Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TAMU HIYO BALAAAAH  sehemu ya pili  πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilimzika babu yangu
Gonga94 Β· Stories

TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya pili πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilimzika babu yangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hali iliyo pelekea mama kupata ugonjwa wa kupalalaizi mama tokea hapo hakuwa tena na uwezo wa kuniangalia mimi ilibidi nisome kwa shida shida mala naenda mala siendi hivyo hali ile iliniumiza sana tena zaidi ya neno sana nikawa juma mosi na juma pili naenda mizani kuomba kazi ya kudeki na kuosha viombo ili nipate pesa kidogo hata ya kukologa uji nyumbani maisha magumu sana tena zaidi ya neno sana nilipitia mitihani mingi sana kutukanwa kunyanyasika ila cha kushukuru mama yangu hakuwahi kulala njaa

Japo kwa shida nilikuwa napata viji senti vidogo vidogo kwa kipindi hichi chote hali ya maudhulio ya shule yalikuwa ma bovu sana nilipo ingia darasa la saba rasmi nika acha shule na kufanya kazi ya uhudumu wa pub Makambako nilikuwa napendwa sana na dada chiku ambae alinilea kama mdogo wake na kumjali mama yangu

Nashukuru sana maisha yakawa yanaendelea mama anapata hela ya dawa za kuchua na pesa nyingine za dawa asili mama hali yake ya kiafya kidogo ikawa nzuri mbaka ikafika kipindi mama alikuwa anauwezo wa kupika tena kwa mkono mmoja

Mawazo yalipungua kwa asilimia kubwa sana na kunifanya niisi kila kitu kipo sawa sasa hali ya ujana yani 16 kuelekea 18 flani hivi nikawa napata keep change nyingi sana ila mama alikuwa anajua mimi nafanya kazi ya mama nitilie

Siku moja jioni naludi nyumbani mama aliniita mum njoo nilisogea hadi alipo mama kisha mama aliniuliza huko mizani unafanya kazi gani nika mjibu mama nafanya kazi ya mama nitilie ,mama mum umeanza lini kunidanganya mama mbona mimi siku danganyi na kwambia ukweli
Mum mwanangu ni kweli hali yangu ni ngumu ila sitaki mwanangu uji uze huko mizani maana hata nguo zako unazo vaa hazina maadili kabisa nimeongea na rafiki yangu yupo Morogoro kesho anakutumia nauli nenda Morogoro

Sasa mama mimi nikiondoka wewe utabaki na nani mama yangu wewe ndio furaha yangu 😭😭😭😭😭😭😭

Mama aliongea kwa uchungu sana hali iliyo pelekea mimi kulia sana kwa muda mlefu na vile hali yake ilianza kuwa sawa ilinibidi nimsikilize itaendelea
Tangazo - ila baba mkwe full Epsode
ila baba mkwe full Epsode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya pili πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilimzika babu yangu

hali iliyo pelekea mama kupata ugonjwa wa kupalalaizi mama tokea hapo hakuwa tena na uwezo wa kuniangalia mimi ilibidi nisome kwa shida shida mala naenda mala siendi hivyo hali ile iliniumiza sana tena zaidi ya neno sana nikawa juma mosi na juma pili naenda mizani kuomba kazi ya kudeki na kuosha viombo ili nipate pesa kidogo hata ya kukologa uji nyumbani maisha magumu sana tena zaidi ya neno sana nilipitia mitihani mingi sana kutukanwa kunyanyasika ila cha kushukuru mama yangu hakuwahi kulala njaa

Japo kwa shida nilikuwa napata viji senti vidogo vidogo kwa kipindi hichi chote hali ya maudhulio...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-pili-nilimzika-babu-yangu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-pili-nilimzika-babu-yangu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.48K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.56K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.11K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.11K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.04K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest