* *AFANDE MILLANπ* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
π¦
Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku sana nakurudishaje zena ata mimi nimechoka sana, naomba leo ulale apa mwanamke wangu, kisha kesho mm ntakurudisha nyumbani, zena akawa hataki, nikajua ana hasira, nikambembeleza sana basi apo zena ndo akakubali ila kishungo upande na baada ya kumbembeleza sana, apo ka ummy kalishakuwa na usingizi kweli kweli, mi nikamchukua mtoto nikaaenda kumlaza chumba chengine, kisha nikamchukua zena nikaingia nae chumbani kwetu, doooh tulivyoingia ndani tu, zena akaanza kunisomea kesi, akawa ananambia hanielewi, nimebadirika , now nimekuwa sina mda nae kabisa na wakati yeye ananipenda sana , nikasema basi mama yangu zena, kuanzia now ntakuwa makini na wewe, na ata kama nikiwa busy vp ,ntajitahidi kutenga mda kwa ajili yako , akanmbia sawa na nikamsoundisha sana mchumba ndo yakaisha na akanisamehe
Basi bwana, usiku huu akalala kwangu, na game akanipa, mtoto akaflash kabisa, ila asubuh sasa tukatoka mapema sana ,mana mm nilikuwa naingia kazini, so nikawachukua kabisa na nikawapitisha kwake, kisha mimi nikanyoosha kazini sasa, bwana hii siku nilimueleza ubraa kuwa zena ni mja mzito, ila mwenyewe antaka tuzae, ibraa kanmbia millan, unazingua kaka , kwa nn usimuoe zena, mbona zena ni mwanamke mzuri tu, na mpaka ameshakubebea mimba, ebu oa kaka, we unataka uoe ukiwa na umri gani, umri unaenda millan uo au mpaka ukizeeka ndo utaoa, zena ni binti mzuri si kila siku unanaieleza habari zake, unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, eeeh unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, acha upumbavu kaka, ebu muoe zena ,utamjutia uyoo, nikasema tulia wewe ,mi sina ratiba za kuoa kwenye maisha yangu kabisaaa, yani plan sinaa, apoo jamani mama yangu hamalizi week, ni simu ananikumbusha juu ya kufanya ibada ya ndoa ,ila mm bwana nilishjiona kuoa mi siwez,yani kutulia na mwanmke mmoja ahaaa thubutu
Basi ibraa aknisihi sana pale ,ahaa mi wala sikujali wala nn, na mida mida tukawa busy tunaendelea na kazi , mnazani ndo nilimpigia zena kama nilivyomwambia ,ahaaa uo mda nnao sasaπ€£π€£π€£π€£π€£πππππ, mimi sikumpigia wala.nn na wlaa.sikwenda kwake kabisaa, kama.siku 3, siku zote hizo yeye ndo ananipigia analalamika ,mi mpaka nikawa nakasirika sasa mana usumbufu bwana ,mi namwambia nipo busy ye hanielewi ananipigia simu tu khaaa, basi mda mwengine nakuwa simpokelei wala nn, yani mm mwanamke nikishatembea nae, ananikata kinoma siwafichi, nakuwa simtamani sana, labda tusikutane mda mrefu,basi bwana mahasiano ya mm na zena ndo yakwa hibyo kwa shida shida kweli kwli mpka ikapita miezi 2, kuna mda naend akumuona ila ndo lawama kibao, ila ahaaa mi sikuwa namjali wala nn, kwanza nawaelewa wanawake ndo kazi zao kuongea
Siku iyo zena kanipigia simu usiku saa 6 nilikuwa club na wanangu , yani mdundo umenoga kisengeeee , wachumba kma wote mambo niyapendayo, et naona zena ananipigia simu saa 6, mi.sikumpokelea ile simu, zena akapiga tena, sikupokea , eheee akapigia kama mala 5, ila nyie zena mimba yake ilikuwa inamuendesha bwana, mie nikakausha nashangaa kanitumia sms, nifungulie mlango nipo kwako, khaaaaaa uo mda saa 6 usiku, alomwambia mm nipo nyumbani nani, alafu uyu zena nilishaanza kumuona ananipanda kichwani, yani anaona kama vile yeye ndo ananimiliki sanaaa khaaaaa
Mwendelezo unakuja
Tafadhali changia ulicho nacho najua Hali ya maisha yetu 0768304821 omary luambano πππ tovuti hii Bila wewe siwezi peke yangu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni