Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*
Gonga94 · Stories

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
?
CHUMBA CHA MPANGAJI

" "" " Dogo unanijua mimi au tunazoeana.??
Aliongea Nasra na kuinuka..

Dalali sele alikaa vizuri huku anamtazama Nasra machoni....

" "" Kwani umekumbwa na nini my.. ?? Aliongea Sele..

"" " Mimi My wako tangu lini.?? Nimekuwa wako lini..?? Umezoea kubaka watoto wa watu sasa leo adabu utaipata mbwa wewe...
Nasra aliongea na kumkaba sele shingoni..

" "" " We mtoto hembu acha upumbavu. Nitakupiga nikuvunje na hako kamwili kako.. Kama hutaki kunipa mzigo sema mimi niondoke zangu.. Usijidai kunipandishia hapa..
Aliongea sele huku anajitahidi kuuondoa mkono wa Nasra uliomshika shingoni...

Sele alidhani ni mwepesi tu lakini kadiri muda unavyoenda ndivyo shingo yake iliendelea kukabwa..

Alijitahidi kuusukuma ule mkono lakini hakuweza hata kuutikisa....

Hapo sele ndio aliamini huenda Nasra si wakawaida au kaingiliwa na Jini..

"" " weeeekkhhhhh... Uuuuuuukkkhhhh.. Niaaaaaacchhhheee mimi... Sele aliongea kwa upole na kurusha teke kumkanyaga Nasra tumboni..

Nasra hakuonyesha kama ameumia au laa.. Yeye aliendelea kumminya tu Sele shingoni hadi sele akaanza kujikaza na kutokwa na mishipa kwa kukosa pumzi..

Sele alijikaza kutafuta Pumzi hadi ALIJAMBA lakini hakuachiwa...

Nasra aliutoa ule mkono baada ya kuona Sele ameanza kuishiwa nguvu na kulegea.

Sele alikaa chini kwa kutulia huku anavuta pumzi kwa nguvu sana...

"" " Vipi Israeli ulimuona huko ulipotoka.???.
NASRA aliongea kwa ukali kumuuliza Sele..

" "" Ndio alikuja hadi hapa... Uuuhhh... Uuuuuhhhh niache mimi niende.. Sitaki mazoea na wewe tena.. Uuuuuhh...
Sele aliongea hukua nahema hema kwa hofu na kuinuka kukimbilia mlangoni..

Alifika na kuusukuma mlango lakini ulikuwa umefungwa... Alitazama hakukuwa na funguo.. Aliangalia chini haukuwepo pia..

"" "" ufunguo uko wapi we Nasra..?? Aliongea Sele huku bado anahema na kuvujwa na jasho jingi..

Nasra hakumjibu kitu.. Alipiga tu hatua kumfuata na kumshika...

"" " Sele kwanini unakuwa na tabia hii ya hovyo kiasi hiki.?? Kwanini unakuwa mpumbavu kiasi hiki.???

Unadhani nimekujua leo mimi..?? Nimekujua muda mrefu sana..
Yaani hata hujiulizi namba zako nilipata wapi hadi nikakupigia siku ya kwanza..???
NASRA ALIKUWA ANAONGEA KWA HASIRA SANA..

"" " Siunamjua Rehema wa Utumishi..??
Kwanini ulimtapeli pesa zake za chumba na kumpa mtu mwingine eti kisa amekunyima penzi.. Na ulivyo kuwa wa ajabu ulimtaka kumuingilia kinyume na maumbile.
Aliendelea kuongea Nasra..

" "" Haki ya Mungu mimi sikuwahi kumtaka Rehema kinyume na maumbile.. Namuheshimu sana Rehema kama dada yangu tena sikuwahi hata kumtapeli..

Aliongea sele huku anatetemeka na kujishika Shingo yake vizuri akijilinda asije kushikwa tena Shingo na Nasra..

""" Unauhakika na hilo.?? Hivi unamjua Rehema..?? Nimpigie simu aje Hapa.???

""" Halafu na Lameck yule kaka anae endesha Daladala za kwenda Msalato kwanini ulimtapeli hela ya kiwanja.????.....

Au na huyo pia ni uongo..??

Nasra aliendelea kushusha matukio yote ya Dalali sele..

Dalali sele alitulia kimya bila kujibu kitu..

"" "" Sikiliza Sele. Katika watu watatu unaokutana nao kwenye Jiji hili la Dodoma.. Basi ujue mmoja kati yao ni mtu wa ulinzi na usalama..
Haya ni makao makuu ya nchi.. Humu kuna hazina ya Nchi.. Humu kuna siri za nchi..

Kuwa makini utakuja kufa sawa..

Aliongea Nasra na kusogea Mezani kuchukua Simu yake kumpigia Rehema..

ITAENDELEA...

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 15*

?
CHUMBA CHA MPANGAJI

" "" " Dogo unanijua mimi au tunazoeana.??
Aliongea Nasra na kuinuka..

Dalali sele alikaa vizuri huku anamtazama Nasra machoni....

" "" Kwani umekumbwa na nini my.. ?? Aliongea Sele..

"" " Mimi My wako tangu lini.?? Nimekuwa wako lini..?? Umezoea kubaka watoto wa watu sasa leo adabu utaipata mbwa wewe...
Nasra aliongea na kumkaba sele shingoni..

" "" " We mtoto hembu acha upumbavu. Nitakupiga nikuvunje na hako kamwili kako.. Kama hutaki kunipa mzigo sema mimi niondoke zangu.. Usijidai kunipandishia hapa..
Aliongea sele huku anajitahidi kuuondoa mkono wa Nasra uliomshika shingoni...

Sele alidhani ni mwepesi tu lakini kadiri...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumba-cha-mpangaji-sehemu-ya
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 17 & 18
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 13 & 14
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 27*
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
CHUMBA CHA MPANGAJI SEHEMU YA 19 & 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

252
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

183
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

162
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

124
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

100
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

98
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2

96
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11

94
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

94
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.61K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.35K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.84K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.74K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest