Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
13 Dec 2025
211 views
VYOTE NDANI GONGA94
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Sita Nilijiuliza maswali mengi hadi pale hali ya usingizi ilipo nijia nikalala pale pale kwenye sofa
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Asubuhi mama aliniita mum
niliita bee mama amka mwanangu kumekucha niliamka na kumsalimia mama
baada ya kumsalimia mama mama aliniuliza umelala sebreni mwanangu
ndio mama nilikuwa na angalia tv
usingizi ukanipitia
haya mwanangu umeamkaje ???
Aliniuliza mama kwa sauti ya upole kabasia ilinichukua dakika kama moja hivi kumjibu mama ukalimu wake uliniacha na tabasamu tu nika mjibu
mimi niko salama kabisa mama yangu
haya tufanye usafi binti yangu tulianza kufanya usafi pale na baada ya kumaliza kufanya usafi tulipika chai na mama alienda kuoga na mimi pia nilienda kuoga na kukaa kunywa chai
Mum mwanangu unayaonaje mazingira ya morogoro
mama nime yapenda sana huku hakuna baridi kama makambako muda wote ni joto tu huku kuoga kila wakati mama
ha ha ha ha ha ha! (tulicheka sana na mama yangu kipenzi)
Mum wadogo zako wanakuja leo nafikili itakuwa saa sita hivi
wao mama twende tuka wapokee chai tufunike kwanza twende tuka wapokee tuje tunywe wote mama
hapana mwanangu
muda bado mwanangu sawa
sawa mama
mama muda wote yuko natabasamu yani ni mcheshi sana alafu anaonekana ndio roho yake yani moyo wangu umejaa na amani sana kwa siku chache sana nimefanikiwa kumzoea mama kana kwamba nimemjua labda miaka kumi nyuma nyie kuna watu wana roho nzuri sana
Duniani hapa hadi raha
Tulimaliza kunywa chai mama alisinzia kidogo kwenye sofa mimi nilikuwa na angalia Azam two marudio ya season huku muda wote nikiangalia saa
Mama alipandisha miguu kwenye sofa ili apunguze kidogo usingizi vizuri,
usingizi ulikuwa mzito sana kwa mama macho yake yalikuwa mazito sana na uchovu mwingi,
nikawa na mwangalia mama usoni alivyo lala (nikatabasamu tu kwa roho yake nzuri)
baada muda mlefu kupita simu ya mama ilikuwa inaita mlio wa Alarm mama aliamka pale kwenye sofa
Mum haya twende muda unakaribia twende mwanangu ngoja nivae kijola
Sawa mama mimi nilikuwa tayali nisha vaa muda sana
tulika nnje na kuita bajaji bajaji njoo bajaji ilikuja na tuka panda safari Msamvu stend
haikupita dakika nyingi tayali tulikuwa tumefika Msamvu Mnara wa saa
Mpo ndani haya tokeni sisi tupo hapa mnara wa saa sawa (mama aliongea na simu)
Muda huo huo nilikuwa na shangaa shangaa nika sikia wao mama niligeuza macho na kuwa ona wadogo zangu wawili na mkaka mmoja
Shangazi yangu (oooh frank leo umeniweza shangazi yako)
ndio shangazi yangu sijakuambia kama nakuja (Mum hawa ndio ndugu zako wawili huyu ni mtoto wa kaka yangu anaitwa frank dj wetu ha ha ha haaa)
Nilimtizama usoni macho yetu yalikutana akaniambia Hi Mum
Itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
ππKIJIJI CHA UTAMUππ Sehemu ya tisa
(π) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mbwana toa mkono uko. ( Mimi naendelea ...
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Sita Nilijiuliza maswali mengi hadi pale hali ya usingizi ilipo nijia nikalala pale pale kwenye sofa
Asubuhi mama aliniita mum
niliita bee mama amka mwanangu kumekucha niliamka na kumsalimia mama
baada ya kumsalimia mama mama aliniuliza umelala sebreni mwanangu
ndio mama nilikuwa na angalia tv
usingizi ukanipitia
haya mwanangu umeamkaje ???
Aliniuliza mama kwa sauti ya upole kabasia ilinichukua dakika kama moja hivi kumjibu mama ukalimu wake uliniacha na tabasamu tu nika mjibu
mimi niko salama kabisa mama yangu
haya tufanye usafi binti yangu tulianza kufanya usafi pale na baada ya kumaliza kufanya usafi tulipika chai na mama alienda kuoga na mimi pia nilienda kuoga na kukaa kunywa chai
Mum mwanangu unayaonaje mazingira ya morogoro
mama nime yapenda...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-sita-nilijiuliza-maswali-mengi-hadi-pale-hali-ya-usingizi-ilipo-nijia-n