Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE   SEHEMU YA 7
Gonga94 · Stories

MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Sijui ni kwanini maneno yake yaliniumiza sana, nilijua kuwa amefanya ya kufanya kwa sababu ananipenda sana, kumbe anajifanya kuwa alikuwa ananisaidia, sikuwa nataka kusaidiwa kabisa mimi, ila nilikuwa nataka anipende ili nikatambishie watu ambao walijua nitakuja kuteseka, na pia kwa sababu moyo wangu ulikuwa unamuhitaji sana….

“Kwanza sikukuomba unisaidie, nilikuwa nimeridhika kabisa kuolewa na Yule mzee, kwanza anamvuto sana, nina uhakika ningezaa vitoto vizuri sana, na kingine umesema kuwa umenisaidia kwa sababu unataman nije kuolewa na mwanaume ambae namtaka, basi mwanaume ninae mtaka ni mjeda sio wewe kwanza, anakaa huko mtaani kwetu, nikajibu kwa kujiamin, nikashangaa mwamba amenywea kama amemwagiwa maji vile kisha akaondoka zake…

Kumbe hapo amejaa sumu balaa, yaan alikuwa na hasira kiasi kwamba hata hakulala nyumban, roho ilikuwa inaniuma sana, maana nilikuwa nampenda sana, ila nilimuona kama ana madharau flani hivi, nikataka kama kuyakomesha yale madharau yake na kutengeneza heshima yangu binafsi…

Maisha yakawa yanaendelea kama kawaida, alikuwa ananipa kila kitu, yaan nikisema kila kitu namaanisha, ila hakuwa ana muda na mimi kabisa, nilikuwa najisikia vibaya sana, na kuanza kujilaumu kwa mdomo wangu mrefu, huenda labda mwenyezi Mungu alipanga aje kuwa mume wangu, ila nilivyo na bichwa bovu maskin ya Mungu nimeshaharibu kila kitu mimi…

Nilipendeza nikanawiri, shangazi alikuwa ananipigia simu sana akitaka nirudishe gharama za watu za harusi ety Yule baba anamdai, nikawa hata sipokei simu zake wala kujibu sms zake, niliona kama anataka kunipa stress na wakati nilikuwa nakula kuku kwa mrija huku…

Mwisho nikamblock kabisa asiniletee utani, sasa kwa kipindi chote hicho ambacho nilikuwa naishi na mjeda sikuwah hata mara moja kumuuliza jina lake, tulikuwa hatupigi story wala kuonge kitu chochote kile yaan alikuwa hata akinikuta nimekaa ukumbin basi anapitiliza zake ndani moja kwa moja…

Kweli nilinawiri na kupendeza sana, ila nilikuwa nina upweke wa hali ya juu, nilikuwa najihisi mpweke kuliko kawaida yaan, siku moja nilimfata na kuomba kuongea nae…
“Unataka nini?..
“Kwanini tusikae hata tupige story hata kidogo, yaan tupo wawili tu humu ndani na kila mtu anaishi maisha yake, na jambo la kushangaza hata jina sikujui, kweli, nikaanza kulalamika…

Akarudi na kunigeukia kisha akasema
“Ulisema kuwa kuna mwanaume ambae unampenda, sasa kwanini usingeenda kukaa na huyu mwanaume unaempenda na uachana na mimi, nitakulisha maana nimekuwa kama malaika kwenye maisha yako, ila siwez kukugusa tena, kisha akaondoka zake…

Yale maneno yake yalinifanya nijisikie vibaya sana, na nikasahau kama mimi ndio nimesababisha yote hayo…
Niliingia ndani na kujifungia kisha nikaanza kujiuliza ananichukuliaje huyu, yaan anaishi na mwanamke nyumba nzima kama anaishi na mwanaume mwenzake, ngoja nitamfundisha adabu..

Kesho yake nikaamka mapema sana, ila hata sikumkuta ukumbin, mara akaingia ndani kana kwamba kuna kitu anaenda kuchukua, kisha akatoka na kunambia
“Sitakuwepo kwa mwezi mzima, hela zipo kwenye kabati la vyombo na nina uhakika kila kitu kipo vizuri, kisha akaanza kuondoka zake..

Nikajikuta nimeropoka na kusema “Asante Mungu, aisee alinigeukia na kunikata jicho kisha na yeye akaondoka zake..

ITAENDELEA …
Tangazo - Hongera sana
Hongera sana
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 7


Sijui ni kwanini maneno yake yaliniumiza sana, nilijua kuwa amefanya ya kufanya kwa sababu ananipenda sana, kumbe anajifanya kuwa alikuwa ananisaidia, sikuwa nataka kusaidiwa kabisa mimi, ila nilikuwa nataka anipende ili nikatambishie watu ambao walijua nitakuja kuteseka, na pia kwa sababu moyo wangu ulikuwa unamuhitaji sana….

“Kwanza sikukuomba unisaidie, nilikuwa nimeridhika kabisa kuolewa na Yule mzee, kwanza anamvuto sana, nina uhakika ningezaa vitoto vizuri sana, na kingine umesema kuwa umenisaidia kwa sababu unataman nije kuolewa na mwanaume ambae namtaka, basi mwanaume ninae mtaka ni mjeda sio wewe kwanza, anakaa huko mtaani kwetu, nikajibu kwa kujiamin, nikashangaa mwamba amenywea kama amemwagiwa maji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-general-kumbe-ulinipenda-eee-sehemu-ya-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-general-kumbe-ulinipenda-eee-sehemu-ya
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 13
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 13
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 11
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 11
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE   SEHEMU YA 14
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 14
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE   SEHEMU YA 12
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 12
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 15
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 15
 MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE   SEHEMU YA 10
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 10
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE  SEHEMU YA 16
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 16
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE    SEHEMU YA 9
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 9
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 8
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 8
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 6
MR GENERAL : KUMBE ULINIPENDA EEE SEHEMU YA 6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

8.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.18K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

1.91K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

1.91K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

1.63K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest