Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*    *SEHEMU YA NANE*  Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
Gonga94 · Stories

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, maana sikutalajia kabisa kusikia neno Kama ilo kutoka kwa frank, moyo wangu ulifurahi sana, lakini kuna Namna nilijikuta nikishindwa kumuamini Franık kutokana na jinsi ambavyo Mimi namfahamu yeye na ukauzu wake.

"Frank Ebu acha mambo yako Sawa? Narudia Tena, chochote kile ambacho kilitokea kati yetu ilikuwa ni mistake na ujinga wangu wa kushindwa kujiheshimu mbele yako"

"Aaaah Anaya usinifanyie hivyo Basi mwenzio, na usiseme hivyo wewe sio mjinga, mjinga ni Mimi ambaye niliweka Hasira zangu mbele pasi na kufikilia kuhusu wewe, Anaya kWa generation hii ni kazi sana kumkuta mwanamke akiwa na usichana wake Karna wewe, ninachoongea Namaanisha nakupenda sana"

Nyieeeeh kWa Mara nyingine huyu kaka ameniambia Kuwa ananipenda jamani eti nikubali au nikatae, lakini naanzaje kumuamini Tena haraka haraka ikiwa ni mtu ambaye aaminiki kabisa, Mimi na yeye hatukuwai ata Kuwa na mazungumzo ya amani zaidi ya vita Mpya kila siku.

"Nitolee ujinga wako hapa frank Sawa 7 Na Leo

iwe mwanzo na mwisho kukuona hapa Nyumbani kwetu Sawa? Halafu Kama utaki pia kuniona ofisini kwenu ni Sawa nitatuma barua ya kuachana kazi ili Nikuache uwe na amani

"Jamani, Mbona Unafika mbali sana kiasi hiko ? Mimi naitaji kuendelea kukuona naitaji uendelee Kuwa partner wangu please usiwe na hasira

kiasi hiko

"Frank unaondoka au nimwambie baba yangu kila kitu ?"

Hapo kidogo frank alishtuka sana kisha kWa

sauti ya utulivu akaniambia.

"Basi wacha Mimi niende, lakini natalajia kukuona tena ofisini Sawa"

"Ondoka Bwana"

Nilizungumza kisha kwa mwendo wa haraka na nikiwa na jazba nikaingia Ndani na kumuacha frank akinishangaa tu.

Frank aliniangalia kwa muda kisha akatabasamu na kuondoka zake

KWa upande wangu nilishika njia moja kwa moja na kwenda chumbani, nyleeeeh nilifika chumbani kwangu na kuanza kurukaruka kwa furaha kama zote, yaaani nilijikuta nikiwa na

raha ya kutosha kudadeki zangu, Sijui niwaambie kitu gani lakini nilikuwa Ninafuraha sana Tena sana......

"Kulikoni mwenzetu Mbona Kama umeshinda Jackpot?"

Aliniuliza dada yangu baada ya kuingia chumbani kwangu na kujikuta nikiwa na furaha isiyokifani.

"Yaaani hapa nasikia kama napaa vile, Yaani nahisi Kama namiliki dunia dada yangu

Nilimwarribia dada yangu kisha nikamkumbatia. "Kuna nini nawe sasa si uniambie"

"Ooooh God kumbe raha ndio ziko hivi, au niseme Kuwa sijawai kupata raha na Leo ndio Mara ya kwanza, eti dada yangu raha ndio ziko

kWa Namna hii au? Yaani hapa ata ukinipa misumari naweza nikatafuna ujue"

Dada yangu akaniangalia kwa muda kisha kwa hasira akaniambia

"Ebu Niache Kama utaku kuniambia furaha yako ni juu ya nini maana hapa nilipo Nina mawazo yangu ya kutosha

Haraka nikamuachia dada yangu na kumuangalia usoni maana Alizungumza akiwa serious sana ni wazi Kuwa kuna kitu kilikuwa kikimsumbua

"Kuna shida qani dada?" Nilimuuliza, swali langu lilionekana Kuwa zito

sana kwa dada yangu ambaye aliishia kuniangalia usoni kisha akanikumbatia kWa nguvu kabisa na kuangua kilic

"Kuna nini dada Mbona unanitisha

Nilimuuliza dada yangu nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu.

"Nimeisha mimi, nimedhalilisha familia yangu mwenzio

"Unaniogopesha dada kuna nini kwani Umefukuzwa kazi au ? Kama ni kazi Mimi nitaongea na flora uje ufanye pale kazini kwetu"

"Sio hivyo, Anaya, Mimi ni mjamzito wa miezi miwili na baba Mtoto amekataa hii mimba,

amesema ili mimi na yeye tuendelee Kuwa na

mahusiano lazima nitoe unauzito, Anaya Mimi naogopa sana, lakini pia sitaki Kuwa single mama

Alizungumza dada yangu akiwa analia sana Tena kwa uchungu wa hali ya juu na hii ilionesha ni kiasi gani moyo wake una maumivu makali.

Kabla sijazungumza kitu chochote kile, gafla

mlango wa chumbani kwangu ukasukumwa na Kaka yetu mkubwa Abdull akaingia na kuuliza.

"Huyo mpuuzi mwenzio anapatikana pande gani

Yooooh kwanza Mimi na dada yangu tulishtuka sana na kubaki tukiangaliana tu, najua wengi

mtashangaa Kwanini tumekuwa waoga sana

lakini taratibu za Nyumbani kwetu ndio kitu ambacho kinatufanya sisi Kuwa na wasiwasi

"Kaka usiongee kwa sauti

Alizungumza dada akimtuliza kaka Abdull ambaye alikuwa na hasira sana kwa wakati huo.

"Weeeh chini nini, Yaani niongee kWa Sauti ya

chini kwa sababu ya nini? Hatutaki aibu kwenye familia Sawa 7 Huyo mpuuzi mwenzio atakubali hiyo mimba na atafata taratibu zote na Utakuwa

mke halali kwake"

Alizungumza kaka kisha akataka kutoka nje kwaajili ya kwenda kumwambia baba, lakini nikawai na kwenda kumzuia mlangoni.

"Kaka Mbona Kama hivyo jamani, kwanza si uzungumze na dada kwanza, si unaona Kuwa hayuko Sawa lakini

Hapo kidogo kaka alitulia na kumuangalia dada kisha kwa upole akamsogelea na kumkumbatia kWa Nguvu sana

Baada ya muda watatu sisi tukaweka kikao chetu na kuweka mambo Sawa kisha kila mtu akaenda kwenye shughuli zake.

Siku iliyofuata Kama kawaida nikaingia zangu ofisini nikiwa na shauku sana ya kuonana na frank, ila mapenzi nyleeeh Akiwa mbele yangu najifanya namlingia akiwa mbali sasa, Ka moyo kanabaki kanamuwaza tu

Niliingia ofisini na kukuta ofisi ikiwa kamya kabisa ni wazi Kuwa frank hakuwa amefika ofisini kwa wakati huo.

Basi kwa unyonge wa hali ya juu, nikasogea na kukaa kwenye meza yangu ambapo nilikutana na kadi nzuri sana ambayo moja kwa moja nilijua Kuwa imetoka kwa frank.

"Dear Anaya, samahani kwa kila kitu ambacho kimewai kutokea kati yetu, Nisamehe kWa

kujujengea mazingira ya Kuwa sikupendi ikiwa

moyo wangu ulikuwa ukitaabika kwaajili yako, nimegundua Kuwa uwezi kunisamehe hivyo nimeamua kwenda mbali na wewe, ubaki

salama nakupenda mno

Weeeeh kwanza nilinyanyuka kWa Jazba na kuanza kulalamika.

"Kwahiyo kukutania tu ndio umeamua kuondoka kabisa si ndio ? Frank nakupenda sana umeenda wapi?"

Haraka nikavuta simu yangu na kumpigia simu frank

Picha linaanza sasa simu ilisikika Ndani ya ofisi umo umo, na muda huo huo ikapokelewa.

"Hellow princess"

Ilikuwa ni sauti ya frank ambaye alinyanyuka akitokea kwenye uvungu wa meza yake ya kazi, shoga yenu nika..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah

, maana sikutalajia kabisa kusikia neno Kama ilo kutoka kwa frank, moyo wangu ulifurahi sana, lakini kuna Namna nilijikuta nikishindwa kumuamini Franık kutokana na jinsi ambavyo Mimi namfahamu yeye na ukauzu wake.

"Frank Ebu acha mambo yako Sawa? Narudia Tena, chochote kile ambacho kilitokea kati yetu ilikuwa ni mistake na ujinga wangu wa kushindwa kujiheshimu mbele yako"

"Aaaah Anaya usinifanyie hivyo Basi mwenzio, na usiseme hivyo wewe sio mjinga, mjinga ni Mimi ambaye niliweka Hasira zangu mbele pasi na kufikilia kuhusu wewe, Anaya kWa generation hii ni kazi sana kumkuta mwanamke akiwa na usichana wake Karna wewe, ninachoongea Namaanisha nakupenda sana"

Nyieeeeh kWa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-nane-kwanza-ka-moyo-kangu-kakafanya-paaaaah

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-nane-kwanza-ka-moyo-kangu-kakafanya-paaaaah
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest