Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
16 Nov 2025
282 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
boss wangu sijui alifunguaje mlango labda pengine alikuwa na card ya malangoni maan asubuhi yeyee ndio alieyetoka nilikuwa natizama TV ya pale hotelini ila kiukweli nilikuwa natizama katuni maan nazipendaa sana mhh napenda ni my favourite things na siwezi kuacha kabisa yaani kuanagalia katuni ni zipo kwenye damu yangu
"Hujakula kwanini au ndio unajifanya hutaki kula si ndioo mtoto ambae ushakuwa mdada" nilimtizama alikuwa anaongea kana kwamba hajui kitu alichonisababishiaa yaani nilimtizama nikacheka tu kinafki "samahani siwezi kula na sijiskii" niliongeaa kwa kukaza sauti yaani kama vile nimechanganyikiwa yaani sijawahi kuongea hivi nilijikuta tu sauti yangu imebadilika yaani ghafla tu "wow umekuwa hadi na sauti ya serious sasa hujakula toka subuhi unataka kujiuaa auu mbona sikuelewi Angel malaika wa baba yako" nilimtizama "nimesema sili cone na sitki kula fanya unachotaka alinitizama hakunisogeleaa bali alinyanyuka na kuondokaa nilizidi kuchukiaa nilitamani anibembelezebembelezee tuu lakini haikuwa hivyoo kabisaa yaani nilimtizama jicho baya wakati anaondoka
Alirudi na chakula na kuja karibu yangu "okay nataka ule kwanza ushibe update nguvu ya kunisemea kwa baba yako sawa?" Nilimtizama nikasogeza mkono wake ambao ulikuwa umeshika chakula anataka anilishe nilikuwa sina appetite na hicho chakula taani nilikuwa nakiona kama sumu machoni mwangu "sitaki nimesemaa.." nilivyofunguaa tu mdomo akaniwekea mdomoni kwangu "yes binti yangu amekulaa nimefurahi bravo alinishika mashavu yangu nilikuwa sitaki kutabasamu ila tabasamu lilikuja ghafla usoni mwangu nikatabasamu huku machozi yakitoka tu usoni mwangu "binti yangu haliagi ni mjasiri ana uthubutu wa kila kitu najua hata hili anaweza kulishinda kumshinda boss wake mjinga ni kitu kidogo sana kwakweli si ett madam?" Nilimtizama huku machozi yananitoka kila nikikumbuka mimi nimenanililiwa bila hata kutongozwa jamani hata swaga hamna yaani ila ni kama niliutaka mwenyew jamani maan nilienda mimi peke yangu au niache ujinga ni yeye mwenyew alishindwa kujizuiaa bhana mimi nilienda na uoga wangu wa kuogopa yule mtu, alinifuta machozi akaendeleea kunilisha huku ananambia maneno mazuri mazuri nilifurahi kweli nilijikuta kuna muda nasahau alichonifanyiaa
Alimaliza akanibeba hadi bafuni akaniweka akanisuguaa vizurii kweli ila aliniogesha maji ya moto ujuee nilijiona tena mtoto japo nilikuwa nina aibu ila nilikuw siwezi kutembeea mwenyew kwakweli aliniogesha nakuniweka kitandani nilale, aliniuliza kama nipo confidential kulalaa nae nilimwmabia hapana basi alinipisha nilale mwenyew kwakweli nilibaki mwenyew ila kichwani nilikuwa nina maswali mengi sana, na ninahofu kwa huyu mwanaume kuwa ni sahihi au laa alininaliu kwa tamaa za kimwili au ananipenda au kuna mengine hapa, bado muda huo namuwaza baba yangu
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu, lakini nikajisemea kama kweli
ananikumbuka, basi ataomba kuongea na mimi, lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu, na kisha alip...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
boss wangu sijui alifunguaje mlango labda pengine alikuwa na card ya malangoni maan asubuhi yeyee ndio alieyetoka nilikuwa natizama TV ya pale hotelini ila kiukweli nilikuwa natizama katuni maan nazipendaa sana mhh napenda ni my favourite things na siwezi kuacha kabisa yaani kuanagalia katuni ni zipo kwenye damu yangu
"Hujakula kwanini au ndio unajifanya hutaki kula si ndioo mtoto ambae ushakuwa mdada" nilimtizama alikuwa anaongea kana kwamba hajui kitu alichonisababishiaa yaani nilimtizama nikacheka tu kinafki "samahani siwezi kula na sijiskii" niliongeaa kwa kukaza sauti yaani kama vile nimechanganyikiwa yaani sijawahi kuongea hivi nilijikuta tu sauti yangu imebadilika yaani ghafla tu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-8-ilikuwa-ni-kama-majira-ya-saa-12-hivi-jioni-nilikiwa-sijak