Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
15 views
VYOTE NDANI GONGA94
Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol) kwa ajili ya kumtafuta na kumrudisha nyumbani aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Ken Ofori-Atta.
Ofori-Atta (66), ana makosa ya kukwepa sheria wakati wa uchunguzi wa kesi kadhaaa za ufisadi zinazomuhusu.
Kesi hizo ni pamoja na utakatishaji fedha ulioisababishia Serikali hasara kubwa.
Baadhi ya nchi ambazo anasadikiwa kuwepo ni pamoja na Marekani na Uingereza.
#KitengeUpdates
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Poli...
🔥 SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu... 11. 👉 Niliingia ndani nikawaacha wanawaza waende polisi au wakiwaza wameshikwa je kifatacho si kuingizwa....👇
Nafika ndani tu nakutana na sahadini anacheka ananiambia) " Mbona mganga umemsamehe alafu hao unataka kuwapeleka polisi...
*MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*🥰😋 *19&20* Narshaa akiwa kule chumbani anamalizaa kazi yake na kufunguaa mlango kutoka,mda anatika anawaonaa polisi na polisi pia wanamuona
Narsha anatokaa akiwa anakimbiaa sanaa huku polisi wakimfukuziaa sanaa "Hakikisheni haondokii hapaa Polisi Alisemaa. Po...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Ile simu ya Siku ya kuripoti kituo cha polisi ikafika. Nilipaswa kwenda peke yangu, ila Elijah akaniambia atanipa kwa gari
lake. Sikuwa na sababu ya kukataa, tukaenda wote hadi kituoni. Nilipofika nikaenda kuripoti kama kawaida, huko nikakuta...
Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)
Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol) kwa ajili ya kumtafuta na kumrudisha nyumbani aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Ken Ofori-Atta.
Ofori-Atta (66), ana makosa ya kukwepa sheria wakati wa uchunguzi wa kesi kadhaaa za ufisadi zinazomuhusu.
Kesi hizo ni pamoja na utakatishaji fedha ulioisababishia Serikali hasara kubwa.
Baadhi ya nchi ambazo anasadikiwa kuwepo ni pamoja na Marekani na Uingereza.
#KitengeUpdates
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ghana-imeamua-kutumia-mtandao-wa-polisi-wa-kimataifa-interpol
Maoni