Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________  Mwaka 1983,
Gonga94 · Stories

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mwanamuziki Gwiji wa Pop duniani Michael Jackson akishirikiana na mtayarishaji muziki Nguli Quincy Jones waliketi kitako kutayarisha wimbo uliotungwa na Michael mwenyewe uitwao Liberian Girl.

Wakiwa kwenye hatua za mwanzo za utayarishaji wimbo huo, Quincy akabaini uhitaji wa kitu kipya muhimu kulingana na maudhui ya wimbo husika. Alichofanya ni kumshauri Michael kuongeza kionjo kitakachoupa uzito ujumbe kusudiwa wa wimbo huo.

Wimbo huo wa Liberian Girl unamzungumzia msichana mrembo wa Kiafrika kutoka nchini Liberia ambaye Michael alionesha kuvutiwa naye kimapenzi na hivyo kukaa chini na kuandika mashairi ya kueleza hisia alizonazo juu yake.

Ili kuonesha jinsi Michael 'alivyokufa' kwa msichana huyo, Quincy akamwambia kwamba itapendeza zaidi kama ndani ya wimbo huu yatazungumzwa maneno japo machache ya lugha inayozungumzwa nyumbani kwa msichana huyo, (barani Afrika).

Michael akaonesha kuguswa sana na idea ya Quincy, haraka sana akamwambia afanye kitu hicho ambacho aliona dhahiri kitaufanya wimbo wake kuwa wa kipekee sana. Quincy akamwambia Michael "limekwisha hili.!

Haraka, Quincy akatafakari... Je, ni lugha ipi ikitumiwa itaonesha utambulisho wa msichana kutoka Afrika ? Kiswahili kikawa ndilo jibu sahihi kwake, akaamua kutumia maneno machache ya Kiswahili kwenye kionjo hicho.

Lakini Quincy hakuishia hapo, akataka maneno hayo yatamkwe na mwanamke kutoka barani Afrika, chaguo lake likaangukia kwa mwanamuziki mahiri wa Jazz kutoka nchini Afrika Kusini, mwanamama Letta Mbulu.

Letta ambaye alikuwa akivuma sana enzi hizo kama mmoja wa wanamuziki mahiri wa Jazz kutoka barani Afrika, akashirikiana na mumewe , Caiphus Semenya, jinsi ya kuyaweka maneno machache ya Kiswahili katika wimbo huo.

"Nakupenda pia... Nakutaka pia.... Mpenzi weee..!!" Maneno machache ya Kiswahili, yakatamkwa na Mwanamama Letta Mbulu katika kibao cha Liberian Girl na kukipa kibao hicho kionjo cha kipekee cha lugha ya Kiswahili.

Wimbo ukakamilika. Mnamo tarehe 31 ya mwezi Agosti 1987, Michael Jackson akaachia albamu yake ya Saba kutoka Studio iitwayo "Bad". Wimbo wa "Liberian Girl" ukawa moja ya nyimbo Bora kabisa zilizomo kwenye albamu hiyo.

Unaweza kujiuliza, iweje Quincy achague kutumia Kiswahili kumzungumzia msichana kutoka Liberia, wakati lugha hiyo hata nchini humo haizungumzwi ? Jibu ni kwamba, Kiswahili kilianza kuonekana kama lugha ya Afrika, wakati wenyewe tukiwa hatuna habari nacho.

Hakuna yeyote aliyelitazama jambo hili katika jicho la fursa. Wenye mamlaka ya Kiswahili hawakuweza kabisa kuona fursa iliyopo kwa Gwiji wa muziki duniani Michael Jackson kutumia lugha ya Kiswahili kwenye tungo iliyopelekea albamu hiyo kuwa moja ya albamu bora za muda wote.

Ni kama Michael na Quincy walituamsha usingizini, lakini wenye Kiswahili chetu tukaendelea kulala usingizi wa Pono kwa kushindwa kutumia 'opportunity' hiyo kukitangaza Kiswahili duniani kupitia Michael Jackson huyo huyo na wimbo wake huo.

"Liberian Girl" ingeweza kutumika kama chachu ya kukitangaza Kiswahili kimataifa. Tayari Michael alishaingia mwenyewe kwenye 18 zetu, nasi tungepita humo humo kukitangaza Kiswahili chetu, Wallah inawezekana leo tungekuwa mbali sana.!

Takwimu zinaonesha mpaka sasa, Kiswahili hakipo katika lugha 10 zinazozungumzwa zaidi duniani, na kwa Afrika, Kiswahili kinashika nafasi ya Nne katika lugha za ndani za Afrika zinazozungumzwa zaidi, kikitanguliwa na lugha za Hausa, Yoruba, na Igbo kutoka nchini Nigeria.

Katika uso wa dunia, lugha ya Kiingereza ndiyo kinara zaidi kuzungumzwa, ikifuatiwa na lugha ya Mandarin kutoka China, huku Kihindi kikichukua nafasi ya tatu kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.

Nafasi ya Nne inashikiliwa na Kihispania, ya Tano ikishikiliwa na Kiarabu, huku Kifaransa kikishika nafasi ya Sita kwa kuzungumzwa zaidi. Nafasi ya Saba ni Kibengali kutoka Bangladesh, nafasi ya Nane ni Kireno.

Nafasi ya Tisa ni lugha ya Kirusi kutoka Russia, huku nafasi ya Kumi ikishikiliwa na lugha ya Ki Urdu kutoka nchini Pakistan. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa mashirika mbalimbali ya kitafiti yanayoshugjulika na tafiti za maendeleo ya lugha ulimwenguni

Japo vipo vigezo vingi vinavyopelekea lugha fulani kuzungumzwa zaidi duniani kuliko lugha nyingine, lakini baadhi ya wenzetu hutumia fursa au hata ujasusi mkubwa katika kukuza tamaduni zao zikiwemo lugha za makabila yao.

Kwetu "Liberian Girl" lilikuwa bonge la bao ambalo kama tungelitazama kwa jicho la fursa tangu nyakati hizo tungekuwa mbali sana. Michael alitusanua, Waswahili tulivyo jeuri tukakataa kumshobokea na kuendelea kuuchapa usingizi.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,

mwanamuziki Gwiji wa Pop duniani Michael Jackson akishirikiana na mtayarishaji muziki Nguli Quincy Jones waliketi kitako kutayarisha wimbo uliotungwa na Michael mwenyewe uitwao Liberian Girl.

Wakiwa kwenye hatua za mwanzo za utayarishaji wimbo huo, Quincy akabaini uhitaji wa kitu kipya muhimu kulingana na maudhui ya wimbo husika. Alichofanya ni kumshauri Michael kuongeza kionjo kitakachoupa uzito ujumbe kusudiwa wa wimbo huo.

Wimbo huo wa Liberian Girl unamzungumzia msichana mrembo wa Kiafrika kutoka nchini Liberia ambaye Michael alionesha kuvutiwa naye kimapenzi na hivyo kukaa chini na kuandika mashairi ya kueleza hisia alizonazo juu yake.

Ili kuonesha jinsi Michael 'alivyokufa' kwa msichana huyo, Quincy akamwambia kwamba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/michael-alituamsha-tukaendelea-kulala-_________________________-mwaka-1983

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi michael-alituamsha-tukaendelea-kulala-_________________________-mwaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

297
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

199
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest