Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
Gonga94 · Stories

*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
*MIMBA YA BESTMAN❤️*
*SEHEMU YA 11~12*
___________________________________

SEHEMU YA 11
" Unajua siwezi kuvumilia zaidi naomba kesho tuonane hotelini.
" Siwezi kuja huko.
" Kama huwezi kuja basi nitakufuata nyumbani kwako mume wako atakapokuwa kazini.
Alisema Sameer alafu akaenda kwenye friji akachukua chupa ya maji ya kunywa .
" Nipatie korosho mume wako anataka.
" Nenda nitamletea.
Sameer alirudi sebleni na muda huo huo Mulky alipeleka korosho sebleni.

Ilipofika usiku Mulky akiwa kapumzika na mume wake wakifurahia ndoa yao simu ya mulky ilikuwa inaingiza sana messege na Mulky aliopoteza.
" Ni nani huyo anatuma messege kama anakudai?
" Sijui ni nani. Alijibu mulky huku akinyanyuka kitandani kuangalia simu yake.
Alikuta messege kama tano zilitumwa na namba mpya lakini kutokana na maelezo yaliyoandikwa aligundua kuwa ni Sameer alifuta haraka zile messege alafu akazima simu na kurudi kulala , alijikaza kifuani kwa Yasini wakati huo Yasini alikuwa akimuangalia.
" Niambie mume wangu...
" Mmm ni nani amekutuma ujumbe karibia sita kama si kumi?
" Ni kikundi chetu cha wanawake leo alikwenda ndio nilikuwa baoewa taarifa ya walichojadili huko.
" Ndio iwe muda huku kwani hawajui huu muda upo na mumeo?
Mulky alitabasamu
" Watakuja mume wangu alafu naona kama vile una kawivu flani.
" Sio kawivu nina wivu haswaa.
" Lakini sio wanaume ni wanawake wenzangu.
" Basi tupumzike ila waambie hao wenzio kuwa Mida kama hii wasipende kukusumbua kwani ndio muda wangu mzuri wa kupumzika na wewe mke wangu.
" Sawa mume.

Kesho yake asubuhi baada ya mulky kumuandaa mume wake alimbeba pc yake akasindikiwa mpaka kwenye gari waliagana Yasini akapanda kwenye gari akaelekea kazini .
Mulky alirudi ndani akachukua simu yake na kumtafuta Sameer.
" Hallow asali wangu.
" Mmmmh.....
" Mbona unavuna kwani sio kweli?
" Sameer hivi una shida gani na ndoa yangu unataka niachie ndio uhisi amani si ndio?
" Tulia mtoto wa kike unajua hizi shida ndogo ndogo huwa unazotaka mwenyewe ungekuwa unakutana na mimi hata mara mbili kwa wiki basi ungenifanyia nitilize akili yangu ingekuwa sawa lakini wewe unanipuuzia tangia huyo mumeo apone matatizo yake umesahau kama mambo ni kusaidiana nilikutana wakati wa shida na mimi nifae kwa muda huu ambao nateseka kwaajili ya penzi lako .
Mulky akaona haitawezekana kuongea na Sameer kwenye simu akamtaka wakutane sehemu waongee waelewane.
Baada ya kukata simu mulky alienda chumbani kwake akajiandaa kwaajili ya kutoka , alipokuwa tayari alibeba funguo yake ya gari pamoja na pochi yake akatoka chumbani akaenda sebleni, akiwa anaelekea kwenye lango kuu la kutokea nje alisikia geti linafunguliwa na Yasini aliingiza gari .
" Kheeee huyu vipi mbona ametoka hapa sio muda mrefu, kasahau nini?
Mulky alijiuliza maswali huku akiwa kasimama anamsubiri Yasini.
Yasini alipaki gari akashuka na kuelekea ndani alimkuta Mulky kasimama mlangoni.
" Ulikuwa unaenda wapi?
" Hamida kanipigia simu anaumwa nilikuwa naenda kumuangalia.
" Inamaana ulikuwa unaondoka bila kuomba ruhusa kwa mume wako?
" Ilikuwa nikupigie simu nikuombe ruhusa.
"Sio kweli.
" Kweli mume wangu.
Alisema mulky huku akimsogelea Yasini na kumshika kidevu.
" Sawa sasa itakuwaje wakati mimi nimerudi hapa kwaajili yako?
Mulky alimuangalia mume wake alafu akauliza
" Unamaanisha nini unasema hivyo mume wangu?
Yasini alimuangalia Mulky kwa jicho la huba kisha akasema.
" Sikuwahi kujifurahisha kipindi tulipokuwa Fungate sasa nimeamua twende Fungate tukafurahie nikakupe kile ulichokuwa unastahili kupewa.
Mulky alijisikia raha sana kusikia maneno aliyoambiwa na mume wake kwani tangia Yasini awe sawa mahaba yalikuwa motomoto .
" Unanifanya nijisikie fahari sana nakupenda sana mume wangu na naomba unisamehe kwa yale yote niliyokukosea huko mwanzo.
" Haijawahi kunikosoa mke wangu zile zilikuwa changamoto tu. Sasa vipi utaenda kwa Hamida au tutaenda pamoja?
" Hamida hapana siwezi kukataa ofa kubwa na nzuri kama hiyo.
" Basi kajiandae tiketi za ndege zipo tayari.
" Sawa twende pamoja tafadhali.
Waliongozana pamoja huku wakiwa wameshikana mikono wakielekea chumbani kwao .kabla hawajafika chumbani simu ya mulky iliita aliekuwa anapiga alikuwa ni Sameer .
Mulky alipoona namba ya Sameer alimuangalia Yasini usoni.
" Mbona hupikei simu,nani anapiga?
" Hamida.
" Pokea. Alijibu Yasini huku akiwa kasimama akisubiri mulky apokee simu.

MIMBA YA BESTMAN 12

Mulky aliiangalia ile simu huku akiwa anajifikiria jinsi ya kupokea na wakati huo Yasini alikuwa akimsubiri apokee.
Mulky alijikaza akapokea.
" Hallow.
" Nimefika hotelini na kungoja......
Kabla Sameer hajamaliza kuongea mulky alimkatiza kwa kusema
" Shoga yangu sitaweza kuja kukuangalia nina safari na mume wangu nikirudi nitakuja kukuona wewe ugua pole.
Mulky alimaliza kuongea kisha akakata simu .
" Twende mume wangu.
Mulky alimwambia mume wake wakaongozana mpaka chumbani kwao.

Kwa upande wa Sameer alikuwa amekaa kwenye chumba cha hotel tena akiwa kajiandaa maana alimpania sana Mulky alihakikisha haziko salama.
" Huu ni ujinga gani sasa nimeacha wagonjwa hospitali nimekuja hapa nimetoka pesa yangu nimechukua chumba, vinywaji alafu ananiambia mambo yake ya kijinga eti oooo mume wangu mfyuuuuuu. Aliongea Sameer huku akiwa kabana pua tena huku akiwa kakasirika.

Mulky na mume wake wakiondoka wakaenda kufurahia penzi lao visiwani kwenye bonge la hotel yenye hadhi ya nyota tano.
Huko ilikuwa ni raha na furaha tupu.
Kuna muda mulky alikuwa anajutia sana kumsaliti mume wake .
Siku moja ilikuwa majira ya saa sita usiku Yasini alikuwa Kalala fofofo huku alikotoka, Mulky alikosa usingizi akawa amekaa kitandani akimuangalia mume wake huku akijisemea.
" Sijui ni shetani gani alinivaa yani nimekuja kukosa Subra dakika za mwisho kabisa, nisamehe mume wangu.

Baada ya kujutia sana alijikuta anakosa usingizi alinyanyuka kitandani akaenda kusimama mbele ya dirisha la chumba cha hotel alafu akafungua upepo mwanana uliingia ndani na kufanya nywele zake ndefu, nyepesi zilizotoka usawa wa mabega yake zipepee . Akiwa anaendelea kushangaa madhari ya kuvutia nyakati za usiku katika eneo lile . Mara aliona simu yake ikitoa mwanga, moja kwa moja alijua ni Sameer maana ndio mwenye tabia ya kumpigia usiku mkubwa.
Alipiga hatua kuifuata simu yake iliyokuwa juu ya droo ya kitanda
Alichukua simu akasngalia kwenye kioo cha screen aliona namba ambayo hajui save lakini aliitambua ilikuwa ni namba ya Sameer ambayo Yasini hakuwa anakifahamu ilitumika kwaajili ya kuwasiliana kwa wao wawili tu.

Mulky alichukua ile simu akatoka ayo nje ya kibaraza , wakati huo simu iliita mpaka kiwa imekata , Mulky alienda uwanja wa ujumbe na kuanza kuandika msg lakini kabla hajamaliza simu ikaanza kuita tena na Mulky akapokea na kuanza kuongea kwa sauti ya chini.
" Unataka nini?
" Hallow mrembo mbona hakujibu messege zangu wala kupokea simu zangu?
Mulky alinyamaza na Sameer akaendelea kuongea
" Kwahiyo uliamua kunidanganya si ndio?
" Nimetoka na mume wangu na unalijua hilo alafu hebu chukulia kilichotokea mwanzo ilikuwa ni bahati mbaya tu , na kukumbusha mimi ni mke wa mtu na mume wangu ni rafiki yako kipenzi sasa usije ukasababisha yatokee mambo ya aibu kati yetu tulimalize hili kwa wema tu.
" Mmmmmh mulky nayajua hayo yote ilamoyo wangu unanisaliti na wewe unatoka nje ya makubaliano yetu .
" Siwezi kuendelea kufanya hivyo na usinipigie tena simu sababu nipo na mume wangu. Aliongea mulky kwa ukali kisha akakata simu .

Mulky aliendelea kusimama huku akiwa anatamani kulia aliwaza atamaliza vipi swala lake na Sameer maana walipokuwa wanaelekea ilikuwa ni mbaya zaidi kwani Sameer alionekana kutokujali muda wa kumtafuta .
Akiwa bado anawaza simu yake iliingiza messege.
" Kesho sasa moja jioni nitakuwepo hapo hotelini ningependa tuonane.
Mulky alisoma alafu akafyonza .
Iliingia messege nyingine ikisema
" Hii ni lazima mimi na wewe kuonana.
Mulky alizidi kuchanganyikiwa aliamua kupiga simu baada ya muda Sameer alipokea.
" Hallow baby.
" Hivi kwanini unanifanyia hivi? Kwani kisa langu kubwa mno ni lipi, una dhamira gani na mimi jamani? Aliongea mulky huku akiwa anataka kulia.
" Hebu tulia usilie twende sawa , unakumbuka nilikutana uwe na furaha, nilijitahidi kufanya kila liwezekanalo ilimradi uwe na tabasamu, pia kumbuka nikipoteza muda wangu kukufariji, nikikupa upendo ambao sijawahi kumpa mwanamke mwingine licha ya kujua ni mke wa mtu. Lakini wewe unataka kujitupa kama takataka bila kujali nilifanya hayo yote kwaajili yangu.
" Nampenda mume wangu na wewe unajua hilo.
" Ukiongea na mimi tafadhali usimuongelee huyo mtu wako.
" Lakini.....
" Inatosha sitamani kusikia neno jingine naomba ulale na hili kesho nitakuwa hapo na nitapita simu tuonane isipo fanya hivyo basi tambua ndoa yako itakuwa matatani nitaivuruga mimi mwenyewe kwa kukuchafua haswa uwe na usiku mwema mpenzi, nakupenda.
Aliongea samez na kukata simu akamuacha mulky kaduwaa asijue inakuwaje anachomokaje kwenye hilo swala ghafla alishitukia anaguswa mabegani.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12

*MIMBA YA BESTMAN❤️*
*SEHEMU YA 11~12*
___________________________________

SEHEMU YA 11
" Unajua siwezi kuvumilia zaidi naomba kesho tuonane hotelini.
" Siwezi kuja huko.
" Kama huwezi kuja basi nitakufuata nyumbani kwako mume wako atakapokuwa kazini.
Alisema Sameer alafu akaenda kwenye friji akachukua chupa ya maji ya kunywa .
" Nipatie korosho mume wako anataka.
" Nenda nitamletea.
Sameer alirudi sebleni na muda huo huo Mulky alipeleka korosho sebleni.

Ilipofika usiku Mulky akiwa kapumzika na mume wake wakifurahia ndoa yao simu ya mulky ilikuwa inaingiza sana messege na Mulky aliopoteza.
" Ni nani huyo anatuma messege kama anakudai?
" Sijui ni nani. Alijibu mulky huku akinyanyuka kitandani kuangalia simu yake.
Alikuta...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-sehemu-ya-11-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman-sehemu-ya
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

413
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

301
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

206
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest