Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8  Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
Gonga94 ยท Stories

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
boss wangu sijui alifunguaje mlango labda pengine alikuwa na card ya malangoni maan asubuhi yeyee ndio alieyetoka nilikuwa natizama TV ya pale hotelini ila kiukweli nilikuwa natizama katuni maan nazipendaa sana mhh napenda ni my favourite things na siwezi kuacha kabisa yaani kuanagalia katuni ni zipo kwenye damu yangu

"Hujakula kwanini au ndio unajifanya hutaki kula si ndioo mtoto ambae ushakuwa mdada" nilimtizama alikuwa anaongea kana kwamba hajui kitu alichonisababishiaa yaani nilimtizama nikacheka tu kinafki "samahani siwezi kula na sijiskii" niliongeaa kwa kukaza sauti yaani kama vile nimechanganyikiwa yaani sijawahi kuongea hivi nilijikuta tu sauti yangu imebadilika yaani ghafla tu "wow umekuwa hadi na sauti ya serious sasa hujakula toka subuhi unataka kujiuaa auu mbona sikuelewi Angel malaika wa baba yako" nilimtizama "nimesema sili cone na sitki kula fanya unachotaka alinitizama hakunisogeleaa bali alinyanyuka na kuondokaa nilizidi kuchukiaa nilitamani anibembelezebembelezee tuu lakini haikuwa hivyoo kabisaa yaani nilimtizama jicho baya wakati anaondoka

Alirudi na chakula na kuja karibu yangu "okay nataka ule kwanza ushibe update nguvu ya kunisemea kwa baba yako sawa?" Nilimtizama nikasogeza mkono wake ambao ulikuwa umeshika chakula anataka anilishe nilikuwa sina appetite na hicho chakula taani nilikuwa nakiona kama sumu machoni mwangu "sitaki nimesemaa.." nilivyofunguaa tu mdomo akaniwekea mdomoni kwangu "yes binti yangu amekulaa nimefurahi bravo alinishika mashavu yangu nilikuwa sitaki kutabasamu ila tabasamu lilikuja ghafla usoni mwangu nikatabasamu huku machozi yakitoka tu usoni mwangu "binti yangu haliagi ni mjasiri ana uthubutu wa kila kitu najua hata hili anaweza kulishinda kumshinda boss wake mjinga ni kitu kidogo sana kwakweli si ett madam?" Nilimtizama huku machozi yananitoka kila nikikumbuka mimi nimenanililiwa bila hata kutongozwa jamani hata swaga hamna yaani ila ni kama niliutaka mwenyew jamani maan nilienda mimi peke yangu au niache ujinga ni yeye mwenyew alishindwa kujizuiaa bhana mimi nilienda na uoga wangu wa kuogopa yule mtu, alinifuta machozi akaendeleea kunilisha huku ananambia maneno mazuri mazuri nilifurahi kweli nilijikuta kuna muda nasahau alichonifanyiaa

Alimaliza akanibeba hadi bafuni akaniweka akanisuguaa vizurii kweli ila aliniogesha maji ya moto ujuee nilijiona tena mtoto japo nilikuwa nina aibu ila nilikuw siwezi kutembeea mwenyew kwakweli aliniogesha nakuniweka kitandani nilale, aliniuliza kama nipo confidential kulalaa nae nilimwmabia hapana basi alinipisha nilale mwenyew kwakweli nilibaki mwenyew ila kichwani nilikuwa nina maswali mengi sana, na ninahofu kwa huyu mwanaume kuwa ni sahihi au laa alininaliu kwa tamaa za kimwili au ananipenda au kuna mengine hapa, bado muda huo namuwaza baba yangu

Itaendelea....
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia

boss wangu sijui alifunguaje mlango labda pengine alikuwa na card ya malangoni maan asubuhi yeyee ndio alieyetoka nilikuwa natizama TV ya pale hotelini ila kiukweli nilikuwa natizama katuni maan nazipendaa sana mhh napenda ni my favourite things na siwezi kuacha kabisa yaani kuanagalia katuni ni zipo kwenye damu yangu

"Hujakula kwanini au ndio unajifanya hutaki kula si ndioo mtoto ambae ushakuwa mdada" nilimtizama alikuwa anaongea kana kwamba hajui kitu alichonisababishiaa yaani nilimtizama nikacheka tu kinafki "samahani siwezi kula na sijiskii" niliongeaa kwa kukaza sauti yaani kama vile nimechanganyikiwa yaani sijawahi kuongea hivi nilijikuta tu sauti yangu imebadilika yaani ghafla tu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-8-ilikuwa-ni-kama-majira-ya-saa-12-hivi-jioni-nilikiwa-sijak

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   *Chapter 14&15*  "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12  "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17  Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 18  Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 18&20  Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 9  Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10  "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7  Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*  Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest