JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA NNE ILIPOISHIA Shangazi na mjomba walipomaliza kula wakaelekea chumbani
Baada ya dakika kadhaa tangu binamu zangu waende kulala nilimuona dada wa kazi akitoka chumbani kwake akielekea bafuni,alikuwa amevaa khanga moja huku akitembea kwa mwendo wa kutikisa makalio ghafla ile khanga aliyovaa ikamdondoka nami nikasimama kuelekea kule alipokuwepo.
SONGA NAYO
Nilimkaribia kisha nikampita na kueleka chumbani kwangu kwani sikutaka matatizo,nilipofika chumbani nilikaa kitandani na kuanza kumuwazia yule dada wa kazi,kwani alionekana kuniteka akili sana.Sikukaa sana usingizi ulinipitia
Nilikuja kushtuka ni asubuhi ya saa mbili baada ya mlango wangu kugongwa,nilienda kufungua mlango nikakutana uso kwa uso na binamu yangu mdogo.Sio siri macho yalinitoka kwani mapigo aliyovaa nusu yanitoe udenda kwani alikuwa amevaa khanga moja huku mapaja yote yakiwa nje.
Nilibaki nimeduaa kumuangalia kwani kichwa changu kilipoteza uwezo wake wa kufikiria,baada ya kuona nimeduwaa akaanza kunisemesha
"mh binamu unalala mpaka sasa hivi?"aliniuliza
"nilikuwa nimechoka sana"nilimjibu
"basi jiandae tukupeleke shopping mapema ili tuwai kurudi"alisema binamu
"sawa ngoja nijiandae"nilimjibu
Aliondoka huku akitikisa makalio sijui ilikuwa bahati mbaya au alikuwa amedhamilia,niliingia chumbani kwangu kujiandaa na safari ya kuelekea mjini,nilivaa nguo zangu za mtoko kisha nikatoka nje
"Wow binamu umepandeza sana"alisema binamu yangu mdogo
"asante binamu"nilisema
Kusema ukweli siku hiyo nilipendeza kwani nilifungua begi zima na kutoa pamba hizo,kila aliyeniona humo ndani alinisifia kuanzia house girl mpaka binamu zangu wote wawili
Mh umependeza"aliongea binamu yangu mkubwa
Nilimshukuru kisha tukatoka nje ili kuelekea town kwaajili ya shopping,nje tulikuta tax inatusubiri kwaajili ya kutupeleka huko mjini,tuliingia kwenye gari na kuondoka
Njia nzima nilikuwa naangalia nje kwani ndio ilikuwa siku yangu ya kwanza kuelekea mjini,njiani niliweza kuona baadhi ya maghorofa ambayo kule kwetu kuyaona ilikuwa ni ndoto au labda uende Tanga mjini ndo unaweza kuyaona.
Mimi na binamu mdogo tulikaa seat ya nyuma binamu akiendelea kunielekeza baadhi ya sehemu,kilichokuwa kinanikera pale ni joto la jiji kwani jua lilikuwa linawaka sana kiasi kwamba unatamani mtu ujimwagie maji
Tulifika kariakoo mida ya saa nne, hapo ndipo nilianza kushangaa wingi wa watu maeneo ya pale, kwani watu walikuwa ni wengi sana ambao sijawai kuwaona kule kwetu
"mh kweli Dar es salaam kuna watu"nilijisemea
Tuliingia kwenye duka moja la muhindi ili nikachague nguo,nilichagua nguo za kutosha huku nyingine nikisaidiwa na binamu zangu,kila nguo niliyokuwa najaribu ilikuwa inanipendeza sana
"wow umependeza jamani you look so handsome dear"alisifia binamu yangu mkubwa huku akinikumbatia
Ilikuwa baada ya kujaribu nguo moja ambayo ilinitoa kibrother men kama wanavyosema watoto wa mjini,sio siri nilishangaa kwani ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kunichangamkia kiasi kile.Nilihisi kupigwa ganzi baada ya kuguswa na chuchu zake ndogo zinazochoma kama sindano
"Mh huyu mtoto kawaje leo?"nilijisemea moyoni baada ya kunikumbatia kwa dakika moja bila kuniachia
Tulimaliza kuchagua nguo na safari ya kurudi nyumbani ikaanza,njiani niliendelea kujiuliza maswali kwanini binamu yangu mkubwa amebadilika vile tofauti kabisa na mwanzo kwani alikuwa na pozi lakini sasa hivi alionekana kubadilika
Story zilikuwa nyingi sana kwenye gari kiasi kwamba mpaka safari ya kurudi niliiona fupi, seat ya nyuma nilikaa na binamu yangu mkubwa yule mdogo alikaa kwa dereva wakati tulipokuwa tunaenda nyuma nilikaa na binamu yangu mdogo
Tulifika nyumbani kisha nikaelekea chumbani kwangu kupeleka mizigo kwani ningekaa pale sebuleni nisingebanduka mapema sababu nilikuwa napenda sana kuangalia tv,nilipofika chumbani niliweka mizigo yangu kisha nikajitupa kitandani ili nipumzike japo kidogo.
Wakati usingizi unaanza kunijia nikashangaa mlango wangu ukugongwa kwa nguvu,moyoni nilikereka sana kwani muda huo nilikuwa nataka kupumzika sababu nilikuwa na uchovu sana
Nilienda kufungua mlango na kukutana na binamu yangu mkubwa akiwa anagonga mlango
"Mambo"alinisalimia
"poa"nilimjibu huku nikiwa namshangaa kwani tulikuwa wote muda sio mrefu
"nimekuja tupige story"alisema binamu
"chumbani kwangu?"niliuliza
"ndio kwani ajabu hiko wapi?"aliniuliza
"Ok unaweza kuingia"nilimjibu
Aliingia chumbani kisha akafunga malango,alienda moja kwa moja mpaka kitandani akakaa,kwa nguo alizovaa zilikuwa zinaniamsha hisia za kufanya mapenzi lakini ndo hivyo tena alikuwa ni ndugu yangu
Nami nikaenda kukaa kwenye kiti ili kumkwepa binamu yangu sababu hisia zilishaanza kunipanda,tulibaki kuangaliana kama majogoo wanaotaka kupigana
"umekuja kufanya nini chumbani kwangu mbona kimya?"nilimuuliza
"nimekuja nikuchagulie nguo nzuri kwaajili ya kesho kwenda out"alinijibu
"sawa nichagulie kisha uondoke"nilimuambia
"binamu unanifukuza?"aliniuliza
"Hapana sikufukuzi ila ukimaliza shughuli zako ndio uondoke"nilimuambia
Akaanza kupekenyua nguo mpaka akapata nguo alizoziona yeye zinafaa
"Hizi zitakupendeza"alisema
"Sawa"nilijibu kimkato
Nilishangaa baada ya kumaliza kunichagulia nguo akaendelea kukaa pale kitandani huku akibadilisha mikao,nguo aliyovaa ilikuwa fupi tena laini kiasi kwamba mapaja yote yalikuwa nje na kusababisha nguo yake ya ndani ianze kuonekana
Hali yangu ilianza kubadilika kwani mzee huku chini alikurupuka kwa hasira sana akitaka kutoka kwenye nguo niliyovaa,binamu kuona vile aliendelea kubadilisha mikao sasa hadi nikaanza kuona kule kwenye utamu wenyewe
"mh huyu mtoto anataka nini leo"nilijisemea
Nilibaki nimeduwaa kumuangalia kwani stimu zilishaanza kunipanda hadi mzee alitaka kutapika bila hata ya kula,mapaja na makalio aliyokuwa nayo binamu yalinifanya nitokwe na udenda kwani alikuwa ameumbika vilivyo
Binamu aliinuka pale kitandani nisijue wapi anaelekea,ghafla nikaanza kumuona akija nilipokaa huku akitemba kwa madaha,mwili wangu ulikuwa unatetemeka kwani nilijua ni tukio gani lilikuwa linakuja mbele yangu
Akakaa pale kwenye kiti na kuanza kunikumbatia huku akitaka kuushika muhogo wa jang'ombe,nilikuwa navuta pumzi kwa nguvu kama mtu aliyekuwa anafanya mazoezi,alipeleka mkono wake taratibu mpaka karibu na zipu
"JAMANI BINAMU!!!!"aliongea huku akiwa anahema juu juu
CHOMBEZO-
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni