*NIMEKOMA MIMI ๐* *19&20* Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop
Kila akiwa free, ananipeleka out, tunajirusha kama hakuna kesho Tullishi maisha ya furaha kabisa. Allturna pesa kwa wazazi wangu kama
alivyoahidi
Akanirudishia na simu yangu, na pia akaruhusu
niwe natoka na Lily mara moja moja japo kura mda alikua ananipeleka mwenyewe sababu ya
Kila kitu killenda vizuri la tatizo ni aina ya kazi yake. Hiyo kazi yake ilikuwa inanipa stress Kola usku wakati yeye na watu wake wanatoka, nilikua sina amani kabisa Sababu nilihofia asije akakamatwa au maadui zake wakamfanyia kitu kibaya. Nikawa naogopa anapoondoka, na akirudi salarna ndio napumua
Sasa basi, siku moja tena walitoka usiku kufanya mambo yao. Nilizoea wanarudi asubuhi saa mbil au saa tatu, lakini siku hiyo walirudi mapema sana. Nilishangaa walirudi spidi spidi kama vile kuna jambo beya limetokes. Alafu Sikumuona Bishop akarudi pamoja nao Tobias akaingia straight chumbani kwangu, akaanza kupack nguo zangu kwa haraka Nikamwambia, "Kuna nini?"
Akasema "Lazima uondoke sasa hivi
Nikabak kushangaa "kumekuwaje tena?" "Mambo si mazuri Bishop amenituma nikutue
hapa haraka sana"
"Hapana, siwezi kuondoka bila kujua Bishop
yuko wap
"Kama kweli unamtakia mema, tafadhali
tuondoke Nitakupeleka sehemu salama
laabi
Kwani nilikua naelewa sasa, nilitaka kujua
kama Labubu wangu yupo sawa
Nifimikwida Tobias hata mwenyewe hakuamini
"Bishop yuko sawa? Niambie usinifichel
"Yuko salama
Niliposikia hiyo nikapumus nikamuschitia, Tukamaliza kupack nguo zote muhimu kisha tukatoka vitu vya
Alinipeleka mpaka kwa Lily Akaniambia nihaki
huko kwa sababu yeye hamwamini mtu
mwingine zaidi ya Lily. Baada ya hapo
akaondoka zake hata nyuma hakugeuka
Lily alishangaa, "Kuna mmi? Mbona umekuja
asubuhi hivi? Kuna nini kinetokea?"
Nikamjibu kwa huzuni Sjui. Nilikuwa nimelala, ghafla Tobias akaja kuniambia niondoke kwa sababu mambo si mazun
"na Bishop je??"
"Hata sijui nilitoa simu yarigu nikampigia
Bishop ila simu yake haikupokelewa.
Nikaanza kupanic vibaya nichisi kuna kimu lazima kowe kimemkuta. Basi nikaendelea kusubiri kwa matumaini labda angenitafuta tena la hapakua na chochote.
Sasa Jioni Wakati niko na Lily sebuleni, tukasikia
habari kwenye TV kuwa kulikua kuna mapigano
makali kati ya polisi na majambazi wawili
wameuawal Polisi ndo wapo kwenye harakati za
kuwabaini
Nolijua kabisa wale waliouawa lazima ni Bishop au vijana wake. Nilianza kulia vibaya sana kama nimefiwa. Lily algaribu kunituliza lakini roho yangu ilikuwa tayan imevunjika
Nililia kama mtoto mdogo, nikisema, "Kwanini
kila mara nikipenda mtu, kitu kibaya kinatokea?
Kila wakati mimi ndio naumial Nilikuwa naanza
kuishi maisha mazun, kwanini mimi Nila
mpaka sauti ikakauka
Lily hakuchoka kunibembelezal Alikua karibu na
mimi kuhakikishe kurva nipo sawa Na ilikua
ngumu sana kwake hata chakula sikua
nataka kula
Mara wiki (kakatika bila kupata taarifa yeyote
kutoka kwa Bahop wala Tobias le Nyumba yeo
ilikuva imefungwa na ndani walisamba kila kitu
pakawa patupu
Aisee ilikua ngumu sana ikwangu kufikia hatua
ya kujifungia ndani kwa miezi mitali nikiwa nalla
kila siku. Ikabidi Lily aanze kunishauri
"Labda sasa uanze kufocus na maisha yakol
Tafuta kazi Shege utakaa ndani mpaka lini
ukilia?? Bishop amekuta
Nilishindwa kukuball lakini sikuwa na cha
kufanya. Maisha yalipaswa yaendelee japo sin
rahess Moyoni mwangu nilipa moyo kuwa
Bishop hajafa yupo hai na kuna mahali
amejificha Siku atakapo kua tayari angenitafuta
Nilijipa moyo kwa namna iyo ndo nikapata nguvu
ya koanza kutafuta kazi Maana allyekuwa
ananihudumia hayupo tena lazima nijitegemes.
Bahati nzuri Nilipata kazi kwenywe hotell moja
neun sana
Mshahara
pale ulikua mzun pia kwaiyo
hapakua na shida. Basi toka nianze kufanya kazi
pale sikutaka mazoea watu. Ni salamu tu
kisha nipo busy na kazi zangu. Mda wa
kutengeneza ushosti silkua nao kabisa.
Lakini kulikuwa na jarnaa mmoja kazini anatwa
Lameck. Sasa huyu labubu alikua anataka sana
mazoea mimi Mara anfletee maua ju
xtzawadi vya hapa na pale kuashiria kuwa
ananielewa
Mimi kwakwell sikua nimeacha kumpenda
Bishop wangu kwaiyo Ule s-romantic
Lameck nikawa nauona kero tu
Sasa yeye mwenyewe akashangaa simshoboke
wala nini. Yani nampuuzia tu kama hakuna cha maana alichofanya Basi nakumbuka siku moja wakati natoka kazini usiku Lemeck akanifuata
kutaka kuonges na mimi.
tu asiendelee kunisumbua nikasimama na
kumsikiliza Acha kijana asianze kutupa mistari
kama hana akili nzuri. Han sikutaka kuumiza kichwa changu. Nilimpa jibu moja tu ambalo ni "Sikupend
"Kwanini?"
Nikamjibu kwa sababu nampenda mtu
mixinginel Nina mpenzi
"Sidhani karna ni kweli. Nimekuwa nikikuangalia,
huna boyfriend. Kwa nini unanidanganya?"
"Kwani Mapenzi ni lazima? Nimekwambia sitaki
mwanaume, basi niache
"Sawa, nitakuacha, lakini haitarnaanisha
nimekata tamaa. Nakupenda na nitakuwa wako
siku moja
Nilichukizwe na maneno yake nikaondoka mbio
bila kugeuka nyuma. Kesho yake nilipofika
kazini nikasika habari kwamba Lamek
amepigwa vibaya jana usiku hadi mguu
umevunjika
Wote tukadhani alipigwa na vibaka na tukaamue
baada ya kazi tukamtembelee hospital
Tulinunua matunda na maua kisha jioni ilipofika
tukaenda kumuona
Lakini mara tu aliponiona uso woke ulibadilika
Akanigeukia na kuniambia "Tafadhali toka
hapa
Kwanini? Au Kwa sababu nilikukataa
Akasema "Sitaki kufa mira Tafadhali andoka
"Kuna mimi, Lamek? Kwa nini unaongea hivyo?"
"Boyfriend wako atanimaliza. Cocondoka
Nikasema heee mgonjwa kachizika nini??
Sikubishal Huyo taratibu nikatoka zangu
kuelekea nyumbani. Lakini Nani nikaanza
kuwaza, huyo boyfriend ni nani? Au Bishop?
Hapana sio Bishop Haiwezekanit Sasa Ni nani
basi?
Wakati bado nipo kwenye mawazo, nikasikia
mtu ananifuata nyuma Nikageuka haraka,
nikamuona mwanaume amevaa koti lenye kofia
(hoodie). Nikamuuliza kwa uoga "Wewe ni nani?"
Huku nikipanga kwa mashambulizi kama
atakua
ni mtu mmbaya
Yule mtu Akavun kofia yake. Ni Bishop
Nilishindwa kuamini macho yangu Nikaanza
kulia ikabidi mwamba anikumbatie kunituliza si
mnajua ni mms
Akaninong'oneza "Nimekumiss baby"
Ulikuwa wapi muda wote tuu? Unajua
nimekuwa nikilia kiasi gani? Unajua nimeumia
klasi gani kwa sababu hata simu hukupiga??
Nilidhani umekufa" machozi yakazidi
kumiminika
Bishop Akanitazama kwa uso wake ule wa
huzuni
ko sawa sijafa! Ni baadhi ya vijana
wangu ndo waliuawa, lakini mimi niliousurika
Pole kwa kukutesa kwa kukaa kimyu. Nilihitaji
muda wa kupanga mambo yangu
Nikamuuliza "Mambo gani?"
"Wifo cha watu wangu kimenifanya nigundue hil
kazi ni hatari Kana uwezekano wa kukupoteza
wewe, na mini siku tayari kwa hilo. Nihitaj
kuacha
kila kitu kibaya ili niweze kuanza maisha
mapya. Sasa Nimeacha kuuza silaha na kufanya
kazi haramu Nataka fulshi maisha ya kawaida,
tuanzishe familia, tushi vizuri Sasa niambia,
tayari
kunipokea
tena
nimechelewa kama una jamaa ako mwingine
sishindwi kwenda kumvunja mguu
"Kwa hiyo wewe ndiye ulimpiga Lamek?"
"Ndiyo, sasa kwanini akutongoze???
Lakini
sikumpiga vibaya, nilimgusa kidogo tu. Ni kama
nilenfinya tu
Sasa usipige watu, mimi siwen kuwa na mtu
mwingine zaidi yako! Mimi ni wako tu ila Bishop
nataka unihakikishie hakutakua na shida tena??"
Nol Hakuna shida tena Vitu vyote
nimestteketeza kwaryo hakuna ushaidi wala
masalia yoyote ya biashara zangul Nimejitoa
kabisa So relax mamaa"
Akanikumbatia
"Na Tobias je?"
"Tobias ameondoka
yeye kuanza maisha
mapya! Kifupi kila mtu ameondoka kwenda
kuanza upya ila uzuri nimempa kila mtu hela yo
kuanzia ivyo hakuna shida
"Nafurai kusikia ivyo! Na sisi tuanze maisha yetu
babar
"Ndo maana nakupenda
Nilifurahi sana kusikia hivyo. Bishop allacha
kabisa mambo machafu Polisi hawakuwa na
ushahidi wowote wa kumkamata kwa vyo
akabaki huru.
Osha aliniambia wazi anataka kunica Na kweli
alinioa. Hapo biashara zeta
hardware no
garage tulizo fungua zilikua zinaenda vizuri
mpaka raha! Tena Tunaishi kwa amani, hakuna
mambo ya uhalifu tena.
Wale vijana walikuwa wanakuja kututembelea
mara kwa mara. Hata Tobias alikua anakuja hadi
na mkewe maana na yeye nae allivuta jiko
Maisha yalibadilika, lakini furaha ilibaku pale
pale. Bishop wangu ananipenda kweli nami
najiona mwenye bahati kupata upendo kama
hau, japokuwa ulianza kwa njia isiyo ya kawaida.
MWISHO-
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni