Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI
Gonga94 Β· Stories

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


🦈
Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku sana nakurudishaje zena ata mimi nimechoka sana, naomba leo ulale apa mwanamke wangu, kisha kesho mm ntakurudisha nyumbani, zena akawa hataki, nikajua ana hasira, nikambembeleza sana basi apo zena ndo akakubali ila kishungo upande na baada ya kumbembeleza sana, apo ka ummy kalishakuwa na usingizi kweli kweli, mi nikamchukua mtoto nikaaenda kumlaza chumba chengine, kisha nikamchukua zena nikaingia nae chumbani kwetu, doooh tulivyoingia ndani tu, zena akaanza kunisomea kesi, akawa ananambia hanielewi, nimebadirika , now nimekuwa sina mda nae kabisa na wakati yeye ananipenda sana , nikasema basi mama yangu zena, kuanzia now ntakuwa makini na wewe, na ata kama nikiwa busy vp ,ntajitahidi kutenga mda kwa ajili yako , akanmbia sawa na nikamsoundisha sana mchumba ndo yakaisha na akanisamehe

Basi bwana, usiku huu akalala kwangu, na game akanipa, mtoto akaflash kabisa, ila asubuh sasa tukatoka mapema sana ,mana mm nilikuwa naingia kazini, so nikawachukua kabisa na nikawapitisha kwake, kisha mimi nikanyoosha kazini sasa, bwana hii siku nilimueleza ubraa kuwa zena ni mja mzito, ila mwenyewe antaka tuzae, ibraa kanmbia millan, unazingua kaka , kwa nn usimuoe zena, mbona zena ni mwanamke mzuri tu, na mpaka ameshakubebea mimba, ebu oa kaka, we unataka uoe ukiwa na umri gani, umri unaenda millan uo au mpaka ukizeeka ndo utaoa, zena ni binti mzuri si kila siku unanaieleza habari zake, unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, eeeh unataka kuangaika na maraya wa mjini millan, acha upumbavu kaka, ebu muoe zena ,utamjutia uyoo, nikasema tulia wewe ,mi sina ratiba za kuoa kwenye maisha yangu kabisaaa, yani plan sinaa, apoo jamani mama yangu hamalizi week, ni simu ananikumbusha juu ya kufanya ibada ya ndoa ,ila mm bwana nilishjiona kuoa mi siwez,yani kutulia na mwanmke mmoja ahaaa thubutu

Basi ibraa aknisihi sana pale ,ahaa mi wala sikujali wala nn, na mida mida tukawa busy tunaendelea na kazi , mnazani ndo nilimpigia zena kama nilivyomwambia ,ahaaa uo mda nnao sasaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ, mimi sikumpigia wala.nn na wlaa.sikwenda kwake kabisaa, kama.siku 3, siku zote hizo yeye ndo ananipigia analalamika ,mi mpaka nikawa nakasirika sasa mana usumbufu bwana ,mi namwambia nipo busy ye hanielewi ananipigia simu tu khaaa, basi mda mwengine nakuwa simpokelei wala nn, yani mm mwanamke nikishatembea nae, ananikata kinoma siwafichi, nakuwa simtamani sana, labda tusikutane mda mrefu,basi bwana mahasiano ya mm na zena ndo yakwa hibyo kwa shida shida kweli kwli mpka ikapita miezi 2, kuna mda naend akumuona ila ndo lawama kibao, ila ahaaa mi sikuwa namjali wala nn, kwanza nawaelewa wanawake ndo kazi zao kuongea

Siku iyo zena kanipigia simu usiku saa 6 nilikuwa club na wanangu , yani mdundo umenoga kisengeeee , wachumba kma wote mambo niyapendayo, et naona zena ananipigia simu saa 6, mi.sikumpokelea ile simu, zena akapiga tena, sikupokea , eheee akapigia kama mala 5, ila nyie zena mimba yake ilikuwa inamuendesha bwana, mie nikakausha nashangaa kanitumia sms, nifungulie mlango nipo kwako, khaaaaaa uo mda saa 6 usiku, alomwambia mm nipo nyumbani nani, alafu uyu zena nilishaanza kumuona ananipanda kichwani, yani anaona kama vile yeye ndo ananimiliki sanaaa khaaaaa

Mwendelezo unakuja
Tafadhali changia ulicho nacho najua Hali ya maisha yetu 0768304821 omary luambano πŸ™πŸ™πŸ™ tovuti hii Bila wewe siwezi peke yangu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI



🦈
Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku sana nakurudishaje zena ata mimi nimechoka sana, naomba leo ulale apa mwanamke wangu, kisha kesho mm ntakurudisha nyumbani, zena akawa hataki, nikajua ana hasira, nikambembeleza sana basi apo zena ndo akakubali ila kishungo upande na baada ya kumbembeleza sana, apo ka ummy kalishakuwa na usingizi kweli kweli, mi nikamchukua mtoto nikaaenda kumlaza chumba chengine, kisha nikamchukua zena nikaingia nae chumbani kwetu, doooh tulivyoingia ndani tu, zena akaanza kunisomea kesi,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-season-two-sehemu-ya-thelathini

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-season-two-sehemu-ya-thelathini
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

869
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

711
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI

553
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

278
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

221
SHAMIRA sehemu ya 40&41

SHAMIRA sehemu ya 40&41

201
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

177
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

164
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

160
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

130

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.56K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.3K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.25K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.76K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.64K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.57K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.5K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SWALI: (Aslm alkm:  swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) Post Mpya
SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?)
@majario LIVE

JIBU LA SWALI KUTOKA MTANDAONI: SWALI: (Aslm alkm: swali langu nihv, Nn hukmu ya mwanamke mjamzito aliyepewa taraka katka sheria ya kiislami?) JIBU: Wa β€˜alaykum salaam wa rahmatullah. Hukumu ya mwanamke mjamzito aliyepewa talaka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 13
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Dakika chache baada ya Noela kuondoka, Salmon aliingia akiwa anatoka jasho. Alimtazama Iris na kusema β€œNimesikia Noela alikuwa hapa” β€œNani amekuambia hivyo?β€πŸ˜³ β€œNina watu wangu kila mahali, hivyo niambie ukweli, alikuwa hapa?” β€œNdiyo,...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Basi bwana wiki kadhaa zilipita maandalizi yakaanza kufanyika na mwisho kila kitu kikawa tayari nikaanza kazi rasmiπŸ₯°. Kutokana na mazingira tuliyokuwepo ililazimika duka liwe kisasa zaidi, vitu vilivyowekewa kwaajili...

* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO*     SEHEMU YA THELATHINI Post Mpya
* *AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* SEHEMU YA THELATHINI
@majario LIVE

🦈 Nikamwambia sikia usilie mbeleya mtoto basi sio sawa , mana ummy alikuwa pale lale sebleni anamuangalia mma yake anavyolia, zena akanmbia swa nipeleke nyumbani kwngu tu, nikasema now ni usiku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku...

A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame β€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a Post Mpya
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame β€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
@majario LIVE

. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him β€” a man who would go on to become...

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
@majario LIVE

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia...

ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI.  Elvin alikuwa kijana wa miaka 28 Post Mpya
ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI. Elvin alikuwa kijana wa miaka 28
@majario LIVE

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa...

SHAMIRA sehemu ya 40&41 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 40&41
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende...

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Β SEHEMU YA 1 Β Β  Β Β  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Em kwanza nicheke mieeeΒ  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijuiΒ  wapi wapiiΒ  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mr. Marvel akaendelea β€œNiliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest