Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)

19th Jul, 2025 Views 10

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol) kwa ajili ya kumtafuta na kumrudisha nyumbani aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Ken Ofori-Atta.

Ofori-Atta (66), ana makosa ya kukwepa sheria wakati wa uchunguzi wa kesi kadhaaa za ufisadi zinazomuhusu.

Kesi hizo ni pamoja na utakatishaji fedha ulioisababishia Serikali hasara kubwa.

Baadhi ya nchi ambazo anasadikiwa kuwepo ni pamoja na Marekani na Uingereza.

#KitengeUpdates.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Ghana imeamua kutumia Mtandao wa Polisi wa Kimataifa (Interpol)  >>> https://gonga94.com/semajambo/ghana-imeamua-kutumia-mtandao-wa-polisi-wa-kimataifa-interpol
#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

SIMULIZI NA SAUTI
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
karibu msagala furniture
karibu msagala furniture

HONGERA WEWE NDIO MSHINDI WA VOCHA YA LEO VOCHA NAMBA (499712343590381) MTANDAO VODACOM TUMA NENO NIMESHINDA KWENDA NAMBA 0768304821


majario rewards 100 Comments 0
 

Simulizi: MAPEPE **

majario rewards 100 Comments 0
 

NDOA YA MKEKA 03

majario rewards 100 Comments 0
 

.BABAMKWE epsd 19.

majario rewards 100 Comments 0
 

ALINIINGIA BILA IDHINI

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE..17..18

msagala rewards 100 Comments 0
 

bei sawa na bule

majario rewards 100 Comments 0
 

BABAMKWE epsd 16

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest