Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS??????3
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS??????3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS??????3

Linda aliingia ofisini kwa Alex bila kujua????????alimkuta mwenye ofisi yuko bize anachezea simu yake alimsalimia habari yako mkuu????????

Alex aliitikia kwa kutikisa kichwa huku akiendelea kuchezea simu????????Linda alisimama akawa anaendelea kusubiri Boss amalize mambo yake waendelee na interview..

Alex alimalizana na simu akaiweka pembeni????????taja jina lako alimwambia huku akigeuza kiti chake chake cha kuzunguka ili aweze kumuona huyo anayefuatia ni nani..

Alex alishtuka baada ya kumuona Linda ofisini kwake????????????youu???Linda akashangaa huyu jamaa vipi kwani tunafahamiana??

Hata hivo inaonekana Linda hakumkariri Alex wakati anampig kule baani toba????????????Alex alimwangalia ???? badae akamwambia anza kazi niletee kahawa yangu haraka changamka????

Linda alishangaa mbona hajakagua cv zangu????????wakati anashangaa shangaa ghafla Alex alianza kufoka..????????huwa sitaki watu wazembe ofisini kwangu inamaana hukutosheka kushangaa nzi wa mtaani kwenu hadi uje kushangaa ofisini kwangu???.????????

????????nimesema uniletee kahawa na ufanye haraka kabla sijakufukuza kazi sasa hivi????????????..

Linda alisogea mpaka kwenye meza ya Alex
nakuweka begi lake kwenye meza yake, najua litamkera lakini nani anajali,akawaza linda..

"Boss mpzi sana huyu anadhani yeye ni mwerevu sana yaan nafika TU kazin na anaanza kunifokea, akawaza linda????????


Linda alitoka nje ya ofisi na kukutana na mwanamke, ni wa rika lake.

"Samahani, tafadhali naweza kupata wapi kahawa" aliuliza????????

"Are you the new PA" Aliuliza na Linda akaitikia kwa kutikisa kichwa

"Mimi ni Ella, sekretari" alisema akitabasamu.

"Mimi ni Linda, nimefurahi kukutana nawe" Linda akajibu

"Kwa hiyo naweza kupata wapi kahawa" Linda alimuuliza na bella akamuelekeza ilipo sehemu inapopatikana kahawa.????????

"Asante" Linda akasema huku akiwa anaelekea sehemu ambayo alikuwa ameelekezwa

Linda alifika ilipo kahawa akawa anajiuliza maswali bila majibu.

"Sasa sijui kama anataka kahawa iwe moto, uvuguvugu au baridi.
nifanye nini sasa. Labda nitengeneze kahawa ya moto, atajua mwenyewe mr kufoka????????.

Baada ya kutengeneza kahawa, alirudi ofisini na kumpa.
Alex Aliinywa ile kahawa alimanusura immwagikie mwilini mwake????????????
.
"Mbona kahawa niya moto sana????????alianza kuhoji Hivi Umenifuata ofisini kwangu uje kunimalizia si ndio????????

"Samahani sana mkuu????????kmmalizia kivipi hili mbona silielewi aliwaza linda????????..

"Nasikia joto sana embu nitengenezee kahawa nyingine" Alisema Alex na kumsukumia Linda kahawa yake na kuifanya imwagike kidogo kwenye meza..

Linda aliichukua na kuimimina kwenye sinki
"Sasa wakati huu, nitaifanya iwe baridi, akawaza linda na kuanza kutengeneza kahawa.????????

Alitengeneza kahawa ya baridi sana akaichukua na kumpelekea Alex???????????? Alex aliichukua na kuionja wee alipiga kelele????????

"Wewe mpzi umeamua kunitengeneza barafu ili nipate mafua hivi hiki kikaragosi kimetumwa na nani kinimalize???????? alex alitoa bonge la tuc Linda alianza kulia aliona ni kama anadhalilishwa sasa..

"Mungu nilifanya nini hadi nistahili kutendewa mabaya haya, mm ni yatima TU na kila ninaekuwa karibu nae ananionea, Linda akawaza????????

"We hebu toka nje alisema Alex ofisi yako iyo hapo mlango unaotizamana na wangu alimwelekeza Linda..

Linda Alifika kwenye ofisi iliyo karibu na ofisi ya alex, akaingia ofisin na ofisi ilikuwa ipo shaghala bagala, kwa maana faili zilikuwa ziko kila mahali kwenye sakafu hadi mezani????????

Linda aliinama chini na kufunga faili kabla ya kuzipanga vizuri kwenye kabat.
Alikaa chini akiwaza afanye nini baada ya kupanga ndipo alipokumbuka kitu...

"Oh begi langu" aliwaza Linda na kutoka nje kwa kasi. Alifika ofisini kwa Alex na kuingia ndani bila kubisha hodi????????

Alichokutana nacho alishtuka sana????????????Linda alimkuta secretary wa Alex ,bibie bella wakiwa wana????????????ofisini bila hata aibu????????

Alex alishtuka kumuona Linda mule ndani akashangaa hii mbuzi imekuja sangapi yani haijui hata kubisha hodi????????

"Samahani" alisema linda na kuchukua begi lake, kabla ya kuondoka.

Linda alijisikia vibaya na kumuona boss wake ni kama Hana adabu kabisa yaan, na pia haeshimu kabisa wnwke alitaka kuropoka kitu lakini akakumbuka Boss wake ni ana mineno mikali alifyata mdomo wake akaamua kutoka kimyakimya..

Mungu aniepushe na janaume kama hili puuh alisema linda alimaliza majukumu yake ya kiofisi akarudi nyumbani

Linda Alifika nyumbani akaoga na kupika tambi na mayai.
Akiwa anakula akasikia na mlango wake ukigongwa????????

Alisimama ili kuangalia ni nani huyo aliekuwa anamgongea kwa wakat huo maana ilikuwa ni kama saa nne usiku...

Alipchungulia alitahamaki mara baada ya kumwona mwenye nyumba wake pale mlangoni..

"Habari za jioni mwenye nyumba Linda alisalimia lakini mwenye nyumba alimjibu kwa kukunja uso...

"Pesa yangu" Alisema akinyoosha mkono wake mbele.

"Bwana, sina pesa sasa lakini nitakupa wiki ijayo" akasema linda

"Wiki ijayo? Una uhakika utanipa wiki ijayo" aliuliza mwenye nyumba na Linda akaitikia kwa kichwa.
Mwenye nyumba akamuangalia kwa sekunde kadhaa Kisha akasema,

"na iwe wiki ijayo kama hutaki kuziona hasira zangu.
Na baada ya kusema hivyo
akaondoka Linda akaingia ndani kumalizia kula..

Upande wa Alex jioni baada ya kutoka kazini alirudi nyumbani akiwa amechoka sana..baada ya kufika nyumbani alimkuta dada yake pale..

"Halo kaka" Mabel, ambaye ni dada yake alex alimsalimia mdogo wake mkaidi na mtata kwelikweli...

Alex alipokea salam na kuiingia ndani na Mabel akafuata nyuma yake.

"Unataka nini" Alex aliuliza ,Mabel akacheka tu bila kusema chochote

"Niambie unataka nini" akauliza tena Alex ..Mabel alimwambia mdogo wake nilikuwa nashida na pesa kidogo..

Za nini??????????Mabel alibaki anajikanyaga yani mdogo ni anafokaga tu muda wote..

Huku kwa Linda alilala na siku iliyofuata aliamka na kuoga na kuvaa suruali nyeupe na top nyeusi..

"sina mavazi rasmi kwa ajili ya ofisini kwa hivyo lazima wayaelewe mavazi niliyo nayo, akawaza linda na kutoka kwa ajili ya kuelekea ofisini..

Wakati Linda yuko nje anafunga mlango aondoke ghafla simu yake ilianza kuita????????

Alipokea na kuanza kuzungumza na huyo mtu aliyempigia mpaka akasahau anatakiwa kuwahi ofisini????????..

Mungu wangu alishtuka baada ya kukata simu na kugundua kuwa yuko nje ya muda mama wee huyo bosi kufoka atanimeza leo????????

Linda aliwahi kituo cha daladala akapanda tax kuelekea ofisini

Itaendeleaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS??????3

UTAMU WA MABOSS??????3

Linda aliingia ofisini kwa Alex bila kujua????????alimkuta mwenye ofisi yuko bize anachezea simu yake alimsalimia habari yako mkuu????????

Alex aliitikia kwa kutikisa kichwa huku akiendelea kuchezea simu????????Linda alisimama akawa anaendelea kusubiri Boss amalize mambo yake waendelee na interview..

Alex alimalizana na simu akaiweka pembeni????????taja jina lako alimwambia huku akigeuza kiti chake chake cha kuzunguka ili aweze kumuona huyo anayefuatia ni nani..

Alex alishtuka baada ya kumuona Linda ofisini kwake????????????youu???Linda akashangaa huyu jamaa vipi kwani tunafahamiana??

Hata hivo inaonekana Linda hakumkariri Alex wakati anampig kule baani toba????????????Alex alimwangalia ???? badae akamwambia anza kazi niletee kahawa yangu haraka changamka????

Linda alishangaa mbona hajakagua cv zangu????????wakati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya  27
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 27
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️18- 21
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu 23~24
UTAMU WA MABOSS Sehemu      25~26
UTAMU WA MABOSS Sehemu 25~26
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
UTAMU WA MABOSS ????❤️19~20
 UTAMU WA MABOSS Sehemu ya      30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 30 MWISHO
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS Sehemu ya 28
UTAMU WA MABOSS sehemu ya  29
UTAMU WA MABOSS sehemu ya 29
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS?????? 8
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 14
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS 🥵❤️22
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS??? 4
UTAMU WA MABOSS???  SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS?????? 5
UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS??? 6~7
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️15
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS????❤️16
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS???13
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake  pamoja na Bryan.  "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 11 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA ya wazaz wake pamoja na Bryan. "Keki tutakayotumia iko njiani,...
UTAMU WA MABOSS 10 Linda  Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS 10 Linda Alikuwa amechoka sana na hataki kuleta vurugu yoyote MAANA mpaka muda huo Alex
UTAMU WA MABOSS PART 12  Mabel  ALIKUWA anashughulika  na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
UTAMU WA MABOSS PART 12 Mabel ALIKUWA anashughulika na maandalizi ya maadhimisho ya miaka kadhaa ya NDOA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

608
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

552
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

428
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

336
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

70
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest