Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
07 Feb 2026
58 views
VYOTE NDANI GONGA94
SIKUACHI 06
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Basi mi nikapanda kitandani kisha nikapumzika sasa mana nilichoka sana. Nililala sana nakumbuka yani nilikuja kushtuka mchana saa 9. Ndo nashika simu nikampigia fatuma kwanza. Na kweli huu mda akapokea japo alinyongea. Akanmbia jamani mpenzi umenipa wasi wasi sana.mbona ulikuwa upokei simu mume wangu. Nikasema nililala mke wangu nilichoka sana. Akanmbia ahaaa saww silii tena . Mama ameniita leo kanambia nisilie utarudi tu. Nikacheka nikasema mh mpka kakunyamazisha mkweo ndo umeludi au sio . Akawa anacheka pale
Na tukaongea mengi akanmbia kwa sasa kidogo yupo powa japo ananimiss sana.nikasema wala usijali kipenzi. Hakuna shida baadae tutaonge tu nikitulia akanmbia sawa. Basi baada ya kuongea na mpenzi sasa. Ndo nikaongea na mama na nikaongea na dada kuwatoa shaka kuwa nimefika salama tu. Basi mama akaanza kunisihi tena .doooh mama yangu bwana yan ana mshaka na mimi kweli kweli ananiona mtoto mno. Mi si mtu mzima nikamwambia mala moja naelewa . Ila mama anaona kama vile bado sijaelewa basi namsikiliza tu arizike. Baada ya maongezi na nyumbani sasa ndo nikaamka nikaenda kuoga. Nilivyotoka sada kuoga nilivyoludi room ndo namkuta mshikaji fulani amekaa kitanda cha pembeni. Nikajua uyu ndo mwenzangu nnayelala nae chumba kimoja
Nikamsalimia pale nikampa na tano kabisa. Akanambia vp mwanangu upo powa .nikasema frssh nipo powa kinoma vp www.akanmbia daah mimi niko pgood. Aah mi naitwa lemi ndo nalala umu na ww ndo umepangiwa umu sio. Nikasema ndio bwana mi naitwa haji. Akanmbia ahaa nashukuru kukufahamu haji. nikasema asante.basi lemi akaniuliza coz nikamtajia na kwa bahati tukajikuta tunasoma coz moja . Basi tukafirahi sana kukaa room moja .si unajua wanaume wakikutana dakika 2 washazoeana kabisa. Aklfu inakuwa unyama tu. Basi tukatia na story mbili tatu. Mana yeye aliwahi sana chuo na masomo washaanza kama week 1 nyuma mimi nilichelewa .mana nilikuwa namsubiri sister apate pesa ndo anipe ya nauli na ninunue vitu vyangu vengine.nikaona hakuna noma ntafosi tu. Na kila kitu kitakaa sawa.
Basi nikapata mwenyeji ambaye ni lemi akanielekeza mambo mengi juu yanayoendelea kwenye coz yetu mpka walimu. Akanmbia alafu sasa yeye ndo cr ( kiranja) wa coz yetu .nikaoana fresh tu. Alafu yeye ndo alionesha machimbo ya kula. Nnachoshukuru ata lemi niliona kwa haraka haraka sio wa kisure yani na yeye katokea familia za kawaida tu kama mimi. Kwaiyo akanipeleka machimbo ya kula ugali wa bei rahisi kabisa .tukapiga msosi kisha sasa ndo tukaludi room. Tukaongea sana akanmbia yani mwanagu coz yetu kuna pisi kama zote kudadeki. Nikacheka nikasema mi situmii hizo mwanagu. Lem akanmbia ahaa we shekhee nn. Nikacheka kisha nikasema wala sio shekhe ila sipendi tu wanawake. Akanmbia asa we starehe yako nn kaka? Nikasema mimi mpira aknmbia ahaa hakuna noma ntakuonesha machimbo yote nenepa kaka. Nikasema unyama. Ahaaaa kwa haraka nikamsoma lemi bwana ni amechangamka sana alafu ni yule mshikaji wa mademu mana tangu tumekutana kashaongea na mademu wanne uyu mwamba
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Sehemu ya : 1 π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Mapenzi jamani ni kitu cha ajabuπ€¦ββοΈ, ni bahati sana kwa mtu kumpata kirahisi yule aliepan...
Basi mi nikapanda kitandani kisha nikapumzika sasa mana nilichoka sana. Nililala sana nakumbuka yani nilikuja kushtuka mchana saa 9. Ndo nashika simu nikampigia fatuma kwanza. Na kweli huu mda akapokea japo alinyongea. Akanmbia jamani mpenzi umenipa wasi wasi sana.mbona ulikuwa upokei simu mume wangu. Nikasema nililala mke wangu nilichoka sana. Akanmbia ahaaa saww silii tena . Mama ameniita leo kanambia nisilie utarudi tu. Nikacheka nikasema mh mpka kakunyamazisha mkweo ndo umeludi au sio . Akawa anacheka pale
Na tukaongea mengi akanmbia kwa sasa kidogo yupo powa japo ananimiss sana.nikasema wala usijali kipenzi. Hakuna shida baadae tutaonge tu nikitulia akanmbia sawa....
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sikuachi-06
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sikuachi
π NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπ₯ sehemu ya 18. π Vumy sikuachi nakupenda sana sana...π
SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... 14. π Sikuachi unajua kutomba Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii...π
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 14&15 Wawili hawa walichukua Garii Lao na Kwenda Nyumbani Wanapofikaa Nyumbn wanaonekana wakipiga leo story
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 13 Mda unaenda Wine zinaanza kugawiwaa na Wine Ya Saraah Ipo pale Pale Saraah
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π *1-5* *__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* "Siwezi kaa ndani kila siku itabidi nitoroke nikatafute marafiki nje" alisema Saraah Alianza kunyatia nyatia huku
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π *19&20* Narshaa akiwa kule chumbani anamalizaa kazi yake na kufunguaa mlango kutoka,mda anatika anawaonaa polisi na polisi pia wanamuona
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 17 "Hahahaha kumbe sikujua kama hataa Madam Lindaa Na Wewe utanisalitii Sasa Naombaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 12 "Jina gani hilo nikutafutiee ?"Saraaah Alisemaa huku akimsogeleaa Jordan Na Laptop
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 7 Baadaa ya Narshaa kukutanaa na kofii la Jordan, Jordan Anaondokaa na kumuachaa akiwaa
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 9 Baadaa ya Saraah kupewaa matibabu yale yaliyokuwa chini na usimamizi wa Dr Abdulh, Dr Abdulh Anaamuaa Kumfata Saraah Katika kile Chumbaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π * sehemu ya Sita
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 18 Mida Ya Asubuhi Mr Mask Anaonekana Kuwafatiliaa Kina Madam Linda Saraah Na Jordan. Leo.Mr Mask Anaonekanaa Kutembea
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa
MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 8 Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho