Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MJEDA INAUMA  SIWEZI VUMILIA*   *SEHEMU YA  1 na 2  "Hebu wewe harakisha basi yaani wewe sijui utakuwa lini yaani jamani dah, hasara hizi jamani watu wanazaa watoto wengine tunazaa magugu maji"
Gonga94 Β· Stories

MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA 1 na 2 "Hebu wewe harakisha basi yaani wewe sijui utakuwa lini yaani jamani dah, hasara hizi jamani watu wanazaa watoto wengine tunazaa magugu maji"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mama yangu aliongea tu maan ana mdomo huyu khaa, nilikuwa najiandaa naenda kumpitia rafiki yangu anaitwa aika kwenda huko kwa rafiki wa kaka yake mwanajeshi maan tulikuwa tumealikwa hukoo jamani, tukamuone alisema nimsindikize maan kasema hawezi kwenda peke yake mama yake atamzuiaa jamni hta kama anatoka na kaka yake ila etty lazima aende na wakike mwenziee mhh hawa watoto wa kishua hawa hapana jamani etty ana hisi eti ataenda kwa mwanaume etty wanaweza wakapanga njama huko za yeye na kaka yake mimi sasa ndio wa kumlinda jamani huyu hapanaπŸ™Œ , by the way mimi naitwa Rahma ni mtoto pekee wa mama yangu ambae ni single mother , maan baba alifarikigi bado nipo mdogo sana kwahyo nakaa na mama yangu tu hapa, na sio kwamba nilisoma sana hapana , niliishia o level kutokana na ugumu wa maisha , ila huyu Aika kwao ni wana pesa na si unajua ukiwa na urafiki na wakishuaa afu wewe ndio hivyoo unakuwa kama chawa vile mhhh na huyo rafiki

"Sawa harakisha wewe jamani , mhh tupatage sisi hata chochote kitu jamni wewe mtoto sijui upoje yaani muda wote wewe unajiandaa tu mhhh hapana " Mama alizidi kuongea jamani "Mama jamani nakuja mimi unataka niende huko kama vile mtumishi naenda ushuani ujue wee haya huko" nilisema " wee bwana wee hebu harakisha hukoo mwenzio anakusubiri bhana , mimi mwenyew nataka zangu niwahi nikafunguwe hako kamgahawa nipate hata hivyoo vimiambili miambili vya kuendesha maisha" mama alikuwa ana kimgahawa chake ambacho kinampa vimia mbili mia mbili "sawa mama natoka naenda mimi jamani" nilitoka nimevaa zangu kisuruali changu pambee balaa kilijua kunikamata ilikuwa ni cargo na shati moja hii tunayo sare mimi na Aika ndio tulipanga tuvae. Nikavaa na kimtandio changu jamani mhh hapana nilijuaa kupendeza na jinsi nina shepu dodo nilinoga hatarii na kimtandioo kilikaa mahala pake jamani , na vipoda poda kwa mbali
"Haya shangingi langu sasa lishapendezaa hapo linajiona lenyewe ndioo top in town , mwanamke mzima hata mchumba wa kusingiziwa huna dash ila wewe jamani hapana" nilimtizama sana maan alikuwa anaongea ukweli sina hata wa dawa jamani huyu mama hapana mara simu yangu ikaita alikuwa ni Aika anapiga
Aika: hivi unajua kama huku tunakusubiri ni wewe tu?
Me: sawa nakuja nishajiandaaa jamani
Aika: haya chukua hyo boda ntalipia mimi sawa kipenzii?
Me:Jamani tajir wangu hapo pekee ndipo ninapokukubal mhhh haya nafika hapo chap shga angu

"Mama baadae tutaonana shga anguu byee" nulimuaga mama angu , maan nikichelewa hata dakika kumi akuu ntamkwaza rafiki yangu maan ni makasiriko isivyo kawaida
"Haya nirudiee maa usiku hapa utalala njee , me sitaki upuuzi kabisaa kwangu , uwahi tu kurudi na utapitia pale funguoo sawa na kam itatokea emergency ya wewe kulala huko huko kwa akina Aika uniambie mapema sawa?" Nilijibu sawa huku naondoka niliita boda boda maana nilikuwa nina namba yake..

Itaendeleaa......πŸ”₯

Ep 02
Nilifika salama tu nikamkuta tayari yeye na kaka yake washajiandaa nilifika getini nikampigia simu akaja kunikaribisha akalipia na nauli tukaanza kupiga story sema huyu ni ana asili ya kujishauaa sana siunajua watu wenye nazo jamani sisi wasafisha njia tukae kimya tuu , maana tunakuwaga tunajisifiaa na kujichangasha ila hawa sasa wenye nazo wanaishia tu kutudharau maan mhhh ni hatari na nusu , ila tunavumilia maan mimi nishamzoea

"Jamani Rahma umechelewa wenzio wamekusubiria kitamboo ujueee?" Alikuwa ni mam yake na Aika "Jamani mama shikamoo , mama yangu mhh nilichelewa si unajua tena kujiandaa kwetu mhh hatunaga hata cha haraka haraka" nilimjibu kwa heshima na mama yake na Aika alikiwa ananipenda sana , maan alikuwa anasema eti nina adaabu na mchangamfuu sana , ndioo maana nimeweza kuwezana na Aika japo yeye kashafikaga chuoo na yupo chuo sasa mpaka sas na leo ilikuwa ni weekend tu " marahaba mwanangu , mhhh ila nyiee nao kama mnaenda kwenye party kumbee ni hapo tu kurefresh mind tu jaman haya , muwahi sasa ili muwahi kurudi sasa" niliitika tu

"Haya mrembo wangu umependeza ila jamani maneno yote haya nimemaliza hata kukuambiaa hongera zako sijakwambiaa umependeza sana mama yangu" nilitabasamu tuu nilipenda jinsi alinisifiaa jamni na vile ninavyopenda sifa sasaa kha " asante mama" nilisema huku nacheka alidakia Aika " mimi sasa cheusi nisifiwe niotee meno ya dhahabu , wanasifiwa wenye rangi tuu haya tuondokee" alisema Aika , yaaani kinginee ni ana wivu huyu jamani hapana yaana hata shule nililkuwa ikimshinda maksi anavyolalalmika jamani utasema kashindwa nini yaani hapana " mbona na wewe umependeza sana, tena hata kunizidi jamni shga anguu Aika " nikamtizama huku nampandishiaa nyusi , alitabasamu tuu akanitizam " haya twendeni sasa warenbo wangu wazuri wazuri sawa" alisema kaka yake anaitwa Swaleh , yeye ni mchangamfu mnoo afuu mzuri kuliko hata dada yake mishauoo ,ni mwnajeshi kam rafiki yake tunaeenda kumuona

"Haya muwahi kurudi sasa sawa eeh?" Alisema mam yake na Aika na tukaondoka tulipanda gari la kaka yake Aika hapo , maan kaka yake Aika ana kaa kwake ila leo alikuja kutembeaa kwao coz ilikuwa ni weekend na ndio ikatokea huoo mtoko sasa tukaondoka hadi kwa rafiki yake na kaka Swaleh, namuita kaka coz ni kaka wa rafiki yangu

Tulifika tukapokelewa jamani hii nyumba ni nzurii mhhh hapana yaani ni nzuri kuliko hata ya kaka yake na bi shgaaa hapa mama kupenda kusifiwa mhhh nilipapenda buree huku ndani full ac , jamani , kwanza njee kuna swimming pool na kulikuwa na wafanyakazi watatu mule ndani yaani inshort ni pazuri mnoo palikua ni ghorofa moja mhhh ni pazuri ,yaani ningekuwa na simu kubwa ningeparekodi kabisa ila ndio hivyoo kiswaswadu gang wenzangu ni wana kazi ya kujiphotoaa tuu , nilitamani ila sikuoneshaa kabisaa...JE NINI KItaendelea....πŸ”₯

Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA 1 na 2 "Hebu wewe harakisha basi yaani wewe sijui utakuwa lini yaani jamani dah, hasara hizi jamani watu wanazaa watoto wengine tunazaa magugu maji"

Mama yangu aliongea tu maan ana mdomo huyu khaa, nilikuwa najiandaa naenda kumpitia rafiki yangu anaitwa aika kwenda huko kwa rafiki wa kaka yake mwanajeshi maan tulikuwa tumealikwa hukoo jamani, tukamuone alisema nimsindikize maan kasema hawezi kwenda peke yake mama yake atamzuiaa jamni hta kama anatoka na kaka yake ila etty lazima aende na wakike mwenziee mhh hawa watoto wa kishua hawa hapana jamani etty ana hisi eti ataenda kwa mwanaume etty wanaweza wakapanga njama huko za yeye na kaka yake mimi sasa ndio wa kumlinda jamani huyu hapanaπŸ™Œ , by the way mimi naitwa Rahma...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mjeda-inauma-siwezi-vumilia-sehemu-ya-1-na-2-hebu-wewe-harakisha-basi-yaani-wewe-sijui-utakuwa-lini-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mjeda-inauma-siwezi-vumilia-sehemu-ya
*MJEDA INAUMA  SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  "Mhh niishike wee sitaki mhh maama yangu kanikataza nikacheka mhh kwanza
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Mhh niishike wee sitaki mhh maama yangu kanikataza nikacheka mhh kwanza
 *MJEDA INAUMA  SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA SITA*  Alizidi kunichanganya vilivyo yaaani nilishindwa kuelewa kwani nililegea hivi maan kumtoaa nilikuwa nataka ila cha ajabu nikawa namshika
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *SEHEMU YA SITA* Alizidi kunichanganya vilivyo yaaani nilishindwa kuelewa kwani nililegea hivi maan kumtoaa nilikuwa nataka ila cha ajabu nikawa namshika
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

552
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

530
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

440
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

388
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

303
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

223
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

184
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

134
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

101
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

93

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest