Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3
Gonga94 · Stories

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 3

Tulipoishia...

“Neema, sijui kama ni kusema hivi, lakini kuna kitu najisikia… na nahisi naweza kukupenda.”

Twende nzetu..

Maneno yake yalinikata mifupa kama vile nipo kwenye X-ray ya hisia.

Moyoni nilisikia kitu kinaanguka sio mguu, si nini, ni bikira ya kihisia ilivunjika kimyakimya. Japo sikumwambia, kwani nilijua kitu ndani yangu kilikuwa tayari kimesalimu amri.

Mara Ohoo sitapenda mimi, mara hoo mimi nitamaliza chuo bila kuwa kwenye mahusiano, kipo wapi????, mapenzi shikamoo..

Lakini, bwana eeh! Hii dunia ya chuo ina siri. Na midomo ikiongea mapenzi, macho yapo bize kuchunguza viashiria vya hatari.
Nikamuangalia Kelvin… sura yake ilikuwa kama ya mtu asiye na hila, lakini tabasamu lake lilikuwa na mkorogo wa upole na ujanja.

“Mwanamume wa hivi haonekani mara mbili kwenye maisha ya mwanamke,” moyo wangu ukaongea, hapo hadi nafasi nayo ikakili kwamba nimekwisha penda.

Tulisimama kwa muda pale juu ya jengo la Engineers, mvua ikaanza kunyesha taratibu kama mziki wa ki-romantiki. Watu wakaanza kukimbia, wengine wakaanza kupiga mayowe, lakini sisi tulibaki pale pale. Kama vile mvua ilikuwa sehemu ya ratiba ya usiku ule. Ila mapenzi bana.

Mimi naye kupenda tu, kusimamia ahadi ahaaaa????
Basi bwana Akanisogelea taratibu. Akavua koti lake akanikinga nalo.
“Neema, nataka tukimbie mvua,” akasema.
Nikacheka, "Unajua navaa weave na mvua haipatani nayo? Kabisa, "

Akanikazia macho, "Nataka ukumbuke usiku huu miaka mingi ijayo."

Nikakubali. Hatua za haraka tukakimbia hadi kwenye hostel za Engineers. Tukaingia chumba kimoja cha rafiki yake Kelvin, ambaye kwa bahati au mpango alitoka mapema na kusema, "Mimi naelekea kwa demu wangu." Yaani kwa lugha nyepesi, waliandaa uwanja kabla ya mechi.

Chumba kilikuwa kimepangwa kama 'bachelor pad' mwanga mdogo wa bulb moja, kiti cha mbao kimoja, kitanda cha futon, na harufu ya deodorant za bei ghali. Kelvin aliketi kitandani, nami nikaketi upande wa pili. Tulikuwa wawili, mvua inanyesha nje, roho zetu zina chemka ndani. Mh! Nikitoka salaama leo mh!

“Mimi ni msichana ambaye sijawahi kuwa kwenye mahusiano…” nilianza kusema kwa sauti ya chini.

"Najua," akajibu taratibu.
"Najua unataka kuwa makini… lakini pia najua kuna kitu kinaanza kujengwa hapa kati yetu."

Akasogea, mikono yake ikishika pole pole mkono wangu. Sikupinga. Si kwa sababu nilitaka, la hasha, ni kwa sababu mwili ulishaanza kuutambua uwepo wake. Ule ukaribu, ile harufu yake, ile namna alivyoniangalia ilikuwa ni kichocheo tosha cha kuua uoga wote wa mwanzo.

Kilichofuata ni dakika za ukimya, lakini kilio cha mioyo kilikuwa kikubwa – hatukuzungumza, lakini miili yetu ilielewana. Macho yakakutana. Mdomo ukakaribia. Kisha… BAM! KITU HICHO.

Mlango ukagongwa kwa nguvu.
"Kelvo! We jamaa upo?" Ilikuwa sauti ya kijamaa mwingine, muongeaji sana, mwenye vituko vya hostel.

Haraka tulirudi kwenye akili zetu. Kelvin akatoka na kunong’ona naye nje. Nikabaki ndani nikihisi mchanganyiko wa kitu kilichokaribia kutokea na kingine nilichokizuia kimoyomoyo.

Aliporudi, akaniambia ni bora turudi kila mmoja kwake kabla usiku haujapinduka. Hatukutaka kuharibu ladha ya muda wetu wa kwanza kwa papara. Ilibaki kumbukumbu ya ukaribu wa hatari. Ilibaki hisia ya tendo ambalo halikutendeka lakini lilijengeka vizuri kwenye kiwanja cha akili.

Alinisindikiza mpaka hosteli. Tulitembea taratibu, chini ya mwanga wa taa za barabarani.
"Neema..." akasema kabla hatujafika.
"Naomba unipe nafasi ya kukujua vizuri. Sitaki tukimbilie kwenye mwili, nataka twende kwenye moyo."

Nilihisi kama mtu aliyenyweshwa wine ya maneno matamu. Nikatikisa kichwa na kutabasamu.

Alinibusu kwenye paji la uso. Sio midomo. Sio shingo. Kwenye paji eneo ambalo wanawake huitunza kwa ajili ya wanaume wa heshima.

Niliporudi chumbani, nilianguka kitandani nikasema:
“Huyu mwanaume si wa kawaida. Lakini je, ni wa pekee au wa hatari?”

Siku zilivyoenda, uhusiano wetu ulikua kama mimea yenye mbolea ya mawasiliano. Kelvin aliniandikia ujumbe kila asubuhi, akanitafuta kila baada ya lecture, akanisindikiza kwenye library, akawa sehemu ya ratiba yangu kama vile timetable ya chuo.

Lakini kila kitu kizuri huwa hakikai kimya kwa muda mrefu… Mambo yalianza kubadilika wiki ya tatu, nilipoanza kuona Kelvin anazungukwa na mademu kama asali ya nyuki.

Nilimuuliza, “Kelvo, kwanini kila msichana anakuchekea?”
Akanijibu kwa utani, “Hivi ukikaa na jua halafu ukapata rangi, ni kosa la jua au ngozi yako?”

Majibu ya kipumbavu. Lakini kwa sababu mapenzi yalikua yamenikolea, nikayameza kama vidonge vya malaria vyenye ladha mbaya lakini vinahitajika.

Siku moja jioni, nikiwa nasoma somo la Psychology of Emotions, nilisikia mlango wa hosteli ya akina Kelvin ukigongwa kwa nguvu, kelele, makelele…
"Mwanamke mmoja alikuwa analia, akisema, 'Kelvin si umeahidi utaniacha lini?! Leo ndo unanishika shati na kunifokea?!’"

Nikajifuta macho vizuri.

Moyo wangu ulianza kutetemeka kama simu ya mkononi ya mtu aliyeweka vibration mode.

Kwa hiyo ananisaliti.

SEHEMU YA 4
Inakuja:
Unahitaji niendelee sasa hivi? Moto bado uko juu!..

Nishawishini sasa kwa like

FOLLOW PAGE YANGU KWANI HUO HUO UPENDO...
????????
Layman Donsue Simulizi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 3

CHUO CHA MIHEMKO
SEHEMU YA 3

Tulipoishia...

“Neema, sijui kama ni kusema hivi, lakini kuna kitu najisikia… na nahisi naweza kukupenda.”

Twende nzetu..

Maneno yake yalinikata mifupa kama vile nipo kwenye X-ray ya hisia.

Moyoni nilisikia kitu kinaanguka sio mguu, si nini, ni bikira ya kihisia ilivunjika kimyakimya. Japo sikumwambia, kwani nilijua kitu ndani yangu kilikuwa tayari kimesalimu amri.

Mara Ohoo sitapenda mimi, mara hoo mimi nitamaliza chuo bila kuwa kwenye mahusiano, kipo wapi????, mapenzi shikamoo..

Lakini, bwana eeh! Hii dunia ya chuo ina siri. Na midomo ikiongea mapenzi, macho yapo bize kuchunguza viashiria vya hatari.
Nikamuangalia Kelvin… sura yake ilikuwa kama ya ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chuo-cha-mihemko-sehemu-ya-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chuo-cha-mihemko-sehemu-ya
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 12
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 2.
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 15
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 9
CHUO CHA MIHEMKO  SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 1
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 11
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 13
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
CHUO CHA MIHEMKO SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

813
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

584
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

504
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

371
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

305
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

187
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

94
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.65K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest