Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *SEHEMU YA KUMI Sita*  Ulifika muda wa kulaa ile nyumba ni kubwa sana
Gonga94 ยท Stories

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *SEHEMU YA KUMI Sita* Ulifika muda wa kulaa ile nyumba ni kubwa sana

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


na ina wafanyakzi wa kutosha na wote wamevaa sare jamani mhh na ni nzuri sana imagine furaha yangu ninaenda kuwa mkwe kwenye hii nyumba jamani, Muda wa mezani ulifika na hapo ndipo nilishuhudiaa familiaa ya kina Suzy mezani na wenyewe wanaonekana kwa machoo ni watu wazito na niwanapesa piaa, tulikaa mezani ila ndipo maongezi yalipoanziaa hapa mezani

"Okay jamani leoo kuna best occasion leoo ninataka nimtambulishee mkwe wangu kipenzi cha mwnangu haikuwa rahisi sisi kumpata msichana mrembo huyuu mwenye haiba ya kuoendeza Angel Deus" nilitoaa machoo jamani, na tabasamu pana nyiee mimi nikajuaa hata anatambulishwa Suzy, hee aliinuka Suzy kwa hasira na alikuw na yeye kapendeza huyo duuh kajijaza mamake up mengi kweli akijua leo wazazi wake wanakuja kuomba uchumba yaani mwanamke ndio aje kuomba uchumba inaingia akilini hyoo

"Hapana Aunty Thuu hapana mini huyu Johnson ni wakwangu ujuee mimi nampenda mimi hapa mmenidhalilisha sana mimi na familia yangu hamjui tu aunty tumejipanga tunakuja kuomba uchumba kwa kijana wako Aunty hapana umenikosea na nilijua tu huyu mwanamkee alikuja hata miezi 3 hana kazini atanichukulia cousin wangu nilijuaa tuu, huyu J ni wa kwangu utake usitake" alisema Suzy kwa hisia kweli yaani maan alikuwa anamaanisha anachozungumzaa "sasa Suzy hata nikisema wee ndio uwe na mwanangu unadhani kwenye ndoa yako utafurahiaa au utakuwa na amani hakuna ndoa bila mapenzii umejitahidi sana lakini mmekuwa na mtizamo tofauti sana na mwanangu samahani lakini binti yangu sijakufanyia kwa kusudi wala kwa nia mabya nakupenda sana binti yangu naaamini utapata mwanaume bora kwasaababu hata wewe pia ni bora vile vile watu kama Johnson wapo wengi sana"

"Hapana Huyu binti kaipokonya furaha yangu ila kama ataolewa na J nitahakikisha hafurahii kila siku kwenye ndoa yake itakuw ni kumwaga chozi na kuombolezaa sana naombaa ujuee hiloo Angel hi ni ahadi yangu kwako" alisema Suzy kwa hasiraa, na kuondoka kwa jazba niliogopa sana mimi huku kutishiwa hapana

"Okay ila furaha ya binti yangu imegharimu undugu wetu dada, kaa na mwanao na sisi tukaee na binti yetu sawa madam asante piaa kwa ushirikiano wako, na maumivu uliyompa binti yangu nyiee nilijisikia kam nifee nililiaa maan mimi ndio chanzo cha kila kukitu tu nilijuta sana yaani nililia mimi duuh sitakaa nisahauu mimi hii sikuu, ilikiwa mbaya sana maana yake maneno makali yakuvunja undugu yakutoka kinywani mwa baba yake na Suzy

"Basi tuliache hili boss tuachanee naloo J tafadhali mimi sijui yule ni ndugu yako na anakupenda tafadhali mimi nipo tayari kutesekaa ila muwe na furaha na ndugu zenu" nilisema huku nalia "usijali mwanangu wew ni furaha tosha siwezi lazimisha mapenzi wewe kaa tayari tunakuja kuoaa sawa nakupenda sana binti yangu usijali kwenye hiloo kila kitu kitakuwa sawa" alisema mama yake na Johnson at least maneno yake yalikuwa yanahamasa ila nilikuwa nina wasi wasi sana yaani nilimkumbatiaa kwa nguvuu kweli mama na tuliongea mengi baadae J alinirudisha nyumbani kwetu alitaka kupajuaa kabisa alinifikisha salama kabisaa, nilimuelezea baba kila kitu na yeye akawa mtu anaenipa ushaurii tu nilimuelewa

Itaendelea....
Tangazo - Bilionea ndani ya hoteli full story mwandishi babie love
Bilionea ndani ya hoteli full story mwandishi babie love
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *SEHEMU YA KUMI Sita* Ulifika muda wa kulaa ile nyumba ni kubwa sana



na ina wafanyakzi wa kutosha na wote wamevaa sare jamani mhh na ni nzuri sana imagine furaha yangu ninaenda kuwa mkwe kwenye hii nyumba jamani, Muda wa mezani ulifika na hapo ndipo nilishuhudiaa familiaa ya kina Suzy mezani na wenyewe wanaonekana kwa machoo ni watu wazito na niwanapesa piaa, tulikaa mezani ila ndipo maongezi yalipoanziaa hapa mezani

"Okay jamani leoo kuna best occasion leoo ninataka nimtambulishee mkwe wangu kipenzi cha mwnangu haikuwa rahisi sisi kumpata msichana mrembo huyuu mwenye haiba ya kuoendeza Angel Deus" nilitoaa machoo jamani, na tabasamu pana nyiee mimi nikajuaa hata anatambulishwa Suzy, hee aliinuka Suzy kwa hasira...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-sehemu-ya-kumi-sita-ulifika-muda-wa-kulaa-ile-nyumba-ni-kubwa-sana

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-sehemu-ya-kumi-sita-ulifika-muda-wa-kulaa-ile-nyumba-ni-kubwa-sana
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.56K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.11K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest