Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳  Sehemu ya kwanza.  Ila usichana kazi jamani  Nilipata baby mpya, Sasa akawa ameniomba tuonane
Gonga94 · Stories

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu ya kwanza. Ila usichana kazi jamani Nilipata baby mpya, Sasa akawa ameniomba tuonane

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, nikajua tu kwenye kuonana lazima baby ataniomba 🥑 (tunda) si nawajua Hawa watu wanavyo penda nyama

Nikiangalia Sina nguo nzuri ya ndani alafu jirani kaanika kinguo chake pale na nikijipimia naona kabisa Ile size yangu sijui na yeye alikua anataka kwenda kwa honey wake sijui🤷 mimi nikaenda kukianua kile kinguo, nikatinga huyoo nikaondoka zangu. Nikaenda kuonana na baby wangu, nikakuta yupo na marafiki zake tele☹️ akanitambulilisha tukawa tunapiga story.

Sasa nikaona muda unaenda Lakini sioni dalili ya kuombwa kitu, na mpaka tunaagana mtu aniombi chochote, nikaona kama amenidharau ila sikuweza kumwambia. Basi mpaka tunaondoka baby hakuniomba tunda

Nilichukia Kwa sababu nilisha jiandaa na game, alafu kumbe yupo na marafiki zake si makusudi haya ?

Badae akamuita boda wake aje kunibeba anipeleke nyumbani, nilivyo panda pikipiki nikawa namchokoza chokoza yule boda najisogeza kwenye mgongo wake namuwekea madodo yangu yamguse hili asisimke ajiongeze ila bodaboda kiboko akaniambia)

" Unanisisimua ujue.

" Na nini tena?

" Kifua chako.

( hamu izi sifikilii ajali niliweka mkono wangu mbele ya bodaboda uku namwambia)

" Mbona uku akujanyuka?

" Twende gest ukaone umezidi kunisisimua.

" Yule kwani rafiki yako.

" Yule nani?

" Aliyekuita unipakie.

" Sina urafiki nae hii bodaboda yangu ni bolt.

" Sawa twende nilizani ni rafiki yako.

" Sina urafiki nae.

( Iyo siku nilikuwa na hamu kweli kweli tulienda gest akanipunguza uzito vizuri akaondoka mimi nikawa namuwaza yule bwana angu,
Nikajiuliza sana hivi huyu yupo sawa kweli? Mana ninavuowajua wanaume, sio rahisi kuacha nyama inaondoka kizembe. Kama huyu boda chap tu kaichangamkia fursa. Unaachaje nyama?

Basi Nikarudi nyumban, nakuta jirani analalamika haoni nguo yake, mi nikajifanya kama sijui lolote. Mpaka alienda kwa mganga...mimi nawaza nguo ya ndani tu ndio aende kwa mganga shauri yake niliivua nikaiweka kwenye tenga langu la nguo kimya...usiku namsikia anasema)

" Yani kama mtu kaichukua Nia yake anifunge mimi uzazi au anipe nuxsi atajuta.

( Mala mama mtu mzima anamwambia)

" Ila na wewe umezidi nguo zako za ndani unaanika ovyo wenzio wanafunika na mtandio ila wewe unaacha adhalani inawezekana aliyechukua anataka kukufundisha kuanika nguo ya ndani kwa vitendo.

" Mimi zangu azina kutu naanika popote kwani kuna mtu asiyejua nguo zile.

" Basi yaishe waulize wasichana wenzio inawezekana imedondoka wenzio wamekuanulia.

" Mganga ameniambia niende Kesho hapa nisiyemuuliza ni amina tu karudi atujaonana.

" Kamuulize.

( Yani anakuja chumbani kwangu wakati mimi uku bwana yule nina mashaka nae kanitumia sms)

" Wageni wameondoka njoo my wangu Samahani sana kwa yaliyotokea mchana"

( Sijajibu ndio hodi inagongwa nafungua nakutana na uyu msichana)

" Amina Samahani umeanua nguo yangu ya ndani nyekundu?.

( Mtihani huu nikisema ndio nishaivaa atanionaje?...alafu nataka niende tena kwa bwana angu iyo iyo naitegemea tena nilikuwa kimya nawaza cha kumjibu yeye akaniambia tena)

" Amina mbona unipi jibu?

" Nashangaa ilo swali lako ndio maana nipo kama nimepigwa bumbu wazi kweli mimi nikaanue nguo yako ya ndani.

" Samahani basi kama ujaanua nimekuuliza tu.

" Sawa.

( Niliingia ndani nikaivaa nguo yenyewe imenitoa bomba yani mashavu yamejichora vizuri uyo naondoka zangu kwa bwana angu japo sina hamu kama za mwanzo ila acha na yeye nimpe tu ale tunda nilifika kwake cha ajabu kwenye kuniandaa alitoa nguo zote ilivyobaki nguo ya ndani yakamtoka macho anaishangaa)

" My itoe basi mbona unashangaa nimezidiwa mwenzio.

ITAENDELEA
JAMAA ANAISHANGAA KWANINI?
USIKOSE
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu ya kwanza. Ila usichana kazi jamani Nilipata baby mpya, Sasa akawa ameniomba tuonane

, nikajua tu kwenye kuonana lazima baby ataniomba 🥑 (tunda) si nawajua Hawa watu wanavyo penda nyama

Nikiangalia Sina nguo nzuri ya ndani alafu jirani kaanika kinguo chake pale na nikijipimia naona kabisa Ile size yangu sijui na yeye alikua anataka kwenda kwa honey wake sijui🤷 mimi nikaenda kukianua kile kinguo, nikatinga huyoo nikaondoka zangu. Nikaenda kuonana na baby wangu, nikakuta yupo na marafiki zake tele☹️ akanitambulilisha tukawa tunapiga story.

Sasa nikaona muda unaenda Lakini sioni dalili ya kuombwa kitu, na mpaka tunaagana mtu aniombi chochote, nikaona kama amenidharau ila sikuweza kumwambia. Basi mpaka tunaondoka baby hakuniomba tunda

Nilichukia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-ya-kwanza-ila-usichana-kazi-jamani-nilipa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-ya-kwanza-ila-usichana-kazi-jamani-nilipa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

591
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

490
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

322
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

222
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest