Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NASEMA KWA MAMA*  *SEHEMU YA SITA 06, 07,
Gonga94 · Stories

NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????NASEMA KWA MAMA*

*SEHEMU YA SITA 06, 07,

Endeleanayo.....
*
*
Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

****
****
Dokta alisimama na kuzitupa zile picha mezani huku anaendelea kusoma ule ujumbe alioandikiwa.

"" "Katika hili usije kujidanganya ukaja na jeshi la polisi ili unikamate. Hautofanikiwa, na endapo utamkamata mmoja ujue kuna wengine wawili nyuma na watasambaza kila kitu na kukichafua kabisa hospitali yako..

Kulinda heshima na hadhi yako kwenye mji huu wa Moshi na Moureen hospital iwe kubwa tafadhali jitahidi ndani ya siku tatu hizo pesa zipatikane..

"" "" "Au huu mchezo na Frenk kahusika eti.. Imekuwaje video kama hii irekodiwe. Kuna kitu Frenk anakijua... Aliongea mwenyewe Mama yake Dayana na kuzirudisha zile picha kwenye bahasha kisha kutoka nazo kwenda hadi kwenye gari....

******
******
Ndio Mkuu.. Mimi nimepangiwa kituo hiki cha kazi naomba ushirikiano wako ili kusukuma gurudumu la elimu kwa Vijana hawa.. Niliongea na kupeana mkono na Mwalimu mkuu wa ile shule...

Nilitoka nae ili aende kunitambulisha kwenye Ofisi ya walimu na baadae kwa wanafunzi wote.

Timekeeper aliitwa na kuambia agonge kengele ya dharura na wanafunzi wote waende Mstarini...

Nilienda na mkuu wa shule hadi kwenye ofisi ya walimu na kutambulishwa kisha kupewa meza na kiti ambayo itakuwa kwaajili yangu.

Baada ya hapo tulikwenda njee walimu wote na kuwakuta wanafunzi Mstarini....

"""Mguu pande, "" "" " Mguu sawa.." "" "Nyumaaa Geuka," "" "Nyumaaa geuka...
Aliongea mkuu wa shule na wanafunzi wote waligeuka kwa pamoja na kukaa sawa..

Walikuwa wamesimama wima na kuvalia sare za kupendeza sana... Kulikuwa na mistari ya watoto wa kiume na mistari ya watoto wa kike...

" "" "Haya jamani hamjambo watoto wazuri...
Aliongea mkuu wa shule..

" "" Hatujambo shkamoo.. Waliitika kwa pamoja..

"" "" Leo nimekuja na ugeni jamani.. Huyu anaitwa Mwalimu Frenk.. Ni kijana Mwenzenu kabisa kaajiriwa hapa..
Atawafundisha masomo ya Sayansi hasa Darasa la sita na lasaba..
Mshindwe tu kufaulu utakuwa ni uzembe wenu wenyewe...
Aliongea Mwalimu mkuu na wanafunzi walishangilia sana kumpata Mwalimu mwingine wa sayansi. Nadhani aliekuwa akiwafundisha Mwanzo alikuwa mkali sana...

Wanafunzi walitawanywa na kurudishwa madarasani huku wengi wao wakinitaza kwa tabasamu sana..

Walimu wenzangu walifurahi sana na kuanza kurudi Ofisini kwa pamoja..

Tukiwa tunakaribia kufika Ofisini, tulishtuka sana kuona Gari la Dokta Moureeni limeingia kwa spidi sana kwenye eneo la shule, karibu liwagongea wanafunzi waliokuwa wakiingia Darasani...

Mwalimu mkuu aligeuka kwa Hasira na kwenda kuifuata Gari ili aweze kumkaripia lakini kabla hajafika alishangaa kumuona ni Daktari ambaye ni Mashuhuri sana hapo Moshi mjini "Dokta Moureen.."

"" "" Aaahhhh.. Habari yako Daktari. Karibu sana shuleni kwetu...
Aliongea mkuu wa shule huku anajichekesha chekesha kwa Daktari...

Baada ya kumuona na mimi nilisogea karibu yao kabisa..

"" "" Salama Mwalimu... Alijubu Dokta huku ananitazama mimi...

"" "" "Samahani sana Mkuu.. Namuomba Frenk kwa leo kama huto jali kuna tatizo kidogo nyumbani.... Aliongea Doktaaa...

." "" "aaaahhhhh.. Hamna shida kumbe mnafahamiana..?.. Alijibu mkuu...

" "" Ndio ni mdogo wangu.. Namuomba kwa leo tu, kesho atarejea kazini...
Aliongea Dokta Moureen huku anaendelea kunitazama...

Nilikuwa kimya nisielewe nini hasa kinaendelea, "" "" au kapata habari kuwa nilifanya na mwanae usiku jamani.. Lakini mbona hajachukia sana..
Niliwaza kimya kimya huku nawapa mkono walimu wenzangu na kuwaaga kisha kupanda gari...

Walimu waligeuka kunitazama huku wanatabasamu sana, hakuna alie amini kama mimi ni mdogo wake na Dokta mashuhuri na tajiri kama yule pale mjini...

Baada ya kukaa vyema kwenye gari Dokta aliwasha na kuigeuza kisha safari ya kwenda nyumbani ikaanza...

Tukiwa njiani aligeuka na kunitazama huku anatokwa na Machozi..
Alinyoosha mkono mmoja kwenye Dashboard na kuchukua bahasha fulani ndogo kisha kunikabidhi..

"" "" Angalia huo utumbo uliokuwa ukiufanya... Nitakuua mbwa wewe kama unahusika..

Aliongea dokta na baadae alitafuta sehemu nzuri ambapo hakukuwa na watu wengi na kuipaki gari..

Kwasababu Gari ilikuwa na vioo vya giza basi ilikuwa ngumu kwa watu wa njee kuona kinachoendelea ndani....

Nilishika ile bahasha na kutoa picha zilizomo ndani... Nilishtuka sana kujiona mimi nimemkumbatia dokta tukiwa uchi...

Nilijikuta machozi yananitoka na kuinua uso kumtazama Dokta ila nilishangaa sana kuona Dokta pia kaninyooshea Bastola huku kanikazia sana Sura...

*SEHEMU YA SABA 07*

*****
*****

Nilibaki nimetumbua tu macho kwasababu ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuelekezewa bastola kama vile..

Mkojo na mavi vilinibana kwa pamoja...

Sikuelewa hata nisaa ngapi nimekojoa ila niliona tu Suruali ni mbichi....

Tukiwa bado tunatazamana, simu ya daktari iliingia ujumbe...

"" "usije kuthubutu kumkwaza Muhudumu wa ile lodge, nitakuua." "" "
Ilikuwa mesg kutoka kwenye namba ngeni...

Dokta alishusha bastola na kuvuta pumzi kisha kunitazama nilivyokuwa nikitetemeja na kutokwa na jasho.

Alinitazama nilikuwa nimejikojole pia..

" "" "Nisamehe Frenk.. Aliongea Dokta na kunikumbatia.

Muda wote nilikuwa kama nimechizika vile.. Sikuelewa nini kinaendele..

" "" "Hali ni kama hivyo.. Nafanyaje mimi.. Nitoe hizi pesa au niende polisi...
Aliongea Dokta..

" "" Hapana. Usitoe pesa wala usiende polisi inaonekana huu mpango umetengenezwa na huenda polisi wamehusika pia. Mtu wa kawaida hawezi kujiamini kiasi hiki.. Niliongea huku namtazama Daktari....

"" "" "Sasa tunafanyaje.???? Aliuliza tena Dokta..

" "" "" Sikiliza... Nakuomba nikupe namba za binti mmoja ni Mtaalamu sana wa Masuala ya intelijensia ya Usalama..
Huyo binti nilisoma nae miaka ya Nyuma kidato cha kwa kwanza hadi cha nne na baadae alikwenda jeshini kisha kwenda Marekani kwa miaka mitatu kijifunza masuala ya ujasusi.. Ni miongoni mwa askari wa siri sana..
Anaitwa LIDYA... tafadhali sana nakuomba ukaonane nae leo leo na pia leo leo kazi ianze.. Tutawapata tu hawa wahalifu naamini...

Niliongea na kumpatia Daktari namba za LIDYA binti ninae mfahamu na mtaalamu sana kwenye maswala ya upelelezi..

Dokta alipiga zile namba ikaita tu bila kupokelewa kama mara mbili...

"" "" "Atakuwa bize nadhani.. Hapokei sim.. Aliongea dokta huku anairudisha bastola yake kwenye Dashboard ya gari...

Aliwasha gari ili turudi nyumbani.. Lakini kabla hajaweka gia simu iliita tena. .

Aliitazama Alikuwa ni LIDYA anapiga simu...

Dokta alinipa ile simu niongee nayo Mimi...

"" "" "" Mambo Madam LIDYA,
unaongea na Frenk Yohana... Nilijitambulisha kwanza kwasabau hatukumpigia kwa namba zangu..

"" "" Vipi rafikiangu habari za kazi... Umesharipoti kazini Moshi.??? Siuliniambia umepangiwa ualimu Moshi....
Aliongea LIDYA..

"" "" Ndio nipo Moshi ila kuna majanga kidogo naomba utusaidie tafadhali sana ndugu yangu...

"" "tatizo gani tena Frenk.. Umeshaanza majanga mapema hii jamani wewe mkaka.. Aliongea Lidya..

" "" "Kuna mama mwenye hii simu niliyokupigia nayo anakuhitaji kama utaweza kuja Moshi leo....

""""Hapana, siwezi ndugu.. Nina kazi nzito sana nimepewa na mkuu wangu..
Labda aje Dar Leo hii huyo mama..
LIDYA aliongea..

" "" Sawa.. Basi hadi kufikia mchana au jioni atakupigia simu muonane..

"" "Sawa Asantee..
Alijibu lidya na kukata simu...

****
" "" "Nakuomba ukaonane na huyu binti atatusaidia sanaa... Niliongea na kumrudishia dokta simu yake..

Dokta aliwasha gari hadi mjini.. Alienda hadi kwenye duka moja la nguo na kununua suruali moja ya kitambaa iliyofanana na ile niyokuwa nimeivaa muda ule kisha kunilitea kwenye gari...

" "" haya vaa hiyo.. Uliyo ikojolea hembu itupe...

"" "nilivaa upesi na safari ya kwenda nyumbani ilianza...

Tulifika nyumbani na kumkuta Dayana ametulia tu mwenyewe anaangalia TV, mdogo wake alikuwa shule kwa muda ule..

" "" Dayana.. Nimemrudisha kaka yako ameshajitambulisha shule. Kwasasa yupo tu hadi kesho..

Frenk umshauri Dayana kuhusu shule.. Kafeli chuo kwa ujinga tu. Sijui anawaza nini huyu mtoto.. Alikuwaga na akili sana alivyokuwa mdogo..
Aliongea Dokta huku anaingia ndani kwake..

Dayana alimsindikiza mama yake kwa jicho la dharau hadi alipo potelea kuingia ndani...

"" "" mhhh... Mbona mama karudi mapema leo au anasafari.??? Aliuliza Dayana..

"" "" Ndio aliniambia anataka kwe Dar leo ila kesho mapema sana atakuwa amerudi hapa...
Nilimwambia dayana,

"" "" "yessss... Dayana aliongea na kukunja ngumi, nadhani alifurahia nafasi ya kuwa mimi na yeye karibu kwa siku hiyo...

Nilitabasamu kisha na mimi pia nilipita kwenda chumbani kwangu kuweka vyeti vyangu vizuri..

*****
Baada ya mda Mama yake dayana alikuja akiwa tayari kwa safari... Aliurudishia mlango na kunikumbatia kisha kunibusu..

Naenda na nitatumia usafiri wa Ndege kwasababu kuendesha gari hadi kule nitachelewa na nitachoka sana.. Nikionana nae tutawasiliana sawa my... Nabeba na hizi picha ili akihitaji azione nimpatie...
Aliongea yule mama na kutoka njee...

Nilibaki chumbani nawaza picha zile zinaenda kwa rafiki yangu LIDYA.
Akiona nimelala na mama kama yule duuuuuuhhhhh sijui atanielewaje. Lakini basi tu imeshatokea..
Kwanza Lidya ananijua nilikuwaga zee la madem tangu wakati nipo shule..
Yeye Mwenyewe tu nilimkosakosa sana.....

Niliwaza mwenyewe na kucheka..

Nilitazama njee kwa dirishani na kuona geti ndio linajifunga na Dokta tayari katoka...

Nilishusha pumzi na kuinuka kwenda Sebuleni..

Dayana alinisogelea na kunikumbatia kwa hisia sana..

"" "Ni muda wetu sasa... Jana uliniacha pambaya my... Aliongea Dayana huku anavua nguo zake palepale sebuleni....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NASEMA KWA MAMA* *SEHEMU YA SITA 06, 07,

????NASEMA KWA MAMA*

*SEHEMU YA SITA 06, 07,

Endeleanayo.....
*
*
Dokta alibaki anafikicha tu Macho baada ya kuona baadhi ya picha zake za uchi akiwa na Frenk kwenye ile Lodge..

****
****
Dokta alisimama na kuzitupa zile picha mezani huku anaendelea kusoma ule ujumbe alioandikiwa.

"" "Katika hili usije kujidanganya ukaja na jeshi la polisi ili unikamate. Hautofanikiwa, na endapo utamkamata mmoja ujue kuna wengine wawili nyuma na watasambaza kila kitu na kukichafua kabisa hospitali yako..

Kulinda heshima na hadhi yako kwenye mji huu wa Moshi na Moureen hospital iwe kubwa tafadhali jitahidi ndani ya siku tatu hizo pesa zipatikane..

"" "" "Au huu mchezo na Frenk kahusika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nasema-kwa-mama-sehemu-ya-sita-06-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nasema-kwa-mama-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

928
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

208
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

194
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

190
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

187
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

170
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

131
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

118
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

107
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest