Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nimekuja kuamka nipo hospitali ya mount meru, na wakati huo ilikuwa ni mchanam nikajua kuwa ni lazima nilikuwa nimepoteza fahamu kwa usiku mzima, na kweli ilikuwa hivyonna jina la kwanza kulitaja baada ya kufungua macho ni omary …

Mama yangu alikuwa pemben yangu, akaniangalia kisha akasema “ zinura mwanangu ndio kwanza umeamka, nambie una sikia njaa..
Ni kama sikusikia swali la mama yangu, nikawa na mimi nauliza swali kuwa omary yupo wapi?..
“ yupo mwanangu, yupo pona kwanza utaenda kumuona, mama yangu alisema, ila alikuwa ababuabfalia kwa sura ya majonzi ikionesha wazi kuwa omari hakuwa sawa kama mama anavyosema, nilielewa nikajikuta naanza kulia, na kusema “ mama kawashikeni wakafungwe wamemuuwa omari wangu na wakati hakufanya jambo lolote lile, mama sisi hatukuwa tumewakosea kabisa, ila sijui ni kwanini walitufanyia hivi, na sijui ni kwanini walimuuwa omari wangu mama, wamemuuwa omari nimeona kwa macho yangu mwenyewe, nikawa naendelea kusema…

Mama yangu akaangalia chini kwa sekunde kadhaa kisha akashusha pumzi na kutoka na kuniacha pekee yangu wodini, nakuja kumuangalia kupitia kioo kilichopo dirishan namuona akiwa analia, hali hio ikanitia mashaka sana na mimi nikajikuta nalia pia, maanan nilikuwa nina uhakika kuwa omari wangu tayari atakuwa ameshakufa..

Nilikaa hospital siku ile, ila nilipewa p2, na vidopnge vya kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi zile pep nikapewa na kuambiwa natakiwa kuanza kumeza kwa siku 28 na baada ya miez mitatu niende nikapime tena..

Basi nimerudi nyumban kila mtu anakuja kunipa pole, na akili zangu nikawa naamin kuwa wananipa pole kwa sababu omary wangu amefariki, na kila mtu alikuwa ananionea huruma, nilijikuta naona aibu hata kwenda shuleni kumalizia mitihani yangu ya kidato cha nne, maana tulifanya mahafali kabla ya mtihani, na najua huenda ningefaulu vizuri maana nilikuwa ni miongoni mwa wanafunzi wanaofanya vizuri sana kwenye shule yetu, yaan omari alikuwa ni lazima awe wa kwanza na mimi nilikuwa nacheza namba mbili mpaka tano ila mara nyingi nilikuwa nakuwa watatu na wanne kishule na hata mtihani wa mock nilipata division one ya 16, ila sikutaka kwenda shule nilikuwa najiona kama nina mkosi au laana…

Baada ya kama siku kadhaa kuanzia nirudi, wazaz wa omari walikuja, walikuwa wanaonekana kama watu wenye maishaa duni sana, maana mama yake alikuja peku na baba yake alivaa viatu, ila alikuwa anaonekana kama alikuwa anatembea peku tu maana lapa lilikuwa limetoboka sehemu yote ya kisigino…

Wakanifata na kunipa pole, maana taarifa za yaliotutokea yote walikuwa nazo, kisha wakaniuliza kuhusu mtoto wao omari…
Nikajikuta naanza kulia, kwa sababu sikuwa najua hata naanza kuwasimulia nini na naanza kuwasimulia vipi, kwa sababu kila nitakachoonge nilihisi ni kama kingekuwa kinakata sehemu ya moyo wangu kwenye vipisi vipis,ila wakanisihi sana, na sikuwa na namna zaidi ya kuwasimulia kuanzia jambo lilivyo anza mpaka mwisho, na wakaniomba niwaambie kuhusu vijana ambao walifanya matendo hayo, na kweli nilikuwa nawakumbuka na baada ya kufanya tukio wote waliondoka kijijini sijui hata walienda wapi, ila nikawatajia, mama yake akaanza kulia, ila baba yake akasema “ ni lazima watalipa damu ya mwanangu, kisha wakaondoka…

Baada ya siku kadhaa mazishi ya omari yakafanyika, ingawa mwili wake haukupatikana, ila waliona bora wazike tu hata jina, maana kumsubiri mtu ambae hauna uhakika kama atapona au laa ni ngumu sana..

Basi bana maisha yakaendelea na kwakuwa nilikuwa na msongo wa mawazo ambao ulipelekea kutomaliza kidato cha nne, maisha yakaanza kuwa magumu, ila nilikuwa na rafiki yangu mmoja alikuwa anaitwa mwajuma, akanambia twende mjini tukatafute maisha , maana tukiendelea kukaa nduruma tu basi maisha yetu yatakuwa ni hapo tu kama wanakijiji mpaka mwisho wa maisha yetu…

Hapo ilikuwa tayari imeshapita miaka kama sita, na sikuwah kutaka kujihusisha na mahusiano, kuna namna nilikuwa najiona kama nina laana, na nilijikuta nahisi huenda kifo cha omari nitasababisha niishi maisha yangu yote kama mjane niliefiwa na mume nikiwa katika umri mdogo sana…

Basi tulienda arusha kutafuta kazi za ndani, na tunamshukuru Mungu mwajuma alipata pale pale arusha ila huyo boss wake akanambia kuwa ana ndugu yake, ambae alikuwa anaishi dar es salam kwa kipindi hicho alikuwa nae anataka mfanyakazi, ila akanipa na tahadhari na kunambia kuwa “ ana mtoto mmoja wa kiume ambae ni muhuni kupita maelezo, hivyo nikifika pale nifanye kazi na niachane na maisha yao, ila wanampenda na kumuenzi kama jicho maana ni mtoto wao wa pekee na wamempata kwa tabu sana…
Nikauliza kwanini unasema wamempata kwa tabu, ila hata hakunambia sababu…
Basi kesho yake nikaongea na huyo mama ambae ndio ataenda kuwa boss wangu mpya, alikuwa anasauti nzuri na alikuwa anaongea kwa upole sana, yaan mpaka nikaona ehee nimeshapata boss mzuri sana, na kesho yake akatuma nauli, na Yule mama akanipandisha kwenye saibaba enzi hizo ndio lilikuwa gari classic sana arusha, na safari ikaanza…

Nilikuwa nasali bara bara nzima kuwa nipate hela nije kuwasaidia wazaz wangu na kijiji changu, na mungu anijalie nipate boss mzuri ambae hatanitesa wala kunisimanga kutokana na hali yangu, na kwa kipindi hicho hata urembo wangu ukaanza kupungua kutokana na ugumu wa maisha uliopelekewa na kukosa matunzo mazuri kwa mtoto wa kike kama mimi….

Nilifika dar saa tisa mchana, kipindi hicho magari yalikuwa yanakimbia kama yametumwa, maana hakukuwa na tochi barabaran na sikuja kupokelewa na mama wala baba mwenye nyuma, wala kijana wao, ila nilikuja kupokelewa na mlinzi kutoka ubungo hapo…

Basi bana alikuwa amekuja na gari na safari ikaanza, tukaenda mpaka klwenye nyumba moja ipo huko mbezi beach, kiukweli ilikuwa ni nyumba nzuri sana, na nahisi kwenye maisha yangu yote ambayo nimeshakaa kijijin sikuwah hata kwa bahati mbaya kuingia kwenye nyumba kama ile, na nilipokuwa mdogo nilikuwa nahisi majumba makubwa yenye kengele wanakaa wazungu tu, ila ushamba huu..

Basi bana nikaingia ndani, yule mama alikuwa mkarimu sana nay eye akanipa onyo kama ambalo amenipa Yule bosi wa shoga yake mwajuma kuwa “ nina kijana wangu, sijajua atarudi lini, ila anaweza kuja hata leo, na hajatulia kabisa, naomba ufanye kazi na uachane na mambo yake, sitegemei kuja kuharibu maisha yako, maana najua ulipotoka maisha sio mazuri ndio maana umekuja kutafuta maisha…
Nilimuitikia kuwa nimemuelewa na hatimae nikaanza kufanya kazi..
Basi zilipita kama siku nne, jion ya siku hio nikasikia mlinzi akisema bro karibu sana..
Sikujisumbua hata kumuangalia ila alicheka kisha akasema “ nasikia mama ameleta pisi mpya, embu nambie nikali ee..
Ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu, ikabidi nichungulie, lahaula! Nashangaa nakutana na sura ya omari…

ITAENDELEA ……..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2


Nimekuja kuamka nipo hospitali ya mount meru, na wakati huo ilikuwa ni mchanam nikajua kuwa ni lazima nilikuwa nimepoteza fahamu kwa usiku mzima, na kweli ilikuwa hivyonna jina la kwanza kulitaja baada ya kufungua macho ni omary …

Mama yangu alikuwa pemben yangu, akaniangalia kisha akasema “ zinura mwanangu ndio kwanza umeamka, nambie una sikia njaa..
Ni kama sikusikia swali la mama yangu, nikawa na mimi nauliza swali kuwa omary yupo wapi?..
“ yupo mwanangu, yupo pona kwanza utaenda kumuona, mama yangu alisema, ila alikuwa ababuabfalia kwa sura ya majonzi ikionesha wazi kuwa omari hakuwa sawa kama mama anavyosema, nilielewa nikajikuta naanza kulia,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.06K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

651
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

617
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

578
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

528
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

413
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

351
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

118
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest