Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi baada ya mambo kumalizika, sio siri nilikuwa najisikia vizuri sana, ingawa najua sikupaswa kutembea na boss wangu, tumemaliz akaniangalia kisha akaanza kuniomba msamaha, akaingia chumban kwake akatoka na p2 akataka nimeze, sikukataa kwa sababu pia sikutaka kubeba mimba zisizotarajiwa hata kidogo…

Baada ya hapo akataka kuondoka pale chumban, ila nilitaman sana kuongea nae, alisema yeye ni omari, zile ni akili za hisia au alikuwa ana maanisha, au alisema hilo jina kwa sababu nilimsimulia kuhusu mimi na omari…
Nikaita omari, akatabasamu, kisha akanambia “ umeschanganikiwa eee, au ndio umeshammiss mwanaume wako?..
“ ulinambia nikuite omari kumbuka, nambie wewe ndio omari? Na imekuwaje mpaka ukafika hapa, na imekuwaje pia mpaka ukawa mtoto wa hii familia na wakati wazaz wako nawajua…
“ usihoji sana mambo ambayo hayana majibu, naitwa nabil Mustapha, ila nilihisi una hisia sana na omari ndio maana nikakuomba uniite hilo jina, na sikuwa na maana yoyote ile, na kuanzia leo nao mba tusahau kila kitu ambacho kimetokea na tuishi kama ambavyo tulikuwa tunaishi mwanzo na nashkuru sana ila nakuahidi hili lililotokea halitakaa litokee tena…

Maneno yake kuna namna yakawa yananiuma sana, yaan inawezekana vipi anambie nisahau kitu ambacho kimetokea dakika chache zilizopita, ila nikatikia sawa tu, kisha nikajiambia kuwa nimekuja kufanya kazi na sio kutafuta mpenzi hivyo natakiwa kuhangaika na kazi yangu na sio vijana wa watu…

Basi nikatoka kwa sababu mimi ndio nilienda chumban kwake, nikaingia kwangu kisha nikaoga, ila msisimko na mawazo ya shoo ndio yakawa yananitesa sana, kwa sababu sikuwah kufanyiwa niliyofanyiwa na nabil kuanzia nimezaliwa, yaan hili ndio tendo la kwanza nililofanya kwa ridhaa yangu mwenyewe…

Basi kulipambazuka, na shughuli za kawaida zikawa zinaendelea, na tulivyoamka kuna watu wengine wakaja kuungana na sisi kwenye ile vocation na inaonekana kama familia ya Yule mwanaume maana asilimia kubwa walikuwa kama waarabu hivi..

Walikuwa na upendo sana na baba na mama yake nabil wakanifanya kama mwanafamilia, na sikwenda pale kama kijakazi, kama ambavyo nilidhani, sikuruhusiwa kufanya kazi yoyote zaidi ya kujumuika na familia kwenye shughuli zote za kifamilia…

Sasa bana kuna ndugu yao mmoja yeye ndio kidogo alikuwa mweusi, ila alikuwa na nywele nzuri balaa, akanifata na kuanza kuniuliza mimi ni nani? Kwa sababu hakuwah kuniona, basi nikamuelezea na tukaanza kupiga story sasa, alikuwa ni mchangamfu sana, yaan ukikaa nae alafu ukanuna lazima ukachekiwe bandama maana lazima itakuwa na shida…

Sasa kumbe nabil amekaa na ndugu zake, sijui ndio ananimissigi au vipi, nashangaa anakuja kukaa ambapo nilikuwa nimekaa na Yule ndugu yake, alikuwa anaitwa faisal ..
“ usinambie umevutiwa na mtoto mzuri, akasema nabil ..
Faisal akacheka kisha akasema “ kwani kosa lipo wapi na unajua kabisa mimi nipo single na dada si haujaolewa pia? ..
“ ndio, na hapa nilipo natafuta mchumba, nikajibu nashangaa nabil anaanza kucheka kisha akaanza kusema “ kwa hio zinura ndio ulikuwa unanidanganya si ndio, sasa si ungesema tu hunipendi nijue moja..

Kwa akili yangu nikajua ni utani wa kawaida, ila kumbe nabil alikuwa ana maanisha kila neno ambalo alikuwa analiongea, nikajibu “ nyie wote wazuri bana mimi siwez kuchagua, hapa tutangalia mwenye kisu kikali tu..
“ mwenye kisu kikali ndio mlanyama au sio? Akauliza nabil..
“ swadakta sikujua kama unaakili ya kujiongeza kiasi hicho, nikajibu huku nacheka zangu nikijua tunataniana tu..

ITAENDELEA
Tangazo - CHUKUA BONASI YAKO
CHUKUA BONASI YAKO
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6


Basi baada ya mambo kumalizika, sio siri nilikuwa najisikia vizuri sana, ingawa najua sikupaswa kutembea na boss wangu, tumemaliz akaniangalia kisha akaanza kuniomba msamaha, akaingia chumban kwake akatoka na p2 akataka nimeze, sikukataa kwa sababu pia sikutaka kubeba mimba zisizotarajiwa hata kidogo…

Baada ya hapo akataka kuondoka pale chumban, ila nilitaman sana kuongea nae, alisema yeye ni omari, zile ni akili za hisia au alikuwa ana maanisha, au alisema hilo jina kwa sababu nilimsimulia kuhusu mimi na omari…
Nikaita omari, akatabasamu, kisha akanambia “ umeschanganikiwa eee, au ndio umeshammiss mwanaume wako?..
“ ulinambia nikuite omari kumbuka, nambie wewe ndio omari? Na imekuwaje mpaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

8.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.18K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

1.91K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

1.91K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

1.63K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest