MMMH DADY NIKIKUPA UTANIOA SEHEMU YA 13/14 Kingston alibakia kunitizama tu🙈🙈mi ikabidi nifunge macho yani kuna vile viaibu vya kike
Aliniambia et niende chumbani kwake kwenye droo kuna dawa ya kuchua nimletee🥰🥰🥰..
Nilielekea chumbani wakati naangaza dawa nikashangaa Kingston amenifuata kule chumbani😳😳nilitetemeka😂🙌
Alikaa kitandani akanishika don't be afraid...endelea kutafuta dawa..
Niliendelea kutafuta dawa mpaka nikaipata🥰🥰nilimpatia akaipokea then akaniomba niketi pale kitandani lol lol lol sema kuogopa😂😂🙈
Nilikaa lakini hapo natetemeka mpaka jasho linanitoka🙈🙈
Baada ya kuketi kitandani nikashangaa Boy ananilaza chali 😳😳 apana kaka unataka kufanyaje...
Sauti iliniumbua kwa jinsi nilivyokuwa najisikia hisia mpaka sauti ilibadilika🙈
Alirudia kuniambia Don't worry Zarina tulia mi nataka nikupatie matibabu...
Oooh kumbe basi nikakituliza🙈lakini kila akinigusa jamaa nasisimka mwili mzima😂🙌
Nilipata tabu ukizingatia maeneo anayonishika ni shingoni hisia zote ziko hapooo🙈🙈🙈
Nilimsumbua😂😂😂alikuwa akinishika tu namtoa maana nilikuwa nahisi ni kama ananitekenya🙈🙈
Nini shida zarina just relax nikupake dawa....vipi unaumia?....
🫦🫦ndiyo panaumaa....nilijibu kwa sauti ya chumbani huku nikitamani tu aendelee kunishika shika🙈
Baada ya kumwambia panauma akapunguza spid akawa anasugua taratibu huku akinitizama machoni dah🫦💋..
Aliendelea kunifanyia vile mpaka dawa ikanienea kwenye jeraha lote..
Alipomaliza aliniinua nikaketi akaniambia tena samahani naomba unisamehe kwa kukuumiza..
Mhh ni sawa kaka tayari nishakusamehe...
Nilimjibu huku nikiondoka chumbani kwake🙈🙈nilitamani hata anizuie nibakie kule chumbani jamani😂🙈
Moyo ukazidi kumpenda Kingston bila kujali yale yote niliyoweza kuyashuhudia kwa macho yangu mwenyewe🙌
Wanasema mtu akipenda haoni anakuwa kipofu na maskio anaziba anakuwa hasikii la mkuu wala la nani...ndo kama mimi nilivokuwa kwa Kingston..
Nilijaribu kuficha hisia zangu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nilishindwa💔
Siku moja niliamua kumwandikia barua Kingston maana kuongea naye kwa mdomo nilihisi nitashindwa🙈..
Nilijifungia chumbani kwangu nikachukua kalamu na karatasi mida ya usiku ambapo kila mtu alikuwa yuko chumbani kwake...
"Dear Kingston"
Nilianza hivooo wakati huo vimaneno kidogo vya kizungu nishavikalili kutoka kwa Kingston😩 mara nyingi hupendelea kuongea kizungu yule mkaka🤗🤗..
Nilitililika kila kitu unachokijua wewe😂😂😂hizo nakupenda ndo usiulize nilizijaza ndi🙈
Baada ya kumaliza nikamchorea na kiua cha love pale mwishoni hahahaaa🙈😂😂
Msinicheke maana na nyinyi haya mambo mmeyafanya sana pumbavu zenu kujikuta watakatifu wakati ndo walewale😂😂
Basi bwana nimemaliza kuchora kiua nikamalizia kwa kuandika na jina pale et wako mpendwa zarina hahahaaaa😂😂🙈mpaka najisikia aibu walah..
Basi my wenu nikarudia kusoma isijekuwa kuna michapio nimeandika nikaenda kuiaibika kwa kaka msomi😂😂🙈..
Nimerudia nikaona kila kitu kiko sawa🤗🤗🤗nikaikunja barua yangu vizuri nikamaliza...
Nikainuka na kinguo changu cha kulalia nikafungua mlango nikaelekea chumbani kwa Kingston 🙈🤗
Nilisimama pale mlangoni kwa muda najiuliza nigonge au nisigonge...
Nilikuwa natetemeka mwili mzima😂😂😂mi nishajua Kingston haumwi lolote so nilikuwa na imani nikimgongea atacome down tuonge..
Basi nilisimama pale nazunguka zunguka ka chizi mwisho wa siku nikasema ngoja tu nigonge mlango liwalo na liwe bwana😂😂😂
Niligonga ya kwanza nikatulia....
Nikagonga ya pili nikatulia bado nikasikia kimya🙈
Ya tatu nikagonga kwa nguvu lol nilisahau kama kule ndani kuna wazazi wakinisikia itakula kwangu...
Baada ya kugonga mara tatu mfululizo bwana Kingston alikuja kufungua lakini alikuja na ile hali yake ya uzezeta🙂🙂
Alitizama huku na kule akaona mimi ndo niliegonga akajiweka sawa kisha akanivuta mkono akaniingiza chumbani kwake kimya mkumbuke mkononi ninacho kibarua changu🙈🙈🙈
Nini kitafuata?!...
*SEHEMU YA 14*
Pale chumbani kwa Kingston kulikuwepo na makaunta book yale ya kusomea ...
Ni kama vile alikuwa anajisomea usiku ule..
"Are you ok ??..aliniuliza.."
Mwenzenu nikiulizwa hivyo nasikia kama niko peponi vile🙈🙈...
Nikamwambia yes I'm okay..
Niambie kuna shida yoyote?..
Nikaanza kujikanyaga kanyaga🙈🙈nikajiuma uma hapo.. mpaka akakiona kibarua nilichokishika mkononi si akataka kuninyakua🙄
Aibu ikanishika nikamzuia uuuwww yani aone ujinga niliomwandikia akinifokea je au akinisemea kwa wazazi wake😔😔..
Niliogopa kuiachia ile barua niliitia mdomoni nikaitafuna😂😂😂Kingston alichukia sana..
"what have you done?...
"Sorry😔😔..
Niambie kitu gani ulikuwa umeandika??...
Sikumwambia kusema kweli niliogopa😔😔nilipoona amezidi kuchukia nikamwambia nilikuwa nimekuandikia unipe dawa kichwa kinaniuma sana..
Kidogo akacool akaniambia keti hapo kitandani🙈🙈nikakaa kinguo nikawa nakipandisha juu vipaja vionekane hahahaa😂
Jamaa alinichukulia dawa za kutuliza kichwa akanipatia😂😂😂alafu mjue sikuwa na shida ya kichwa nilidanganya tu kumfanya asichukie😳
Sa nakunywaje dawa bila kuumwa😩😩 jamaa alianza kunibembeleza please just take it kunywa na ujitahidi kunywa maji mengi utakuwa sawa okay
Nikamwambia sawa.... alinipatia dawa mkononi..nikazitia mdomoni nikanywa na maji😩😩kimoyomoyo naomba tu zisinidhuru😂😂
Baada ya kumeza dawa mshikaji akanitoa akaniambia unatakiwa urudi chumbani kwako sasa ili ukapumzike si okay??.
Nikamwambia sawa😩😩 niliondoka kule chumbani kwa Kingston nikaenda zangu chumbani kwangu..
Siku hiyo sikulala😂😂🙌sauti ya Kingston ilikuwa inajirudia rudia masikioni mwangu😩😩
Kulipokucha ule muda wa kwenda kufanya usafi mimi ndo nikaanza kusinzia😂😂 mara nikasikia sauti ya mama Kingston ananiamsha nikafanye kazi..
Niliamka na usingizi wangu nayumba ka mlevi😩😩😂 mbona uko hivyo??.. aliniuliza mama Kingston..
Nikamwambia tu niko sawa mama...aliniambia nisafishe nyumba haraka niwaandalie kiamsha kinywa..
Nilifanya hivyo huku akili na mawazo vikiwa kwa Kingston...
Siku hiyo bwana faza house alikuwa na safari hakuweza hata kumuosha kijana wake..
Na mama naye hawezi kumuosha Kingston ni mkubwa yule...mama hawezi kuthubutu kuuona utupu wake😂😂
Waliniambia mimi ndo nifanye hiyo kazi yani nimfute fute tu sehemu za juu juu then nimuwekee nimsaidie kuvaa nguo💃🏼
Wakazidi kuniweka karibu na mtoto wao bila kujua mwenzao moyo ushazama kwa mkaka yule🤩
Wazazi baada ya kunywa chai waliondoka kwenda kwenye mihangaiko yao ya kila siku..
Nyumbani nikabaki mimi na Kingston😩😩nilimwandalia chakula mezani baada ya hapo nikaelekea chumbani kwake kumwamsha..
Niligonga mlango mara mbili hakufungua😂😂kama kawaida yangu nikausukuma nikazama ndani😩😩
Nilimkuta yuko kwenye usingizi mzito sana🙈🙈alafu sasa🙈🙈alikuwa hajajifunika vizuri🙈
Alikuwa kifua wazi na huku chini alivaa kibukta kifupi kinachoishia mapajani😩 jamani ana libodi lizuri nyieee hiko kifua sasa na vile alikuwa amelala chali🙈
Nilitamani nimlalie😩😩macho yangu yalivutiwa kumtizama pale katikati ya mapaja kuna kitu kilikuwa kimetuna pale🙈🙈
Nilipeleka mkono nipaguse mara ghafla Kingston akafungua macho🙈 nikajifanya nilikuwa nataka kumfunika shuka vizuri😂
"What are you doing??..aliniuliza🙈🙈nikamwambia samahani nilikuwa nataka kukufunika vizuri🙈🙈..
Akaniangalia tu bila kunijibu chochote...nilichukia nikaona ni kama ananipuuzia😣😣nikaamua kuondoka..
Wakati nafungua mlango nitoke Kingston akaniita🗣 zari come here..
Nyieee lisauti lake la asubuhi lizito🤗🤗afu liko romantic aiiishhh😌😌🔥niligeuka nikamwangalia..
Naye akawa ananiangalia tu kisha akaniuliza vipi unaendeleaje?..
Naendelea vizuri..umekunywa dawa??.. nikamwambia hapana mi sina dawa😣😣 aliinuka kitandani akiwa amejifunika shuka akanichukulia dawa kibox kimoja akanipatia...
Utakuwa unakunywa mbili kila baada ya masaa sita..nikamwambia asant🙂 okay bado nahitaji kupumzika niache peke yangu tafadhari..
Khaaa kwa hiyo ananifukuza😰😰😰nilinuna nikatoka nikabamiza limlango nikaelekea chumbani kwangu..
Nilikaa huko mpaka pale Kingston alipokuja kuniita... aliniambia nimwandalie chakula🤗🤗🤗..
Nikamwambia sawa akawa anaondoka hee nikajikuta nimeropoka mama kaniambia nikuogeshe😂
Hahahaaa hapo kwenye kuogeshana😂😂😂usikose sehemu inayofuata..
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni