Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mapigo yangu yakaanza kwenda mbio, lile giza giza la pale likaanza kuleta tasiwra ya omari wangu wa kweli ambae hajaanza kutakata kwa pesa, Yule omari ambae ngozi yake ilikuwa imefubaa kutokana na kushinda kulima mashamnba ya vibarua huko unguuni ambapo ndio alikuwa anaishi..
Omari ambae kupaka mafuta ilikuwa kama sherehe au kitu kikubwa sana kwake, na siku akipata mafuta mazuri kidogo lazima atakuja kunisimulia kuwa amepaka mafuta ya tofauti na atataka nisikie harufu yake, machozi ndio yalizidi kunitoka kila alipopiga hatua moja na kukaribia kunifikia…

“ mbona unalia? Aliniuliza baada ya kufika karibu yangu..
Niliskosa cha kumjibu na badala yake nikageukia upande wa pili kisha nikaaanza zangu chini na kusema “ samahan naomba kukaa pekee yangu..
“ no zinura siwez kukuacha pekee yako ukiwa katika hali kama hio, akanambia..
Kwa namna alivyoongea ni kama omari wangu, alikuwa anapenda kunambia hivyo wakati ambapo nikiwa nimeanguka kimasomo, au nimekerwa na mtu, nilikuwa napenda kujitenga na kulia, hivyo anakuja karibu yangu na hata nikimfukuza alikuwa akikataa kuondoka na kunambia hawezi kuniacha katika hali kama ile…

Nilijikuta nimeinua macho yangu na kumtazama kisha nikasema “ embu nambie wewe ni nani, na kwanini nikitane na wewe jamani..
“ una maanisha nini? Akauliza kana kwamba hakuwa ameelewa nilikuwa naongea nini…
Nilishindwa kupata jibu, nikajikuta nainamisha macho yangu na kulia tena, aisee nililia sana na akawa ananipiga piga mgongoni huku ananiomba nimuambia nina shida gani…

Kwa kuwa alisisitiza sana ikabidi nimsimulie kila kitu kuhusu mimi na omari na mambo yote yaliotokea, alionekana kunionea huruma sana, na kumtakia omari apumzike mahala pema peponi…

“ ni kweli atapumzika mahala pema peponi na vipi kuhusu mimi? Nikamuuliza..
“ una maanisha nini ukisema hivyo dhinura? Na yeye akaniuliza tena..
“ mimi hatma yangu itakuwa je, kwa sababu sijui Mungu ana maamuzi gani na maisha yangu, kwa sababu kanikutaisha na mwanaume kama omari tena, ambae ni wewe, umefanana nae kila kitu, yaan kuanzia mwendo, sauti, sura, hizo dimpozi namna unavyotamka jina langu, kwanini lakin nimekuja kukutana na mwanaume kama omari tena…

Nabil akashusha pumzi kisha akaangalia chini kwa sekunde kadhaa na kusema “ huenda kuna historia ya mapenzi hukuimaliza kati yako na omari ndio maana akakukutanisha na mimi, huenda alitaka hio simulizi ikamilike na tabasamu na sio huzuni tena…

Maneno yake ni kama yaliongeza kitu moyoni mwangu, nikamuangalia na kusema “ huenda ni kweli..
Basi tukakaa pale na kuanza kupiga zoga pale, mwisho usiku ulikuwa mkali sana, ikabidi tiuagane na mimi nikaenda kwenye chumba changu nay eye akaenda kwenye chumba chake…

Sasa nimeshaoga nimemaliza kila kitu, nikaanza kuhisi kiu, nikatoka chumban nilipo na kwenda ukumbini labda nitaona jiko, ila wakati natoka chumban kwangu, nikamuona nabil chumba chake na changu vilikuwa vinaingiliana, hakuwa amefunga mlango vizuri, na alikuwa ameinama chini kana kwamba alikuwa analia…

Nilijisikia vibaya, na kusogelea mlango wake na kuusukuma, mpaka nasukuma hakuwa amenisikia, ikabidi niite na kuuliza “ shida nini mbona upo kwenye hali kama hii, kwanini unalia?...

Hata hakunijibu akaja mpaka nilipo kisha akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akanikumbatia kwa nguvu, yaan alinikumbatia mpaka akaanza kutetemeka na nilikuwa nasikia mapigo yake ya moyo yanaenda kasi sana…
Sasa lile kumbato la nabil ni kama nikaanza kyhisi joto la omari maana alishawah kunikumbatia mara kadhaa na joto la omari nilikuwa nalikumbuka, na ndio hilo ambalo nililihisi siku hio, nikashangaa nabil nay eye kama uzalendo ukamshinda, akaanza kama kuzifuta lips zangu na kidole gumba chake, basi tukajikuta tunaanza kukiss…

Mwili wangu ulikuwa unasisimka sana, nilijikuta na kuwa na hisia za ajabu, yaan kila mguso na namna ninavyozisikia pumzi zake zilikuwa zinazidi kunipa ukichaa, na kusahau kabisa kama nabil alikuwa ni boss wangu…

Najua nabil alikuwa Malaya sana, kwa namna ambavyo watu wengi waliniambia, ila kuna namna hisia zangu zilinisaliti kabisa, nikajikuta nakosa maamuzi na hisia ndizo zikawa zinaniamulia, akaanza kunikiss sana, alikuwa anaonekana nay eye kama alikuwa na hisia sana na mimi, tukakiss na romance za hapa na pale kwa karibu nusu saa nzima, yaan mpaka nikajiona naanza kuzama mazima sehemu ambayo hata sikutegemea kuzama..

Basi tumekiss pale weee, kisha akasema “ mimi ni omari mamaa, naomba usinikataze kufanya ninachotaka kufanya…
Alikuwa anaongea huku pumzi zikiwa zinatoka kwa tabu sana kwa sababu alikuwa ana hema haraka haraka sana kana kwamba alikuwa anakimbizwa…
Nilikuwa nimevaa dera tu, akaanza kunipapasa akagundua sikuvaa nguo zingine, kwa sababu nilikuwa najiandaa kulala, nikashangaa abdala kichwa wazi anazidi kusimama kama mlingoti wa chuma…

Kwa namna ambavyo alikuwa anaonekana amezidiwa sana, akanivua dera akatupa huko, kisha akanitupia kitandani, yaan ule utamu ambao nilikuwa nausikia kwa maandalizi sikuwah kuusikia kuanzia nimezaliwa, kwanza sijawah hata mara moja kufurahia utamu wa mapenzi, kwa sababu toka nilipofanyiwa ukatili na wale wa huni, ni kama nilikuwa naogopa sana wanaume, hivyo sikuwah hata mara moja kufanya kwa hiari yangu na siku hio ndio ilikuwa mara ya kwanza kwangu…

Baada ya maandalizi kabambe akaanza kupitisha mtalimbo wake taratibu, kama anataka au hataki vile, yaan ni kama alikuwa ananinyanyasa kihisia, nikaona usinitanie, nikamvuta mpaka nikasikia mtambo wake umepita wote mpaka mwisho wa kuta za maumbile yangu, nilidhani nitaumia ila ndio kwanza utamu ulizidi….

Baada ya kufanya hivyo ndio kama nilimpa nguvu sasa za kunipiga shoo ya maana, na kweli hakunilazia damu, ilikuwa ni shoo shoo, na hapo sikumbuki kabisa kama ni boss wangu na natakiwa nimuheshimu, ila nikawa naililia kabisa…

Sasa shoo imeenda imeenda akawa anakaribia kumaliza nashangaa anasema “ sema omari, niite omari ahhhh mamaaaa, niite omari…
Kwa kuwa nilikuwa namimi nimetaitishwa, nahisia zilikuwa juu kiasi kwamba nikawa kama zoba, basi nikaita omari kwa ile sauti ya kutolea nyoka pangoni, aisee alishusha pumzi kisha akafunga macho na kusema “ ahhhh zinura, zinura wangu, ohhhh mamaaa, niite tena, ahhh mamaaa niite tena, shiiiit wewe mtoto, wewe mtoto say my name please, basi nikaita tena omari wangu, aiseee akaanza kutetemeka kama generator mbovu kisha akaanza kusema “ namaliza namaliza kipenzi changu, nipokeee, nipokeeee, nipokeeeee ahhhhhhhh…

ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5


Mapigo yangu yakaanza kwenda mbio, lile giza giza la pale likaanza kuleta tasiwra ya omari wangu wa kweli ambae hajaanza kutakata kwa pesa, Yule omari ambae ngozi yake ilikuwa imefubaa kutokana na kushinda kulima mashamnba ya vibarua huko unguuni ambapo ndio alikuwa anaishi..
Omari ambae kupaka mafuta ilikuwa kama sherehe au kitu kikubwa sana kwake, na siku akipata mafuta mazuri kidogo lazima atakuja kunisimulia kuwa amepaka mafuta ya tofauti na atataka nisikie harufu yake, machozi ndio yalizidi kunitoka kila alipopiga hatua moja na kukaribia kunifikia…

“ mbona unalia? Aliniuliza baada ya kufika karibu yangu..
Niliskosa cha kumjibu na badala yake nikageukia upande wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

670
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

627
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

553
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

535
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

396
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest