Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA* *____________________________________*    SEHEMU YA   3  Nilikua nipo mwenyew nazunguka tu kwenye lile kasri maan sijui niseme ni hoteli maan ni pazuri jaman mpaka
Gonga94 · Stories

CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA* *____________________________________* SEHEMU YA 3 Nilikua nipo mwenyew nazunguka tu kwenye lile kasri maan sijui niseme ni hoteli maan ni pazuri jaman mpaka

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nashindwa kusema sijui nisemeje maan hata kwenye ndoto zangu sikuwahi kufikiri kama ntakuja ingia kwenye nyumba kama hii wallah Nasma mimi…

Nilikua nipo mwenyew mpaka nikaamua kuwasha tv nikawa naangalia nimekaa mpka mida ya saa 12 jioni naona namba ngeni inanipigia nikapokea nikaskia ‘mwanangu hujambo’’ nikajua kabisa huyu ni mama maan sauti yake haipotei kabisa maskioni mwangu nikasema kwa msisitizo na kudeka "mama kwanini ulikua kimya siku zote na wakat unajua kabisa mimi sipo karibu na wewe?" niliuliza kwa msisitizo mama akanijibu "ilibidi tubadilishe na makazi maan pale Buguruuni sio salama tena kwetu kwasababu wale watu uloingilia mambo yao hawashindwi kukupata na wasipokupata wewe wataumiza hata familia yako" nilishtuka kidgo nikasema "kwahy mama mpo mkoa gani na je mpo salam huko mlipo?" mama akanijibu "tupo Mwanza na tupo salama" mama akaendelea kunambia hivi wewe Nasma "nakuuliza swali?" nikasema "niulize tu mama mimi ni binti yako" akaniuliza "hivi wewe Nasma umejuanaje na huyo mkaka tajiri hivyoo?....

Maan huwezi ingilia mambo ya mtu ukiwa humjui huyoo mtu wewe unamjua", akashusha pumzi kidgo na kuendelea kusema hivi, "Nasma namby kweli mimi ndio mama ako" mimi nikamjibu nikamwambia, "mama hivi hata kama ndio niko hivyo lakin siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawil kwa wakati mmoja, kwanza nawapa kitu gani wakati unajua mii siezi fanya chochote ni muoga sana na hilo unalijua na ndio maana Kareem kasema kwamba ataleta posa nyumban ili anioe niwe mali yake maan anajua fika kabisa siwezi kufanya chochote bila ndoa mama", mama akawa kam vile bado hajaniamin akanambia "haya wee shauri yako hao watu wenye hela wengine wanawatoaga wapenzi wao kafara" nikacheka😌 tu nikaamua kumwambia mama napika ili tu nikate simu maan hawezi maliza kuongea asa hivi, nikawa nimemkatia simu ndio akili ya kusema niende jikoni ikaja nikaenda nikajipinda mtoto wa kike nikapika chakula pambe hatare hhh nilipika vitu vingi hadi nilivyokuaga naviona mtandaoni maan nilikua sijui Naseer atakuwa anapenda nini na kipi hapendi…

Ilikuwa mida ya saa tatu ndio Naseer akawa karudi akanikuta, akanisalimia nikamwambia "chakula kipo mezani" akanitizama akanambia "usijali nishakula" kisha akanisogelea akanipa begi, na mfuko umeandikwa woman suit dresses akanambia humo kuna nguo zako na humo ni nguo yako ya kazini nikasema sawa kisha akaondoka zake, akaenda ndani kwake na mimi nikaenda ndani kwangu siku ikawa imeisha kihivyoo……

Hatimae ni asubuhi hh😅😅 jaman nikaoga si ndy kuvaa ile nguo yangu ya kazini jaman mhhh nilipendeza na ile suti yangu nyeusi na kajimtandio changu mtihani ukaja kwenye kiatu bhana sijawahi vaa kiatu kirefu toka nazaliwa hhh😅😅 jaman ila ndy kuangalia vizuri kwenye ule mfuko nikaona kuna simple nikatabasam 😊nikavaa jaman na kusoma kwangu chuo kote lakin mambo ya fashion sijuagi kabisa yaan sio vitu vyangu kabisa …

Natoka ndani nashuka sebleni namkuta Naseer amekaa ananisubiria akanambia wewe ni "personal secretal wangu kwahy sehem, ntakayo kuwepo na wewe lazima uwepo" nikasema "okay sir" nikaongea kingereza etty hhh ila mimi🙈🙈…..

Tukapanda gari humo kwenye gari njia nzima tupo kibubu bubu🙄 hamna wa kumsemesha mwenziee bhana, hatimae tulipokua tunaenda tukafika bhaana kwenye hospitali akanambia "nifate nyuma" tukafika officine akanambia "kaa pale kwenye kiti" nikawa nimekaa tu sasa ntafanyaje , nikaskia mtu mlangoni "samahan boss naweza ingia" Naseer akasema ingia akaingia mdada yule ambae alikuja kunisafisha siku naumwa akasalimia akasema sir yale mafail uliyosema niyafanyie kazi haya hapa Nasser akayapokea na kuanza kuyakagua akasema "wow napenda wachapakazi yaani yalitakiwa kuchukua wiki kuyaandaa wewe umefanya kwa siku tatu wewe sio nesi tu yani ni genius girl" yule nesi akawa katoka , Naseer akanitizama akanambia "hii ni hospitali yangu pia namilki kampuni na pia nina kituo cha watoto yatima nilikifungua pia nina miliki migodi binafsi" , mimi nikawa namshangaa nasema moyoni "sasa ananiambia kuhusu utajiri wake mimi unanihusu? hovyoo😏😏", akaendelea kusema "pia nina miradi mingine kama maduka ya simu na nguo pia nina miliki hoteli na shule nikujikuta" namwambia "sawa nimeshaelewa" akanitazama kwa makini kisha akasema "nimekwambia hivyo sio kwasababu nataka kukuonesha mimi ni tajiri kiasi gani bali ni kwamba wewe ni secretary wangu binafsi hivyo sitaki nikiwa nakupeleka sehem unaanza kushangaa" nikasema "saw nimekuelewa" Muda ulipita sana na sasa tulikuwa tumekaa kila mtu ana kazi yake hamna anaemsemesha mwenzie , mara simu yangu ikaita nataka kupokea Naseer akasema kwa msisistizo "hakuna muda wa kuongea na simu tukiwa officine", sikujibu nikakata ile simu, ikapiga tena nikakata, hatimae nikazima simu, Naseer akanamby "officine kuna sheria kuna mambo hutakiwi fanya hasa ikiwa ni hospitali kwasabab hospitali kuna wagonjwa ambao hawahitaji kelel mlio wa simu unaleta disturbance kwao lakin kwenye office zingin tofauti nah ii ya hospitali unaruhusiwa kuongea na simu kasoro tukiwa kwenye vikao" nikasema "sawa nimekuelewa sir" akasema "unaez niita tu Naseer inatosha" nikamjibu "lakin wewe ni boss wangu: akasema "utavyojisikia kuniita niite tu hakuna shida", nikaitika nikasema sawa nikaendelea na mambo yangu, mara ghafla akaingia mdada kavaa short dress lekundu la tait kavaa kajiwigi flan , kwanza nikamshangaa😳 mbona kaingia bila hodi officine kwa watu, akanitizama kwa jicho kali kwel yaan tafkir ananijua au ashawahi kuniona sehemu Fulani 🤔 kisha akamsogelea Naseer kwa karibu….
JE NINI KITAENDELEA……..!! "

Full 1000 TU

NAMBA YA MALIPO 0755090082 MPESA JINA LA USAJILI ZAINABU SUNGITA MPESA

UKISHALIPIA NJO INBOX
WHATSAP 0755090082
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA* *____________________________________* SEHEMU YA 3 Nilikua nipo mwenyew nazunguka tu kwenye lile kasri maan sijui niseme ni hoteli maan ni pazuri jaman mpaka

nashindwa kusema sijui nisemeje maan hata kwenye ndoto zangu sikuwahi kufikiri kama ntakuja ingia kwenye nyumba kama hii wallah Nasma mimi…

Nilikua nipo mwenyew mpaka nikaamua kuwasha tv nikawa naangalia nimekaa mpka mida ya saa 12 jioni naona namba ngeni inanipigia nikapokea nikaskia ‘mwanangu hujambo’’ nikajua kabisa huyu ni mama maan sauti yake haipotei kabisa maskioni mwangu nikasema kwa msisitizo na kudeka "mama kwanini ulikua kimya siku zote na wakat unajua kabisa mimi sipo karibu na wewe?" niliuliza kwa msisitizo mama akanijibu "ilibidi tubadilishe na makazi maan pale Buguruuni sio salama tena kwetu kwasababu wale watu uloingilia mambo yao hawashindwi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-sikimbii-tena-nitavumilia-____________________________________-sehemu-ya-3-nilikua-nipo-mwenyew-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-sikimbii-tena-nitavumilia-____________________________________-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

564
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

442
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

400
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

374
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

341
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

202
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest