Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 14       “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
Gonga94 · Stories

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



“Sawa”


Nilijibu kWa sauti ya kutaka kulia kabisa Ila mapenzi nyie me si mke wa mtu jamani 😫.

“Aaah mama yangu Alipata shida ya akili miaka 6 nyuma baada ya baba yetu na Mdogo wetu wa mwisho wa kike kufariki kwenye ajali ya gari, kilikuwa ni kipindi kizito sana kwetu lakini kWa mama ilikuwa ni ngumu zaidi kutokana na umri wake, baada ya muda mama akakaa Sawa na Mimi nikapata kuoa mwanamke ambaye alimpendana sana na mama yangu, walikuwa ni marafiki wa Karibu sana na Nilijibunia wao, lakini tatizo la mama limerudo upya kabisa baada ya mke wangu kufariki”

Hapo max akatulia kwanza na kuangalia chini akizuia nisiyaone machozi yake.

Kiukweli nilijikuta nikimuonea huruma sana max wa watu ambaye alikuwa na huzuni sana.

“Kuna muda najiuliza ni Mungu ndio anataka Nipitie haya au ni kitu Gani 🥹💔 unajua mke wangu Alipoteza maisha akiwa kwenye wodi ya wazazi akipambania Mimi kuitwa baba”

Hapo max alilia kwa sauti kabisa kutokana na maumivu makali ambayo anayo moyoni mwake.

KWa utulivu wa halafu ya juu nikasogea Karibu yake na kumkumbatia kwa nguvu sana na kuruhusu alie kwenye kifua changu.

“Nia maisha mazuri Sawa lakini sina amani, sina furaha kwenye maisha yangu, Shamsa nimeenda mpaka kwenye nchi za watu uko nikiamini Kuwa nitakuwa Sawa lakini wapi Leo hii Nipo hapa, nimeshindwa kupona maumivu makali ambayo ninayo”

“Usijali max Utakuwa sawa dear “

Niliendelea kumtuliza pale mkaka wa watu na ni wazi alikuwa na maumivu sana moyoni mwake.

Sijui ata usingizi ulitupitia muda gani maana mpaka asubuhi yaaani na wa kwanza kuamka ilikuwa ni Mimi Ila Kasheshe lilikuja kwenye kunyanyuka Bwana 😂🙌 Yaani max alikuwa amelala juu yangu Tena kalala usingizi Mzigo kabisa na mikono yake Amezungushia kwenye kiume changu Kama kwamba alikuwa amekumbaatia mto.

“Sijui nimuamshe ?”

Nilijiuliza kimoyomoyo uku nikiendelea kumuangalia vizuri kabisa, my zangu huyu kaka ni mu handsome aswaaah Walahi huyu mama amejua kupata watoto wazuri.

Muda huo huo simu ya max ikaanza kuita na kwakuwa ilikuwa na sauti Kali sana max Aliweza kusikia na kuamka.

Kitendo cha max kufungua macho yake na kukutana uso kWa uso na Mimi lakini pia kwa jinsi alivyokukuwa amenilalia na kunikumbatia alijikuta akishtukaa sana na kwa haraka akanyanyuka na kusimama akishangaa tu mwisho akaniuliza.

“Ni Mimi ndio nimelala hivyo na umeniacha tu ??”

“Unamaanisha nini ??”


Nilimuuliza..

“Namaanisha Yaani ndio nimelala
Juu yako hivyo na nimejiachiia na huu uzito niliokuwa nao halafu umeniacha kweli ? Hivi umeweza ata kulala au ndio nimekutesa Binti wa watu ?”

“Max Bwana relax ata hivyo nimelala vizuri kabisa Yaani nimelala bila wasiwasi ondoa Shaka dear “

“Mmmmh ungenipiga ata konzi tu ningeamka”

Nilijikuta Nikacheka tu na muda huo huo sauti ya mama mzazi wa max ikasikika ikiita.

“Frida, frida, muda wangu wa uku huu ujue “

Nilimuangalia max na kumuuliza.

“Frida ni Nani au ni Mdada wako wa kazi ??”

KWa sauti ya huzuni sana max akajibu.

“Frida ni Jina la mke wangu, Mara nyingi amekuwa akimpikia uji mama kila asubuhi, aaah nilikuwa na dada wa kazi lakini ni siku ya Tatu Leo tangu aache kazi na kuondoka “

“Unaweza kunionesha jiko lilipo ??”

Nilimuuliza max nikiwa nataka kwenda kumuandalia mama yake uji.

“Unataka kufanya nini Shamsa? Kama ni kwaajili ya mama usijali, namtuma tu huyu mlinzi anaenda kumnunulia kwenye hii cafe hapa chini anamletea “

“Haina haha nitafanya hivyo please usikatae “

Basi max wa watu akakubali pale na moja kwa moja aakanionesha jiko lilipo na kila kitu na nikaanza kuandaa uji wa mwanamama huyo.

Nikiwa naandaa uji huo nilijikuta nikiwakumbuka sana watoto wangu ambao walikuwa wakipenda sana uji na Nimekuwa nikiwapikia kila asubuhi.

“Sijui Kama mnapikiwa uji kwa sasa “

Nilizungumza kWa sauti ya huzuni sana.

Baada ya muda kila kitu kulikuwa Sawa kisha Mimi na max tukajuandaa na kutoka na safari ikiwa ni kwenda gym kwaajili ya kuendelea na majukumu yetu ya kila siku.

“Kuna sehemu tutapitia kwanza nataka Kuna vitu nikafatilie”


Alizungumza max muda huo Mimi na yeye tulikuwa Ndani ya gari.

“Wapi Tena naa wewe jamani Mbona tunazulula tu “


Nilianza kujilalamisha Mwenyewe kwa kujidekeza kWa mkaka wa watu 😂🙌.

“Ni sehemu muhimu sana, Yaani hii sehemu anaijua mama yangu, baba yangu, mke wangu na Mdogo wangu tu Yaani ata marafiki zangu wa Karibu sijawai kuwaonesha na wewe ndio wa kwanza “


“Ata Neha ajui?”

Nilimuuliza.

“Yaaah ajui, halafu Neha sio Rafiki yangu Bwana ni shemeji yangu, Mimi na mume wa Neha ndio marafiki sana ila kwakuwa nega ni mcheshi sana na anaupendo wa hali ya juu nimejikuta nimemzoea sana Neha”

Hatimaye gari ikapaki nje ya ghorofa kubwa sana na refu mno, sehemu kubwa ya ghorofa ili ilikuwa ni kioo tu.

“Max subili kwanza ndio unaingia umu Ndani au ?!”

Nilimuuliza.

“Naingia au tunaingia nawe ? Tunaenda Ndani na sio juu sana ni ghorofa ya 14 tu hapo na tunatuma lift”


Nilimuangalia max kwa muda kisha nikaamjibu.

“Wewe nenda tu Mimi utanikuta hapa hapa Nina shida na hizi lift Yaani nikipanda tu Natapika mfululizo “


😂🙌 nicheke kwanza halafu Kuwaambie, kusema zangu za ukweli hizo lift nazisikia tu na kuziona kwennye tv lakini sijawai kupanda ata siku moja 😂🙌.

Kitu kingine haya majumba marefu nayo uwa yananiwazisha sana 😂🙌, Yaani kiufupi nayaogopa.

“Shamsa tutatembea tu wewe ni Rafiki yangu si ndio please usikatae “

Nyie huyu kama anajua kubembeleza Bwana, Mwenyewe nikajikuta nikikubali na kumwambia.

“Shikilia mkono wangu pasi na kuachilia “


“Hakuna Shaka “

Kukaa wa watu akanifungulia na mlango was gari na kwa pamoja tukaingia Ndani, kwa mara ya kwanza nikapanda lift na muda wote nilikuwa nimemkumbatia max nikiwa nimefunika mmacho yangu.

“Tumefika mama “


Alizzungumza max akitaka nimuachiie lakini pia nifungue macho yangu.

Kitendo cha Mimi tu kufungua macho, Yaani ni uso kWa uso na Mume wan hi Hamd ambaye alikuwa anataka kupanda kwenye lift hiyo.

JE NINI KITAJILI ?

TUKUTANE SEHEMU INAYO…..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”




“Sawa”


Nilijibu kWa sauti ya kutaka kulia kabisa Ila mapenzi nyie me si mke wa mtu jamani 😫.

“Aaah mama yangu Alipata shida ya akili miaka 6 nyuma baada ya baba yetu na Mdogo wetu wa mwisho wa kike kufariki kwenye ajali ya gari, kilikuwa ni kipindi kizito sana kwetu lakini kWa mama ilikuwa ni ngumu zaidi kutokana na umri wake, baada ya muda mama akakaa Sawa na Mimi nikapata kuoa mwanamke ambaye alimpendana sana na mama yangu, walikuwa ni marafiki wa Karibu sana na Nilijibunia wao, lakini tatizo la mama limerudo upya kabisa baada ya mke wangu kufariki”

Hapo max...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya-14-yaaah-mke-wangu-shamsa-nafikili-ungekaa-kwanza-then

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 15 🔥      Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 13        KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 13 KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 08
   MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 09....10        Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 12         Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

519
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

505
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

428
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

326
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

300
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

299
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

149
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

44
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

39
MALAIKA SEHEMU YA 2

MALAIKA SEHEMU YA 2

29

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest