Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04
Gonga94 · Stories

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa na baada ya kumaliza Martha alikuwa akinilalamikia sana,
"Ipo siku utakuta nimekufa humu ndani maisha gani haya oscar"
"Sitachelewa kurudi tena mke wangu na kuanzia kesho nitakuwa nakuja mda mwafaka zaidi ili tuzagamuane kipenzi"., nilimwambia Martha.
Licha ya utamu niliokuwa naupata kutoka kwa mke wangu kuna mda nilikuwa namuonea huruma kwa alivyo kuwa analalamika ivyo ikanibidi nimtafute doctor peter kuangalia kama anaweza kunisaidia kwenye hili na aliniomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo zaidi,
"Ndio ivyo doctor kama nilivyokueleza raha napata sawa nikifanya mapenzi na mke wangu lakini tatizo ni mtetemo unao mshika mke wangu anakuwa anateteme ka sana mpaka anaogopesha".
"Usijali kijana mda sio mrefu nitaenda uingeleza nikashauliane na madoctor wenzangu kuangalia namna ya kulitatua ilo tatizo"
"Heeee!!kama unaenda uingeleza vip hali ya mke wangu huku?"
"Nimekwambia naenda ila sijakwambia kwamba sitarudi huku ni lazima nitarudi kukupa majibu".
Doctor peter aliongea na hakutaka kuongea maneno mengi alinyenyuka nakuondoka hapo ndipo nilipojua kuwa zile milion 100 lazima nizitolee jasho.

Kwakuwa mda ulikuwepo wa kutosha niliamua kuzunguka kwa ajili ya kuangalia flame ya biashara, na kama unavyojua ukiwa na pesa karibu kila kitu utakipata tena kwa mda mwafaka nilifanyikiwa kupata flame na nilirudi nyumbani na kumweleza mke wangu pia tulishauliana biashara gani tufanye na wote mawazo yetu yaliangukia kwenye kuuza nguo za special.
Siku zilisogea huku tayali tumeshafungua biashara na mda mwingi mimi nikiwa dukani na mke wangu akiwa nyumbani sasa siku moja mama mkwe alikuja kumtembelea mwanae na ata yeye alishangaa juu ya sisi kumiliki nyumba hakutegemea kama tutawahi kufanyikiwa kiasi hicho ilikuwa mida ya saa 6 mchana mimi niliamua kutoka dukani na kwenda nyumbani ili kusubiri mda maalumu ufike wa kumpa dozi mke wangu.

Nilifika nyumbani mida ya saa 6:40 nakuwakuta mama na mtoto wakipiga story mke wangu alielewa kuniona pale mana ndio mda wetu ule wa kuzagamuana,
Mama mkwe wangu ni mtu wa dini sana ajabu ile nafika tu mama mkwe akasema simameni niwaombee niwape baraka wanangu.
"Mmh mama ata siku nyingine utatuombea",Mke wangu aliongea.
"Martha ndio mana huendi kusali siku izi emu simameni niwaombee", Mama mkwe aliongea kiukali kidogo hapo ilibidi Martha awe mpole tu na mama mkwe akaanza kuomba huku sisi akili zetu zikiwa kwenye saa 7:00.
Mama mkwe alianza kuomba na kama unavyojua watu wa dini mda mwingine wanatumia mda mrefu kuomba ndivyo ilivyotokea saa 7:00 ikatukuta tukiwa bado pale na mama mkwe bado anaomba tu gafra Martha alidondoka chini,
"Marthaaa!!",Mama mtu aliita alivyoona mtoto wake kaanguka chini nakuanza kutetemeka.
Mama mkwe wangu aliendelea kumkemea mke wangu akijua ni mapepo yamepanda mimi wakati huo nikizidi kutetemeka tu na jasho kunitoka nisijue cha kufanya.
"Pepo tokaaaa... toka pepo katika....", aliendee kuomba mama mkwe.

Nilifikilia nakuona huu ni ujinga sasa nilimbeba mke wangu nakumpeleka chumbani huku mamamkwe akinifata ilibidi nimwombe atoke nje mara moja,
"Nitoke nje!! mwanangu yupo katika hali mbaya unaniambia nitoke?"
"Ndio mama nakuomba utoke tu na atakuwa sawa Martha",nilimjibu.
"Natoka na ole wako mwanangu asiwe sawa, ole wako Oscar utajuta", aliondoka huku kaniachia vitisho na wala siku yajali maneno yake zaidi ya kuvua nguo zangu na kuuandaa mtambo wangu wa mabao vizuri kwa ajili ya mechi, kama kawaida yetu tulianza kuzagamuana mpaka pale hali ya mke wangu ilipoanza kuwa sawa na akaanza kunipa ushirikiano na kila mtu kufika kileleni,
Ajabu mke wangu akaanza kulia baada tu ya kumaliza kufanya nae mapenzi,
"Unalia nini sasa Martha na wewe??"
"Huoni kilichotokea leo naanguka mbele ya mama yangu mzazi"
"Usijali hali itakuwa sawa tu ila hatakiwi kujua mama yako hii siri yetu nakuomba sana mke wangu usimwambia",niliongea kwa upole mana nilijua mambo yana weza kuwa mabaya zaidi kama akimwambia mama yake.
"Nakupa siku tano(5) oscar dawa iwe imepatikana na mimi nirudi kwenye hali yangu la siivyo tutaonana wabaya", Martha aliongea.
Tukiwa bado tunaongea mle chumbani,
"Ng'oong'oong'oong'oo!!, wewe oscar mwanangu anaendeleaje humo ndani", alikuwa ni mama mkwe aliye kuwa akigonga hodi tulinyenyuka mimi na mke wangu nakujifuta jasho kisha kuvaa vizuri na wote tukatoka kwa pamoja tukimkuta mama mkwe wangu amesimama mlangoni,
"Nini kinachoendelea kwenye hii nyumba?",
Ndio swali la kwanza tulilokutana nalo kutoka kwa mama mkwe.
"Mama nilianguka tu"
"Ulianguka na hilo tatizo limekupata lini la kuanguka Martha?"aliuliza kwa mara nyingine.
Wote tuliangaliana tu tusijue cha kusema mbele ya mama mkwe wangu...ITAENDELEA
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04


Ilipoishia....
Mwanangu mbona umezubaa kuna tatizo huko nyumbani"
"Heee unasemaa",nilijikuta nikisindwa kuongea vizuri mbele ya mama yake na Martha......

ENDELEA NAYOOOOOO..
"Unatatizo gani kijana mbona kama haupo sawa", Mama mkwe aliongea hapo ilibidi nitumie akili zangu za kuzaliwa.
"Mama kiukweli nina tatizo, boss ameniambia niende kazini sasa ivi na niwahi ndio mana unaniona kwenye hii hali"
"Ungesema mwanangu aya nenda ukifika nyumbani umtarifu binti yangu Martha anitafute sawa"
"Aya mama "Nilikuwa namjibu huku nikiita usafiri wa pikipiki kwa ajili ya kuwahi nyumbani kwenda kumpa dozi mke wangu.

Ndani ya dekika 7 nilikuwa tayali nimeshafika nyumbani na kumpa dozi mke wangu kama inavyo takiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/dozi-ni-saa-7-00-mchana-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi dozi-ni-saa
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

590
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

488
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

321
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

219
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest