Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala umejaa akilini mwangu,   kwanini unaniadhibu kwa namna hii jamani  mbona haya mapenzi sio kitu kizuri kwsngu,   kwanini upige simu usiombe kuongea na mimi,   mbaya zaidi mbele yangu hata kuuliza hali yangu tuu,   inamaana umeamua kunifuta kabisa kwenye kumbu kumbu zako eeh!,   General Ethane  nateseka  mwenzio  nione mimi tafadhari,   rudi hapa upesi tafadhari na ahidi ukirudi nitakuambia mbela za makamanda wote,   kuwa nakupenda sana na sijiwezi juu yako,   sindio ulikuwa  unataka nikili hivyo  basi sawa nitakili kweli tafadhari rudi,



Nancy alisikiliza yoote nilikuwa nikiongea huku nikilia,  alinionea huruma na alitamani aligongee mlango lakini aliona sio sawa kuingilia faragha za mtu, hivyo aliamua kukaa mlangoni na kuwazuia watu wengine wasije kusikia,  kisha nilinawa uso na kujifuta maji,   baada ya hapo nikatoka nje nilikutana nae hapo mlangoni,  alikuwa anajifanya nae ndio katoka chooni, akanifuata na kuniambia:



"Laura tafadhari naomba kuongea nawewe"


"Kuhusu nini Nancy nimechoka sana,  kama sio muhimu niacha sijisikii vizuri  nahitaji kupumzika tu"


"Najua haupo sawa ila nahitaji nikusaidie niruhusu tafadhari"


"Unisaidie?  Utanisaidia nini kwamfano eeh!  Hahahaaa  hembu niache nikapumzike nitakuwa sawa tuu,   wewe nenda uendelee na mambo yako"



Siku hiyo ilikuwa siku ya jumapili ni siku yakupumzika,   tunafanya usafi kisha  kwenda kufanya ibada,   ndio maana tulikuwa huru,   kisha nilipomaliza kumjibu hivyo Nancy nikaanza safari ya kuelekea bweni,  alikuja na kunishika kwa nguvu mkono Nancy,  kisha alinipeleka  pembeni na kuniambia:



"Unadhani sijui nini kinakutafuna eeh!"


Nilitoa macho kwa mshangao mkubwa,   na huku nikisubili kusikia kitu gani anajua kinacho nitafuna mimi,  Nancy aliendelea kusema tena kwa hasira na huku akijiamini:


"Najua kilakitu kuhusu wewe na General,   na ndio kitu kinacho kutafuana sasa"


Nilimtizama kisha nikambishia:


"Hujui kitu. Eti mimi na General?  Haya niambie mimi na huyo katili tunanini yani eeh!?


Nilijibu kwa kujiamini ili kupoteza maboya Nancy,  akanijibu:


"Laura......nimesikia kilakitu hupaswi kuendelea kunibishia tena"


Niliishiwa pozi nikachuchumaa na chini huku nikilia,  alikuja Nancy kwa nyuma yangu akanikumbatia huku akinibembeleza,  na kuniambia:


"Najua Laura unampenda sana General,  hata yeye najua anakupenda hadi alishindwa kijizui alipokuwa hapa pia,  lakini mbona unaruhusu mapenzi yakutawale namna hii kipenzi,  umekuwa kama mjinga sasa unashindwa kuzui hisia zako kabisa,  yupo wapi Laura wangu jasiri  eeh!   Ulikuwa  mpambanaji katika mazoezi na kilakitu,   ulikuwa hukubali kushindwa,    lakini leo hii kitu kidogo tuu kimekushinda  mapenzi.  
Yaani yamekudhoofisha namna hii eeh! Haya tafadhari jitulize na ujikaze tunakutegemea kipenzi,    ulisha wahi kusena huamini katika mapenzi,  leo hiii uko wapi  eeh!  uko wapi Laura"


Alivyokuwa ananiambia hivyo Nancy  hayo maneno yalinichoma sana,    na kunifanya nizidi kulia na huku nikimjibu:


"Nancy General,  General Nancy amenimaliza kilakitu,   ameuteka moyo wangu na kuondoka nao,   kaniacha nichanganyikiwe na  niwe kichaa kabisaa,  nahisi kufa kabisa asipo rudi,   hata mawasiliano yake tuu sina,   sijui nikitoka hapa naenda kumpatia wapi mimi,   na muda unaenda sana  tunakalibia kumaliza mafunzo yetu,   na mbaya zaidi hayupo Tanzania sijui lini anarudi naumia mwenzio  Nancy"


"Basi jikaze kwa muda huu  mchache,  ili  tumalize mafunzo yetu kwa amani,  kisha  tutatafuta namna ya kumpata,   tukiwa hapa hapa kambini  kabla hatujaondoka,    nitakuwa upande wako kipenzi sawa?


"Unasema kweli Nancy?


"Ninamaanisha,   usiogope nitakusaidia"


"Sawa,  asante Nancy  ila naomba  usimwambie mtu yeyote tafadhari?


"Naanzaje kipenzi, nimeamua kukusaidia hivyo siwezi kuwa mnafiki sawa"


Kisha alinifuta machozi na kunitia moyo  nikainuka na huku akinisaidia akanisindikiza hadi bwenini kisha aliniambia:


"Pumzika kwa muda kisha jioni twende tukapashe kidogo sawa?


"Sawa kipenzi"


Wale wambea walibaki wakinitizama tuu huku wakinongona:


"Hivii huyu amekuwaje sikuhizi hatumuelewi,   maana hata kula hali kazi ni  kulialia tuu  hovyo,   sijui kakubwa na ugonjwa gani"


Niliachana nao kisha nikalala usingizi ulinipitia vizuri sana kwani kidogo nimepata nafuu baada ya kumuambia Nancy kinacho nisibu na kunipa ushauli  nilipata moyo kiukweli nikajikuta nalala vizuri sana,  baadae jioni jioni niliamka na Nancy alinifuata akaniambia:


"Haya sasa twende zetu kipenzi"


Tukaenda uwanjani tulikimbia sana hadi nilikuwa nahema mno,    kisha tulianza kufanya mazoezi baadhi kiukweli alinifanya nianze kuimarisha akiri yangu,  hadi muda wa kwenda kula ulipofika  nilikuwa niko poa kabisa,  tukaenda kula sasa wakati tunakula hapo Catrine alianza kuongea na wenzie huku tunasikia kwakuwa tulikuwa kando  yao tuu alisema:



"Nikitoka hapa siwafichi  vipenzi vyangu,  kwani naenda kuolewa na General Ethane,  na  tayari babaangu kaniambia nijiandae,   sijawahi kuwaambia familia yetu na yao ni family friendly,    babaangu alikuwa rafiki mkubwa sana wa babaake,   hivyo wameamua iwe hivyo ilikuuendeleza urafiki wao,    na hao visokoro kwinyo waliokuwa wanajisogeza kwa mumewangu mtarajiwa,   nitawanyoosha sio muda mrefu"


Nilihisi kama kunamtu kaingia ndani ya moyo wangu,   na kuanza kuuchana chana na viwembe vipande vipande:




Je nini kitatokea kwa Laura,    Endelea kufuatilia..............
WhatsApp 0742133100
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli

ananikumbuka,  basi ataomba kuongea na mimi,  lakini kuna maelekezo alikuwa anampa mkuu wa kikos changu,  na kisha alipo maliza hakuuliza chochote alikata simu hapo hapo,  nilikaa taratibu kwa unyonge huku machozi yakinitoka, mkuu wa kikosi changu akaniruhusu niende kupumzika, nahisi alikuwa kahisi kitu lakini hakutaka kingilia,  mkuu wangu wakikosi nimstaarabu sana na mtaratibu mwenye busara,  nilienda moja kwa moja chooni aikutaka kwenda bwenini,  kwani sikutaka wanione nilivyokuwa na huzuni,  nikiwa huko chooni alinifuata kwa nyuma bila kumuona Nancy,  aliniona hali niliyokuwa nayo akanifuata hadi chooni,  nililia sana kiukweli huku nikisema:


"Ethane hujui tuu ninavyo kupenda mwenzio,  nashindwa kula nashindwa kulala...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-08-nilimtizama-sana-nilikuwa-natamani-niipore-simu-lakini-nik

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

568
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

474
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

347
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

135
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

86
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest