Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

ABEE SHEMEJI….(1)
Gonga94 · Stories

ABEE SHEMEJI….(1)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

MTUNZI…EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
WatsApp…+255718 862176
AGE…(18+)
*******
“No Kassim. Hapana! Si..wezi, Mungu wangu….”
“Hajrath, nisikilize. Huwezi kufanya nini? Ndio ishatokea sasa”
“Ni mme wangu lakini”
“Namimi ni Kaka yangu, Hajrath. Niangalie usoni”
“N..o Siwezi, Eeeh Mungu wangu. Ahmed Ahmed amka basi”
Kila mtu alionekana kupigwa na butwaa usiku wa siku hiyo, siyo Hajrath wala Kassim.

Kila mtu alipagawa vya kutosha. Lakini mmoja wapo kati ya watu hao wawili, alionekana kuchanganyikiwa zaidi, huyu ni Hajrath alikuwa mara azunguke mara ashike hiki. Hakuamini kama mme wake wa ndoa yupo chini, amelala katulia. Kichwani kwake ilikuja taswira ya milango ya gereza, inafunguka nayeye kutupwa ndani, jambo hilo lilionekana kumchanganya zaidi. Sio yeye tu, hata Mwanamme huyo Kassim, aliyekuwa pembeni yake.

Aliyekuwa amelala chini ni kaka yake, tumbo moja! Ni wazi kwamba endapo siri hiyo ingevuja wasingetoka salama, ndiyo maana walikuwa wanahaha, kutafakari ni kitu gani wakifanye.
“We..we ndio umesababisha, shemeji”
“Huu, sio muda wa kulaumiana. Wewe ndio chanzo”
“Hapana wewe ndio umemuua”
“Sasa tutafanya ni..ni?”
“Siju..i”
Haikuwa kazi rahisi kutoa maamuzi, mtu aliyekuwa amelala chini alikuwa ahemi wala hajigusi.
“No, Ahmed please. Wake up mme wan..ngu”
Hajrath, bado hakuamini kama mmewe amelala sakafuni haongei kitu, ndio maana alikuwa akimwaga machozi, anaongea kwa kwikwi.

Alitamani walau mwanamme huyo aseme japo neno la mwisho, wakati mwingine alijilaumu kwa upumbavu wake ikapelekea mpaka mmewe kufariki dunia, kifupi yeye ndio alikuwa mkandarasi wa kila kitu kutokea.
“Shemeji”
Kassim akamuita Hajrath huku akimuangalia kaka yake, aliyekuwa chini sakafuni amelala. Badala ya Hajrath, kuitikia alimuangalia tu kumaanisha kwamba anamsikiliza, anaweza kuongea.
“Inabidi hii ibaki kuwa siri yetu”
“Kassim, sijakuelewa…Hili swal..a lazima nilipeleke polis..i”
“Polisi? Ukaseme nini? Wewe ndio chanzo”
“Kwanini umemuua kaka yako?”
“Mimi, sijamuuwa wewe ndio umemuua”
Hajrath na Kassim walizidi kubishana, juu ya kitu gani wakifanye.

Ki ukweli ulikuwa ni msala mkubwa endapo jambo hilo lingefika kituo cha polisi. Ni dhahiri kwamba hakuna hata mmoja kati yao angeachwa salama, kutokana na tukio hilo lililotokea, hiyo ilifanya kila mtu amtupie mpira mwenzake. Baada ya kulumbana sana, wakiwa seblen wakaamua kutoka na wazo kwamba wakaitupe maiti hiyo mbali, ili kupoteza ushahidi.
“Kassi..m, Oooh My God, kwanini mimi?”
Hajrath alilalamika huku akiweka mikono yake kichwani na kupiga piga miguu yake chini, baada ya kumuona Shemeji yake anatoka nje na funguo za gari.

Roho ilimuuma vilevile, mwanamme huyo kwa kitendo alichomfanyia kaka yake, sambamba na kuumia moyo alimlaumu sana Shetani. Licha ya yote hayo hakuwa na jinsi zaidi ya kuingia ndani ya gari na kulirudisha kinyumenyume kwa kasi mpaka karibu na mlango kabisa, akaretemka na kuliacha linaunguruma. Alivyoingia ndani, akatembea kwa kasi mpaka karibu na maiti ya kaka yake.

Akaitizama maiti hiyo iliyokuwa chini sakafuni, moyo ukamuuma ajabu, lakini hakuwa na jinsi ilikuwa ni lazima apige moyo konde kwani maji yalikuwa tayari yashamwagika, ni vigumu kuzoleka!
“Nisaidie tum-bebe”
Hapo, ndipo Hajrath alipozidi kuchanganyikiwa zaidi. Ilikuwa ni lazima wakubali kilichotokea ili wasonge mbele kwani hakuna hata mmoja kati yao aliyekuwa tayari kuingia kwenye matatizo makubwa na ilikuwa ni lazima wafanye jambo hilo wasionekane na wabaki na siri hiyo nzito mpaka kifo chao.
“Mnyanyue kwa huko.” Kassim, akaamuru.

Hajrath akapiga moyo konde, akamnyanyua mme wake wakambeba. Yeye akamshika kwa upande wa kichwani, Kassim chini upande wa miguu wakaanza kumtoa nje. Walivyofika huko wakasaidiana kumuingiza ndani ya gari.
“Shem”
Kassim, akaita kabla ya kuingia ndani ya gari.
“ABEE SHEMEJI”
“Hatuwezi kumtupa hivi, inabidi tumuweke ndani ya gunia. Una gunia lolote? Ama mfuko mkubwa?”
“Ngoja, nikaangalie stoo. Nisubiri”
Roho ya uwoga ikamtoka Hajrath, akavaa ujasiri ambao hata yeye mwenyewe alijishangaa kabisa.

Akatembea mpaka jikoni. Huko aliingia stoo, akaanza kutupa macho yake huku na kule, akaona gunia alivyolishika na kulifunua akaona kuna viazi, akavimwaga chini vyote kwa haraka na kutoka mbiombio mpaka nje.
“Liweke gunia hilo ndani, fanya haraka ingia twende”
Kitendo cha Hajrath kuingia, gari ikapigwa moto na safari ikaanza mara moja.
“Tunaenda wapi?”
Hajrath, akauliza huku akimuangalia shemeji yake, bado hakuamini kama mmewe amekufa tayari na yeye pamoja na Kassim walikuwa wakandarasi wa jambo hilo kutokea, wakati mwingine alidhani yu ndotoni japokuwa alitamani iwe hivyo ashtuke ili amkute Ahmed wake, yupo hai lakini jambo hilo halikuwezekana kwani kilichokuwa kimetokea kilikuwa ni ukweli, sio siri usiku huo kwake ulikuwa ni sawa na Jehanam.
“Bado sijajua”
Ni kweli Kassim, alikuwa katika dimbwi la mawazo mengi sana!

Hakutaka kuamini kama Kaka yake kipenzi amekufa kisa Mwanamke huyo shetani aliyekuwa kushoto kwake, mara ghafla roho chafu ikamvaa ikamwambia ammalize pia na Hajrath kwani bila mwanamke huyo wenda asingejikuta katika matatizo makubwa namna hiyo.
“Kwanini uliniita? Kwanini umenifanya nimuuwe kaka yangu? Wewe Malaya naongea nawewe”Kassim, akauliza kwa ukali na kufoka.
“Kwa sababu nakupenda”
“Nyamaza, Kahaba wewe. Tena funga bakuli lako!Wema wangu umeniponza, bora ningemuacha akuuwe tu, ona sasa ulichokifanya”
“Kassim, lakini in..”
“Lakini nini? Lakini nini? Yote umetaka wewe? Kwanini lakini, umetumwa au? Najuta kukufahamu. Yaa…”
Ghafla ukazuka ugomvi mkubwa, Kassim alifoka kwa sauti ya juu, akionekana kujuta.

Akatamani muda urudi nyuma, arekebishe kilichotokea lakini muujiza huo kamwe usingetokea, hata angeenda kwa Mganga yoyote yule! Kifupi maisha yake yasingekuwa na amani hata kidogo kuanzia siku hiyo. Damu ya kaka yake ilikuwa mikononi mwake, kilichomfanya akatishe sentensi yake ni baada ya kuangalia ‘site mirror’ za pembeni, akaona gari linamulika mulika taa, kuashiria kwamba asimame, alivyoangalia vizuri akagundua ni gari ndogo aina ya Vitz.
“Kuna gari inatuwashia taa nyuma, unaifahamu?”
Kassim, akauliza. Hiyo ilimfanya Hajrath ageuke nyuma.
“Mungu wangu!”
“Nini?”
“Gari ya Tonny hiyo”
“Tonny! Ndo nani?”
“Rafiki yake Ahmed, please simama”
“Nisimame!? Hivi una wazimu wewe mwanamke?”
“Hapana, nakuomba simama. Alafu niachie mimi, nakuomba.”
Kwa hofu na mashaka ilibidi Kassim, aweke mguu kati na kuweka gari kando.

Gari la nyuma yake pia likasimama, akashuka mwanamme mmoja mrefu kiasi, mwenye rangi ya maji ya kunde. Akatembea mpaka karibu kabisa na gari ndogo aina ya Verrosa, kwa kuwa vioo vilikuwa vyeusi sana hakuweza kujua ni nani anaendesha gari. Akagonga kioo! Kikashushwa taratibu, sura ya Kassim ikaonekana, pembeni kushoto yupo Hajrath.
“Tonny, mambo”
Hajrath akawa wa kwanza kusalimia.
“Poa shem, nilijua upo na Ahmed. Yuko wapi?”
“Ndio tunaenda kumchukua, amenipigia simu. Si unajua mimi siwezi kudrive usiku. By the way. Huyu ni shemeji yangu, mdogo wake na Ahmed, anaitwa Kassim”
Hajrath aliongea kwa pupa, kwaniya ya kutaka Tonny aondoke ili yeye na Kassim wamalize walichokianza.
“Niaje broo”
Tonny, akamsalimia Kassim.
“Poa”
“Anywei. Nitamcheki kwenye simu kesho. Msalimie sana”
Hata kabla ya Tonny kumalizia kuaga vizuri, Kassim akawa tayari amepiga gari moto na kuliondosha mahali hapo kwa kasi.

Aliamini kuendelea kubaki eneo hilo, wenda ungeibuka msala mwingine kwani Tonny angechungulia kidogo ndani angeuona mwili wa Ahmed na huo ndio ungekuwa mwisho wao! Ndani ya gari kukatokea ukimya wa ajabu, Kassim alikuwa akitafakari ni wapi, akautupe mwili huo ili mtu yoyote yule asijue ulipo. Hapo ndipo alipopata wazo la kwamba waende kumtupa katika pori lenye miti lililokuwa Mbweni, kwa kufanya hivyo waliamini hakuna mtu yoyote Yule angejua ni wapi Ahmed alipo.

Dakika kumi baadaye, wakawa tayari wamelifikia pori hilo, wakazima taa na kushuka, wakateremsha gunia na kuushusha mwili wa Ahmed chini, hapo ndipo walipoanza kuuweka ndani ya gunia huku wakitizama huku na kule kama wanaonwa.
Walivyohakikisha wamemaliza shughuli hiyo nzito, wakalifunga gunia kwa juu na kamba, wakalibeba gunia. Wakatembea nalo mpaka katikati kabisa ya pori, lililokuwa lina giza kuliko kawaida, wakamtupa chini.
“Naomba hii ibaki kuwa siri yetu”
“Sasa tutasema nini? Akiuliziwa?”
“Nitakwambia cha kufanya, tuondoke”
Hakuna hata mmoja kati yao aliyekubali kuamini kwamba Ahmed, amefariki tayari.

Mbali na hapo wao ndio walikuwa wakandarasi wa kila kitu kutokea, kwa haraka wakatembea mpaka walipoacha gari, wakaingia na kuondoka zao kwa kasi!
Gunia, lililokuwa limetupwa porini ndani yupo Ahmed, lilianza kutingishika kwa nje, baada ya dakika thelathini kupita tangu liwekwe eneo hilo, kumaanisha ya kwamba, Ahmed hakuwa
amekufa kama walivyodhani.

********
TANZANIA ARUSHA(Ngulelo) 1999.

“Darling, unajua wewe ni mzuri sana”
“Ahsante baby”
“Nakupenda, naomba usije ukaniumiza”
“Siwezi mpenzi”
Haukuwa utani hata kidogo, ungebahatika kumuona mwanamke anayesifiwa wallah, usingebisha.

Ungekiri kwamba mwanamke huyo hana kasoro yoyote ile, ni wazi kabisa Mungu alimpendelea katika uumbaji wake. Rangi yake haikuwa ya kung’aa, bali maji ya kunde, hakuwa mwenye macho makubwa wala madogo bali ya wastani lakini wakati wote yalikuwa yamelegea, midomo yake ndio usiseme, alikua ana ‘lips’ pana. Zilizofanya mwanamme yoyote Yule atamani kuzinyonya.

Kuongezea hapo, alikuwa amejaaliwa katika maumbile. Hiyo ndio ilifanya mwanamme yoyote rijali ageuze shingo yake nyuma, endapo akipita mbele yake. Ahmed, alikuwa amelala kitandani, anamuangalia Mpenzi wake jinsi alivyoumbika, mbaya zaidi alikuwa ametoka kuoga, amevaa kanga moja tena imelowana. Hiyo ikafanya damu yake ianze kumwenda mbio kwa mara nyingine.
“Hajrath”
Ahmed, akaita huku akimeza mate ya uchu.

Japokuwa alikuwa ndege ni wake lakini alionekana kuwa na ugwadu kana kwamba ndio siku yake ya kwanza kukutana naye kitandani!
“Abee Mpenzi”
Hajrath, akaitikia. Namna alivyozungumza ni wazi kabisa ungedhani ana mapozi ama maringo, kumbe ndivyo alivyo. Akamuangalia Mpenzi wake aliyekuwa bado yupo kitandani, amejifunika na shuka hana nguo hata moja.
“Njoo nikwambie kitu”
“Uniambie nini? Huna lolote, najua unachokitaka”
Kwa hali ilivyokuwa na jinsi ambavyo Ahmed, alivyokuwa akimuangalia Mpenzi wake, ilionekana wazi kabisa kuna zoezi pevu anataka kulifanya.

Hajrath aliligundua hilo, baada ya kuona shuka alilojifunika Ahmed limetuna kwa mbele, kama mwanamke mtu mzima akajua ni kitu gani, anatakiwa kukifanya. Akadondosha kanga chini na kupanda kitandani, akamsogelea Ahmed midomoni wakaanza kulana denda. Ilikuwa ni wazi kabisa kila mtu, alikuwa ana moto kwani walianza kushikana huku na kule taratibu sana, wakabinuana kitandani huku wakikwaruzana migongoni. Hajrath, akawekwa chali, akawa anaangalia juu kwenye paa. Hapohapo, Ahmed, akajisogeza kidogo na kutoa ulimi wake, akaugusisha kwenye chuchu za Hajrath.
“Yeeees Beeeeibiii”
Kilichosikika hapo ni miguno na Hajrath hakuwa anajielewa tena, zaidi ya kufumba macho na kuvuta vuta mashuka, ni dhahiri kwamba alikuwa yupo katika dunia nyingine ya huba!

Je nini kitaendelea?
Usikose toleo lijalo.
ITAENDELEA.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ABEE SHEMEJI….(1)


MTUNZI…EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
WatsApp…+255718 862176
AGE…(18+)
*******
“No Kassim. Hapana! Si..wezi, Mungu wangu….”
“Hajrath, nisikilize. Huwezi kufanya nini? Ndio ishatokea sasa”
“Ni mme wangu lakini”
“Namimi ni Kaka yangu, Hajrath. Niangalie usoni”
“N..o Siwezi, Eeeh Mungu wangu. Ahmed Ahmed amka basi”
Kila mtu alionekana kupigwa na butwaa usiku wa siku hiyo, siyo Hajrath wala Kassim.

Kila mtu alipagawa vya kutosha. Lakini mmoja wapo kati ya watu hao wawili, alionekana kuchanganyikiwa zaidi, huyu ni Hajrath alikuwa mara azunguke mara ashike hiki. Hakuamini kama mme wake wa ndoa yupo chini, amelala katulia. Kichwani kwake ilikuja taswira ya milango ya gereza, inafunguka nayeye kutupwa ndani, jambo hilo lilionekana kumchanganya zaidi. Sio...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/abee-shemeji-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi abee-shemeji
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

737
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

667
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

361
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

227
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

217
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

216
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

47
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

42
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5

25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest