Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?!  Sehemu Ya Kwanza (1)
Gonga94 · Stories

Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya Kwanza (1)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Chombezo :
IMEANDIKWA NA : MAZUNDURU ATHUMANI

Sijui nini kiliendelea, nilipitiwa na usingizi moja kwa moja na kuja kushtuka saa kumi usiku nikiwa napitisha kumbukumbu kichwani, nikakumbuka mara ya mwisho ilikuaje. Nikakumbuka nilifikia sehemu moja na kaka Cheni na mwanamke wake, nikakasirika sana.

***

Asubuhi ilifika, kulikucha, nikatoka kufanya kazi za ndani uani huku nikiwa nalenga kuona kama yule mwanamke wa kaka Cheni aliondoka au alilala palepale. Nilifanya kazi kwa umakini wa macho. Muda mwingi nilikuwa nakazia macho mlangoni kwa kaka Cheni.

Saa moja, kaka Cheni alifungua mlango wake. Akatoka yeye akiwa amevaa bukta nyeusi tu, juu alikuwa kifua wazi. Akakutana macho na mimi, akaachia tabasamu. Mimi nilihisi aibu, nikaangalia pembeni, moyoni nikasema; ‘kaka Cheni bwana’.

“Mama ameamka?” aliniuliza.

“Kaenda kwenye maji,” nilimjibu nikiendelea kuangalia pembeni.

“Hujanijibu swali. Nimekuuliza mama ameamka, unajibu kaenda kwenye maji.”

“Sasa kaka Cheni anaweza kwenda kwenye maji akiwa amelala?” nilimjibu ki hovyo maana hata yeye alijua kwa nini nilimjibu vile.

“Yamekwisha…kwenye maji wapi?”

“Kwa mama Tabu.”

Kaka Cheni akarudi chumbani kwake. Nikajua kwa nini aliniuliza vile. Nikajua alilala na yule mwanamke wake sasa alitaka kujua alikoenda mama ili amtoe mwanamke wake.

Baada ya dakika tatu, kaka Cheni alitoka akiwa amevaa traki suti, nyuma yake akafuatiwa na mwanamke. Jamani! Ninaposema mwanamke nieleweke kwamba ni mwanamke. Sijui kama Cheni alimpendea nini maana si saizi yake. Muwowowo huo, mpaka nikacheka mwenyewe moyoni.

Nikasema loo!

Akitembea sasa, mbengenyu… mbengenyu…mbengenyu. Hapo alikwenda chooni. Akiwa bado chooni, baba akatoka na kiti, akakaa nje…

Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba ameshakwenda kazini kwake, kumbe alikuwepo bwana.

“Shikamoo baba,” kaka Cheni aliamkia huku wasiwasi wake ukiwa umegundulika na baba.

##
𝐊𝐢𝐭𝐮 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐥𝐢𝐜𝐡𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚….
𝐔𝐬𝐢𝐤𝐨𝐬𝐞 𝐬𝐞𝐡𝐞𝐦𝐮 𝐢𝐧𝐚𝐲𝐨𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚​​​​​​
𝐉𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🙌, 𝐋𝐈𝐊𝐄-150 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢𝐩𝐨𝐬𝐭 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🚀🔥.” Naomba like ziwe zakutosha isichelewe

Akikisha una follow page yetu tukipost inakufika mojakwamoja
Tangazo - ila baba mkwe full story soma yote hapa
ila baba mkwe full story soma yote hapa
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya Kwanza (1)

Chombezo :
IMEANDIKWA NA : MAZUNDURU ATHUMANI

Sijui nini kiliendelea, nilipitiwa na usingizi moja kwa moja na kuja kushtuka saa kumi usiku nikiwa napitisha kumbukumbu kichwani, nikakumbuka mara ya mwisho ilikuaje. Nikakumbuka nilifikia sehemu moja na kaka Cheni na mwanamke wake, nikakasirika sana.

***

Asubuhi ilifika, kulikucha, nikatoka kufanya kazi za ndani uani huku nikiwa nalenga kuona kama yule mwanamke wa kaka Cheni aliondoka au alilala palepale. Nilifanya kazi kwa umakini wa macho. Muda mwingi nilikuwa nakazia macho mlangoni kwa kaka Cheni.

Saa moja, kaka Cheni alifungua mlango wake. Akatoka yeye akiwa amevaa bukta nyeusi tu, juu alikuwa kifua wazi. Akakutana macho na mimi,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya-kwanza-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya-kwanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.56K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.11K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest