Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA PILI ILIPOISHIA Tuliingia ndani ya nyumba hile na kushuka kwenye gari
Gonga94 · Stories

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA PILI ILIPOISHIA Tuliingia ndani ya nyumba hile na kushuka kwenye gari

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
huku nikiwa naishangaa nyumba hile jinsi ilivyokuwa nzuri,ghafla walitoka ndani wasichana wawili ambao wakiwa na sura za tabasamu wakaenda kumkumbatia mjomba na shangazi
Niliwaangalia watoto wale na kugundua kwamba walikuwa watoto wa mjomba kwani walifanana sana na shangazi,mmoja alikuwa mrefu kuliko mwenzake japo sio sana kwani walikuwa wanakaribiana,walipomaliza kusalimiana wakanigeukia na kunisalimia huku wakinishika mkono.
SONGA NAYO
Niliwashika mkono kwa zamu huku nikifurahia kushikana mikono na watoto wale kwani walikuwa wazuri kupindukia,kule kwetu kijijini hakuna hata msichana mmoja ambaye angeweza hata kidogo kufanana nao,tulipomaliza kusalimiana wakanipokea mizigo na kuanza kuelekea ndani.
Tulipofika ndani nilikaribishwa sebuleni nilikuwa bado nashangaa shangaa kwani ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia katika sebule nzuri namna hile,kulikuwa na masofa ya gharama,meza ya kioo kabati kubwa la vyombo,kapeti la manyoya na vitu vingi vilivyofanya sebule hile ipendeze.
Nilikaa kwenye sofa moja wapo huku bado nikiendelea kushangaa uzuri wa sebule hile,kabla sijakaa vizuri alikuja mtoto mmoja wa mjomba na kuniuliza
"Kaka unakunywa kinywaji gani?"aliuliza
"Naomba soda"nilijibu
"Soda gani?'aliuliza
"Naomba fanta"nilijibu
Aliondoka na kuelekea kwenye friji sio siri alikuwa anatembea kwa maringo kiasi kwamba macho yangu yalikuwa yameganda kwa kumuangalia ,huko nyuma alikuwa na kasheshe kwani alikuwa amejazia kiasi cha kutosha kiasi kwamba nilihisi anapata tabu kutembea
Baada ya dakika kadhaa nilimuona akirudi huku ameshika soda mkononi,hapo nilipata chance ya kumuona kwa mbele,alikuwa na sura nzuri ya kuvutia huku ikipendezeshwa na tabasamu zuri alilokuwa analitoa kila mara,nilishuka mpaka maeneo ya kifuani hapo nilikutana na mwinuko mdogo wa matiti yaliyopendezesha kifua.
"mh mjomba kweli ana mtoto mzuri sana"nilijisemea kimoyo moyo
Nilikuja kushtuliwa na sauti nyororo ya yule mtoto wa mjomba au naweza kumuita binamu
"kaka karibu soda"alinikaribisha
"asante"nilishukuru
Alinifungulia soda kisha akaondoka,niliendelea kunywa soda yangu taratibu huku nikiangalia tv,baada ya kukaa kwa lisaa limoja nikaona meza ikiandaliwa kwa ajili ya chakula lakini nilishangaa aliyekuwa anaandaa meza alikuwa msichana mgeni ambaye sikumuona katika wale watoto waliokuja kunipokea.
Baada ya dakika kadhaa nilikaribishwa mezani kwaajili ya chakula wakati huo mjomba na shangazi nao walishajongea mezani,mezani tulikuwa watu sita mimi,mjomba,shangazi,watoto wa mjomba pamoja na mdada mwingine ambae nilikuwa simfahamu
Nilipakuwa chakula na kuanza kula huku watu wote wakiwa kimya,mjomba aliamua kuanzisha mazungumzo
"Thomas"mjomba aliniita
"naam mjomba"niliitika
"napenda uwafahamu dada zako"mjomba alisema
"sawa mjomba"nilijibu
'huyu unayemuona kulia ndo mwanangu wa kwanza anaitwa Prisca,huyu hapa kushoto kwangu ni mtoto wangu wa mwisho anaitwa patricia na huyo wa pembeni yako ni dada yetu wa kazi"mjomba alimaliza kutambulisha
"nashukuru kuwafahamu"nilisema
"na nyie huyu ni kaka yenu anaitwa Thomas"alinitambulisha
"tunashukuru kumfahamu"walijibu kwa pamoja
Wakati naendelea kula nilikuwa nawaangalia wote kwa zamu kwani wote walikuwa wazuri kupindukia japo yule mdogo ambae ndo Patricia alikuwa na umbo zuri sana kuliko mwenzake japo mwenzake nae alikuwa kajazia,macho yangu yakarudi kwa dada wa kazi sio siri nae alikuwa mzuri kwani alikuwa na umbo zuri pamoja na sura nzuri,nilipata wakati mgumu sana kumuangalia.
Tulipomaliza kula nilienda kukaa kwenye sofa huku naangalia tv wale watoto wa mjomba walipeleka vyombo jikoni,baada ya dakika tano walirudi sebuleni na kukaa sofa ya jirani huku wakiangalia tv,hakuna hata mmoja aliyemsemesha mwenzake wao walikuwa bize wakichezea simu.
Tulikaa muda wa dakika kumi bila mtu kumsemesha mwenzake,niliamua kuvunja ukimya na kuanzisha mazungumzo
"Dada prisca unasoma?"nilimuuliza
"mh yap"alijibu
"kidato cha ngapi?"nilimuuliza
"kidato cha tano"alijibu kimapozi
Nilimgeukia na mdogo nae nikaanza kumuuliza maswali kama niliyemuuliza dada yake nae akaanza kunijibu
"me nasoma kidato cha tatu"alijibu bila mapozi
"someni bwana kwani elimu ndio kila kitu sisi wengine tumeshashidwa huko tunaangalia ustarabu mwingine"niliwahasa
Tuliendelea kupiga story kwa muda mrefu japo yule mkubwa alikuwa haonyeshi ushirikiano kama mdogo wake,yeye muda wote alikuwa busy na simu na hata ukumuuliza swali alikuwa anajibu kimikato
Ilipofika jioni waliniaga wanaenda kuoga wakitoka tuendelee na story, mimi waliniacha pale pale sebuleni nikiwa bado naangalia tv,baada ya nusu saa walitoka wote wawili wakiwa wamependeza sana ila niliwashangaa nguo walizovaa kwani zilikuwa fupi sana zilizoonyesha mapaja yao
"mh hawa watoto wanamapaja meupe"nilijisemea
Walipita pale nilipokaa na kuelekea mlango wa kuelekea nje,yule mdogo aliniita ili tuende wote nje
"Kaka Thom twende tukakae kwenye garden tupige story"alisema yule mdogo
'Sawa nakuja"nilijibu huku nikisimama
Tulitoka nje na kuelekea kwenye garden kupunga upepo kwani ilikuwa ni jioni,tulipiga story kwa muda mrefu sana mpaka giza likaanza kuingia lakini kilichokuwa kinanishangaza ni mapozi ya wale mabinti kwani walikuwa wanabinua miguu yao kiasi kwamba mpaka nguo ya ndani zilikuwa zinaonekana
Nilipatwa na wakati mgumu sana kuangalia yale mapaja kwani ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kuangalia mapaja ya mwanamke sababu sikuwahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote yule,tulikaa pale mpaka tunakuja kuitwa kwaajili ya chakula cha usiku.
Nilikula chakula cha usiku nilipomaliza nikaaga naenda kulala sababu siku hiyo nilikuwa na uchovu sana,nilionyeshwa chumba ambacho kilikuwa kwaajili yangu,niliingia ndani huku nikikiangalia chumba kwa umakini mkubwa sio siri kilikuwa chumba kizuri sana kwani kilikuwa na kitanda cha sita kwa sita,tv na vitu vingi vya kupendezesha
Nilikaa kitandani na kuanza kuvua nguo ili nikaoge nitoe uchovu ndio nilale,wakati navua nguo nilishangaa mlango wangu ukigongwa taratibu,nilibaki najiuliza nani anagonga mlango lakini sikuwa na majibu,ilinibidi niamke taratibu nikafungue mlango nijue nani anagonga.

CHOMBEZO-

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA PILI ILIPOISHIA Tuliingia ndani ya nyumba hile na kushuka kwenye gari

huku nikiwa naishangaa nyumba hile jinsi ilivyokuwa nzuri,ghafla walitoka ndani wasichana wawili ambao wakiwa na sura za tabasamu wakaenda kumkumbatia mjomba na shangazi
Niliwaangalia watoto wale na kugundua kwamba walikuwa watoto wa mjomba kwani walifanana sana na shangazi,mmoja alikuwa mrefu kuliko mwenzake japo sio sana kwani walikuwa wanakaribiana,walipomaliza kusalimiana wakanigeukia na kunisalimia huku wakinishika mkono.
SONGA NAYO
Niliwashika mkono kwa zamu huku nikifurahia kushikana mikono na watoto wale kwani walikuwa wazuri kupindukia,kule kwetu kijijini hakuna hata msichana mmoja ambaye angeweza hata kidogo kufanana nao,tulipomaliza kusalimiana wakanipokea mizigo na kuanza kuelekea ndani.
Tulipofika ndani nilikaribishwa sebuleni nilikuwa bado nashangaa shangaa kwani ndio ilikuwa mara...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-binamu-sehemu-ya-pili-ilipoishia-tuliingia-ndani-ya-nyumba-hile-na-kushuka-kwenye-gari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-binamu-sehemu-ya-pili-ilipoishia-tuliingia-ndani-ya-nyumba-hile-na-kushuka-kwenye-gari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest