Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NATAKA KUACHA KUJIUZA ILA NASHINDWA NAOMBA MSAADA WENU
Gonga94 ยท Stories

NATAKA KUACHA KUJIUZA ILA NASHINDWA NAOMBA MSAADA WENU

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Shikamoo madam .Naitwa Janeth ni mama wa watoto wawili samahani kwa kuja inbox kwako bila ridhaa yako ila mimi nina changamoto ni mama ambae ninajiuza ili familia yangu ile,isome ,tulipe kodi na maisha mengi kwa ujumla yaende imefika muda nimekuwa mlevi kabisa wa ngono,sitamani kabisa kuacha ila naumia sana ninapoona mabinti zangu wanakuwa wakiniona mama yao najidharirisha,maana nina binti mkubwa kwasasa wa miaka 8 ameshaanza kupata ufahamu maana kuna wakati nawatoa nje usiku ili niingize mwanaume ndani mpaka nimalizane nae ndo warudi ndani hii kitu imekuwa ikinitesa sana.

Maana imefika muda naweza nikalala hata na wanaume saba kwa siku ili tu maisha yasonge mbele maana nina binti wa pili ambae ana changamoto ya sickle cell na ana miaka miwili yani nimekuwa mpumbavu sana mama angu, changamoto za maisha na kutengwa na familia ndo kunilifanya niingie huku natamani kuacha ila sijui nianzie wapi naomba walau ushauri au mtu wa saikolojia kama ataweza nisaidie nijitoe huku maana hii ishu inaninyima amani sana mama angu haswa ninapoona watoto wangu wanakua na mama yao ndo hivyo sina muelekeo wa maisha.

Kiukweli mtoto wangu wa pili simjui baba yake maana nilipata katika harakati za kujiuza ila binti yangu wa kwanza baba yake alifariki kwenye maandamo.Nitashukuru sana kama nitapata njia maana natamani sana kuacha ila nashindwa pia imenijenga kisaikolojia kuwa siwezi maisha bila kudanga hii inanikula sana ubongo na maisha yangu yote nayaendesha kwa kuutoa utu wangu na kuna wakati binti yangu mkubwa inabidi nimlaze nje kwenye kibaraza ili niingize wanaume kuna wakati nalala hata na wanaume watatu kwa mara moja.

Natamani siku moja na mimi nisimame nifanye biashara niwatunze watoto wangu ila pesa ninayopata kama ina laana naishia kula na kuna wakati mpaka kodi kwangu inakuwaga changamoto.

Mara nyingi napenda nyumbani kwasababu ile pesa ya guest wanakuwa wananilipa mwenyewe kwahiyo nakuwa naiokoa pesa ya guest pia usalama nishawahi kupigwa sana huko guest mpaka kuunguzwa na moto mguuni na pasi na mwanamke kisa mwanaume ila kwangu nahisigi usalama unakuwaga wa kutosha kwasababu ninapoishi naishi mpangaji peke yangu na kuna usalama wa kutosha na mama mwenye nyumba wangu si mfuatiliaji hajui hata nafanya kazi gani

Nisidanganye zaidi ya kumsomesha binti yangu wa darasa la tatu na kumtibia binti mwenye sickle cell hakuna mafanikio niliyofanya zaidi ya kula,kulipia kodi na kuhudumia watoto tu

Nimewaza biashara ila kila nikipambana nashindwa nahisi nikipata walau mwanasaikolojia akanitengeneza vizuri naweza nikasimama kama mama na kuachana na hii kazi haramu.

Haya wadau tuje tumsaidie mwenzetu avuke hapa.

Kitabu cha MAZUNGUMZO YA KIKE kinapatikana kwa 25,000/= tu.

Marm'z Relationship Hub 0710474782
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NATAKA KUACHA KUJIUZA ILA NASHINDWA NAOMBA MSAADA WENU



Shikamoo madam .Naitwa Janeth ni mama wa watoto wawili samahani kwa kuja inbox kwako bila ridhaa yako ila mimi nina changamoto ni mama ambae ninajiuza ili familia yangu ile,isome ,tulipe kodi na maisha mengi kwa ujumla yaende imefika muda nimekuwa mlevi kabisa wa ngono,sitamani kabisa kuacha ila naumia sana ninapoona mabinti zangu wanakuwa wakiniona mama yao najidharirisha,maana nina binti mkubwa kwasasa wa miaka 8 ameshaanza kupata ufahamu maana kuna wakati nawatoa nje usiku ili niingize mwanaume ndani mpaka nimalizane nae ndo warudi ndani hii kitu imekuwa ikinitesa sana.

Maana imefika muda naweza nikalala hata na wanaume saba kwa siku...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nataka-kuacha-kujiuza-ila-nashindwa-naomba-msaada-wenu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nataka-kuacha-kujiuza-ila-nashindwa-naomba-msaada-wenu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest