimuomba hakim asifanye fujo tena kwa sababu anawasumbua wateja wao....... malizana naye huyo malaya buana kama vipi tutelekezee sisi huku nje tupunguze ukame kiongozi utakuwa umetusaidia sana mademu yanaringa hayo yanajiuza bei ghari ukiomba mkopo yanakunyima yani ulilipe ulilete hotel ya gharama kama hii alf et likuzingue aweee hata mimi nafumua twenzetu mwanangu muache jamaa kwanza amnyooshe huyo malaya wake kula ovyo vya watu.... waliongea walinzi wawili waliokuwa wamebakia pale mlangoni baada ya hapo waliondoka bila kunipatia msaada wowote!

Hakim alifunga mlango akarudi pale nilipokuwa aliniuliza hivi unajua kama tayari wazazi wako wameshakuuza kwangu?! Unatakiwa kufanya kila kitu ninachokitaka kwa sababu pesa ninazowadai wala hamtokaa muweze kuzilipa..... nilijiuliza kichwani huyu anaongea kuhusu nini?! Hakim kuna barua alizitoa akanionyesha zilikuwa ni barua za mkopo wa pesa nyingi sana ambazo wazazi wangu walizikopa kutoka kwenye campuni ya kina hakim ambayo inajishughurisha na maswala ya mikopo baada ya wazazi wangu kushindwa kulipa lile deni kwa muda mrefu ndo wakaamua kuniweka mimi rehani hakim aliniambia yeye na familia yake walikuja tanzania kwa ajiri ya kuja kuiuza nyumba yetu na mali zetu zingine ili kuweza kufidia hilo deni lakini baba yangu alivyomuona hakim aliwaomba wasifilisi vitu vyetu yeye ataniuza mimi kwao nikawe hata mke wa hakim baada ya wao kuombwa hivyo ndo wakaamua kufika nyumbani kwetu kuja kuniona kama kweli nafaa au laa?! Walivyoniona walinikubali nahapo ndipo walipoianzisha mipango ya harusi yangu na hakim...... nilisikitika sana niliumia sana nililia mno hakim aliniambia wewe ni wangu nina haki ya kukufanyia chochote kile nilishakununua pendo na hautakiwi kuendelea kuniletea ujuaji wako hapa!..... hakim alilock ule mlango wa chumbani akatunza funguo kwenye mfuko wa suruali yake aliniamuru niende nikaoge na nijiandae kwa ajiri ya kumfurahisha..... nilichukua towel nikavaa baada ya hapo nilijongea kuelekea bafuni mwili wote ulikuwa unaniuma fikilia yale maumivu ya kutolewa bikira jana jumlisha na kipigo cha hakim bila kusahau kudharilishwa alikonidharilisha hakim kwa kuniita malaya mbele ya wale walinzi pamoja na wageni waliokuwepo kwenye vyumba vya jirani na kile cha kwetu! Niliumia mno nilitamani kujiua usiku ule nilitamani kunywa sabuni ya maji iliyokuwemo kule chooni ili nife ๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน

Niliwaza kumbe ndo maana nilipomwambia daddy ya kwamba mimi simpendi hakim aliwaka kama moto nililia huku moyoni nikiwa naapia ya kwamba sitokaa nikawasamehe wazazi wangu kwa hiki walichonifanyia...... nawachukia sana najuta kuzaliwa na nyie๐Ÿฅน๐Ÿฅน huenda hata dada yangu prisca mlimuuza huko oman nyie ni wazazi wa aina gani mnaowageuza watoto kuwa vitega uchumi๐Ÿฅน๐Ÿฅน nilitamani nimpate boo paschal nimwelezee kile kinachoendelea kwa upande wangu ili aweze kunisaidia lakini je nampataje ndo hivyo tayari niko kwenye mikono ya hakim na tayari kaishanivunjia simu na laini zangu.....nikiwa bado naendelea kujihoji maswali hakim alinigongea mlango wa chooni aliniuliza unaoga masaa mangapi pendo?! Nilimuomba samahani nilipasha maji haraka nikaukanda mwili wangu sikuweza hata kuoga kwa sababu ya yale maumivu makali..... nilimaliza kujikanda nikajifuta futa vizuri nikatoka kule chooni nilirudi chumbani nikamkuta hakim kavua nguo zake kabakia na boxa tu๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน

Itaendeleaaaaaaaa
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜


Niliongozana na hakim hadi katika mlango wa kile chumba alichokuwa amekilipia alifungua akaweka mabag ndani mimi nilibakia nimeganda tu mlangoni๐Ÿ˜๐Ÿ˜ sikutaka kuingia kule katika kile chumba hakim alivyomaliza kuweka mabag alikuja pale mlangoni akanibeba juu๐Ÿซฃ๐Ÿซฃ karibu kipenzi changu nimekuleta huku ili upate kunizoea kwa sababu naona hauko free sana na mimi! Aliniambia hivyo kisha alinipeleka chumbani akanilaza kitandani.......
""Pendo...""
""Abee""
""Kuna namna fulani hivi natamani uwe pale unapokuwa karibu yangu lakini why haiwi kama ninavyotamani mimi?! Nimekuleta huku tukae wawili peke yetu tuongee kirafiki why hauko free juu yangu kwanini hauonyeshi kufurahia pale unapokuwa karibu na mimi??!.... hilo swali niliulizwa na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-32

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

530
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

237
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

161
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

41

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.29K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.28K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana ๐Ÿ˜Š Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life๐ŸŽถ๐ŸŽถ"" ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest