Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
18 Nov 2025
417 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ ___________________________________ SEHEMU YA 15 Aliondoka nikabaki mwemyewe nilishinda
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na yule mdada wa kazi wangu Hafsa , nilijikuta nimemzoeaa sana kwasababu ni mchngamfu kama mimi hapa nilimpenda tu jamni huyu mdada maaana tulipiga umbea sana , mhhh hatimae usiku ulifika nikaa nipo natizam moviee mume wangu hajarudi kabisa
"Dada huendi kulala saaa hivi saa tano usiku? ,aliniuliza Hafsa mhhh usijali namsubiri mume wangu π€ arudi sijui atarudi saa ngpi yaani" nilimjibu Hafsa huku natabasamu nilionesha uchangamfu kwenye kumjibu " unadhani atarudi huyoo mhh sijuπ€·ββοΈ " anaonekana anamfahamau sana mume wangu " una madini yaonekana hebu njoo ukae hapa" alikaaa karibu yangu " haya nambie kila unachojua kuhusu mume wangu"
"Yule mke wake ni ana matatizo ya uzazi hawezi kuzaa na wala hawezi kushika mimba ni miaka mingi wantafuta mtoto , naa hii inasemekana kwasababu kipindi cha ujana wake alikuwa anatoa sana mimba maan huyu alikuwa ni kam dada poa ila mwenye hadhi yake ....." wakati anendelea kuongeaa nilidakiaa kwa juu " wee subiri haya yote wee umeyajualiaa wapi binti mremboo?" Niliuliza kwa shauku kubwa mnoo
" mhh basi Bi mkubwa wako ana siri basi mhh , mimi si nishawahi kufanya kazi kwake kabla ya kuja hapa na mimi kaka ndio alinambiaa kuwa anaoa hakumwambiaa mkewe na familia yake iliamabiwa ikawa inagoma goma maan inaonekana wanamtukuza sana huy7 bi mkubwa wako kaka akawaambiaa wasije harusini kama vipi" alisema Hafsa " sawa nimeelewa ila sasa mimi nataka kitu kimoja tu kwanini wewe upo hapa , na kwanini mimi nimeolewa kwamba nimeolewa ili nimzalie aau, sio niwe nimeolewa kumbe naletwa kwa ajili ya kuzaa na enhee vipi kuhusu hawa walikutanaje wakat ushaniambia huyu alikuwa dasa poa?" Nilimuuliza Hafsa
"Hee sasa weee mmbea ila usijali kam kamati ndio ushaipata mimi mwenyew mmbea hataree " nakwambiaa na kugonga juu maan inaonekana tumekutana kichwa na shingoo hapa " mhh dada Bilqis mwenzako yulee ilikuwa ni dada na kitu ambacho hawezi ni kuzini alikutana na huyu mdada yeye akamueelewa akaombaamuoe , alivyofikisha taarifa kwaoo mhhh wazazi acha wamgomee nakwambiaa shoga yangu ilikiwa hataree unaambiwa huyoo bi mkubwa wako sijui alimroga jamni aliendaa kufunga hadi ndoaa ya mahakani yaani wale ndoa yao ni ya mahakama na sio ya kanisani wala msikitini kama hujui ili tu asizini kwa hiloo niseme ukweli ntakuwa namsemea uongo boss wangu , akipenda , akitamani anaoa na wewe sio kwamba ni wa kwanza kuolewa ila huyu mke mwenzio huwa anatafuta kila mbinu mtu aaachike kuna muda hadi mimi alikuwa anahisi boss atanioaa, yaani anajifnaya ana wivu mhhh kumbe hana lolote yeye mwenyew ana wanaume tena hadi ana wapeaa pesa hao wanaume wenyew jinsi gani alivyokuwa hana huruma hata roboo yaani ni mshenzi kaka anampa kila kitu lakini anahonga , na hamuachi sijui ni kwanini ila hamuachi jamani mhhh π" alisema hafsa
"Hee kwahyo mimi sio wa kwanza kuwa mke wa pili?" Niliuliza kwa mshangaoo " mhh mbona una wasi wasi wewe sio wa kwanza kuwa mke wa pili tena wengi huwa wanaondoka wenyewe mimi nahisi huyu mwanamke analojambo kamfanyiaa kaka sio buree aise " nilimtizama sikumjibuu niliinuka nikaingia zangu kulala , ila sikuenda kulala nilikiwa nawaza , mhh mimi ntafanay kula njiaa , ila siondoki labda aondoke yeye na sio mimi hapa kama anatumia dawa mimi nitatumiaa swala zangu ila haachiki mtu hapa π€ vita ni vita muraa
Itaendelea.......π₯
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
SHAMIRA sehemu ya 34&35
Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uy...
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo...
πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ ___________________________________ SEHEMU YA 15 Aliondoka nikabaki mwemyewe nilishinda
na yule mdada wa kazi wangu Hafsa , nilijikuta nimemzoeaa sana kwasababu ni mchngamfu kama mimi hapa nilimpenda tu jamni huyu mdada maaana tulipiga umbea sana , mhhh hatimae usiku ulifika nikaa nipo natizam moviee mume wangu hajarudi kabisa
"Dada huendi kulala saaa hivi saa tano usiku? ,aliniuliza Hafsa mhhh usijali namsubiri mume wangu π€ arudi sijui atarudi saa ngpi yaani" nilimjibu Hafsa huku natabasamu nilionesha uchangamfu kwenye kumjibu " unadhani atarudi huyoo mhh sijuπ€·ββοΈ " anaonekana anamfahamau sana mume wangu " una madini yaonekana hebu njoo ukae hapa" alikaaa karibu yangu " haya nambie kila unachojua kuhusu mume wangu"
"Yule...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lawyer-naumia-mwenzio-___________________________________-sehemu-ya-15-aliondoka-nikabaki-mwemyewe-n
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lawyer-naumia-mwenzio-___________________________________-sehemu-ya
*1- - - - - - - - 5* πππͺπ¬ππ₯ π‘ππ¨π ππ π πͺππ‘πππ’ ___________________________________ SEHEMU YA 1 "Kwahyo huyo mwanaume unamlilia wa nini sasa wakati ni kweli kashakuacha tayri, na bora
Maoni