*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *SEHEMU YA KUMI Sita* Ulifika muda wa kulaa ile nyumba ni kubwa sana
na ina wafanyakzi wa kutosha na wote wamevaa sare jamani mhh na ni nzuri sana imagine furaha yangu ninaenda kuwa mkwe kwenye hii nyumba jamani, Muda wa mezani ulifika na hapo ndipo nilishuhudiaa familiaa ya kina Suzy mezani na wenyewe wanaonekana kwa machoo ni watu wazito na niwanapesa piaa, tulikaa mezani ila ndipo maongezi yalipoanziaa hapa mezani
"Okay jamani leoo kuna best occasion leoo ninataka nimtambulishee mkwe wangu kipenzi cha mwnangu haikuwa rahisi sisi kumpata msichana mrembo huyuu mwenye haiba ya kuoendeza Angel Deus" nilitoaa machoo jamani, na tabasamu pana nyiee mimi nikajuaa hata anatambulishwa Suzy, hee aliinuka Suzy kwa hasira na alikuw na yeye kapendeza huyo duuh kajijaza mamake up mengi kweli akijua leo wazazi wake wanakuja kuomba uchumba yaani mwanamke ndio aje kuomba uchumba inaingia akilini hyoo
"Hapana Aunty Thuu hapana mini huyu Johnson ni wakwangu ujuee mimi nampenda mimi hapa mmenidhalilisha sana mimi na familia yangu hamjui tu aunty tumejipanga tunakuja kuomba uchumba kwa kijana wako Aunty hapana umenikosea na nilijua tu huyu mwanamkee alikuja hata miezi 3 hana kazini atanichukulia cousin wangu nilijuaa tuu, huyu J ni wa kwangu utake usitake" alisema Suzy kwa hisia kweli yaani maan alikuwa anamaanisha anachozungumzaa "sasa Suzy hata nikisema wee ndio uwe na mwanangu unadhani kwenye ndoa yako utafurahiaa au utakuwa na amani hakuna ndoa bila mapenzii umejitahidi sana lakini mmekuwa na mtizamo tofauti sana na mwanangu samahani lakini binti yangu sijakufanyia kwa kusudi wala kwa nia mabya nakupenda sana binti yangu naaamini utapata mwanaume bora kwasaababu hata wewe pia ni bora vile vile watu kama Johnson wapo wengi sana"
"Hapana Huyu binti kaipokonya furaha yangu ila kama ataolewa na J nitahakikisha hafurahii kila siku kwenye ndoa yake itakuw ni kumwaga chozi na kuombolezaa sana naombaa ujuee hiloo Angel hi ni ahadi yangu kwako" alisema Suzy kwa hasiraa, na kuondoka kwa jazba niliogopa sana mimi huku kutishiwa hapana
"Okay ila furaha ya binti yangu imegharimu undugu wetu dada, kaa na mwanao na sisi tukaee na binti yetu sawa madam asante piaa kwa ushirikiano wako, na maumivu uliyompa binti yangu nyiee nilijisikia kam nifee nililiaa maan mimi ndio chanzo cha kila kukitu tu nilijuta sana yaani nililia mimi duuh sitakaa nisahauu mimi hii sikuu, ilikiwa mbaya sana maana yake maneno makali yakuvunja undugu yakutoka kinywani mwa baba yake na Suzy
"Basi tuliache hili boss tuachanee naloo J tafadhali mimi sijui yule ni ndugu yako na anakupenda tafadhali mimi nipo tayari kutesekaa ila muwe na furaha na ndugu zenu" nilisema huku nalia "usijali mwanangu wew ni furaha tosha siwezi lazimisha mapenzi wewe kaa tayari tunakuja kuoaa sawa nakupenda sana binti yangu usijali kwenye hiloo kila kitu kitakuwa sawa" alisema mama yake na Johnson at least maneno yake yalikuwa yanahamasa ila nilikuwa nina wasi wasi sana yaani nilimkumbatiaa kwa nguvuu kweli mama na tuliongea mengi baadae J alinirudisha nyumbani kwetu alitaka kupajuaa kabisa alinifikisha salama kabisaa, nilimuelezea baba kila kitu na yeye akawa mtu anaenipa ushaurii tu nilimuelewa
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi