Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 1
Gonga94 · Stories

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 1

Mh! Bwana bwana wee, maisha ya chuo matamu sana kama yakifaana kinoma. Embu wacha nisiwe na maneno mengi wacha nikusimulie niliyapata huko chuo, hiki chuo chenye wanafunzi waliojaa mavitu na mavituziiii ya mihemko..
"Nilifika nikiwa bikira wa akili na mwili… nikarudi nikiwa na ujauzito wa hisia na kitumbo"
Waliosema “Chuo ni sehemu ya kutafuta elimu” walikuwa sahihi lakini hawakutuambia kwamba elimu nyingine huwa haifundishwi darasani.
Nilikuwa nimevaa sketi ya penseli, viatu vya chelsea, na nguo ya juu isiyoonyesha chochote isipokuwa tabia.
Hivi sijajitambulisha eee, sawa, naitwa Neema mtoto wa kwanza kwenye familia yetu ya watoto wanne, nina miaka 22 mpaka sasa ninapo anza kusimulia kisa hiki.

Nianze kwa kusema mimi nilikua mkorofi na mkali sana, maswala ya mkaka kuja na kunitongoza nilikua sipendi kabisa yani mkaka akijaribu alikuwa anakutana na majibu ambayo yatamfanya kesho kukaa kimya.
Tabia hiyo ilipelekea kuitunza bikra yangu bila kumpatia mvulana yoyote yule, tangu naanza kitado cha kwanza mpaka namaliza kidato cha nne, nikaingia kidato cha tano hatimaye sita hakuna mvulana yoyote aliye wahi kunibahatisha hata kwa kuniita beby, yaani hata beby ya bahati mbaya hakuna.

Hapo nikaamini kwamba nitaenda chuo, na nitatoka bila mjinga yoyote kucheza na mwili wangu hata kwa bahati mbaya.

Haya bwana sasa leo si ndio nimefika chuo, nia yangu kubwa ilikuwa kutafuta cheti bora na sio bora cheti, kwani mahusiano hayakuwa yananichukulia muda kabisaaa.

Moja mbili chuo hicho hapo mbele ya macho yangu, hatua kadhaa nikazipigia kusogea chuo, huku nikiwa nimepakata begi langu dogo maana mengine tayari yalikuwa nimeyapeleka hosteli.
Sasa bwana wakati natembea kwa haraka ili niwahi kwa viongozi wa chuo kusaini kuwa nimeingia chuo sasa, na nipewe utaratibu muhimu wa chuoni hapo, macho yangu yalikuwa kwenye simu nikichati Whatsapp kwenye magroup, huku hatua ndefu ndefu nikizipiga.

Sikumbuki ilikuwaje ila nacho kumbuka nilijikwaa, simu nikarusha kulee nikaanza kushuka chini kupigiza mwili.
Hapo kwa haraka nikafunika macho yangu nikusubiri maeneo ya mwili yatakayo umia.

Cha ajabu sekunde zikasogea bado sijaanguka chini, nikahesabu moja mpaka tano nikashangaa bado nimepanda hewani.
Kwambali nikaanza kuhisi kama vile nimekumbatiwa na mtu, na huyo mtu amenikumbatia kuzuia nisianguke.
Nikafumbua macho yangu ili kumtazama huyo mtu mwenye ujasiri wa kunishika.
"We vipi, nani kakuruhusu kushika mwili wangu" eti nikawa nauliza hivyo huku namuangalia kwa hasira.
Pale pale akaniachia, nikapigiza mwili chini,
"Mama weeeeee kiuno changu kimekatika mimi mwenzenu" nilijikuta nasema hayo baada ya kuhisi kama kiuno kimetoka na kwenda kando ya mwili.

Nikainuka huku nimekaandaa kamdomo kangu, kumsodoa huyo mkaka, yaani anasubutu kuangusha pisi kutoka Kagera, wacha nikuonyeshe, leo namsodoa mpaka akome kuangusha watoto wazuri kama mimi.
Nikainuka, nikajingunguta vumbi kisha nikaokota simu yangu na kumgeukia, nikashangaa mkaka simuoni, nilipotupa macho mbele nikamuona mkaka mwenyewe anawasha pikipiki yake ili aondoke, yote hiyo kuonyesha hana time na mimi.
Ila Pale nikawa nakumbuka kumbatio lake, sura yake iliyokuwa imenikaribia.
"Ila huyu mkaka ni hendsome jamani😜" nikawa NAWAZA mwenyewe.
Hata sijui nimeanza kumpenda!! Maana kamoyo kakawa kanajilaumu eti kwanini nimemjibu shiti, ilitakiwa muda ule nimkumbatie na niondoke naye .
Embu subiri, nyie ambao mnajua masuala ya upendo hivi itakuwa NIMEMPENDA au maana dada yenu kwenye mahusiano ni mngeni asee 🤣 🤣 😜

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1

CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 1

Mh! Bwana bwana wee, maisha ya chuo matamu sana kama yakifaana kinoma. Embu wacha nisiwe na maneno mengi wacha nikusimulie niliyapata huko chuo, hiki chuo chenye wanafunzi waliojaa mavitu na mavituziiii ya mihemko..
"Nilifika nikiwa bikira wa akili na mwili… nikarudi nikiwa na ujauzito wa hisia na kitumbo"
Waliosema “Chuo ni sehemu ya kutafuta elimu” walikuwa sahihi lakini hawakutuambia kwamba elimu nyingine huwa haifundishwi darasani.
Nilikuwa nimevaa sketi ya penseli, viatu vya chelsea, na nguo ya juu isiyoonyesha chochote isipokuwa tabia.
Hivi sijajitambulisha eee, sawa, naitwa Neema mtoto wa kwanza kwenye familia yetu ya watoto wanne, nina miaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chuo-cha-mihemko-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chuo-cha-mihemko-sehemu-ya
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

864
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

614
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

538
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

448
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

319
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

190
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

98
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

25
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.66K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.58K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest