Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤SEHEMU : 17
Gonga94 · Stories

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤SEHEMU : 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Nicole aliniambia umepata mchumba"

" Ndiyo mama nampenda sana huyu mwanamke ila tumekwaluzana kidogo na hataki kuongea na mimi "

" Fanya juu chini uongee nae na muyamalize mimi nasubiri ndoa tu sitaki ucheleweshe nataka wajukuu " aliongea bi Vanessa huku anatabasamu

" Usijali mama nitamaliza tofauti zetu na soon atakuwa mke wangu "

" Nimuone basi huyo mka mwana wangu haya kwenye picha "
alisema bi Vanessa Maverick alitoa simu yake akamuonyesha mama yake picha ya Gabriella

" Huyu si ni Gabriella mtoto wa Mr Alphonse ?"
Aliuliza bi Vanessa

" Ndiyo mama ni yeye najua utakasilika lakini ameshaachana na Tristan "

" Wala sijakasilika mwanangu Leo nimeamini mtu huenda alikopangiwa na mungu hata iweje "

" Unamaanisha nini mama ?"

" Mmmh unakumbuka miaka miwili iliyopita nilikutafutia mchumba lakini ilibidi uchumba uvunjwe kwasababu ulienda congo "

" Nakumbuka mama "

" Basi huyo binti alikuwa ni Gabriella "
alisema bi Vanessa

" Mmmh mama apo unanidanganya Gabriella huyu huyu au mwingine? "maverick alianza kucheka

" Siwezi kukudanganya maverick na baada ya uchumba kuvunjwa tulikuja kupewa kadi za mualiko kuwa Gabriella anaolewa na Tristan " alisema bi Vanessa Maverick hakuamini anachokisikia kabisa

siku hiyo maverick alishinda nyumbani kwao walikula pamoja kama familia na jioni aliondoka aliamua kwenda nyumbani kwa kina Gabriella Alimpigia Gabriella

"Shida yako ?"
Aliuliza Gabriella baada tu ya kupokea simu

" Naomba tuonane nataka kuongea na wewe"

" Sina muda huo " Gabriella alitaka kukata simu

" Nipo nje ya nyumba yenu kama hautatoka basi nitaingia ndani mimi mwenyewe " Gabriella alisimama alisogea dirishani alifungua dirisha kweli alimuona maverick akiwa amesimama nje ya geti

" Usijalibu kufanya ujinga wa aina yoyote maverick,baba yangu ana bastola atakuuwa nakwambia "
Gabriella alijaribu kumtishia maverick

" Siogopi bastola Wala hio risasi yenyewe ninachoogopa ni kukupoteza wewe Gabriella , maisha yangu yatakuwa hayana maana yoyote bila wewe ,wewe ndo tulizo la moyo wangu "
maverick aliongea kwa huzuni huku anamuangalia Gabriella aliyekuwa dirisha la chumbani kwake ghorofa ya pili

" Nakuja usifanye ujinga wa aina yoyote " Gabriella aliamua kwenda kuonana na maverick

." Niambie unataka nini ?"

" Nimekuja kuomba msamaha kwa kilichotokea na kueleza hisia zangu kwako " maverick alitoa maua kwenye gari akampa Gabriella

" ulijua mimi ni mke wa Tristan ndugu yako ....ndugu yako maverick lakini bado uliamua kunitumia au ulitaka tu kujua ndugu yako alikuwa anakula vitu vya aina gani ? Umeshajua Sasa umefurahi ? "
Aliongea Gabriella kwa kufoka

" Mimi sio mwanaume wa namna hiyo Gabriella nakupenda kweli na mwanzo sikuwa najua kama ex husband wako alikuwa ni Tristan nilijua Hilo kwenye ile sherehe ya rafiki yako lakini sikuweza kujizuia tena kwasababu nilikuwa nimeshakupenda sana "
Gabriella hakumsikiliza maverick aliyaangalia Yale maua aliyopewa na Maverick

"Maua ...unahisi mimi ni mtoto mdogo wa kudanganywa kwa maua ,usirudi tena hapa iwe mwanzo na mwisho "
Gabriella alimtupia Yale maua maverick akaingia ndani

" Mlinzi akija huyu mjinga kwa mara nyingine ita polisi akienda selo naona atajifunza kuheshimu watu na nyumba zoa "

" Sawa madam " Gabriella aliingia ndani

" Hahaha kutamba kote kule kumbe Gabriella Hana time na wewe " Tristan alishuka kwenye gari lake akamsogelea maverick

" Haya ni ya muda tu Gabriella ananipenda mimi na sio wewe Tristan,ulimchukua Gabriella mwanzo kutoka kwangu lakini sitoruhusu hili litokee tena "
maverick alitabasamu akaondoka alimuachia Tristan maswali mengi

" Nilimchukua kutoka kwake anamaanisha nini ?"
Tristan aliamua kuondoka
Maverick aliumizwa sana na maneno ya Gabriella aliamua kwenda baa aliagiza pombe na kuanza kunywa maeneo Yale Yale alikuwepo captain Raymond na Nadya walimuona maverick wakaenda kuungana nae

" Mbona unakunywa kwa pupa sana Gabriella ameshindwa kukuelewa au umekuta ameshaolewa " Raymond alimchokoza maverick

" Muache unaona kabisa hayupo sana na wewe unaanza kuleta utani "

" Gabriella .. Gabriella wangu hataki hata kuniona ..hataki kunisikiliza mimi nitaishije bila yeye Sasa "
maverick aliongea sauti ya kilevi

" Huyo Gabriella ni mzuri kiasi gani mpaka unamlilia hivyo ? Ukute WA kawaida tu kweli mapenzi upofu "
alisema Raymond

" Weeee usiseme hivyo hujawahi kumuona huyo Gabriella ni chombo ukimuona tu hata wewe hutoboi "
alisema Nadya

" Basi tufanye mipango tumsaidie mshkaji naona anateseka " alisema Raymond

" Poa "
Raymond na Nadya walikubaliana kufanya juu chini maverick apate nafasi ya kuongea na Gabriella ️Kesho yake Raymond aliongozana na Nadya mpaka nyumbani kwa kina Gabriella walikalinishwa ndani mage ,walimkuta Gladness anaangalia tamthilia

" Gladness Hawa ni wageni wa Gabriella " alisema mage

" Oh karibuni sana "

" Asante ,ila sio wakaaji sana tunaomba utuitie Gabriella "
alisema Raymond

" Okay nitaenda kumuita Sasa hivi"Gladness alienda chumbani.kwa Gabriella Gladness alirudi akiwa ameongozana na Gabriella

" Karibuni niwasaidie nini?"
Gabriella aliwauliza Raymond na Nadya

"Unahitajika kituo Cha polisi kwaajili ya kuchukua maelezo yako "

" Maelezo yangu kuhusu nini?"
Aliuliza Gabriella

" Maswali mengi ya nini binti kwanini usiongozane na sisi utaenda kujua huko huko kituoni "
alisema Raymond

" Lakini anatakiwa kujua kabla ya kuongozana na nyie anahitajika huko kwasababu gani " alisema Gladness

" Hatuna muda wa kumuelezea anahitajika haraka sana kituoni " Nadya alimshika mkono Gabriella ,Gladness alitaka kuwàfuata Raymond akamzuia

"hutakiwi kuongozana nae unaweza kuja baadae kituoni "
alisema Raymond

" Gladness usijali nitakuwa sawa unaweza kuja baadae "
Gabriella aliongozana na Raymond pamoja na Nadya.....

Offer offer offer
Soma yote kwa sh 800
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤SEHEMU : 17



"Nicole aliniambia umepata mchumba"

" Ndiyo mama nampenda sana huyu mwanamke ila tumekwaluzana kidogo na hataki kuongea na mimi "

" Fanya juu chini uongee nae na muyamalize mimi nasubiri ndoa tu sitaki ucheleweshe nataka wajukuu " aliongea bi Vanessa huku anatabasamu

" Usijali mama nitamaliza tofauti zetu na soon atakuwa mke wangu "

" Nimuone basi huyo mka mwana wangu haya kwenye picha "
alisema bi Vanessa Maverick alitoa simu yake akamuonyesha mama yake picha ya Gabriella

" Huyu si ni Gabriella mtoto wa Mr Alphonse ?"
Aliuliza bi Vanessa

" Ndiyo mama ni yeye najua utakasilika lakini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi captain-maverick-na-mission-ya-mapenzi-sehemu
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI SEHEMU : 18
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤ SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤ SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI 💔💔  SEHEMU : 16
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI 💔💔 SEHEMU : 16
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI😍 SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI😍 SEHEMU : 15
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI 💔💔  SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI 💔💔 SEHEMU : 6
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI🥑🍊SEHEMU : 14
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI🥑🍊SEHEMU : 14
 CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤ SEHEMU : 8
CAPTAIN MAVERICK NA MISSION YA MAPENZI❤ SEHEMU : 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

918
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

348
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

292
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

279
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

215
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

214
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

198
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

192
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

171

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema “Muanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema “eenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema “wewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "6"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "6"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn 😂😂😂 vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest