Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)

30th Jul, 2025 Views 11

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol) kwa ajili ya kumtafuta na kumrudisha nyumbani aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Ken Ofori-Atta.

Ofori-Atta (66), ana makosa ya kukwepa sheria wakati wa uchunguzi wa kesi kadhaaa za ufisadi zinazomuhusu.

Kesi hizo ni pamoja na utakatishaji fedha ulioisababishia Serikali hasara kubwa.

Baadhi ya nchi ambazo anasadikiwa kuwepo ni pamoja na Marekani na Uingereza.

#KitengeUpdates.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)  >>> https://gonga94.com/semajambo/ghana-imeamua-kutumia-mtandao-wa-polisi-wa-kimataifa-interpol
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+
Mambo ya wakubwa hayo soma kwa uangalifu 18+

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MIE ... 8...

majario rewards 100 Comments 0
 

LUVIE binti wa malaya

majario rewards 100 Comments 0
 

A.J.A.D SE03 EP02

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest