Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JAMANI BOSSπŸ₯‚πŸ’˜ SEHEMU YA 01...02
Gonga94 Β· Stories

JAMANI BOSSπŸ₯‚πŸ’˜ SEHEMU YA 01...02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mimi ni Binti wa miaka 27 nimezaliwa mkoani Tanga mama yangu ni msambaa alafu baba yangu nasikia ni mpemba simjui wala sijawahi kumuona..

Nimelelewa na bibi mama aliniacha kwa bibi baada ya yeye kuolewa na baba yangu wa kambo ikabidi yeye aende akayaanze maisha mapya mimi nikabaki na bibi yangu Tanga..

Ndoto ya mama yangu ni mimi kusoma hadi chuo kikuu na nipate kazi...yeye aliishiaga njiani baada ya kubeba mimb yangu..

Mungu ni mwema sikumuangusha nilisoma hadi nikamaliza elimu ya juu na nilifaulu vizuri sana...mama alifurahi sana

Baada ya kumaliza chuo shida ikabaki kwenye kupata kazi nyie nilizunguka kwenye ma office ya watu mpaka basi miaka 4 yote natafuta kazi bila mafanikio..

Mwishoni nilichoka nikaamua kuachana na habari za kuatafuta kazi nikajiajili menyewe

Nilianza kufanya biashara ya vitafunwa mwanzo ilikuwa ni nzuri na yenye faida ila sijui akaingia mdudu gani nikawa siuzi kabisa

Mwanzo nilikuwa nauza chapati maandazi vitumbua na sambusa lakin ilifika mda vyote vikafa nikabaki nauza maandazi tena na yenyewe nilikuwa nauza siku mbili na mda mwingine yanabaki hadi siku ya 3 tunaamua kula wenyewe

"Ile hali iliniumiza sana kiukweli nilianza kukata tamaa mdogo mdogo nikawa sina mudi ya biashara tena"

"Sikia mjukuu wangu hasara ni jambo la kawaida kwenye biashara huwezi kupata faida kila siku ndio maana Kuna jua na mwezi kiangazi na masika hivyo hutakiwi kukata tamaa kabisa "

Ni maneno ya bibi hayo😁😁alivyoona nakata tamaa akaamua kuhakikisha ananipa ushauri ili nipate moyo wa kuendelea mbele..

"Hata usihangaike kutafuta misamiati bibi kazini siendi"

"Sawa pumzika basi "

Maisha yaliendelea nakumbuka siku moja mama alinipigia simu akaniambia Nina habari njema mwanangu"

"Umenishtua nikajua Kuna tatizo"

"We unawazaga matatizo tu"

"Okay niambie habari gani hizo "

"Nimeota umepata kazi tena yenye mshahara mzuri sana "

"Kumbe umeota nikajua unaniambia nimepata niende "

"Hiyo ndio shida yako huna Imani kabisa "

"Imani?mama ni mara ngapi umesema kuwa Mungu kakwambia kuwa napata kazi ?"

"Mwanangu Mungu huwa hadanganyi siku sio nyingi utapata kazi"

"Mmmm haya amina "

"Amina mwanangu sasa nakutumia Hela ukanunue nguo za kazin sawa"

"Ila mama na wewe sasa unanitumiaje Hela wakati kazi yenyewe haijapatikana "

"Imani ni kuwa na hakika na mambo ya tarajiwayo"

"Amina tuma mama"

Alikata nikaweka sm pembeni nakuendelea kulala

Nilikuja kuamka nikakuta mama katuma 150000 ili nikanunue nguo

Nyie mama yangu ananipnda basi tu natamani nipate hiyo kazi ili namimi nimpe maua yake angali bado hai.

Mungu anitunzie mama yangu ili aje afaidi matunda ya mwanae

Baada ya kumaliza kazi zote niliamua kukaa zangu chumbani kwangu nikawa bz napitia picha za mimi na marafiki zangu kipindi tukiwa chuo

Nilijikuta njisikia vibaya kwani marafiki zangu wote walikuwa wanamaisha Yao mazuri tu na kazi nzuri na baadhi yao walikuwa tayari wameshapata wenzi wa maisha yao

Ila mimi sasa sina kazi Sina mchmb Wala msebure miaka ndio hiyo inaenda..dah mawazo yalikuwa mengi sana

Nikiwa katika ndimbwi la mawazo nilishitushwa na sm yangu ilikuwa inaita

Haraka niliichukua na kuangalia alikuwa ni rafiki yang Tuli

"Hallo Tuli".

"Nyooo baada ya kukupigia ndio unajifanya kunichangamkia hello Tuli"

"Aaaa bwana usiniambie umenuna"

"Nisinune vp wakati hata sim hutaki kunipigia sijui ndo ushapata rafiki mwingine kwaiyo umenisahau"

" Aaa weee naanzaje kukuacha rafiki yang kipnzi "

"Mh hay bhn ,haya tuachane na hayo sikia nimekupigia kukupa habari njema "

"Usiniambie unaolewa"

"We nawe unawazaga kuolewa tu"

"Sasa kimebaki nini kama wewe umesha soma na kazi tayar "..

"Bibi wewe niache kula bata eti nikimbilie kuolewa hivi unadhani ndoa mchezo we zisikie kwa watu tu na uziache hivyo hivyo,

hembu ngoja niende kwenye point, ni hivi hapa kazini Kuna nafasi za kazi za watu wa 5 wawili wa kozi yko na hawa wengine wakitengo kingine sasa hapa nimeshakenua meno kwa meneja ili upate nafasi"

"Weeee usiniambie "

"Ndio hivyo mpnzi kwaiyo kesho nakuomba ufike Dar mapema ili kesho kutwa ukafanye interview"

"Ndio maana nakupnda T wangu Mungu akuweke my dr "

"Usijali maa utoke sasa maana umeshachoma maandazi hadi ukipita unanukia hiliki tu"

"Hahhahaha mshnz wewe asante sana "

"Poaa basi nakungoja Dar.."

Tuliagana nikakimbia nje huku nikishangilia na kwenda kumkumbatia bibi akiwa zake bz kufuma mikeka

"Wewe unataka kunivunja mabega yangu"

"Bibi na wewe jitahidi kuwa mzungu hata kwa mda basi hapa ulitakiwa usema hey be careful and why you're so happy, sio unataka kunivunja 🀣"

"Nimekosa nn hadi niwe mzungu "

"Achana na hayo ni hivi nnimepigiwa sm na Tuli anasema Kuna nafasi ya kazi huko dar kwaiyo natakiwa kuondoka kesho "

"Mama yako ameshaniambia"..

"😳 Mama amekwambia πŸ€”"ilibidi niiulize kwanza kwani mama kajuje T amempigia hapana T hawezi kumpigia mama

"Alisema kuwa Mungu kamwambia "

"Oooo! Basi ndio hivyo "

"Kwaiyo kesho nabaki pekee yangu " bibi aliongea kwa unyonge nilijikuta na jisikia vibaya nikamkumbatia na kumwambia

"Hapana huatakuwa peke yako niko na wewe japo kimwl hatutakuwa wote ila kiroho Niko na wewe"

"Kwaiyo tutoke kwenye huu mwl tuishi kiroho"

",Wewe tena hata sijui babu alikupataje"

"Eee muache Mpnz wangu"

"Bibi yangu ni comedian😁😁"

Basi tulipiga story pale ilipofika jioni nilimwaga nguo zote nikachagua zile nzuri Kisha nikaziweka kwenye begi

Mara sim ikaita kuangalia ni mama

"Hello dada Vanessa"niliongea kimatani, huwa nimezoea kumtania basi akiwa vibaya ananichambaga mpaka basi 😁

"Koma wewe nani dada yako"

"Hahahahahaha wamesha kuvurugwa tayari "

"Mbona hujaniambia kama unaenda kufanya interview kesho kutwa "

"Hee mama we siumeshajua kabla yangu "

"Hata kama ungeniambia "

"Sawa dia mama nisamehe "

"Haya umeshajiandaa"

"Ndio mama "

"Na nguo ulinunua'"

"Hapana nitanunua nilifika huko huko "

"Kwaiyo kwenye hiyo interview utaenda umevaa

nini "

'" nguo za kuvaa zipo nyingi"

"Haya utajua mwenyewe,ila jitahidi kwenda ukiwa smart"

"Hilo tu usijali"

"Haya jioni njema"

"Haya mama byee"

"Alafu uoshe hizo nywele usije kwenda kwenye office za watu na minywele inanka "

"Mama bhn ushaanza mambo yako"

"Mambo yangu yamefanya nn we osha hicho kichwa tena ikiwezekana ukasuke kama huna hela sema nikutumie "

"Kusuka tena 😏 bora nioshe tu"

"Osha na usuke nakutumia hela ukasuke sasa ole wako bibi yako aniambie hujasuka".

"Sasa mama nasuka sangp wakati safari ni kesho asubuhi "

"Sasaivi unanynysha au uko mazishini"

"Eeee haya nitaenda "

"Na uoge vizuri "

"Tena 🀣 khaa haya mama"

Hakutaka hata kuaga akakata sm

Basi niliosha nywele mda huo muamala ukasoma mama kasha tuma hela huyu mwanmk nyiee hahahaa kwani anataka nikamteg Boss auπŸ˜‚

Baada ya kumaliza kuosha nywele nilienda kusuka kwa dada mmoja hivi jirani yetu

Kesho yake niliamka asubuhi nikaongozana na bibi hadi stendi tukaagana Kisha nikapanda gari na safari ya kuja dar ikaanza

Je huku Dar ilikuwaje?? Alipata kazi?. Itaendeleaaaaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI BOSSπŸ₯‚πŸ’˜ SEHEMU YA 01...02



Mimi ni Binti wa miaka 27 nimezaliwa mkoani Tanga mama yangu ni msambaa alafu baba yangu nasikia ni mpemba simjui wala sijawahi kumuona..

Nimelelewa na bibi mama aliniacha kwa bibi baada ya yeye kuolewa na baba yangu wa kambo ikabidi yeye aende akayaanze maisha mapya mimi nikabaki na bibi yangu Tanga..

Ndoto ya mama yangu ni mimi kusoma hadi chuo kikuu na nipate kazi...yeye aliishiaga njiani baada ya kubeba mimb yangu..

Mungu ni mwema sikumuangusha nilisoma hadi nikamaliza elimu ya juu na nilifaulu vizuri sana...mama alifurahi sana

Baada ya kumaliza chuo shida ikabaki kwenye kupata kazi nyie nilizunguka kwenye ma office ya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-boss-sehemu-ya-01-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-boss-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.15K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.09K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

711
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

261
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

253
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

238
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

238
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

161
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

112
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. πŸ”΄ Maamuzi yaliyotangazwa: πŸ’΅ Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest