Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*    *SEHEMU YA NANE*  Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
Gonga94 · Stories

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, maana sikutalajia kabisa kusikia neno Kama ilo kutoka kwa frank, moyo wangu ulifurahi sana, lakini kuna Namna nilijikuta nikishindwa kumuamini Franık kutokana na jinsi ambavyo Mimi namfahamu yeye na ukauzu wake.

"Frank Ebu acha mambo yako Sawa? Narudia Tena, chochote kile ambacho kilitokea kati yetu ilikuwa ni mistake na ujinga wangu wa kushindwa kujiheshimu mbele yako"

"Aaaah Anaya usinifanyie hivyo Basi mwenzio, na usiseme hivyo wewe sio mjinga, mjinga ni Mimi ambaye niliweka Hasira zangu mbele pasi na kufikilia kuhusu wewe, Anaya kWa generation hii ni kazi sana kumkuta mwanamke akiwa na usichana wake Karna wewe, ninachoongea Namaanisha nakupenda sana"

Nyieeeeh kWa Mara nyingine huyu kaka ameniambia Kuwa ananipenda jamani eti nikubali au nikatae, lakini naanzaje kumuamini Tena haraka haraka ikiwa ni mtu ambaye aaminiki kabisa, Mimi na yeye hatukuwai ata Kuwa na mazungumzo ya amani zaidi ya vita Mpya kila siku.

"Nitolee ujinga wako hapa frank Sawa 7 Na Leo

iwe mwanzo na mwisho kukuona hapa Nyumbani kwetu Sawa? Halafu Kama utaki pia kuniona ofisini kwenu ni Sawa nitatuma barua ya kuachana kazi ili Nikuache uwe na amani

"Jamani, Mbona Unafika mbali sana kiasi hiko ? Mimi naitaji kuendelea kukuona naitaji uendelee Kuwa partner wangu please usiwe na hasira

kiasi hiko

"Frank unaondoka au nimwambie baba yangu kila kitu ?"

Hapo kidogo frank alishtuka sana kisha kWa

sauti ya utulivu akaniambia.

"Basi wacha Mimi niende, lakini natalajia kukuona tena ofisini Sawa"

"Ondoka Bwana"

Nilizungumza kisha kwa mwendo wa haraka na nikiwa na jazba nikaingia Ndani na kumuacha frank akinishangaa tu.

Frank aliniangalia kwa muda kisha akatabasamu na kuondoka zake

KWa upande wangu nilishika njia moja kwa moja na kwenda chumbani, nyleeeeh nilifika chumbani kwangu na kuanza kurukaruka kwa furaha kama zote, yaaani nilijikuta nikiwa na

raha ya kutosha kudadeki zangu, Sijui niwaambie kitu gani lakini nilikuwa Ninafuraha sana Tena sana......

"Kulikoni mwenzetu Mbona Kama umeshinda Jackpot?"

Aliniuliza dada yangu baada ya kuingia chumbani kwangu na kujikuta nikiwa na furaha isiyokifani.

"Yaaani hapa nasikia kama napaa vile, Yaani nahisi Kama namiliki dunia dada yangu

Nilimwarribia dada yangu kisha nikamkumbatia. "Kuna nini nawe sasa si uniambie"

"Ooooh God kumbe raha ndio ziko hivi, au niseme Kuwa sijawai kupata raha na Leo ndio Mara ya kwanza, eti dada yangu raha ndio ziko

kWa Namna hii au? Yaani hapa ata ukinipa misumari naweza nikatafuna ujue"

Dada yangu akaniangalia kwa muda kisha kwa hasira akaniambia

"Ebu Niache Kama utaku kuniambia furaha yako ni juu ya nini maana hapa nilipo Nina mawazo yangu ya kutosha

Haraka nikamuachia dada yangu na kumuangalia usoni maana Alizungumza akiwa serious sana ni wazi Kuwa kuna kitu kilikuwa kikimsumbua

"Kuna shida qani dada?" Nilimuuliza, swali langu lilionekana Kuwa zito

sana kwa dada yangu ambaye aliishia kuniangalia usoni kisha akanikumbatia kWa nguvu kabisa na kuangua kilic

"Kuna nini dada Mbona unanitisha

Nilimuuliza dada yangu nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu.

"Nimeisha mimi, nimedhalilisha familia yangu mwenzio

"Unaniogopesha dada kuna nini kwani Umefukuzwa kazi au ? Kama ni kazi Mimi nitaongea na flora uje ufanye pale kazini kwetu"

"Sio hivyo, Anaya, Mimi ni mjamzito wa miezi miwili na baba Mtoto amekataa hii mimba,

amesema ili mimi na yeye tuendelee Kuwa na

mahusiano lazima nitoe unauzito, Anaya Mimi naogopa sana, lakini pia sitaki Kuwa single mama

Alizungumza dada yangu akiwa analia sana Tena kwa uchungu wa hali ya juu na hii ilionesha ni kiasi gani moyo wake una maumivu makali.

Kabla sijazungumza kitu chochote kile, gafla

mlango wa chumbani kwangu ukasukumwa na Kaka yetu mkubwa Abdull akaingia na kuuliza.

"Huyo mpuuzi mwenzio anapatikana pande gani

Yooooh kwanza Mimi na dada yangu tulishtuka sana na kubaki tukiangaliana tu, najua wengi

mtashangaa Kwanini tumekuwa waoga sana

lakini taratibu za Nyumbani kwetu ndio kitu ambacho kinatufanya sisi Kuwa na wasiwasi

"Kaka usiongee kwa sauti

Alizungumza dada akimtuliza kaka Abdull ambaye alikuwa na hasira sana kwa wakati huo.

"Weeeh chini nini, Yaani niongee kWa Sauti ya

chini kwa sababu ya nini? Hatutaki aibu kwenye familia Sawa 7 Huyo mpuuzi mwenzio atakubali hiyo mimba na atafata taratibu zote na Utakuwa

mke halali kwake"

Alizungumza kaka kisha akataka kutoka nje kwaajili ya kwenda kumwambia baba, lakini nikawai na kwenda kumzuia mlangoni.

"Kaka Mbona Kama hivyo jamani, kwanza si uzungumze na dada kwanza, si unaona Kuwa hayuko Sawa lakini

Hapo kidogo kaka alitulia na kumuangalia dada kisha kwa upole akamsogelea na kumkumbatia kWa Nguvu sana

Baada ya muda watatu sisi tukaweka kikao chetu na kuweka mambo Sawa kisha kila mtu akaenda kwenye shughuli zake.

Siku iliyofuata Kama kawaida nikaingia zangu ofisini nikiwa na shauku sana ya kuonana na frank, ila mapenzi nyleeeh Akiwa mbele yangu najifanya namlingia akiwa mbali sasa, Ka moyo kanabaki kanamuwaza tu

Niliingia ofisini na kukuta ofisi ikiwa kamya kabisa ni wazi Kuwa frank hakuwa amefika ofisini kwa wakati huo.

Basi kwa unyonge wa hali ya juu, nikasogea na kukaa kwenye meza yangu ambapo nilikutana na kadi nzuri sana ambayo moja kwa moja nilijua Kuwa imetoka kwa frank.

"Dear Anaya, samahani kwa kila kitu ambacho kimewai kutokea kati yetu, Nisamehe kWa

kujujengea mazingira ya Kuwa sikupendi ikiwa

moyo wangu ulikuwa ukitaabika kwaajili yako, nimegundua Kuwa uwezi kunisamehe hivyo nimeamua kwenda mbali na wewe, ubaki

salama nakupenda mno

Weeeeh kwanza nilinyanyuka kWa Jazba na kuanza kulalamika.

"Kwahiyo kukutania tu ndio umeamua kuondoka kabisa si ndio ? Frank nakupenda sana umeenda wapi?"

Haraka nikavuta simu yangu na kumpigia simu frank

Picha linaanza sasa simu ilisikika Ndani ya ofisi umo umo, na muda huo huo ikapokelewa.

"Hellow princess"

Ilikuwa ni sauti ya frank ambaye alinyanyuka akitokea kwenye uvungu wa meza yake ya kazi, shoga yenu nika..
Tangazo - Hostinger
Hostinger
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah

, maana sikutalajia kabisa kusikia neno Kama ilo kutoka kwa frank, moyo wangu ulifurahi sana, lakini kuna Namna nilijikuta nikishindwa kumuamini Franık kutokana na jinsi ambavyo Mimi namfahamu yeye na ukauzu wake.

"Frank Ebu acha mambo yako Sawa? Narudia Tena, chochote kile ambacho kilitokea kati yetu ilikuwa ni mistake na ujinga wangu wa kushindwa kujiheshimu mbele yako"

"Aaaah Anaya usinifanyie hivyo Basi mwenzio, na usiseme hivyo wewe sio mjinga, mjinga ni Mimi ambaye niliweka Hasira zangu mbele pasi na kufikilia kuhusu wewe, Anaya kWa generation hii ni kazi sana kumkuta mwanamke akiwa na usichana wake Karna wewe, ninachoongea Namaanisha nakupenda sana"

Nyieeeeh kWa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-nane-kwanza-ka-moyo-kangu-kakafanya-paaaaah

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-nane-kwanza-ka-moyo-kangu-kakafanya-paaaaah
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.56K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.11K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest