Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA*  Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
Gonga94 · Stories

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mbali na frank, nikajikuta nilishindwa ata kumkumbatia na kwa sauti ya utulivu nikazungumza.

"Unaniumiza"

Frank akaniachia kwa haraka kisha akaniuliza

"Oooooh pole kwani Bado unaumwa au ?"

"Niko Sawa"

Nilijibu kisha nikasogelea meza yangu na kukaa na kuanza kupitia kazi zangu

"Naona Sina kazi Mpya na Leo ni jumatatu"

Nilimwambia frank.

"Aaah usijali kazi zako zote za Leo nilikufanyia Jana na Leo jioni nitafikisha sehemu husika"

Alijibu frank Tena kwa kunichangamkia sana, Yaani frank alikuwa ni wa tofauti sana sio frank. Yule kauzu, Yaani alikuwa ni frank Mpya kabisa sio Yule ambaye ata salamu yake ilikuwa ni shida kubwa sana kuipata

"Sawa Asante unaweza kunitumia hivyo hivyo ili nipate kuipitia kidogo"

"Bila Shaka Malkia wangu"

Alijibu frank na Kuwal kwenye meza yake.

Ili neni Malkia wangu lilinishtua kidogo na kunifanya nimuangalie frank ambaye alikuwa amechangamka sana na kuonekana Kuwa ni mtu kwenye furaha sana.

Kwa upande wangu nilihakikisha Kuwa nafanya shughuli zangu tu pasi na kumfikilia frank ambaye amenivunja sana moyo wangu baada ya kunipatia maneno machafu siku ambayo niliamua kunipatia mwili wangu..

Muda wa kwenda Nyumbani ulifika na nilikuwa wa kwanza kuondoka, Yaani kitendo cha muda tu kufika nilinyanyua kila kilichokua cha kwangu. na kuondoka pasi kumuaga mtu yeyote Yule.

Ikiwa ni Majila ya Saa 2 nikiwa chumbani kwangu, simu yangu iliita na nilipoangalia Namba ilikuwa ngeni kabisa, nikaiangalia kwa muda kisha nikapokea na kuzungumza.

"Hellow, naongea na Nani ?"

"Hatimaye umepokea simu yangu, me frank Nipo nje hapa kwenu unaweza kutoka tukazungumza

Kwanza nilishtuka sana kisha nikasogea dilishani kwani chumba changu kipo juu hivyo. Nina uwezo wa kuona nje na kweli Nilimuona. frank akizunguka getini kwetu.

"Umekuja kufanya nini frank ?"

Nilimuuliza kwenye simu uku nikimuangalia.

kupitia dilishani,

"Naomba utoke nje tupate kuzungumza please"

"Tutaongea kesho kazini me siwezi kutoka nje"

Nilijibu na pasi na kusubili jibu lake nikakata simu na kwenda kujitupia kitandani na kujikuta nikiwa ni mtu Mwenye furaha sana baada ya kuona Kuwa frank amekuja Nyumbani kwetu.

Baada ya muda nikanyanyuka na kusogelea dilishani na kuangalia lakini sikumuona Tena frank pale getini.

"Kwahiyo ameondoka kweli"

Nilijiuliza kwa huzuni kabisa, muda huo huo dada yangu akaingia chumbani kwangu na kuniambia.

"Kuna mgeni wako sebuleni"

"Mgeni?" Nilijikuta Nikimuuliza dada yangu kwa mshtuko wa hali ya juu.

"Ndio ni mkaka, yuko na baba hapo anakusubili"

Yooooh nilijikuta nikianza kutetemeka Yaani mwanaume amekuja Nyumbani kwetu na amakutana na baba yangu nyie baba yangu uwa apendi kabisa haya mambo.

"NAKUJA"

Nilijibu uku nikiwa na wasiwasi sana, Yaani frank ndio ameamua kabisa kuingia Ndani.

Basi nikajiweka vizuri pale kisha huyo nikatoka nje na kwenda kuonana na frank ambaye nilimkuta akiwa sebuleni akiwa amekaa na baba

yangu.

"Frank Karibu sana"

Nilimkaribisha kwa kumchangamkia sana.

"Asante"

"Baba huyu ni frank ni boss wangu pale ofisini"

Niliamua tu kujiami mbele ya baba yangu kabla ajaanza kuniuliza maswali ambayo yangekuwa magumu sana kwa upande wangu

"Yaaah najua ameshaniambia, sasa mwendelee na maongezi yenu Mimi Nipo chumbani"

Alizungumza baba yangu kisha akanyanyuka na kuondoka.

Kitendo cha baba yangu tu kuondoka. nikamshika frank mkono kwa nguvu na kumkukusa mpaka nje.

"Umekuja kufanya nini hapa?"

Nilimuuliza nikiwa nimeshapaniki.

"Nilikuwa sina ata plan ya kuja Nyumbani kwenu lakini ni wewe ndio umetaka Mimi niweze kuja kwenu"

"Una maanisha nini? Achana na hayo kwanza shida yako nini? Yaani unataka nini?"

"Anaya Mbona Kama uko na hasira sana kuna kosa nimekufanyla?"

Frank aliniuliza, nikimuangalia kwa hasira sana na kumjibu

"Hapana ni life style yangu Mpya tu, Sema shida yako Kijana

"Naitaji tuzungumze kiundanı sana, tunaweza tukatoka mbali na hapa ?"

"Mbali na Nyumbani kwetu ili ukapate muda mzuri wa kunidhalilisha si ndio ? Frank, najua Ndani ya siku hizi ambazo tumeishi mambo. Mengi sana yametokea na kwa sasa nafikilia tufanye Kama historia tu na kila kitu kiendelee"

"Kwanza kabisa Nimekuja kukuomba msamaha kWa kila kitu"

Nilijikuta nilianza kucheka kisha nikamuuliza.

"Yaani wewe frank uniombe Mimi msamaha?"

"Ndio na nafanya yote kwakuwa nimeshaona siwezi kuishi bila wewe anaya nakupenda. sana...

Nika......
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka

mbali na frank, nikajikuta nilishindwa ata kumkumbatia na kwa sauti ya utulivu nikazungumza.

"Unaniumiza"

Frank akaniachia kwa haraka kisha akaniuliza

"Oooooh pole kwani Bado unaumwa au ?"

"Niko Sawa"

Nilijibu kisha nikasogelea meza yangu na kukaa na kuanza kupitia kazi zangu

"Naona Sina kazi Mpya na Leo ni jumatatu"

Nilimwambia frank.

"Aaah usijali kazi zako zote za Leo nilikufanyia Jana na Leo jioni nitafikisha sehemu husika"

Alijibu frank Tena kwa kunichangamkia sana, Yaani frank alikuwa ni wa tofauti sana sio frank. Yule kauzu, Yaani alikuwa ni frank Mpya kabisa sio Yule ambaye ata salamu yake ilikuwa ni shida kubwa sana kuipata

"Sawa Asante unaweza kunitumia hivyo hivyo ili nipate...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-saba-kwakuwa-nilikuwa-na-mihasira-yangu-na-tayali-j-nikishaamua-ku

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani-sehemu-ya-saba-kwakuwa-nilikuwa-na-mihasira-yangu-na-tayali-j-nikishaamua-ku
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

625
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

568
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

474
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

347
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

134
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

86
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

83
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest