UTAMU WA MABOSS????❤️16
Baada ya linda kujichungulia aliamka na kuelekea bafuni tyr ilikuwa ni asubuhi na ilikuwa siku ya kazini ilibidi ajiandae chapu kwa ajili ya kuelekea ofisini..
Linda alitoka bafuni na kuvaa,
Alex alijiandaa akatangulia kwenye gari akaenda kumsubilia linda huko..
Linda alijipodoa vizuri akapendeza akatoka mpaka kwenye gari akamkuta Alex yuko kwenye gari anamngoja yeye????????????
Umependeza sana????????Alex alimsifia linda na Linda alitabasamu huku safari ya kuelekea kazini ikiendelea ❤️❤️
"Wakati wakiwa njiani alex alimuuliza linda vipi kuhusu wazazi wako Linda sijawahi kukusikia ukiwazungumzia wazazi wako.."
Linda alikumbuka mbali sana????????alimtazama Alex huku machozi yakimtoka????????
Alex alishangaa????????Akauliza
"Kuna nini? au nimekukosea?" Alex Aliuliza kwa wasiwasi.
"Linda alimwambia Alex mimi sina wazazi????????Wazazi wangu wote wamekufa" Linda alisema na kububujikwa na machozi mengi sana.
"Oh Mungu wangu, samahani kwa kuuliza swali hilo" Alex aliomba msamaha na kumkumbatia linda.
Linda alilia kifu ani kwa Alex hadi wakafika kwenye kampuni...
Walifika ofisini kwa Alex na Alex akampeleka kwenye chumba cha mapumziko kilichofichwa huko ofisini kwake.
Linda hakujua hata kama Alex alikuwa na chumba kingine ofisini.
"Tafadhali usijisikie vibaya, lala tu kwenye kitanda hiki na nitarudi kukuangalia," alisema na Linda akaitikisa kichwa.
"Sikujua kuwa yeye ni yatima????????Alex alikuwa akiongea peke yake..,
Pole sana kwa kurudisha kumbukumbu zako za huzuni Linda. hakika nitakufanya uwe na furaha maisha Yako yote, Alex aliwaza.
Baada ya muda fulani Linda alirudi katika hali yake ya kawaida..Aliamka na kusimama haraka akakumbuka kuwa ni muda wa kazi anatakiwa ofisini na sio kitandan..
Alitoka chumbani na kukutana na Alex akibonyeza simu yake.
Alex Alinyanyuka mara baada ya kumuona lindaa na kumfata alimshika akamkalisha kwenye kiti chake.
"Unajisikiaje" aliuliza na Linda akaitikia kwa kichwa
"Una njaa" alimuliza na Linda akaitikia kwa kichwa.
"Sina nguvu ya kuzungumza, akasema Linda..
"Uhm....Linda samahani sana kwa kukukumbusha kumbukumbu zako za huzuni," alisema Alex
"Siyo kitu" akajibu Linda mara ghafla wakasikia mlango unagongwa na Alex akamruhusu anaegonga aingie ndani ya ofisi yake.
Alikuwa ameagiza pizza na ikawa imefika wakat huo.
"Alex fungua pizza Linda alisema huku akitabasamu.
Linda Alichukua kipande na alikuwa karibu kukiweka kinywani mwake wakati Alex akimzuia.
"Nitakulisha" Alex alisema
"Lakini ... lakini ..." Linda akawa anataka kusema kitu ila Alex akamzuia
"Shhhhh kula" Alisema Alex na kuweka kipande cha pizza mdomoni mwa linda.
Linda alitafuna pizza huku alex pia akichukua kipande cha pizza na kula.
Linda alichukua ice-cream yake na kunywa yote.
"Unataka nini kingine..Alex alimuuliza Linda na Linda akabaki anamwangalia tu kwa hu ba na macho ya upendo..
Alex alimlisha Linda ice-cream yake mpaka Linda akawa anahisi kama tayar wameshakuwa wapnz.
Alex alikuwa karibu kuweka kijiko kingine cha ice cream kwenye mdomo wa Linda mara mlango ulifunguliwa na Micheal akaingia.
"Ni nini kinaendelea hapa???????????? . Inamaana Nyie wawili tyr mshakuwa wapnz?" Linda alipaliwa baada ya kusikia lile swali..
“Argh...ona umesababisha apaliwe” Alex alisema huku akimpa Linda glasi ya maji
"Samahani.. nadhani natakiwa kuondoka. Kwaherini wapendanao” Alisema Michael na kuondoka.
OMG! Linda aliona aibu sana baada ya Michael kumkuta Alex anamlisha.
Alex Alikuwa karibu kumlisha tena Linda lakini Linda akamzuia.
"Nitajilisha mwenyewe"
"Oh sorry" Alisema Alex na kumpa ice cream.
Alex alimtazama Linda akichukua ice-cream yake na akajisema kuwa ni mrembo sana.
"oh Alex kwanini hukumuona huyu binti kitambo cheki alivyo mrembo nikiwa karibu nae muda wote najisikia mwenye furaha , Alex aliyawaza hayo kimoyomoyo
"Nitaenda ofisini kwangu sasa" Alisema Linda na Alex alisimama na akamzuia
"Huendi popote, unabaki na mimi" akasema Alex
"Lakini nataka kwenda kufanya kazi" akajibu linda
"Nimesema hapana" Alex akasema na Linda akakaa.
"Ohookkkk" alisema na Alex akatabasamu.
Muda ulienda na hatimae muda wa kurudi nyumban ukafika.
.Alex na Linda walifika nyumban na Alex akataka kumfurahisha zaidi Linda hivyo akaingia jikon kwa ajili ya kumwandalia chakula oyoo????????????,
Alex aliwaambia wafanyakazi wampishe YEYE ndio atapika ????????????kila mtu alikaa pembeni akisubilia chakula cha Boss maana haijawahi kutokea hata siku moja Alex kuingia jikoni????????
Itaendeleaaaaa
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



