Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....15
Gonga94 ยท Stories

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia......

Nafaa alishtuka hakuamini kile alichokiona.
Huku Joan alikuwa akicheka sana.....

SONGA NAYO....

"Anty nini kinaendelea? Mbona upo na Joel?"

"Mhhh kama unavyotuona kupitia hela zako tunakwenda kuishi wenyewe.
Joel amenichagua mimi.
Kifupi hakukupenda na nilikuwa natembea nae.
Nashukuru nami nimepata mwanaume na soon nakublock".

Kisha Joan alikata simu na nafsa macho yalimtoka.
Binti palepale alidondoka chini na kupoteza fahamu.

ilikuwa ni usiku alikuwa chumbani kwake ivyo hakuna mtu aliyejua mpaka asubuhi.

Asubuhi hiyo pia hakuna aliejua kwa haraka kwa kuwa nafsa analala chumba cha peke yake na hana anaeelewana nae sana mule Ndani.

Mpaka usiku alizinduka Ndipo binti akashika simu na kumpigia baba yake.

"Baba njoo chumbani kwangu baba naumwa baba...babaaaaa".

Mr jarden haraka kwa upesi akiwa amevaa boxer tu na kaush akafunga na taulo kwa juu akaelekea chumbani kwa binti yake.

Alimkuta amejilaza chini binti nafsa.

"Mwanangu nini tatizo? Kinakusumbua nini binti yangu?"

Nafsa alibaki akilia tu.

"Ok ngoja tuende hospital sasaivi sawa"
"Usijali baba haina haja ya kwenda hospital baba ila ukae na mimi sipo sawa".
Mr jarden akamuinua binti yake na kumuweka juu kitandani na kukaa pembeni yake.

Palikwenda mpaka asubuhi.
Mr jarden alishtuka Na kuona nafsa amelala Ndipo nae akarudi chumbani kwake.

Kufika mlangoni akapishana na manga akiwa anatoka nae katika chumba cha Mr Jarden.

"Nilikuwa nimekuletea chai unywe upate kumeza dawa nikakuta haupo".

"Ndio nililala kwa nafsa"

"Vipi ? Pana shida?"

"Amenipigia simu usiku wa manane nikaenda hajaniambia anaumwa nini".

"Ungeniamsha mimi basi kama mama vipi kama ungemkuta katika mazingira mabaya ya kike binti yako".

Mr jarden alikosa cha kujibu akaingia chumbani.

Basi manga akaelekea chumbani kwa Nafsa na kumkuta amelala.
Lakini punde nafsa aliamka na kumuona bi manga amesimama mlangoni.

"Umefuata nini chumbani kwangu? Mbona unaniangalia?"
"Nimeambiwa na baba yako kwamba haupo sawa nikaja kukuangalia sio kwa ubaya ".

Nafsa wacha aanze kuangua kilio sasa, yaaani kile alichoambiwa na shangazi yake ndo kilijirudia.

"Niache nasema tokaaaa niachee"

Alipiga kelele Nafsa kumfukuza manga basi ikabidi mwanamama huyo aondoke zake.

Nafsa hakuwa wakula wala kunywa alishinda akilia tu.
Halii kusalitiwa tu, bali mpaka hasara ambayo ameiweka ya pesa katika kampuni.

Mr jarden alimfuata binti yake huyo usiku akiwa amebeba vyakula..
Aliingia pia na binti Nayla .

"Baba naomba nizungumze nae mimi kitabibu nadhani itakuwa rahisi".

Nafsa akajibu kwa ukali,

"Tokaaaa huna hadhi ya kuzungumza na mimi eti kitabibu tokaaaa".

Nayla alitoka na kumkuta mama yake amesimama mlangoni kwa maana alikuwa akisikia kinachoendelea.

Nayla akaamua kwenda kuendelea na shuhuli zake.

"Nafsa binti yangu....unajua fika naumwa je unataka kuniongezea maradhi? Usiponiambia mimi utanmuambia nani? Eeeh nafsa wangu.
Nani amekukera? Tafadhali niambie".

"Baba sijui kama utanisamehe baba yangu ahhhh ".

"Haujawahi kunikosoa mpaka umefika umri huo uliopo.
Je unahisi utanikosea sasa? Niambie".

"Baba nilikuwa na boy friend mzungu na tulikuwa tunaenda vizuri nikijua atakuwa mumewangu.
Lakini shangazi Joan kaingilia mapenzi yangu isitoshe wakapanga na yule mwanaume kunitapeli pesa.

Nilijua nawekeza katika biashara kumbe wamenitapeli na wamekimbia Marekani.
Milioni 800 baba milioni 800 uwiiiiii".

Aliangua kilio Nafsa hata Mr jarden pozi lilimuisha.

Alikosa cha kuzungumza aliweka chakula kile mezani na kutoka chumbani kule.

Mr jarden mtu mzima alishindwa kujizuia ,alifika chumbani na kuangua kilio.

Mwanamama manga hakuwa mbali akamfuata,

"Pole kwa hili Ni mtoto bahati mbaya kwa alichokifanya".

"Siumii hata kwa sababu ya pesa.
Naumia kwa binti yangu kusalitiwa maumivu ya mapenzi yanauma sana".

"Mhhh sawa basi mnastahili kupewa pole".

Manga huyooo akaondoka zake chumbani humo.

Lakini ukweli jarden alilia kwani anajua kinachokwenda kutokea katika kazi yake hiyo.
Ukweli anaujua yeye kuwa mmiliki wa kampuni alimuamini Mr jarden kiasi mpaka alihamia na familia yake south Africa akaiacha kampuni mikononi kwa Mr jarden.

Lakini ilikuwa ni siri ya Mr jarden hakuwahi kumueleza hilo Binti yake.
Aliacha mwanae aamini kwamba kampuni ile ni ya kwake.

Mr jarden alipiga moyo konde na kumfuata tena binti yake majira ya jioni hayo.

"Hilo limeshatokea mwanangu naomba kuanzia sasa uwe na furaha yako kama kawaida.
Pesa sio kitu mbele ya Furaha yako".

Nafsa alijikuta anapata afuheni akamkumbatia baba yake.
Mr jarden alitoka na binti yake mpaka mezani wakala wote nia kumfariji japo moyoni anaumia kwelikweli.

Baada ya chakula nafsa alikwenda chumbani kupumzika huku bibie nayla akiwa zake jikoni anamalizia usafi.

Mala alisikia akiitwa na baba yake,
Nayla haraka akamsogelea baba yake kumsikiliza,

"Abeee baba".
"Nayla umuangalie kwa ukaribu dada yako wewe ni daktari unajua mambo mengi".

"Sawa baba nitajitahidi ila hata wewe haupaswi kuwa na mawazo sana kwa ajili ya afya yako pia".

Licha ya yote yaliyotokea lakini Mr Jaden alishangaa kuona nayla bado anamuheshumu na kumjali.

Basi Mr jarden alijikuta anapata amani sana kitendo tu kile cha kuzunguka na binti yake huyo na kuonesha anamjali.

"Asante sana mwanangu".

Nayla pia alifurahi kuona siku hiyo baba yake amezungumza nae vizuri.

*******

Basi palikwenda mpaka asubuhi nayla alikwenda katika chumba cha dada yake.

Aligonga mlango ndipo Nafsa akamjibu

"Nani wewe na unataka nini?"

"Mimi nayla nataka tuzungumze nijue unaendeleaje kisaikolojia".

"Wewe mwehu kweli umeniona mimi ni katibiwa? Kwanza aliekuwambia naumwa nani? Kwendaaa".

Nayla yakuwa na la nyongeza ikabidi aondoke zake.

Binti alikuwa akifanya kazi katika hospital kubwa, baada ya field kufaulu vizuri alipata nafasi ya kuwepo katika hospital ile.

Majira ya mchana Nafsa alikwenda kuonana na rafiki yake Aliyeitwa Dina.

Alikuwa ameshamuelezea kila kitu kwenye simu.

"Ahhh pole nafsa huyo shangazi yako ni mbaya sana jamani khaaa '.

"Sina hamu dina.
Yani nashukuru baba yangu ananipenda na ana pesa za kutosha ndio maana hajataka iwe kesi kubwa".

"Aiseee pole rafiki yangu ila nikwambie kitu umemuona michael?"

"Michael? Michael huyu huyu?"

"Huyu huyu aliekwendaga masomo kumbe amerudi bonge la daktari hospital kubwa pale.
Nilikwenda majuzi kati hapa hospital nilikuwa nimempeleka bibi yangu jamani nikakutana nae".

"Wewe dina mbona haujaniambia mapema?"

"Mhh ile siku nataka nikwambie ndio ukaniwahi kunukuliwa yaliyokutokea".

"Michael mbona hajaniambia kama amerudi napaswa kuonana nae twende nipeleke".

"Heeeee shooga wewe tukifika tunasemaje?"

"Wewe twende Dina ujue habari hizi zimenipa nafuu yaaani siamini".

"Sawa twende ".

Dina kukubali basi wakaelekea katika gari la bibie nafsa kwenda huko hospital.....

full 1000.
Whatsapp no 0716730000.

Sijui itakuwaje?
Tukutane Sehemu ya 16

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....15


Na
Mamuh Mohd
(0716730000)

Tulipoishia......

Nafaa alishtuka hakuamini kile alichokiona.
Huku Joan alikuwa akicheka sana.....

SONGA NAYO....

"Anty nini kinaendelea? Mbona upo na Joel?"

"Mhhh kama unavyotuona kupitia hela zako tunakwenda kuishi wenyewe.
Joel amenichagua mimi.
Kifupi hakukupenda na nilikuwa natembea nae.
Nashukuru nami nimepata mwanaume na soon nakublock".

Kisha Joan alikata simu na nafsa macho yalimtoka.
Binti palepale alidondoka chini na kupoteza fahamu.

ilikuwa ni usiku alikuwa chumbani kwake ivyo hakuna mtu aliyejua mpaka asubuhi.

Asubuhi hiyo pia hakuna aliejua kwa haraka kwa kuwa nafsa analala chumba cha peke yake na hana anaeelewana nae sana mule Ndani.

Mpaka usiku alizinduka Ndipo binti akashika simu na kumpigia baba yake.

"Baba njoo chumbani kwangu baba naumwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chaguo-sahihi-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chaguo-sahihi-sehemu-ya
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....2
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....11 Na
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd  (0716730000)  Tulipoishia.....  "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu".  Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....5 Na Mamuh Mohd (0716730000) Tulipoishia..... "Na iwe kweli laaa sivyo nitakunyonga kwa mikono yangu". Aliongea kwa hasira na uchungu sana Jarden.......
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....8 Na 9
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....6
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....4
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....10
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....10
*CHAGUO SAHIHI*  SEHEMU YA....3 Na
*CHAGUO SAHIHI* SEHEMU YA....3 Na
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

755
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

663
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

491
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

382
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

195
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

37
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.47K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.75K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.55K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.47K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.43K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. Itโ€™s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest