VYOTE NDANI GONGA94
๐ฅ๐ฅ JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANI๐๐ Sehemu ya nne
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
( shida ya maji shikamoo)
__________________________
๐ Nikubali au nikatae najiuliza hapa Dah yani...๐
Nikajikuta nimesema)
" Sawa.
( Kaka muuza maji akanikumbatia kwa furaha sasa naona mdomo wake anauleta mdomoni kwangu kabla ajanigusisha simu yake inaita ule mwanga wa simu ulinifanya nione aibu nikafumba macho yeye akaniachia akashuka kitandani kupokea simu)
" Haloo.
" Oya mzee anasema Kesho afungui Kuna sehemu anaenda Kwaiyo tulioweka madumu kule tukachote maji saizi tuyatoe tujue tunaweka wapi.
" Poa Kesho itakuwa magoli sana acha nichukue na dumu zengine zote nikusanye maji usiku huu huu.
" Poa mwana shida ya maji kwetu furaha tunapiga pesa Kesho mwendo wa dumu 1500 usilete pigo za huruma wakati dawasa wenyewe awana huruma na watu wao.
" Kauli za uchochezi izo ziache dawaso wanawapenda wateja wao ila maji ndio madogo nakuja.
( Alikata simu akaniambia)
" Mimi naenda kuchota maji sijajua nitarudi saa ngapi kama nitakesha wewe asubuhi funga mlango funguo weka juu ya mlango Sawa my.
" Sawa.
( Aliondoka akanifanya nizidi kuvutiwa na yeye anajali kazi sio mapenzi angekuwa mwengine hapa angeniambia nipige moja kwanza alafu niondoke maana baazi ya wanaume wanapenda chini kweli...Nililala asubuhi sana nikaondoka kwa mjumbe..kaka Muuza maji ajaja usiku tena alikuwa bize na maji uko...nikafika kwa mjumbe akanipeleka kwa mume wangu asubuhi akafungua mlango mjumbe akasema)
" Uyu amelala kwangu saizi wewe hasira zimeshuka tuonge.
" Subilini dada yangu anakuja.
( Dk tano nyingi kweli wifi kaja alafu wifi akawa kama yeye ndio mjumbe)
" Hee niambie sababu ya wewe kufukuzwa usiku hapa.
( Nikamweleza yote kisa mimi kumuona mume wangu anakula akadakia)
.
" Sasa wewe mtaa wa nne kule ulifata nini kama sio umbea aya umemkuta anakula kwanini ulishindwa kujizuia mtoto wa kike wamama zetu walikuwa wanapika kuku nyama zote wanawapa baba zetu wao wanakula miguu na vichwa...nyama mpaka wapewe ulizani wao walikuwa wajinga walikuwa wanajishikilia.
( Mjumbe akasema)
" Na aya kumpiga inakuwaje?
" Uyu ajapigwa kaonywa aliyepigwa anaweza kuzungumza mdomo saizi ungekuwa umejaa unafanya masihara na kupigwa nini?
" Sawa dada mtu hitimisho nini sasa maana wewe ndio umekuwa mjumbe.
" Hitimisho ajishikilie mtoto wa kike uyu sio jambo dogo anakimbilia Kwako mjumbe wewe ndio umemfungisha ndoa uyu ndoa uvumilivu.
" Sawa amekusikia ila kumbuka na wewe mwanamke.
" Tena mwanamke wa nguvu.
( Kesi ikaisha kwa mimi naonekana nina makosa...mume wangu akaacha 2000 ya kula ananiambia)
" Mimi naenda zangu pesa ya kula iyo.
( Mjumbe ananiangalia mimi kwa huruma sana alafu wifi akasema)
" Kachenji unipe buku ya pikipiki mimi mmenisumbua asubuhi asubuhi.
" Chukua tu yote mimi nitakoroga uji nitakunywa unga upo ndani.
" Sawa.
( Wifi akachukua ile 2000 akaondoka na mume wangu akaondoka mjumbe akaniambia)
" Yakikushinda chukua uhamuzi mimi naondoka zangu.
" Uhamuzi gani sasa mjumbe nichukue.
" Mimi sitaki nikufundishe kila kitu wewe wa kike tumia akili yako hapa akuna ndoa Bali kuna doa.
" Mjumbe unamahanisha nini?
" Wewe ukiwa mkubwa utajua acha niende mie.
( Nikawa nimebaki na mawazo nikiwa mkubwa nitajua...nilitoka nje nikatafuta cha kukila nikala pesa ninayo aliyonipa kaka muuza maji...alafu namuona yupo bize anapita anapambana kuuza maji...pale nilipokaa sasa karibu na butcher la nyama naangalia kwenye butcher namuona mume wangu yupo na mwanamke anamnunulia nyama....nikajificha anatoka buchani anamsimamisha kaka muuza maji)
" Oya dumu shilingi ngapi?
" 1500.
" Duu Leo yamepanda ivyo.
" Ndio.
( Mume wangu anamuuliza yule mwanamke)
" Baby tuchukue madumu mangapi?
" Matano yanatosha.
" Unajua Leo sirudi kwangu acha tuchukue Saba.
" Sawa.
( Nimesikia kwa masikio yangu mume wangu arudi kwangu...alafu hao wameshikana mikono wanaondoka na kaka muuza maji...roho iliniuma nikarudi nyumbani...kweli jioni ananipigia simu ananiambia)
" Nimekutumia elf tatu katoe 2500 ukanunue chips mayai ule ulale funga mlango Leo sirudi.
" Sawa.
( Nawaza sasa niende kumpa muuza maji anile au nivumilie...yani nipo kwenye mawazo makubwa Nikatoka naenda kununua chips mayai ile pesa yake wala sijaitoa nafika kwa muuza chips nakutana na kaka muuza maji..akaninunulia na mishikaki ya 5000 chips mayai juice juu uyu kaka anajali akaniambia)
" Vipi usiku upo uku mumeo yupo wapi?
( Uyu kaka amjui mume wangu ndio aliyemuuzia maji...na mimi nilivyokuwa mjinga nikamwambia ukweli kuwa mume wangu arudi ila sijamwambia yule aliyemuuzia maji...ila kaka wa maji anapenda kunipa mtihani akaniambia)
" Twende basi ukale kwangu arafu arafu kidogo.
" harafu harafu ndio nini.
" Unipe my kidogo ninyoshe kiuno si unajua kazi zetu izi.
( Yani nikajifanya mtoto)
" Nikupe nini?
" Tamu my naomba twende.
( Nawaza niende au nikasema kimoyoni kama mume wangu anakula saizi uko kwa mwanamke mwengine kwanini mimi niitunze acha nikampe muuza maji akaimwagie maji)
" twende.
ITAENDELEA
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-kaka-muuza-maji-usinimwagie-maji-ndani-sehemu-ya-nne