๐ก๐๐๐๐ฉ๐ฌ๐ข๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐๐ข๐ฆ๐ฆ ๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐๐ก๐๐จ ___________________________________*1 - - - - - 5* SEHEMU YA 1 Aaaah Leo ni siku nzur sana kwangu maaana siku Kam ya Leo niliagana na tumbo
Kwa majina naitwa zulfa ,Zulfa muhmatt mm ni Binti wa nje ya ndoa kwenye familia yetu ya kitajiri ya watoto wanne.Leo ni siku yangu ya kuzaliwa natimiza miaka 18 tu tangu kuzaliwa kwangu .
Siku Kam ya Leo baba angu Mzee muhmatt huwa ananiletea zawad za Kila aina hivyo Nina shauku sana ya kujua ata niletea nn siku ya Leo .
Baba angu yeye anamgodi wa kuzalisha mafuta ,hivi karibuni mgodi wake ulikuw unapitia changamoto nyingi Sanaa maaana ilitokea ajali na wafanyakaz wake karibia wote walifia ndani na kutokana na ilo alishatkiw na watu .Iyo ilimgharimu pesa nyingi sana kweny kulipia fidia Kwa familia za marehemu wote .
Hivyo ikapelekea familia yetu kutikisika kiuchumi .Mama angu wa kambo yeye alishaachana na baba angu walitengana maana yeye alikuw natamaa baada ya kuona uchumi wa baba umeyumba akaamua kwend kuolewa na mpinzan wa baba ,ivyo nyumban naishi mm ,baba ,dada zangu wawili ambao cna hata mazoea nao ,na wafanyakaz watano wandan na walinz wawili tuu .
Kama nilivyowaambia Leo ni siku yangu ya kuzaliwa
Nilivyotoka tu kupata kufungua kinywa baba akaniita Zulfa mwanangu ukimaliza kunywa chai njoo ofisini kwangu tunamaongez mazito sana .
Bac baada ya baba kusema ivo ndugu zangu wakaanza kuguna ,hasahasa Mary ambae ni dada angu mkubwa ila huwa sipatani nae ,maan sio Kwa mashauzi aliyonayo kutwa kufanya make up kupika hola๐.
Mtoto wa kike nikapata kifuungua kinywa Nilivyomaliza nikaongoza ofisini Kwa baba maaan anachumba chake maalumu kakitenga kama ofisi ya nyumbani .
Mm apo akilini nawaza tu Yan apo baba sijui safar hii atanipa zawad gani ,Nina uhakika anaenda kunipa zawad yangu ya kutimiza miaka kumi na nane .
Mdogomdogo natembea Kwa madaha maaana jamn sio kama najisifia ila mm ni mzur sana Nina umbo flan iv na vinywele vya kiarabu MashaAllah ,uso sasa duuh si mjua jamn mtu nimetoka utotoni ndo kwanz mgeni ukubwana maana Leo mm ndo mkubwa rasmi nimetimiza miaka kumi na nane .
Nilivyofika nje ya mlango wa ofisi ya baba ,nikajiweka vizur ,kishaa nikagonga mlango baada ya kupewa ruhusa nikaingia ndani .
Baba alivyoniona tu akaanza kunisifia MashaAllah mrembo wangu ๐,mm apo bichwa hilo ๐.
Nikamsalimia vzr Kwa salamu.
Baba akaanza kuongea Binti yangu bila ya kupoteza mda ningependa tuongee vzr ,mm nae nikatega sikio langu ,kumsikiliza baba yangu mpenz .
Itaendelea
SEHEMU YA 2
Nikakaa nikawa namsikiliza baba angu Kwa umakini Sanaa ,akaanz Kwa kuniambia Binti ya Zulfa unajua umetimiza miaka mingapi.
Ikanibidi nicheke maan naanzaje kusahau Mika nilioitimiza jamn Kwan Sina akili timamu eti ๐.
Nikamwambia Mzee muhmatt unaanza kuzeeka ushasahau kwamba Binti yako ni mwelevu na mtu mwelevu anasahauje siku yake ya kuzaliwa jamn.
Nilisems vile ilikumfurahisha baba maaana alionekana mtu mnyonge sana ,na kwel nikafanikiwa baba akatabasamu .
Baada ya tabasamu fupi baba akaniambia ,mwanangu ninaombi na ilo ombi ninalokuomba litaisaidia familia yetu yote Kwa ujumla ,na litarejesha furaha yangu.
Mimi Kwa ninavompend baba angu sikusita kumuuliza na kumwambia baba ni ombi gani ilo ,na pia nakuakikishia nitatimiza ombi lako Kwa hali na mali .
Baba akaniambia mwanangu unajua shida inayopitia mgodi wangu Leo nimepata suruhisho ya shida yetu iyo na ww ndo msaada wetu na tegemeo letu lililobak .
Inabidi uolewe na mtoto wa Mafia king wa New York ili aweze kuwekeza kwenye mgodi wetu.
Sikuamini maneno ya baba angu Yan mm mwanae mpenz annataka kunioza Kwa Makatili ingawa cmjui uyo mtoto wa Mafia king ila uyo baba ake namjua anauwezo wa kuua mtu bila kipingamizi chochote .
Baba akaniambia mwanangu tafadhr nakuomba ,tuokoe kutoka kwenye aibu hii inayonikumba mwanangu Zulfa.
Apoapo nikamuuliza Kwan baba Mimi ndo mtoto wako wa wakike wapekee mbona kina dada Mary wapo na niwakubwa wanauzoefu na haya mambo Mimi ndo kwanz nimetimiza miaka kumi na nane Leo hiii ndo nimeingia ukubwan na leoleo unatak kunioza Tena Kwa watu wakatili kwel baba .
Baada ya kuongea ivo nikaamka Kwa hasira nikawa natoka ofisini Kwa baba ,Ile nafika tu mlangoni naanza kunyonga kitasa naskia kishindo cha nguvu uko nyuma nilipotoka .
Nikageuka na kumkuta baba kaanguka chini anateteleka Kam kapigwa na shoti au kama mtu mwenye degdege ,nikapiga kelele moja ya nguvu watu wakaja mule ndani ambulance ๐ ikaitwa muda uo nimepigwa na butwa sijui nifanyaje .
Familia nzima tukaelekea hospitali ,baba angu akaingizwa ICU na shida kubwa iliyokuw ikimsumbua dokta alisema ni pressure ilipanda ,Dada zangu wakawa wananisema Mimi ndo sababu ya baba kuwa katika Hali Ile wakati uo Mimi nalia tuu maaan Sina mtetezi na niliamini Mimi ndo sababu basi nililia sana .
Yakapita kama masaa matano Hali ya baba ikakaa sawa akatolewa ICU nakupelekwa kwenye wodi za kawaida .Ndugu wote wakakimbilia kwenda kumuona ,Nilivyoona Hali iyo ya baba angu niliogopa sana na kwaninavyompend baba yangu sikuwa tayar kumuacha awe kwenye hatr kabisa Yan .
Hivyo nikafanya maamuz ya kishujaa ya kukubali kuolewa na Mtoto wa Mafia king wa New York city ,Nikashauliana na halmashaur yangu ya kichwa nikakubaliana na ilo .baada ya apo nikaingia wodini alipo baba .
Nikaomba ndugu zetu watupishe tunamaongez Mimi na baba ,dada angu Mary akawa anabisha ,baba akaamulu atoke ndo akatoka uku kanuna mwenyew .
Nikapiga magoti mbele ya baba angu na kumwambia baba najua nimekukosea pakubwa Kwa kuhoji maaamuz yako na ikakupelekea kwenye Hali hii ivo kwanz naomba unisamehe baba angu mzazi ,cha pili nimekubali kuoana na mtoto wa Mafia king wa New York city ๐.
Baba angu alifurahi sana baada ya kusikia ivo adi alianza kunikombatia mara mbili mbili maana hakuamini kabisa Yan .
Wakati uo baba anafuraha Mimi moyo unaniuma sana maana naend kuharibu future yangu naenda kuolewa na mwanaume nisiejua chochote kumubusu ,ila nilijikaza tu kw akucheka mbele za baba .
Baba akachukua simu ya kupiga Kwa Mafia king ,baada ya
simu kukata ,baba akaniambia mwanangu ndoa yako ni kesho asubuhi na muda uo baba anasema ayo ilinikuwa nijioni .
Eeeeeh ๐ณ ,ikabidi niulize sasa baba kama ndoa ni asubuhi Mimi ntavaaa Nini ata make up artist Sina sasa itakuwaje .
Nikaambiwa ayo hayakuhusu Kila kitu kipo tayra nyumbani ni wewe tu kwenda kulala ujiandae na ndoa.
Mara ghafla nikashangaa eti baba kaamka kitandani apo hospitali ๐ฅ,kabisa na kaanza kuchomoa madrip Kisha akaniambia haumwi Tena yupo tayr na ndoa ,nikabaki nashangaa ๐ณ ,mambo mbona yanaenda haraka hivi
Itaendelea
SEHEMU YA 3
Tukatoka hospitali tukiwa njiani baba alifurahi sana adi akawa anaimba nyimbo mbali mbali za ndoa ๐ alianza na zaki Oman Kisha akafata na nyimbo penda inayoimbwa
"ismit hubaktiuhalali islikhaaa shuthenkhuali hum hayat "
. Watu wote gari Zima tukawa tumshangaa uyu Mzee vipi kulikoni Tena ,si mgonjwa uyu ila hamna alieuliza maan hakukua na mtu anajua zaidi yangu mimi na baba .
Tukafika nyumbani salama baba akanipa maneno ya faraja pale Kisha akaenda kupumzika ,
mie nikabaki nalia tu ,maan Zulfa Mimi cmjui mwanaume kivyovyote nimelelewa kimayai mwanzo mwisho na sikuend shule waalimu ndo walikuwa kinifuata Mimi nyumban . Kwaiyo ,cjawai kuwa na mahusiano ata Kwa picha.
Nililia usiku mzima ila haikusaidia kitu ,asubuhi yake nikajua kuamshwa na Yaya wangu alienilea tangu udogoni na nimemchukulia kama mama akawa ananielekesha kwajuju majukumu ya mwanamke na mama kwenye familia na kuhusu mume .
Akafata mada kuhusu bikra sasa ,apo ndo nikatega sikio ,ila alisema tuu hata hakuelezea bas nikachukia๐ก
.Ghafla akaingia Mary na Julia ao ni dada zangu wakaingia bila kugonga hodi ,Mary akaniambia eti ndo anaolewa na Kwataarifa yako uy mwanaume unaeend kuolewa nae ni mbovuuu hatr ni mbaya sana ,anaitwa Maiyan na anamialama ya visu usoni cjui mtakissije .
Wakaanz kunicheka mm machoz yananilengalenga๐ฅบ.
Wote tukaskia kengele zinagongwa za mlango wa nje Kisha watu wakaruhusiwa kuingia ,watu ao walikuw wamevaa mangroves na walikuw wameficha nyuso zao wote ila walikuja Kwa madai wameagizwa na Mafia king kuja kuniremba ,Mimi ni Binti wa kiislamu navaa ushungi masaa 24 ila Nina uhair tofaut na dada zangu ambao ushingi kwao ni vita ya tatu y Dunia๐๐.
Sasa kilichonitatiza nikwambia mule ndani limeletwa shera nyeupe linaloonesha mabega yote na nila kushape ,nikavunja ukimya nikawa uliza kulikoni na hili shela jaman ,eeeeh unadhan ata nilijibiwa ๐ณ ,watu wapo busy ya kazi zao mwengie. mara anishika nywele sijakaa sawa nikalazwa wakanifanyia massage ya mwili wote .
Baada ya dakika 15 Kila kitu kikawa sawa ila shida nguo ipo wazi San na kushape kimechongoka mno ns Mimi ni Binti wa kiislamu .Baba akaja bila kujali akanikombatia na kunisifia nimependeza sana ,apoapao akaniambia ninaend kufunga ndoa ya kikristo kanisani .
Nilishangaa sana na machozi yakaanza kunirenga renga ,wakati uo natia huruma nikajua basi nitahurumiwa ,eeeh wale watu wa Mafia king wakanibeba mzobemzobe adi kwenye gali ๐๐.kama kafurush msafala ukaanz adi airport na shela langu ,apo baba nae na ndugu zangu wapo.
Eti nimepelekwa kanisani na ndege .kufika kanisani nikakuta vidada vimevaaa nguo fupi ,Yan nawaangali wao aibu naona Mimi ๐๐.apo Nina majonzi yangu .
Tukashuka kwenye ndege tukaenda adi kanisani ,watu wote baada ya kuingia kanisani Mimi nae Nikaingizwa na baba kanisani Kwa mara ya kwanx naingia kanisani .
Chakushangaza nikwamba kanisani watu wote wap pale mbele wasimamz padri ila mume hayupo๐.
Nikapelekwa na baba adi pale mbele sasa nimefika pale na bung'abung'a tu macho maaan mume simuoini ๐
kuangalia iv nikamuona Mafia king kwenye eti akanipigia saruti ๐ซก๐ซก ,jaman aibu iz Ikanibidi nigeuke upande mwengine .
Tulisubiri sana adi Mafia king akasema Kam mwanae hajafika niolewe na mdogo wa mwanae Mimi nikashangaa Kwanz awa vp awa Yan Mimi ndo kimdoli au narushwa rushwa ovyo .kabla sijatia neno nashangaa mwanga mkali unatokea mlangoni Kisha akaingia mkaka jamn ni handsome yule kaka khaaaa jamn jdman kaend ewani anamacho ya Bahar nywele sasa ,ila amekuja kanisani anamidamu kwenye shat lote ila yeye hajali Wala Nini Tena alivokuw anaingiwa wajinga wenzie wakawa wanampigia makofi ,wengine wanapiga miruzi kanisani apo jaman .
Alivoona adabu akaingia akanishika kidevu akaanza kuniita senorita ,basi apo kanisa Zima wanapiga makofi Mimi nimebak nashangaa ๐.
kule sasa dada angu Mary wivu umemkolea maana Alizan naolewa na mdogo wake bwana harusi yule ambae ni mbaya anamialama kumbe laaah naolewa na mkaka alieend Ewan basi akaanz kumlaumu baba kwanini hakumlzimisha yeye ndo aolewe.
Itaendelea ..
SEHEMU YA 4
Ndoa ikapita kasheshe sasa Mimi nikajua ntarud nyumbani kuchukua vitu vyangu ila chakushangaza eti viapo vilivyoisha tuu nikabebwa juu juu na nilivyokadogo sasa ๐ญ
Mpaka kwenye gari la mume wangu ,yeye kwenye familia Yao baada ya baba ake Mafia king anafuata yeye Mafia boss ,alafu ndo mdogo wake yule mbaya Mafia prince .
Msafara ukaanza kuondoka nikamuacha baba angu dada zangu wafanyakaz nawachungulia tu kwenye kioo uku nalia .
Mume wangu akaniuliza senorita mbona unalia shida Nini ,nikamuangaliaa nikampandisha na kumshusha Yan ndo kusema hajui shida Nini au ndo analeta hashuo tu mmmssschh .๐
Maneno ayo yote nayaongelea moyoni maaana sinajeur ya kuyatamkaa ,ila chakushangaza mume wangu akaniambia ukimaliza kunitukana kimoyo komoyo chagua hoteli ya kwenda kula honeymoon ๐ณ.
Eenheee ,Mimi Zulfa Leo nimekufs jaman khaaaa jamn weeeeee uwiiii apo kimoyomoyo najiongeresha ,mbaba wote uyu ,nikamuuliza eti wewe unamiaka mingap akaniambia 38 ,alivoniambia tu ivo nikazimia ๐.
Nakuja kushtuka nipo kweny chumba kama disco vile kudadek Kila Kila aina ya taaa na rangi nikawa naangaza uku na uku cndo nikamuona mume mwenywwwww ,yupo na kitaulo na kifua waz ,jamn machozi yalipo tokea๐ญ .
Nikashuka kitandani chap maaan nilikuw nimeshakaa machinjioni๐.Ile nashuka tuu nashangaa mtu ananifuata na Mimi bila kusita nikawa narudi nyuma mdogo mdogo .
adi nikafika ukutani loooh ilijibaba lilivo halina huruma Wala akili likaanza kuzifungua shera langu .
Na alivomzoefu shera tulilo angaika nalo kulifunga yeye kalifungua Kwa sekunde 5 tu .apo nikabaki na kinguo cha juu na kichupi tu๐ซฃ nikawa sielewi pakuficha jamn ,akaniangalia wee
ila akanionea huruma akasema siwez kukufanyia ivi adi wewe mwenyew ukija kutaka na kuniomba wewe mwenyew ,ila inabidi tufanye kitu apo apo akachukua kisu akajikata mkono Kisha damu akazipaka kitandani tunapolala .
Akasema ni lazima nifanye iv sababu watakuja kukagua asubuhi kabla hajamalizia tukawa tunaskia sauti nje ya mlango boss vipi umo mbona hatuskiivmiguno vp uko .
walikuw ni wafanya Kaz wake ao .
Kwel apa ninashughuli jaman ilikuje sibora ningekata kuolewa ona nilipojileta sasa ,apo nipo nawaza .
kabla cjamaliza mawazo yangu nikakatishwz na mume akaniambia Aya Senorita umeskia uko nje ay fanya inavotakiwa piga kelele la sivyo tunafanya kwel kwel .
we kusikia ivo ,nikaogopa .
kwanz nikawaza nipige kelele za Nini mwizi au ๐๐๐ ,nikamuuliza nipige kelele za Nini ๐ akasema we mtoto chiz kwel Yan kelele za mke we zombie apo ndo nikawaza nikaanza kaz aaaaah mume aaamume ,baada ya kusema ivo tu nje ndo wakaondoka ๐ฎโ๐จ๐ฎโ๐จ .Yan ndo kwanz ck ya kwanz nakumbana na hii kasheshe doooh .
Nikajua nshamaliza kaz nilale eeeh nashangaa singrend Ile iliyobak ndani inachanwa na kisu ,nikageuka kuuliza eti naaniambia
ITAENDELEA.....
SEHEMU YA 5
Nikashangaa jamn kulikoni Tena uku nyuma ,eti ananimbia mke hii ni Mila nyingine lazima nikuvue nguo zako za ndani Kwa kisu ๐ณ๐ณ nikabaki nashangaa eeeh alivo Hana adabu akakata kinguo cha juu chote nikabaki nimejikinga ns mikono nisizalilike alivoona ivo akaniambia nikavualie nguo chooni alafu nizikate mwenyew apo nikapata hauweni ๐.
Nikafanya kama nilivyoambiwa nikarudi ckumkuta mume nikakaa pale kitandani kugeuka geuka nikaona picha kubwa ya mafia boss ambae ni mume wangu chini imeandikwa jina Alberlto ndo apo nikalijua jina lake ,can u imagine unaolew na mtu hujui jina lake ndoi Mimi sasa๐๐.
Cjui ata nilipitiwa na usingizi saa ngap apo kitandani nakuja kuamka asubuhi tayar wamekuja watumishibkibao kama ishirini wote wamekuja kunihudumia ,Mimi apo sielewi eti nawauliza nyie vp asubuhi asubuhi .
Nikajua awa ni watumishi wakama nyumbani chochote unachofanya au kusema wanatiii eeeh chaajaabu ndugu zangu awa wananijibisha kama Mimi sio mke wa kiongoz wa familia wananiambia yote hayanihusu wao wamekuja kufanya kazi zao ๐ณ nikawaambia sasaiv napumzika njooni baadae unadhani wanaelewa sasa ndo kwanz wananiambia hawapangiwi maisha .
Ikanibidi nikae pembeni maaan Mimi ni mkimya uyo ,nikawa nawatizama tu wakawa wanakagua mashuka wazitama nguo zangu za ndani Kisha wakatikisa kichwa na kuondoka ,baada ya muda akaingia mdada mwengine wa makamu yule nikama anamiaka kama sio 35 basi 38 ni mzur ila sio sanaaaa. na yeye akaliangalia like shuka Kisha akaanz kucheka uku anasema kwaiyo mkajua hatutojua .
Bibie hii sio damu yako kabisa Yan .wee apoapao nikashuka kama nimepigwa shoti ,nikaamua kuuliza kama sio zangu za Nan na wewe ni nan ,akaacheka Kwa dharau Kisha akaniambia Mimi ndo mwanamke ninae toa furaha Kwa mume wangu ,eti wangu wetu sorrrrrry .
Wakat anaongea ayo akaingia mama mtu mzim akasema Jerry muache mwenzio na utoke nje yule mama mm mwenyw simjui ni Nan ila baada ya kusema ivo yule dada anaeitwa Jerry akaondoka Zake .
Nikiwa na maswali mengi kichwani ya kumuuliza Aliberto nikaona nivunhe ukimya na kuanza kumtafuta ilx jaman hii nyumba ni kubwa mnooo ,cjui nimeingilia wap maan nilitafuta sana ,Kila unaemuulzia anakujibu shombo baada ya muda mrefu nikaona chumba kimoja chenye kibao kimeandikwa Mafia boss .
Nikaona aaah Bora nimefika ๐ฎโ๐จ ,maan sio Kwa kuchoka uko.
Ile naingia tuu nakuta Alberto yupo na Jerry wanapigana French kiss za hatar ,kile kitendo kiliniumiza ๐ฅบ,nikaamua kutoka kabla cjafika mlangoni Alberto akaniita Zulfa njoo nikawa nakaza fuvu.
Akaamua kunivuta Kisha akaanza kuniambia wewe si umenikatalia kunipa usiku Aya kaa apo uone na ujifunze ,ili upate maarifa akanikalisha kwenye kiti Kisha akanifunga na kamba mikono wao wakawa wanaendelea n mamb Yao wee mm nae sasa .
ITAENDELEA ......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni