Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 2.
Gonga94 · Stories

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
CHUO CHA MIHEMKO

SEHEMU YA 2.

Siku ya pili ya chuo ndiyo ilinikamua akili kuliko hata ile siku nilianguka mikononi mwa yule mkaka wa pikipiki.

Unaweza usiamini Usiku mzima nilijigeuza kitandani kama maandazi ya Morogoro yakikaangwa kwenye mafuta ya baridi.
Sura ya yule jamaa ilinichezea akili kama beats za Konshens , hasa kila nikifumba macho naona dimple zake, kila nikikumbuka kumbatio lake najikuta navuta blanketi kama nasaka joto la mapenzi yake.
Mh, bado NAWAZA nimependa au, nimemtamani au nimefanyaje mimi, kumlisha na ule ushamba wangu kwenye mahusiano noma sana.

"Neema, usilewe mapenzi ya mtu ambaye hata jina lake hulijui," nilijikumbusha mara kadhaa. Lakini moyo ulikuwa umeshikika kama mbegu ya parachichi kwenye ganda, ushaingia, hutoki????????.

Asubuhi ikafika, nikaamshwa na makelele ya wasichana waliokuwa wanapiga picha na madude yao ya iPhone kwa staili ya "first day vibes." Nilipojitazama kwenye kioo nikaona mwanadada mmoja wa nguvu na wa maana kinoma sketi ya jeans, top ya off-shoulder, viatu vya block heels, na mwonekano wa “usinikosee bro, sijakuomba.”

Nikajipulizia manukato ya "Temptation," nikahakikisha kila nywele umelala na kisha nikashika pochi yangu nikaelekea CAFETERIA kupata breakfast kabla ya orientation.

Nikiwa kwenye mstari, mara nikasikia sauti ya kiume nyuma yangu, sauti laini kama imetoka kwenye redio ya classic. Mh! Mbona ninaisifia sauti hiyo asije akawa yule mkaka jamani..

"Excuse me, hivi hii foleni inaenda haraka au tuandike CV tukisubiri?"
Nikacheka kidogo, si kwa sababu ya utani wake, la hasha, bali kwa sababu ya sauti yake ilikuwa ni yake yule!!????, kwa sauti hii nzuri awee lazima niangalie ninani.

Niligeuka taratibu kama mlango wa ofisi ya mkuu wa shule. Alikuwa ni YULE YULE mkaka wa pikipiki aliyenibeba kama malaika wa msaada wa dharura. Lakini sasa alikuwa amevalia suruali ya jinzi, t-shirt nyeupe iliyomkaa mwilini kama muvi ya Netflix na perfumu yake ilikua inachokoza matamanio kama DJ anavyochokoza beats kabla haijalipuka.

"Wewe ndo yule…?"
"Wa pikipiki?" akakata kauli huku akitabasamu. "Ndio mimi Neema."

Nikastaajabu, "Unanijua?"
"Niliona ID yako ilipoanguka wakati wa ajali yetu ya mapenzi," akasema huku akitabasamu kwa maringo.

Nilijikuta nikipoteza mwelekeo. Nikapokea chakula kama robot kisha tukakaa meza moja.

"By the way, naitwa Kelvin," akasema. "Ni mwanafunzi wa mwaka wa pili pale engineering."

Engineering. Hapo hapo moyo ukawa kama ka-taulo kaliko loweshwa, kajisikie vibaya kujificha.

Mazungumzo yakatupeleka mbali tukacheka, tukagawana juice, hadi chips zangu akaomba kipande. Nani angeamini? Mimi Neema ambaye nilikuwa na roho ya chuma, ghafla na smile kwa Kelvin kama nimesukumwa na upepo wa mihemko, au nimelogwa jamani????

Baada ya kifungua kinywa, tukatembea hadi uwanja wa orientation. Kila mtu alikuwa makini kumsikiliza Dean of Students, lakini mimi nilikuwa makini na tabasamu la Kelvin. Kila alipotazama upande wangu, macho yetu yaligongana kama risasi na silaha.

Nakwambia, ni kama kuna sumaku kati yetu bana, roho zilianza kuzungumza kabla hata ya midomo.

Wakati wa mapumziko, Kelvin akanifuatilia mpaka pembeni ya jukwaa.

"Neema, kuna kitu kimoja nataka kukuambia…"
Moyo wangu ukaanza kudunda kama ngoma ya jandoni. Nikajiuliza, “Hivi anataka kuniambia ananipenda? Na kama akichanganya sikwepeshi namkubalia”

Basi bwana Akanitazama kwa makini, akasogea karibu, pumzi yake ikihema karibu na shingo yangu. Halafu akasema:

"Leo kuna bonge la party pale hostel za Engineers… sitaki uikose."

Nikakenua. "Party? Mimi? Mimi sipendangi hivyo vitu."
"Ndio maana nakutaka uje – uone tofauti," akasema.
Sasa ningefanya je jamani, ndio hivyo tayari nilikuwa mtumwa wake kwenye maswala ya upendo, mh! Ila mimi jamani????

Usiku ulipofika, moyo ulikuwa unanishawishi kwenda, lakini akili ikawa inasema “Utaharibu record yako Neema. Umesema huwezi daiwa na mwanaume.” Lakini kiukweli, moyo ulishawahi, yaani kama asilimia mia moja, nafsi ilikuwa na asilimia 10 huku moyo ukiwa na asilimia 90, sasa hapo naimani umeshajua ni upande gani utashinda, kwenda au kubaki.

Basi bwana, Nikakimbia, nikaivaa ile gauni nyeusi ya kuonyesha shape, nikaweka perfume ya “midnight magic,” nikaangalia kiooni na kusema, “Leo sitoki kumlaumu moyo.”

Baada ya hapo nikaondoka huku wadada baadhi ambao walikuwa Hosteli siku hiyo wakinishangaa sana.

Nilipofika kwenye party, Kelvin alikuja kunipokea mwenyewe. Akanipeleka sehem ya juu ya jengo, mahali walipochoma nyama na watu wachache waliokuwa na nidhamu ya kula, si wale wa kuruka na kupiga kelele.

Tukaanza kuongea… juu ya maisha, familia, ndoto zetu… Kelvin alikuwa tofauti. Hakuwa wa kawaida. Hakuwa kama wale wanaume wa mtaa waliokuwa wakitoa like kwa mapaja ya wanawake mitandaoni. Alikuwa na mvuto halisi, na heshima ya mwanaume aliyelelewa kwa mikono ya mama mwenye maadili, sio wale wa mtoto kua unipe pesa????

Usiku ulipochafuka, alinipatia koti lake kunikinga na baridi. Tukakaa kimya kidogo. Kisha akanishika mkono na kusema:

"Neema, sijui kama ni mapema kusema hivi, lakini kuna kitu najisikia… na nahisi naweza kukupenda."

Aweeeeeeeeeeeeeeeee, huyu makaka kayakanyaga aseeee, ananiambia je????

Mh! Ahaaaa!

Nilinyamaza. Sauti yangu ikakosa sauti. Unajua sauti kukosa sauti ndio leo bana????

Ndani ya moyo wangu nikasema, “Hivi huu ni mwanzo wa mihemko, au ndio mwisho wa bikira yangu ya hisia?” niliendelea kujisemea mwenyewe ndani ya moyo

---

GONGA LIKE TWENDE SAWA..

FOLLOW PAGE YANGU, MAANA HUO NDIO UPENDO BURUDANI ZIENDELEE..
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.

CHUO CHA MIHEMKO

SEHEMU YA 2.

Siku ya pili ya chuo ndiyo ilinikamua akili kuliko hata ile siku nilianguka mikononi mwa yule mkaka wa pikipiki.

Unaweza usiamini Usiku mzima nilijigeuza kitandani kama maandazi ya Morogoro yakikaangwa kwenye mafuta ya baridi.
Sura ya yule jamaa ilinichezea akili kama beats za Konshens , hasa kila nikifumba macho naona dimple zake, kila nikikumbuka kumbatio lake najikuta navuta blanketi kama nasaka joto la mapenzi yake.
Mh, bado NAWAZA nimependa au, nimemtamani au nimefanyaje mimi, kumlisha na ule ushamba wangu kwenye mahusiano noma sana.

"Neema, usilewe mapenzi ya mtu ambaye hata jina lake hulijui," nilijikumbusha mara kadhaa. Lakini moyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chuo-cha-mihemko-sehemu-ya-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chuo-cha-mihemko-sehemu-ya
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

578
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

461
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

461
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

383
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

316
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

199
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

56

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest