Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
22 Nov 2025
682 views
VYOTE NDANI GONGA94
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
cha kazi hakijaenda sawa?" Nilimkumbatiaa huku naliaa kweli "boss wewe unajuaa kabisa mimi nakupenda saa kwanini unakuwa unaruhusu watu wengine wakusogelee wakawambie mbele yangu wanakupenda na wanakutaka ujue mimi inaniumiza kiasi gani mimi nakupenda ujuee" alinitizama tu akawa ananishangaa maan mimi huyu huyu nilimwambiaa simpendii leo nakuja kusema nampenda "yaani wewe ndio mwanaume wangu wa kwanza afu unatka kuniacha hapa uendee ukaongee na huyo mjinga asiejielewa mwnamke mwenye mambo mengi mimi simpendi kwanza mtu mwenyew mbaya simpendi hata kidogo
"Lini umegundua kama una nipenda Angel?"aliniuliza kwa upande wangu nilikuwa naona kama ananichanganya hivii, maan hapa nikikaa kibubu hivi hivi Wallah ni leo hii hii anaenda kutambulishwa Suzy nawanaweza kuona coz ni mabinamu hawa hawana kizuizi "ujue mwenzio nina kuwa najisikiaa vibaya sana nikikuaona na mdada nikaamuuliza baba yangu akanambia...."
"Stop it malaika always you talk about your dad ujuee mimi nakuwa nakasirika muda mwingine wewe ni mkubwa sasa unamaamuzi yako ya kuwa na yoyote unayetaka kuwa naee sawa mama yangu rafadhari usiniambiee kuwa kila kitu utakuwa unamueleza baba yako hadi nikikuoaa utakuwa unanisemea kwa baba yako?" Aliniuliza boss "hapana kwa sasa ntakuwa nina watu wew na baba nitakuwa kuna vitu nakwambia na vingine namwambia baba trust me boss sitakuwa mtoto wa baba tena" alitabasamu akasogeza midomo yake kwangu nilifumba macho nikawa nasikiliziaa hilii na kwa ulainii wa lips zake jamani nilijikuta napata amani nilituliaa sana alichukua kama dakika tano akaniachiaaa "asante kwa kulijua hiloo kama unanipendaa maan tunapoelekea ningekuoaa bila wewe kutaka maan mama tayari leoo alikuwa anataka kuongea na wewe na kesho aendee kwa baba yako" aliniambiaa boss "na vipi kuhusu Suzy?" Alinitizama tuu "najua jinsi gani la kulimaliza nakuomba usiniite boss niiite jina langu Johnson okay" alinikonyezaa jamani niliachiaa tabasamu "haya twende sasa ukatizame nguoo ambayo itakukaa vizuri na make up gharama juu yangu nataka nikuone ukiwa kwenye make up naamini hujawahi kufanyiwa make up" sikuwa na ujanja wa kukataa nilikubaliana na hili humoo kwenye gari mpaaka tunafika dukani na huko saloon hapo njiani kulikuwa ni makiss tu yanaendelea na kucheka nilijona nimepata mtu wa pili wa muhimu kwenye maisha yangu afu kuumbe ile saa tulionunua kule Dubai na yeue anayo
Nilimaliza kujindaa jamani nilipendeza sana hii siku nilikuwa naonekana mzuri sana yaani mhh mini mwenyewe nilijishangaa nilipendeza sana kiasi kwamba tumefika kwenye lile jengoo la kina Johnson watu wote wananishangaa mama yake J alinikaribisha kwa tabasamu nene baada ya hapo mimi nilikaa sasa nasubiriaa maongezi ila J na mama yake walienda pembeni kuongeaa sijui walikuwa wameenda kuongea nini
Itaendelea.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ibrahim Konate alikosekana kwenye michezo baadhi ya Liverpool baada ya kifo cha baba yake..
Kwenye ushindi wa magoli 4-1 wa Liverpool dhidi ya New Castle United Ibrahim Konate alirejea kikosini .. Sio kurejea tu...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, teg...
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
cha kazi hakijaenda sawa?" Nilimkumbatiaa huku naliaa kweli "boss wewe unajuaa kabisa mimi nakupenda saa kwanini unakuwa unaruhusu watu wengine wakusogelee wakawambie mbele yangu wanakupenda na wanakutaka ujue mimi inaniumiza kiasi gani mimi nakupenda ujuee" alinitizama tu akawa ananishangaa maan mimi huyu huyu nilimwambiaa simpendii leo nakuja kusema nampenda "yaani wewe ndio mwanaume wangu wa kwanza afu unatka kuniacha hapa uendee ukaongee na huyo mjinga asiejielewa mwnamke mwenye mambo mengi mimi simpendi kwanza mtu mwenyew mbaya simpendi hata kidogo
"Lini umegundua kama una nipenda Angel?"aliniuliza kwa upande wangu nilikuwa naona kama ananichanganya hivii, maan hapa nikikaa kibubu hivi hivi Wallah...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-14-15-mbona-unanitizama-kama-hivyoo-nimekukoseaa-sana-madam-
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu