Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 1
Gonga94 · Stories

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 1

Mh! Bwana bwana wee, maisha ya chuo matamu sana kama yakifaana kinoma. Embu wacha nisiwe na maneno mengi wacha nikusimulie niliyapata huko chuo, hiki chuo chenye wanafunzi waliojaa mavitu na mavituziiii ya mihemko..
"Nilifika nikiwa bikira wa akili na mwili… nikarudi nikiwa na ujauzito wa hisia na kitumbo"
Waliosema “Chuo ni sehemu ya kutafuta elimu” walikuwa sahihi lakini hawakutuambia kwamba elimu nyingine huwa haifundishwi darasani.
Nilikuwa nimevaa sketi ya penseli, viatu vya chelsea, na nguo ya juu isiyoonyesha chochote isipokuwa tabia.
Hivi sijajitambulisha eee, sawa, naitwa Neema mtoto wa kwanza kwenye familia yetu ya watoto wanne, nina miaka 22 mpaka sasa ninapo anza kusimulia kisa hiki.

Nianze kwa kusema mimi nilikua mkorofi na mkali sana, maswala ya mkaka kuja na kunitongoza nilikua sipendi kabisa yani mkaka akijaribu alikuwa anakutana na majibu ambayo yatamfanya kesho kukaa kimya.
Tabia hiyo ilipelekea kuitunza bikra yangu bila kumpatia mvulana yoyote yule, tangu naanza kitado cha kwanza mpaka namaliza kidato cha nne, nikaingia kidato cha tano hatimaye sita hakuna mvulana yoyote aliye wahi kunibahatisha hata kwa kuniita beby, yaani hata beby ya bahati mbaya hakuna.

Hapo nikaamini kwamba nitaenda chuo, na nitatoka bila mjinga yoyote kucheza na mwili wangu hata kwa bahati mbaya.

Haya bwana sasa leo si ndio nimefika chuo, nia yangu kubwa ilikuwa kutafuta cheti bora na sio bora cheti, kwani mahusiano hayakuwa yananichukulia muda kabisaaa.

Moja mbili chuo hicho hapo mbele ya macho yangu, hatua kadhaa nikazipigia kusogea chuo, huku nikiwa nimepakata begi langu dogo maana mengine tayari yalikuwa nimeyapeleka hosteli.
Sasa bwana wakati natembea kwa haraka ili niwahi kwa viongozi wa chuo kusaini kuwa nimeingia chuo sasa, na nipewe utaratibu muhimu wa chuoni hapo, macho yangu yalikuwa kwenye simu nikichati Whatsapp kwenye magroup, huku hatua ndefu ndefu nikizipiga.

Sikumbuki ilikuwaje ila nacho kumbuka nilijikwaa, simu nikarusha kulee nikaanza kushuka chini kupigiza mwili.
Hapo kwa haraka nikafunika macho yangu nikusubiri maeneo ya mwili yatakayo umia.

Cha ajabu sekunde zikasogea bado sijaanguka chini, nikahesabu moja mpaka tano nikashangaa bado nimepanda hewani.
Kwambali nikaanza kuhisi kama vile nimekumbatiwa na mtu, na huyo mtu amenikumbatia kuzuia nisianguke.
Nikafumbua macho yangu ili kumtazama huyo mtu mwenye ujasiri wa kunishika.
"We vipi, nani kakuruhusu kushika mwili wangu" eti nikawa nauliza hivyo huku namuangalia kwa hasira.
Pale pale akaniachia, nikapigiza mwili chini,
"Mama weeeeee kiuno changu kimekatika mimi mwenzenu" nilijikuta nasema hayo baada ya kuhisi kama kiuno kimetoka na kwenda kando ya mwili.

Nikainuka huku nimekaandaa kamdomo kangu, kumsodoa huyo mkaka, yaani anasubutu kuangusha pisi kutoka Kagera, wacha nikuonyeshe, leo namsodoa mpaka akome kuangusha watoto wazuri kama mimi.
Nikainuka, nikajingunguta vumbi kisha nikaokota simu yangu na kumgeukia, nikashangaa mkaka simuoni, nilipotupa macho mbele nikamuona mkaka mwenyewe anawasha pikipiki yake ili aondoke, yote hiyo kuonyesha hana time na mimi.
Ila Pale nikawa nakumbuka kumbatio lake, sura yake iliyokuwa imenikaribia.
"Ila huyu mkaka ni hendsome jamani😜" nikawa NAWAZA mwenyewe.
Hata sijui nimeanza kumpenda!! Maana kamoyo kakawa kanajilaumu eti kwanini nimemjibu shiti, ilitakiwa muda ule nimkumbatie na niondoke naye .
Embu subiri, nyie ambao mnajua masuala ya upendo hivi itakuwa NIMEMPENDA au maana dada yenu kwenye mahusiano ni mngeni asee 🤣 🤣 😜
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1

CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 1

Mh! Bwana bwana wee, maisha ya chuo matamu sana kama yakifaana kinoma. Embu wacha nisiwe na maneno mengi wacha nikusimulie niliyapata huko chuo, hiki chuo chenye wanafunzi waliojaa mavitu na mavituziiii ya mihemko..
"Nilifika nikiwa bikira wa akili na mwili… nikarudi nikiwa na ujauzito wa hisia na kitumbo"
Waliosema “Chuo ni sehemu ya kutafuta elimu” walikuwa sahihi lakini hawakutuambia kwamba elimu nyingine huwa haifundishwi darasani.
Nilikuwa nimevaa sketi ya penseli, viatu vya chelsea, na nguo ya juu isiyoonyesha chochote isipokuwa tabia.
Hivi sijajitambulisha eee, sawa, naitwa Neema mtoto wa kwanza kwenye familia yetu ya watoto wanne, nina miaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chuo-cha-mihemko-sehemu-ya-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chuo-cha-mihemko-sehemu-ya
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

591
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

490
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

321
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

222
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest