Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS????❤️16
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS????❤️16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS????❤️16

Baada ya linda kujichungulia aliamka na kuelekea bafuni tyr ilikuwa ni asubuhi na ilikuwa siku ya kazini ilibidi ajiandae chapu kwa ajili ya kuelekea ofisini..

Linda alitoka bafuni na kuvaa,
Alex alijiandaa akatangulia kwenye gari akaenda kumsubilia linda huko..

Linda alijipodoa vizuri akapendeza akatoka mpaka kwenye gari akamkuta Alex yuko kwenye gari anamngoja yeye????????????

Umependeza sana????????Alex alimsifia linda na Linda alitabasamu huku safari ya kuelekea kazini ikiendelea ❤️❤️

"Wakati wakiwa njiani alex alimuuliza linda vipi kuhusu wazazi wako Linda sijawahi kukusikia ukiwazungumzia wazazi wako.."

Linda alikumbuka mbali sana????????alimtazama Alex huku machozi yakimtoka????????

Alex alishangaa????????Akauliza
"Kuna nini? au nimekukosea?" Alex Aliuliza kwa wasiwasi.
"Linda alimwambia Alex mimi sina wazazi????????Wazazi wangu wote wamekufa" Linda alisema na kububujikwa na machozi mengi sana.

"Oh Mungu wangu, samahani kwa kuuliza swali hilo" Alex aliomba msamaha na kumkumbatia linda.
Linda alilia kifu ani kwa Alex hadi wakafika kwenye kampuni...

Walifika ofisini kwa Alex na Alex akampeleka kwenye chumba cha mapumziko kilichofichwa huko ofisini kwake.

Linda hakujua hata kama Alex alikuwa na chumba kingine ofisini.

"Tafadhali usijisikie vibaya, lala tu kwenye kitanda hiki na nitarudi kukuangalia," alisema na Linda akaitikisa kichwa.

"Sikujua kuwa yeye ni yatima????????Alex alikuwa akiongea peke yake..,
Pole sana kwa kurudisha kumbukumbu zako za huzuni Linda. hakika nitakufanya uwe na furaha maisha Yako yote, Alex aliwaza.

Baada ya muda fulani Linda alirudi katika hali yake ya kawaida..Aliamka na kusimama haraka akakumbuka kuwa ni muda wa kazi anatakiwa ofisini na sio kitandan..

Alitoka chumbani na kukutana na Alex akibonyeza simu yake.

Alex Alinyanyuka mara baada ya kumuona lindaa na kumfata alimshika akamkalisha kwenye kiti chake.

"Unajisikiaje" aliuliza na Linda akaitikia kwa kichwa
"Una njaa" alimuliza na Linda akaitikia kwa kichwa.
"Sina nguvu ya kuzungumza, akasema Linda..

"Uhm....Linda samahani sana kwa kukukumbusha kumbukumbu zako za huzuni," alisema Alex
"Siyo kitu" akajibu Linda mara ghafla wakasikia mlango unagongwa na Alex akamruhusu anaegonga aingie ndani ya ofisi yake.
Alikuwa ameagiza pizza na ikawa imefika wakat huo.

"Alex fungua pizza Linda alisema huku akitabasamu.

Linda Alichukua kipande na alikuwa karibu kukiweka kinywani mwake wakati Alex akimzuia.

"Nitakulisha" Alex alisema
"Lakini ... lakini ..." Linda akawa anataka kusema kitu ila Alex akamzuia
"Shhhhh kula" Alisema Alex na kuweka kipande cha pizza mdomoni mwa linda.

Linda alitafuna pizza huku alex pia akichukua kipande cha pizza na kula.
Linda alichukua ice-cream yake na kunywa yote.

"Unataka nini kingine..Alex alimuuliza Linda na Linda akabaki anamwangalia tu kwa hu ba na macho ya upendo..

Alex alimlisha Linda ice-cream yake mpaka Linda akawa anahisi kama tayar wameshakuwa wapnz.

Alex alikuwa karibu kuweka kijiko kingine cha ice cream kwenye mdomo wa Linda mara mlango ulifunguliwa na Micheal akaingia.

"Ni nini kinaendelea hapa???????????? . Inamaana Nyie wawili tyr mshakuwa wapnz?" Linda alipaliwa baada ya kusikia lile swali..
“Argh...ona umesababisha apaliwe” Alex alisema huku akimpa Linda glasi ya maji

"Samahani.. nadhani natakiwa kuondoka. Kwaherini wapendanao” Alisema Michael na kuondoka.
OMG! Linda aliona aibu sana baada ya Michael kumkuta Alex anamlisha.

Alex Alikuwa karibu kumlisha tena Linda lakini Linda akamzuia.
"Nitajilisha mwenyewe"
"Oh sorry" Alisema Alex na kumpa ice cream.

Alex alimtazama Linda akichukua ice-cream yake na akajisema kuwa ni mrembo sana.

"oh Alex kwanini hukumuona huyu binti kitambo cheki alivyo mrembo nikiwa karibu nae muda wote najisikia mwenye furaha , Alex aliyawaza hayo kimoyomoyo

"Nitaenda ofisini kwangu sasa" Alisema Linda na Alex alisimama na akamzuia
"Huendi popote, unabaki na mimi" akasema Alex
"Lakini nataka kwenda kufanya kazi" akajibu linda
"Nimesema hapana" Alex akasema na Linda akakaa.
"Ohookkkk" alisema na Alex akatabasamu.

Muda ulienda na hatimae muda wa kurudi nyumban ukafika.
.Alex na Linda walifika nyumban na Alex akataka kumfurahisha zaidi Linda hivyo akaingia jikon kwa ajili ya kumwandalia chakula oyoo????????????,

Alex aliwaambia wafanyakazi wampishe YEYE ndio atapika ????????????kila mtu alikaa pembeni akisubilia chakula cha Boss maana haijawahi kutokea hata siku moja Alex kuingia jikoni????????

Itaendeleaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS????❤️16

UTAMU WA MABOSS????❤️16

Baada ya linda kujichungulia aliamka na kuelekea bafuni tyr ilikuwa ni asubuhi na ilikuwa siku ya kazini ilibidi ajiandae chapu kwa ajili ya kuelekea ofisini..

Linda alitoka bafuni na kuvaa,
Alex alijiandaa akatangulia kwenye gari akaenda kumsubilia linda huko..

Linda alijipodoa vizuri akapendeza akatoka mpaka kwenye gari akamkuta Alex yuko kwenye gari anamngoja yeye????????????

Umependeza sana????????Alex alimsifia linda na Linda alitabasamu huku safari ya kuelekea kazini ikiendelea ❤️❤️

"Wakati wakiwa njiani alex alimuuliza linda vipi kuhusu wazazi wako Linda sijawahi kukusikia ukiwazungumzia wazazi wako.."

Linda alikumbuka mbali sana????????alimtazama Alex huku machozi yakimtoka????????

Alex alishangaa????????Akauliza
"Kuna nini? au nimekukosea?" Alex Aliuliza kwa wasiwasi.
"Linda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS??????3
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

954
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

217
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

199
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

198
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

192
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

188
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

149
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

142
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

122
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

91

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest