Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________  Mwaka 1983,
Gonga94 · Stories

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mwanamuziki Gwiji wa Pop duniani Michael Jackson akishirikiana na mtayarishaji muziki Nguli Quincy Jones waliketi kitako kutayarisha wimbo uliotungwa na Michael mwenyewe uitwao Liberian Girl.

Wakiwa kwenye hatua za mwanzo za utayarishaji wimbo huo, Quincy akabaini uhitaji wa kitu kipya muhimu kulingana na maudhui ya wimbo husika. Alichofanya ni kumshauri Michael kuongeza kionjo kitakachoupa uzito ujumbe kusudiwa wa wimbo huo.

Wimbo huo wa Liberian Girl unamzungumzia msichana mrembo wa Kiafrika kutoka nchini Liberia ambaye Michael alionesha kuvutiwa naye kimapenzi na hivyo kukaa chini na kuandika mashairi ya kueleza hisia alizonazo juu yake.

Ili kuonesha jinsi Michael 'alivyokufa' kwa msichana huyo, Quincy akamwambia kwamba itapendeza zaidi kama ndani ya wimbo huu yatazungumzwa maneno japo machache ya lugha inayozungumzwa nyumbani kwa msichana huyo, (barani Afrika).

Michael akaonesha kuguswa sana na idea ya Quincy, haraka sana akamwambia afanye kitu hicho ambacho aliona dhahiri kitaufanya wimbo wake kuwa wa kipekee sana. Quincy akamwambia Michael "limekwisha hili.!

Haraka, Quincy akatafakari... Je, ni lugha ipi ikitumiwa itaonesha utambulisho wa msichana kutoka Afrika ? Kiswahili kikawa ndilo jibu sahihi kwake, akaamua kutumia maneno machache ya Kiswahili kwenye kionjo hicho.

Lakini Quincy hakuishia hapo, akataka maneno hayo yatamkwe na mwanamke kutoka barani Afrika, chaguo lake likaangukia kwa mwanamuziki mahiri wa Jazz kutoka nchini Afrika Kusini, mwanamama Letta Mbulu.

Letta ambaye alikuwa akivuma sana enzi hizo kama mmoja wa wanamuziki mahiri wa Jazz kutoka barani Afrika, akashirikiana na mumewe , Caiphus Semenya, jinsi ya kuyaweka maneno machache ya Kiswahili katika wimbo huo.

"Nakupenda pia... Nakutaka pia.... Mpenzi weee..!!" Maneno machache ya Kiswahili, yakatamkwa na Mwanamama Letta Mbulu katika kibao cha Liberian Girl na kukipa kibao hicho kionjo cha kipekee cha lugha ya Kiswahili.

Wimbo ukakamilika. Mnamo tarehe 31 ya mwezi Agosti 1987, Michael Jackson akaachia albamu yake ya Saba kutoka Studio iitwayo "Bad". Wimbo wa "Liberian Girl" ukawa moja ya nyimbo Bora kabisa zilizomo kwenye albamu hiyo.

Unaweza kujiuliza, iweje Quincy achague kutumia Kiswahili kumzungumzia msichana kutoka Liberia, wakati lugha hiyo hata nchini humo haizungumzwi ? Jibu ni kwamba, Kiswahili kilianza kuonekana kama lugha ya Afrika, wakati wenyewe tukiwa hatuna habari nacho.

Hakuna yeyote aliyelitazama jambo hili katika jicho la fursa. Wenye mamlaka ya Kiswahili hawakuweza kabisa kuona fursa iliyopo kwa Gwiji wa muziki duniani Michael Jackson kutumia lugha ya Kiswahili kwenye tungo iliyopelekea albamu hiyo kuwa moja ya albamu bora za muda wote.

Ni kama Michael na Quincy walituamsha usingizini, lakini wenye Kiswahili chetu tukaendelea kulala usingizi wa Pono kwa kushindwa kutumia 'opportunity' hiyo kukitangaza Kiswahili duniani kupitia Michael Jackson huyo huyo na wimbo wake huo.

"Liberian Girl" ingeweza kutumika kama chachu ya kukitangaza Kiswahili kimataifa. Tayari Michael alishaingia mwenyewe kwenye 18 zetu, nasi tungepita humo humo kukitangaza Kiswahili chetu, Wallah inawezekana leo tungekuwa mbali sana.!

Takwimu zinaonesha mpaka sasa, Kiswahili hakipo katika lugha 10 zinazozungumzwa zaidi duniani, na kwa Afrika, Kiswahili kinashika nafasi ya Nne katika lugha za ndani za Afrika zinazozungumzwa zaidi, kikitanguliwa na lugha za Hausa, Yoruba, na Igbo kutoka nchini Nigeria.

Katika uso wa dunia, lugha ya Kiingereza ndiyo kinara zaidi kuzungumzwa, ikifuatiwa na lugha ya Mandarin kutoka China, huku Kihindi kikichukua nafasi ya tatu kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.

Nafasi ya Nne inashikiliwa na Kihispania, ya Tano ikishikiliwa na Kiarabu, huku Kifaransa kikishika nafasi ya Sita kwa kuzungumzwa zaidi. Nafasi ya Saba ni Kibengali kutoka Bangladesh, nafasi ya Nane ni Kireno.

Nafasi ya Tisa ni lugha ya Kirusi kutoka Russia, huku nafasi ya Kumi ikishikiliwa na lugha ya Ki Urdu kutoka nchini Pakistan. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa mashirika mbalimbali ya kitafiti yanayoshugjulika na tafiti za maendeleo ya lugha ulimwenguni

Japo vipo vigezo vingi vinavyopelekea lugha fulani kuzungumzwa zaidi duniani kuliko lugha nyingine, lakini baadhi ya wenzetu hutumia fursa au hata ujasusi mkubwa katika kukuza tamaduni zao zikiwemo lugha za makabila yao.

Kwetu "Liberian Girl" lilikuwa bonge la bao ambalo kama tungelitazama kwa jicho la fursa tangu nyakati hizo tungekuwa mbali sana. Michael alitusanua, Waswahili tulivyo jeuri tukakataa kumshobokea na kuendelea kuuchapa usingizi.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,

mwanamuziki Gwiji wa Pop duniani Michael Jackson akishirikiana na mtayarishaji muziki Nguli Quincy Jones waliketi kitako kutayarisha wimbo uliotungwa na Michael mwenyewe uitwao Liberian Girl.

Wakiwa kwenye hatua za mwanzo za utayarishaji wimbo huo, Quincy akabaini uhitaji wa kitu kipya muhimu kulingana na maudhui ya wimbo husika. Alichofanya ni kumshauri Michael kuongeza kionjo kitakachoupa uzito ujumbe kusudiwa wa wimbo huo.

Wimbo huo wa Liberian Girl unamzungumzia msichana mrembo wa Kiafrika kutoka nchini Liberia ambaye Michael alionesha kuvutiwa naye kimapenzi na hivyo kukaa chini na kuandika mashairi ya kueleza hisia alizonazo juu yake.

Ili kuonesha jinsi Michael 'alivyokufa' kwa msichana huyo, Quincy akamwambia kwamba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/michael-alituamsha-tukaendelea-kulala-_________________________-mwaka-1983

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi michael-alituamsha-tukaendelea-kulala-_________________________-mwaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

546
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

391
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

331
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

233
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

133
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

38

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest