Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUMBANI KWETU 💚9  basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi
Gonga94 · Stories

CHUMBANI KWETU 💚9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ikaonyesha ujauzito uko sawa,yaan sikuwa na tatizo sasa bleeding ya nini?

😔 nikawa na waswas sana mimba yangu itaharibika hapana hamna tatizo mke wangu tukarud nyumbani tuone kama itaendelea ✍🏻 ikapita wiki bleeding haikati😫🤔

mpaka siku kumi na mbili😭😭😭bado tu siku hiyo betty akaja aliomba ruhusa akaja nitembelea tukashinda wote bado akawa ananitia moyo maana mimi nilishaanza kuwa na waswas akanambia usiogope rafiki angu huu ujauzito hautoharibika utazaa salama kabisa na hiyo bleeding itakata akanishika na tumbo akaniombea nkamshukuru kwel kidogo nikapata moyo bas akaaga nikamwambia ngoja nikaoge tukusindikize mimi na wifi maana ilikua jion wif anantembezaga kufanya mazoezi🙏

nikaoga zangu nikabadili pad tukatoka tukamsindikiza betty akarudi kwake mimi na wif tukatembea tembea then tukarud nyumbani ,sasa nkawa kujikagua bleeding nikakuta imekata😳 nkampigia betty wee betty eti ulivyoniombea pale nmekuta bleeding imekata pad haijachafuka masaa matatu sahivi😳 kweli? ndiwo dah..!

ni jambo la kushukuru sana🙏 kwa hili betty sikati tamaa kumbe maombi yanajibiwa eeh? kabisa mimi nashangaa tu wewee mwenyewe waogopa💃

kuanzia leo siogopi chochote wallah vile ata kitokee kitisho gani👌👌 kuanzia apo bleeding haikurudi tena mimba ikafika miezi tisa,siku hiyo nikakaa na wifi nikamuuliza mbona sijawah muona Shem wangu wifi unanbania😹😹

aiii jaman yupo Shem wako ila bado tu hujapata nafas ya kumwona ndo unanibania sasa sio vizuri hvyo wif angu hahah ntakutambulisha........

bas maana mpaka umemuuliza sio mchezo kabisa usijali ila mimi nilitaka nmtambulishe akikaribia taratibu za kunioa kwahyo hata hawa watu wa nyumbani hawamjui ndio hawamjui ila wewe nitakutambulisha wif angu umjue ntafrah sana ...

usijali ila leo mwenzio kiuno na mgongo vinauma itakua unakaribia kujifungua hauna siku nyingi uchungu utakuja weee wif tunaanza kutishana jaman sikutishi ila nasikiaga hivyo sasa unaogopa nini jamani😹😹😹 acha tu naogopa hatar ndo ukubwa huo mama yaan nawaza mno 😿 usiogope mamy

sasa usiku sindo uchungu ukaanza😿nyieee kumbe unauma hivyo😾nikakimbizwa hospital kufika tukapokelewa vizuri ila ghafla uchungu ukakata🥺 mume wangu akaomba likizo ya siku tatu lakini zilipita zote sijajifungua bado😭nilikasirika mimi yaani uchungu unauma unakata😏

nikabaki kulala na wifi zuu mume wangu tukamwambia awe anarudi kulala nyumbani tu ,
.
betty akanambia tumefika fainali lazima tushinde shoga angu 🤸🏻‍♀️ nkamwambia inashindikana kujifungua naona ntafanyiwa operation😭😭

hapana utajifungua kawaida tu kesho narudi dar nije nikuone shogangu maana alikuwa ameenda kijijini kwetu kumtambulisha mchumba ake,basi kesho yake wakaja na mama angu mzazi kwakuwa walifika usiku wakasema tutakuja asubuhi kukuona,

asubuhi kweli wakaja na mume wangu pia akapitia pale hospital kuniona afu akaenda kazini ,

basi wifi zuu akasema ngoja mimi nirudi nyumban mara moja maana hapo hakurud nyumban hyo ilikuwa siku ya sita alikuwa na mimi tu hospital ,

nkamwambia sawa kwakuwa mama na betty wapo hamna shida akaondoka, basi bhana uchungu ukanishika tena 😭😭😭nkasema najua tu sijifungui wiki nzima hivi hivi nateseka usiseme hivyo bas rafiki angu mimi naamini leo utajifungua tu usipoteze matumaini mama pia akasema utajifungua mwanangu tena salama tunakuombea sana🙏 uchungu ukachachamaa nyie nyieee😭

betty na mama wakasema tunakuombea utajifungua ,basi nikaingizwa labour sasa kila nikipush zinatoka tu damu mtoto kagoma🥺 yaani nilipush mpaka nahisi nakufa leo mara wakawa wanasema amekunywa midawa ya kienyeji nini huyu😏

nikasema hapa nina hati hati ya kufa mimi au mtoto😭😭😭 wakasema nikimbizwe theater kufanyiwa operation wakakamilisha taratibu nfanyiwe operation mume wangu na mama mkwe walikuwa wamefika,

basi wakawa wananipeleka theater kufanyiwa operation yaan nimefika mlango wa theater sijui nguvu za kupush yaan nilijifungulia mlangoni na hapo hapo nikapoteza fahamu🥺

nkaja kushtuka saa mbili usiku nikakuta nipo na mama,mama mkwe na betty wakanipa pole na hongera nimejifungua mtoto wa kike......!

Full story ipo whatsapp leo natoa ofa lipia tsh 2000 kwa airtel money 0782781603 RAHEL BOO kisha ncheki whatsapp kwa namba hiyohiyo

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUMBANI KWETU 💚9 basi nikamwambia mume wangu akasema twende hospital nikafanyiwa uchunguzi

ikaonyesha ujauzito uko sawa,yaan sikuwa na tatizo sasa bleeding ya nini?

😔 nikawa na waswas sana mimba yangu itaharibika hapana hamna tatizo mke wangu tukarud nyumbani tuone kama itaendelea ✍🏻 ikapita wiki bleeding haikati😫🤔

mpaka siku kumi na mbili😭😭😭bado tu siku hiyo betty akaja aliomba ruhusa akaja nitembelea tukashinda wote bado akawa ananitia moyo maana mimi nilishaanza kuwa na waswas akanambia usiogope rafiki angu huu ujauzito hautoharibika utazaa salama kabisa na hiyo bleeding itakata akanishika na tumbo akaniombea nkamshukuru kwel kidogo nikapata moyo bas akaaga nikamwambia ngoja nikaoge tukusindikize mimi na wifi maana ilikua jion wif anantembezaga kufanya mazoezi🙏

nikaoga...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chumbani-kwetu-9-basi-nikamwambia-mume-wangu-akasema-twende-hospital-nikafanyiwa-uchunguzi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chumbani-kwetu
CHUMBANI KWETU 💚 5  nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 5 nikashtuka😳nimeumbuka cheee....!!!🙄 abeee zima hiyo taa inaniumiza macho nikasema uyu mjinga
CHUMBANI KWETU 💚 3  basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 3 basi weekend ikafika,baada ya kunywa chai tukaondoka amani akawaambia wasituhesabu chakula cha mchana tutakula huko huko
CHUMBANI KWETU 💚 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty🤣🤣🤣 ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU 💚6  nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU 💚6 nilijuta kabisa😭😭😭 alivyomaliza akawa ananipa pole,sa mimi pole inanisaidia nini jamani ,akaenda
CHUMBANI KWETU 💚 8  Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 8 Mimi naogopa🥺no usiogope hakuna kibaya kitakukuta mmh wakati umesema mauzauza sijui hamna bhana usijali mke wangu, umesikia
CHUMBANI KWETU 💚 7  oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 7 oyaah jafe eeeeeeh...!🗣💃🤣🤣🤣 chakulalia hichi hapa mpumzishe makomwe na marumumeti wenu adi kesho🤣🤣🤣
CHUMBANI KWETU 💚 2  alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 2 alikuwa tu mkaka flan smart,ana sifa zote za mwanaume mzuri, handsome, mtanashati😘😘💃nikajisemea
CHUMBANI KWETU 💚 1  naitwa zawadi,story
CHUMBANI KWETU 💚 1 naitwa zawadi,story
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

1.08K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

906
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

687
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

538
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

535
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

497
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

484
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

126
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

119
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest